< Wagalatia 2 >

1 Kisha, baada ya miaka kumi na minne, nilipanda tena kwenda Yerusalemu pamoja na Barnaba, nikamchukua na Tito ili awe pamoja nami.
Badala ya miaka kumi na nne nalotili kabhele Yerusalem pamonga ni Barnaba. Kabhele nan'tolili ni Tito pamonga ni nene.
2 Nilikwenda kwa sababu nilikuwa nimefunuliwa na Mungu, ili nikawaeleze kwa faragha wale walioonekana kuwa viongozi, ile Injili ninayoihubiri kwa watu wa Mataifa. Nilifanya hivyo kwa kuhofia kwamba nisije nikawa nilikuwa ninakimbia au nilikimbia bure.
Nalotili ndabha ya K'yara ajidhihirishi kwa nene ya kuwa ni paswa kulota. Nabhekili palongolo pa bhene injili yanatangasi kwa bhanu bha mataifa. (Lakini nalongilili kwa kufigha kwa bhabhisemekana fiongozi bhamana). Naketili naa ili kuhakikisya ndabha nakembhelai hee, au nakembili mebhwa.
3 Lakini hata Tito ambaye alikuwa Myunani, hakulazimika kutahiriwa.
Ni kabhele Tito, yaayele pamonga ni nene, yaayele Myunani, alasimisibhu kutailibhwa.
4 Lakini kwa sababu ya ndugu wa uongo ambao walijiingiza kwa siri katikati yetu ili kupeleleza uhuru wetu tulio nao katika Kristo Yesu, wapate kututia utumwani,
Lijambo ele lahomili kwa ndabha ya bhalongo bhaudesi bhabhahidili kwa siri kupeleleza uhuru wa tuyenabhu kup'etela Kristu Yesu. Bhatamene kutuketa tete tuyelai bhatumwa bha Sheria.
5 hatukukubaliana nao hata dakika moja, ili kwamba ukweli wa Injili ubaki nanyi.
Tajipisili lepi kubhatii hata kwa lisaa limonga, ya ndabha injili ya ukueli ibakilai bila kubadilisya kwa muenga.
6 Kwa habari ya wale waliokuwa wakubaliwe kuwa viongozi (kwangu mimi sikujali vyeo vyao, maana Mungu hana upendeleo), wale watu hawakuniongezea chochote.
Ila bhala bhabhajobhibhu ya kuwa ndo fiongozi bhachangili lepi kyoa kela kwa nene. Kyoakela kayayele bhakifu ketai kayelepi kya. maana kwa nene. K'yara hakubali upendeleo wa bhanadamu.
7 Badala yake walitambua kwamba nilikuwa nimekabidhiwa kazi ya kuhubiri Injili kwa watu wa Mataifa, kama vile Petro alivyokabidhiwa kuhubiri Injili kwa Wayahudi.
Badala yaki, bhabhuene ya kuwa niaminibhu kutangasya injili kwa bhala bhabhatailibhu lepi. Yayele Katya Petro atangasyai injili kwa bhabhatailibhu.
8 Kwa maana, Mungu aliyekuwa akitenda kazi katika huduma ya Petro kama mtume kwa Wayahudi, ndiye pia aliyekuwa anatenda kazi katika huduma yangu kama mtume kwa watu wa Mataifa.
Kwa ndabha K'yara, yaafwanyili mbhombho mugati mwa Petro kwajia ya utume kwa bhala bhabhatailibhu, kabhele aketili mbhombho mugati mwa nene kwa bhanu bha mataifa.
9 Basi, Yakobo, Kefa na Yohana, walioonekana kama nguzo za kanisa, walitupa mkono wa shirika, mimi na Barnaba walipotambua ile neema niliyopewa. Wakakubali kwamba sisi twende kwa watu wa Mataifa na wao waende kwa Wayahudi.
Wati Yakobo, kefa, ni Yohana, ndo bhatambuliki ya kuwa bhajengili likanisa, bhamanyili neema ya napelibhu nene bhatupokili kup'etela ushirika nene ni Baketili naa ili ya ndabha tubhoki kwa bhanu bha mataifa, ni kabhele bha bhwesyai kulota kwa bhala bhabhatailibhu.
10 Walichotuomba ni kwamba tuendelee kuwakumbuka maskini, jambo ambalo ndilo nililokuwa na shauku ya kulifanya.
Kabhele bhatulondai tete kubhakombhoka masikini. Nene kabhele nayele natamaniayi kuketa lijambo ele.
11 Lakini Petro alipofika Antiokia, mimi nilimpinga ana kwa ana kwa sababu alikuwa amekosea kwa wazi.
Wakati kefa paahidili Antiokia, na mphengili bhuasi bhuasi yandabha ayele akosili.
