< Wagalatia 4 >

1 Lile nisemalo ni kwamba wakati wote mrithi bado ni mtoto, hana tofauti na mtumwa, ingawa ndiye mmiliki wa mali yote.
Cunsepi, hin kba pyen be tü veng: a pa khawh mkhäm khaia ahmäi cun capa a ka vai kyase pi a nghmaw ham üng cun m'ya mäiha ni ngaih khawi.
2 Yeye huwa yuko chini ya uangalizi wa walezi na wadhamini mpaka ufike wakati uliowekwa na baba yake.
A nghmaw ham üng a pa naw a mhnütnaka kcün am a pha ham üng msumcei khaia khyang he awmki he.
3 Vivyo hivyo na sisi, tulipokuwa bado watoto wadogo, tulikuwa utumwani chini ya taratibu za kawaida za ulimwengu.
Acukba mimi pi ngmüimkhya lama am mi xüxam ham üng cun khawmdek ukia ngmüimkhya he keha m'ya mi kyaki.
4 Lakini ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe, ambaye alizaliwa na mwanamke, akazaliwa chini ya sheria,
Cunsepi akcüna pha law üng Pamhnam naw amäta Capa a tüih law. Nghngicim nghnumia capa mäiha law lü Judah he Thuma keha xüngseiki,
5 kusudi awakomboe wale waliokuwa chini ya sheria, ili tupate kupokea zile haki kamili za kufanywa watoto wa Mungu.
Thuma keha awmki he jah thawng se, Pamhnama ca he mi kya lawnak vaia kyaki.
6 Kwa sababu ninyi ni watoto wa Mungu, Mungu amemtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu, anayelia, “Abba, Baba.”
A ca he nami kyanak mdanak vaia Pamhnam naw a Capaa Ngmüimkhya cun nami mlung k’uma a tüih law. Acuna Ngmüimkhya naw, “Ka Pa, ka Pa” tia ngpyangki.
7 Kwa hiyo, wewe si mtumwa tena, bali ni mtoto, kwa kuwa wewe ni mtoto, Mungu amekufanya wewe pia kuwa mrithi kwa kupitia Kristo.
Acunakyase m'yaa am kya ti u lü capa nami kyaki. A capa nami kya pängkia kyase Pamhnam naw a capaa phäh vai a tak avan ning jah pe khai.
8 Zamani, mlipokuwa hammjui Mungu, mlikuwa watumwa wa viumbe ambavyo kwa asili si Mungu.
Tuhkbäih Pamhnam nami ksingki am acunüng Pamhnam naw ning jah ksingki ti veng. Ise a ktha kcek lü m'yenei phyakia ngmüimkhya veia nami nglat be vai nami ngaihki ni.
9 Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu, au zaidi mmejulikana na Mungu, inakuwaje mnarejea tena katika zile kanuni za kwanza zenye udhaifu na upungufu? Mnataka ziwafanye tena watumwa?
Mhnam nami ksing kän la Mhnam naw a ning jah ksing käna, Ise am ktha mah lü m'yenei phyakia ngmüimkhya veia nami nghlat be vai nami ngaihki ni ti pyen hlü veng? Ise acun hea m'ya nami kya vai cun nami ngaih beki ni?
10 Mnaadhimisha siku maalum, miezi, nyakati na miaka!
Khawmhmüp he, nghngi khya he, akcün he la khawkum he, nami jah künaki.
11 Nina hofu juu yenu, kwamba kazi niliyofanya kwa ajili yenu inaweza kuwa nimejitaabisha bure.
Ning jah cäi na veng! Nami phäha ka kthanak avan amdanga kya khai aw?
12 Ndugu zangu, nawasihi mwe kama mimi, kwa sababu mimi nimekuwa kama ninyi. Hamkunitendea jambo lolote baya.
Ka püi he aw, “Keia mäiha awm u” tia ning jah nghui na veng. Nangmia mäih ka lawki. Akse ka khana nami bi am ve.
13 Ninyi mwajua kwamba ni kwa ajili ya udhaifu wangu niliwahubiria Injili.
Akcüka nami veia ivai thangkdaw ka pyen ni ti cen süm ua; am ka phetyaia phäha kyaki ni.
14 Ingawa hali yangu iliwatia majaribuni, hamkunidharau wala kunidhihaki, bali mlinikaribisha kama malaika wa Mungu, kama vile Kristo Yesu.
Ka pumsa üng am ka phetyainak cen nami hama khameinaka kyase pi am na hmumsit u lü, am nami na yawkinki. Khankhaw üngka khankhawngsä mata mäiha nami na dokhamki. Jesuh Khritawa mäiha nami na dokhamki.
15 Ile hali ya furaha mliyokuwa nayo imekwenda wapi? Naweza kushuhudia kwamba, kama ingewezekana mngengʼoa macho yenu na kunipa mimi.
Aktäa nami jekyaiki! Ise ni? Akya thei vai sü ta nami mik pi lo u lü nami na pe khai sü ti kamät naw pyen thei veng.
16 Je, sasa nimekuwa adui yenu kwa kuwaambia kweli?
Ngthungtak ka ning jah mtheha phäha nami yea ka kya lawki aw?
17 Hao wana shauku ya kuwapata lakini si kwa kusudi zuri. Wanachotaka ni kuwatenga mbali nasi, ili ninyi mpate kuwaonea wao shauku.
