< Wagalatia 1 >

1 Paulo mtume: si mtume wa wanadamu wala aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu;
Bratři, přijměte ode mne i od všech, kteří jsou zde se mnou, přání Božího pokoje a milosti.
2 na ndugu wote walio pamoja nami: Kwa makanisa ya Galatia:
3 Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo,
4 aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. (aiōn g165)
Věčná chvála buď Bohu i Kristu Ježíši, (aiōn g165)
5 Utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
který podle Boží vůle za nás obětoval svůj život a tak nás zachránil z moci zla, které ovládá tento svět. (aiōn g165)
6 Nashangaa kwamba mnamwacha upesi hivyo yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo na kuifuata Injili nyingine,
Jsem překvapen, bratři, jak rychle jste se nechali svést k následování falešného evangelia.
7 ambayo kwa kweli si Injili kamwe, ila kwa dhahiri kuna watu wanaowachanganya na wanaotaka kuipotosha Injili ya Kristo.
Pamatujte si, že není jiná cesta k věčnému životu než ta, kterou nám otevřel Kristus. Nedejte se mýlit těmi, kdo se snaží jeho učení – jak jsme vám ho kázali – všelijak překrucovat. Kdo to činí, ať je na věky zavržen.
8 Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri Injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo alaaniwe milele!
Znovu opakuji: I kdyby někdo z nás – nebo dokonce anděl z nebe – hlásal něco jiného, než jsme vás učili my, ať je na věky zavržen.
9 Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu yeyote atawahubiria Injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!
10 Je, sasa mimi ninatafuta kukubaliwa na wanadamu au kukubaliwa na Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa bado najaribu kuwapendeza wanadamu, nisingekuwa mtumishi wa Kristo.
Vidíte, že nezačínám žádnými lichotkami. Nechci se totiž za každou cenu líbit lidem. Jestliže se chci opravdu někomu líbit, pak jedině Bohu; jinak bych nebyl Kristův služebník.
11 Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu.
Ujišťuji vás, bratři, že to, co jsem vám hlásal, není lidský výmysl.
12 Kwa maana mimi sikuipokea hiyo Injili kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa na mtu, bali niliipata kwa ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo.
To poselství mi nesvěřil nikdo jiný než sám Ježíš Kristus. Jsou to jeho vlastní slova a nemám je z druhé ruky.
13 Ninyi mmekwisha kusikia juu ya maisha yangu ya zamani nilipokuwa katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kwa nguvu na kujaribu kuliangamiza.
Vy přece víte, čeho jsem se dopouštěl ještě jako žid – jak jsem křesťany pronásledoval a snažil se je vyhubit.
14 Nami niliendelea sana katika dini ya Kiyahudi kuliko Wayahudi wengi wa rika yangu maana nilijitahidi sana katika desturi za baba zangu.
V té době snad nebylo mezi mými vrstevníky horlivějšího a pravověrnějšího žida nade mne. Nikdo jiný nehořel pro tradice mého národa tak fanaticky jako já.
15 Lakini ilipompendeza Mungu, aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu na kuniita kwa neema yake,
Ale pak to přišlo! Bůh mi odhalil pravdu o svém Synu a uložil mi šířit jeho poselství po celém světě. K této službě mne ve své dobrotě vybral již dávno před mým narozením.
16 alimdhihirisha Mwanawe kwangu, ili nipate kumhubiri miongoni mwa watu wa Mataifa. Mimi sikushauriana na mwanadamu yeyote,
17 wala sikupanda kwenda Yerusalemu kuwaona hao waliokuwa mitume kabla yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.
Když se to stalo, nevyptával jsem se na Krista jiných lidí, ani jsem se nešel radit s jeruzalémskými apoštoly. Odešel jsem do Arábie, vrátil se zase do Damašku
18 Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kuonana na Kefa na nilikaa naye siku kumi na tano.
a teprve po třech letech jsem se vypravil do Jeruzaléma, abych se osobně seznámil s Petrem. Pobyl jsem u něho dva týdny,
19 Lakini sikumwona mtume mwingine yeyote isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
ale kromě Jakuba, Ježíšova bratra, jsem se s dalšími apoštoly nesetkal.
20 Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo.
Tak to skutečně bylo, Bůh je mi svědek, že nelžu.
21 Baadaye nilikwenda sehemu za Syria na Kilikia.
Pak jsem se vydal do Sýrie a Kilikie,
22 Lakini mimi binafsi sikujulikana kwa makanisa ya huko Uyahudi yaliyo katika Kristo.
zatímco v Judsku mě křesťané stále ještě neznali.
23 Wao walisikia habari tu kwamba, “Mtu yule ambaye hapo kwanza alikuwa akitutesa sasa anahubiri imani ile ile aliyokuwa akijaribu kuiangamiza.”
Věděli jen, že dřívější nepřítel hlásá nyní to, co sám předtím tak krutě potíral,
24 Nao wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.
a chválili za to Boha.

< Wagalatia 1 >