12 Kabla baadhi ya watu waliotoka kwa Yakobo hawajafika, alikuwa akila pamoja na watu wa Mataifa. Lakini hao watu walipofika alianza kujiondoa na kujitenga na watu wa Mataifa kwa sababu aliwaogopa wale wa kundi la tohara.
Kabula ya bhanu kuzaa kuhida kuhomela kwa Yakobo, kefa ayele kulya pamonga ni bhanu bhamataifa. Ila bhanu abha bhabhahidili, alekili ni kubhoka kuhomela kwa bhanu bha mataifa. Ayele atilai bhanu bha bhilonda tohara.
13 Pia Wayahudi wengine waliungana naye katika unafiki huu, hata Barnaba naye akapotoshwa na unafiki wao.
Vilevile bhayahudi bhamana bhauengene ni unafiki obho pamonga ni kefa. Matokeo ghaki ghayele ni Barnaba atolibhu ni unafiki wa bhene.
14 Nilipoona kwamba hawatendi sawasawa na kweli ya Injili, nilimwambia Petro mbele ya wote, “Wewe ni Myahudi, nawe unaishi kama mtu wa Mataifa na wala si kama Myahudi. Imekuwaje basi, mnawalazimisha watu wa Mataifa kufuata desturi za Kiyahudi?
Panabhona yakuwa bhayelelepi kufuata injili ya ukueli, namjobhili kefa palongolo pa bhoa, “Katya muenga ndo bhayaudi ila mwiishi ni tabia sa bhanu bha mataifa badala ya tabia sa kiyaudi, kwa ndayakiki mkabhalasimisya bhanu bhamataifa kuishi katya bhayaudi?”
15 “Sisi wenyewe ni Wayahudi kwa kuzaliwa na si watu wenye dhambi kama watu wa Mataifa,
Tete ambabho ndo bhayaudi bhakuhogoleka na siyo “Bhanu bhamataifa bhenye thambi”
16 bado tunajua ya kwamba mtu hahesabiwi haki kwa matendo ya sheria bali kwa njia ya imani katika Yesu Kristo. Hivyo sisi pia, tumemwamini Kristo Yesu ili tupate kuhesabiwa haki kwa njia ya imani katika Kristo, wala si kwa matendo ya sheria, kwa sababu kwa kushika sheria hakuna hata mtu mmoja atakayehesabiwa haki.
Manyai kujo ayelepi yaihesabibhwa haki kwa matendo gha Sheria. Badala yaki, bhihesabhwa haki kwa imani mugati mwa Yesu Kristu. Twahidili kwa imani mugati mwa Kristu Yesu ili yandabha tihesabibwa haki kwa imani mugati mwa Kristu na lepi kwa matendo gha Sheria. Kwa matendo ya sheria uyelepi mbhele waubhwanili kuhesabibhwa katya haki.
17 “Lakini tukitafuta kuhesabiwa haki katika Kristo, inakuwa dhahiri kwamba sisi ni wenye dhambi. Je, ina maana kwamba Kristo amekuwa mtumishi wa dhambi? La hasha!
Katya tukandonda K'yara wa kutuhesabila haki mugati mwa Kristu, tukajikolela tayhoto kabhele ndo bhenye thambi, je Kristu aketibhu n'tumwa wa thambi? Wala naa hee!
18 Lakini ikiwa mimi ninajenga tena kile ambacho nimekwisha kukibomoa, basi ninaonyesha kwamba mimi ni mkosaji.
Maana katya ni kajengai tegemeo la nene juu ya kutunza sheria, litegemelo ambalo namalili kulibhosya, nikajilasya nayhoni Kujo mvunja sheria.
19 Kwa maana mimi kwa njia ya sheria, nimeifia sheria ili nipate kuishi kwa ajili ya Mungu.
Kup'etela sheria nafuili mu sheria, kwa ele nipaswa kuishi kwajia ya K'yara.
20 Nimesulubiwa pamoja na Kristo, wala si mimi tena ninayeishi, bali Kristo ndiye aishiye ndani yangu. Uhai nilio nao sasa katika mwili, ninaishi kwa imani ya Mwana wa Mungu, aliyenipenda na kujitoa kwa ajili yangu.
Nisulubibhu pamonga ni Kristu. So nene kabhele yakaniishi, Bali Kristu aaiishi mugati mwa nene. Maisha ghaniishi kup'etela mbhele niishi kwa imani mugati mwa muana wa K'yara yaa niganili ni kujitolela kwajia ya nene.
21 Siibatilishi neema ya Mungu, kwa maana kama haki ingeweza kupatikana kwa njia ya sheria, basi Kristo alikufa bure!”
Nikaikana hee neema ya K'yara, maana katya haki yayayele kup'etela sheria, basi Kristu ngaayele afuili mebhwa.

< Wagalatia 2 >