Khyang kce he naw ning jah kü na leng lengkia mäiha awmki he, cunsepi ami ning jah künak am daw. Ami ning jah künaka kba nami jah künak be vaia phäha kei üngka ning jah mtai hlü ve u.
18 Ni vizuri wakati wote kuwa na shauku kwa ajili ya kusudi zuri, si wakati nikiwa pamoja nanyi tu.
Bünak a daw üng ta künak hin dawki ni. Nami hlawnga ka awma kcün däng üng am kyakia nami hlawnga am ka awm üng pi.
19 Watoto wangu wapendwa, ambao kwa mara nyingine ninawaonea utungu, ninatamani kwamba Kristo aumbike ndani yenu.
Ka cana he aw, Khritawa ngneiksak nangmi üng am a awm hama küt üng ta nghnumi naw a ca law vai üng a huieia kba nami hama na huiei ve.
20 Natamani kama ningekuwa pamoja nanyi sasa, pengine ningebadilisha sauti yangu. Kwa maana nina wasiwasi kwa ajili yenu.
Atuh nami hlawnga ka ve vai ngaih veng. Ahin kba am ka ning jah tinak vai sü. Aktäa ning jah cäi na veng.
21 Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je, hamjui sheria inavyosema?
Thuma keha awm hlüki he ning jah kthäh vang: Thum naw i a pyen am nami ngjaki aw?
22 Kwa maana imeandikwa kwamba Abrahamu alikuwa na wana wawili, mmoja wa mwanamke mtumwa na wa pili wa mwanamke huru.
Abraham naw cangpyang nghngih ca naki. Mat m'yanua ca kya lü mat cun m'yanu am nikia ca kyaki.
23 Lakini, mtoto wa mwanamke mtumwa alizaliwa kwa mapenzi ya mwili, na yule mwingine wa mwanamke huru alizaliwa kutokana na ahadi ya Mungu.
M'yanu am ani ca cun pumsa thuma hmi lü, m'yanu am niki am ani ca cun khyütama thuma hmi lawkia kyaki tia pyenki.
24 Mambo haya yanaweza kuchukuliwa kama mfano. Kwa maana hao wanawake wawili ni mfano wa maagano mawili: Agano la kwanza, ni lile lililofanyika katika Mlima Sinai, lizaalo watoto wa utumwa. Hili ndilo huyo Hagari.
Acuna ngthu cun msuimcäpnaka kyaki ti ksing theia kyaki; acuna nghnuminu xawi cun ngthumkhän nghngiha kyaki xawi. M'ya jah ca nakia nghnumi Hakarah cun Sinai mcung üng pawha ngthumkhäna kyaki.
25 Basi Hagari anawakilisha Mlima Sinai ulioko Arabuni, na unafanana na Yerusalemu ya sasa ambayo iko utumwani pamoja na watoto wake.
Arab khawa Sinai mcunga nghnün üng ngdüikia Hakarah cun, tuhkbäih Jerusalem a khyang he mah mah am m'yaa kyaki msuimcäpnaka kyaki.
26 Lakini Yerusalemu wa juu ni huru, nayo ndiye mama yetu.
Cunsepi khankhaw Jerusalem cun m'ya am kyakia kyase, acun cun mi nua kyaki.
27 Kwa maana imeandikwa: “Furahi, ewe mwanamke tasa, wewe usiyezaa; paza sauti, na kuimba kwa furaha, wewe usiyepatwa na utungu wa kuzaa; kwa maana watoto wa mwanamke aliyeachwa ukiwa ni wengi kuliko wa mwanamke mwenye mume.”
“Na cingkia nghnumi jekyaia! Na am pawi na khawi lü na hmia natnak am na khamei khawiki je lü ngpyanga! A cei naw am a yawk khawia nghnumia kthaka a cei naw am a ktä naw hnasen da na bawk khai” tia cangcim naw pyenki.
28 Basi, sisi ndugu zangu, ni kama Isaki, tu watoto wa ahadi.
Acunakyase ka püi he aw, nangmi cun Isaka mäiha khyütama phäha Pamhnama ca hea nami kyaki.
29 Lakini, kama vile ilivyokuwa siku zile yule aliyezaliwa kwa mwili alivyomchokoza yule aliyezaliwa kwa Roho, ndivyo ilivyo hata sasa.
Acuna kcün üng pumsa thuma hmi lawki naw Pamhnama Ngmüimkhya thuma hmi lawki a mkhuimkha khawia kba; tuhkbäih pi acuna mäih lawki.
30 Lakini Maandiko yasemaje? “Mwondoe mwanamke mtumwa pamoja na mwanawe, kwa sababu mwana wa mwanamke mtumwa kamwe hatarithi pamoja na mwana wa aliye huru.”
Cunsepi, cangcim naw, “M'yanu cun a capa am jah ksäta; m'yanua capa naw ä m'yanua capa khawh ä mkhämpüi khai” tia a pyen.
31 Kwa hiyo ndugu zangu, sisi si watoto wa mwanamke mtumwa, bali wa yule aliye huru.
Acunakyase ka püi he aw, mimi cun m'yanua ca am mi kya u lü ä m'yanua ca hea mi kyaki.

< Wagalatia 4 >