< Wagalatia 6 >

1 Ndugu zangu, ikiwa mtu ameghafilika akatenda dhambi, basi ninyi mlio wa rohoni, mrejesheni upya mtu huyo kwa roho ya upole. Lakini jihadharini, ili ninyi wenyewe msije mkajaribiwa.
Ka püi he aw, khyang naw katnak a pawh msawk üng, Ngmüimkhya khyanga nami kyakia nangmi naw akdawa mtho be u; cunsepi mlung hnipnak am pawh ua. Acunüng namimät pi hlawhlepnak üng am nami kyuknak vaia mceiei ua.
2 Chukulianeni mizigo ninyi kwa ninyi, nanyi kwa njia hii mtatimiza sheria ya Kristo.
Mat la mata bawngkhanak nglawng püi u, acunkba Khritawa Thum nami läkia kya khai.
3 Kama mtu yeyote akijiona kuwa yeye ni bora na kumbe sivyo, basi mtu huyo anajidanganya mwenyewe.
Nami mät ia am kya kphei u lü kyäp säihkia nami ngaihkyu üng ta nami mät nami yailei nakia ni akya ve.
4 Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe, ndipo aweze kujisifu, bila kujilinganisha na mtu mwingine.
Nami mäta bilawh bükteng ua. Nami bilawh a daw üng nami mäta bilawha khana awhcah ua; khyanga bilawh am ä mtäng ua.
5 Kwa maana, kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.
Nami mäta phüih phäh phäh nami phüi khaia kyaki ni.
6 Basi, yeye afundishwaye katika neno na amshirikishe mwalimu wake mema yote.
Khritjana mawngma ning mtheikia saja üng na tak akdaw na pet vai.
7 Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna.
Namät ä mhleia; u naw Pamhnam am yaw ang sak thei. Na sawa mäih kunga na at be khai.
8 Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele. (aiōnios g166)
Na nghngicim ngneiksak hlükawa mci na saw üng acun üngka thihnak na at khai; Ngmüimkhya lama mci na saw üng Ngmüimkhya lam üngka anglät xünak na at khai. (aiōnios g166)
9 Hivyo, tusichoke katika kutenda mema, kwa kuwa tutavuna kwa wakati wake tusipokata tamaa.
Acunakyase akdaw bilawh ä mi ngkho na vai; am mi pyai ta u lü akcüna pha law üng angtheipai mi at law khai.
10 Kwa hiyo, kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema, hasa wale wa jamaa ya waaminio.
Acunakyase akcün kdaw mi tak ham üng khyang naküta veia akdaw mi bilo vai u; aktunga jumnak üng khuiim mata mi kyaki hea veia mi bilo ksetam vai u.
11 Angalieni herufi kubwa nitumiazo ninapowaandikia kwa mkono wangu mwenyewe!
Kamäta kut ye am canglung angbaü ngbaüa nami veia ca ka yuk law cen teng ua.
12 Wale wanaotaka kuonekana wazuri kwa mambo ya mwili wanataka wawalazimishe kutahiriwa. Sababu pekee ya kufanya hivyo ni kuepuka kuteswa kwa ajili ya msalaba wa Kristo.
Nami vun amthuia ning jah mawih hlüsaki he cun ami bilawh kce awhcah hlü na u lü, mdan hlükia kyaki he ni. Biloki he, acunsepi Khritawa kutlamktunga phäha mkhuimkhanak am ami khamei vai dänga phäha ni akya ve.
13 Hata wale waliotahiriwa wenyewe hawaitii sheria, lakini wanataka ninyi mtahiriwe ili wapate kujivuna kwa habari ya miili yenu.
Vun mawiki he ye naw pi Thum am läk u. Pumsa üng nami bilawh ami awhcahnak vaia phäha nami vun ning jah mawih hlüsaki he ni.
14 Mungu apishie mbali nisije nikajivunia kitu chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa yeye ulimwengu umesulubiwa kwangu, nami nimesulubiwa kwa ulimwengu.
Kei naw ta mi Bawipa Jesuh Khritawa kutlamktung ni ka awhcahnak ve; ania kutlamktung üng hina khawmdek ka phäha thiki, kei pi khawmdeka phäha ka thiki.
15 Kwa maana katika Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa si kitu, bali kule kuwa kiumbe kipya ni kila kitu!
Vun mawih la am mawih ia am ngtäh. Mhmünmceng kthaia kya ni angtäh.
16 Amani na rehema viwe na wote wanaofuata kanuni hii, na juu ya Israeli wa Mungu.
Acuna thumcam ami xünnake üng läkie la Pamhnama khyang avana khana dim’yenak la m'yeneinak ve se.
17 Hatimaye, tangu sasa mtu yeyote asinitaabishe, kwa maana nachukua katika mwili wangu chapa zake Yesu.
Akbäihnaka: ka pumsa khana awmkia nghmalem he naw kei Jesuha m'ya ka kyaki ti mdankia kyase u naw pi ä na mkhuimkha kawm.
18 Ndugu zangu, neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.
Ka püi he aw, mi Bawipa Jesuh Khritawa bäkhäknak nami vana khana awm se. Amen.

< Wagalatia 6 >