< Wagalatia 1 >

1 Paulo mtume: si mtume wa wanadamu wala aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu;
Nne a Pauli ntume, nangatumwa na bhandunji, ikabhe na a Yeshu Kilishitu na Atati a Nnungu, bhaayushiye a Yeshu bhakaweje,
2 na ndugu wote walio pamoja nami: Kwa makanisa ya Galatia:
na ashaalongo bhowe bhalinginji pamo na nne tunakunjumushilanga mmanganyanji bha makanisha ga ku Galatia.
3 Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo,
Tunakunnjujilanga nema na ulele kwa Atati a Nnungu na ku Bhakulungwa bhetu a Yeshu Kilishitu.
4 aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. (aiōn g165)
A Yeshu bhashinkwiishoya bhayene, kwa ligongo lya ilebho yetu nkupinga bhatutapule na ya nyata ya nshilambolyo mututama muno, malinga shibhapinjile Ainabhetu bhetu a Nnungu. (aiōn g165)
5 Utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Ukonjelo gowe ubhe na bhenebho pitipiti, nneyo peyo. (aiōn g165)
6 Nashangaa kwamba mnamwacha upesi hivyo yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo na kuifuata Injili nyingine,
Ngunakunkanganigwanga, pabha shangupe nnakwalekanga bhene bhanshemilenje kwa mboka ya a Kilishitu, nitendebhushila ngani ja mmbone jina pe.
7 ambayo kwa kweli si Injili kamwe, ila kwa dhahiri kuna watu wanaowachanganya na wanaotaka kuipotosha Injili ya Kristo.
Numbe nngabha jipali ngani ja mmbone jina, ikabhe bhapali bhandunji bhakumpuganyanga nkupinga bhajipuganyanje Ngani ja Mmbone ja a Kilishitu.
8 Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri Injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo alaaniwe milele!
Ikabheje, nkali ibhaga jwa munkumbi gwetu eu malaika jwa kunnungu, shannungushiyanje ngani jojowe jikalandana na jene jitunnungushiyenje uwe, aloshwe na a Nnungu.
9 Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu yeyote atawahubiria Injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!
Malinga shitwammalanjilenje, tunabhujila kabhili nnaino, mundu jojowe akunnungushiyanga ngani jina jojowe jikalandana na jene jintupilikenenje uwe, aloshwe!
10 Je, sasa mimi ninatafuta kukubaliwa na wanadamu au kukubaliwa na Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa bado najaribu kuwapendeza wanadamu, nisingekuwa mtumishi wa Kristo.
Bhai nnaino nguloleya kupingwa na bhandunji eu na a Nnungu? Eu ngupinga kwiikonjeleya ku bhandunji? Kaliji nneyo, nne nganabhe ntumishi jwa a Kilishitu.
11 Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu.
Ashaalongo ajangunji pungupinga mmanyanje kuti, ngani jininnungushiyenje jangakopoka kubhandunji.
12 Kwa maana mimi sikuipokea hiyo Injili kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa na mtu, bali niliipata kwa ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo.
Pabha nangaposhela wala kujiganywa naka mundu, ikabhe a Yeshu Kilishitu bhayene ni bhang'ibhulile.
13 Ninyi mmekwisha kusikia juu ya maisha yangu ya zamani nilipokuwa katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kwa nguvu na kujaribu kuliangamiza.
Na mwapilikenenje ngani jangu ga punaliji bhukala mundu jwa dini ja Shiyaudi, kuti natendaga shimwa na likanisha lya a Nnungu kwa kaje, kuishila pa pinga kwaamaliyanga.
14 Nami niliendelea sana katika dini ya Kiyahudi kuliko Wayahudi wengi wa rika yangu maana nilijitahidi sana katika desturi za baba zangu.
Kwa nneyo njinkwiishimilika na dini ja Shiyaudi kwa kaje, kupunda ashaambwana ajangunji bhowe, nikagulila malajilo ga ashaambuje kwa kaje.
15 Lakini ilipompendeza Mungu, aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu na kuniita kwa neema yake,
Ikabheje nne nganabhe bhelekwa, a Nnungu bhashinkung'agula kwa nema jabho kwa pinga kwabho.
16 alimdhihirisha Mwanawe kwangu, ili nipate kumhubiri miongoni mwa watu wa Mataifa. Mimi sikushauriana na mwanadamu yeyote,
Bhakatumbilileje kung'ibhulila ga Bhanabhabho, nkupinga naalungushiyanje bhandu bhangalinginji Bhayaudi ga ngani jabho. Kwa nneyo nangabhuya kuka mundu jojowe,
17 wala sikupanda kwenda Yerusalemu kuwaona hao waliokuwa mitume kabla yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.
wala nangajomboka kwenda ku Yelushalemu kubhalinginji mitume bha ntai bhaagwilwenje nne nganabhe agulwa, ikabhe guniijendele ku Alabhia, kungai gumujile kabhili ku Dameshiki.
18 Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kuonana na Kefa na nilikaa naye siku kumi na tano.
Ikapiteje yaka itatu, gunyombweshe kwenda ku Yelushalemu kuumanyigana na a Kepa, gundemi kunngwabho mobha likumi limo na nng'ano.
19 Lakini sikumwona mtume mwingine yeyote isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
Ikabheje nangammona ntume juna, ikabhe a Yakobho, apwabho Bhakulungwa bhetu.
20 Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo.
Gene gungunjandishilanga gano a Nnungu bhagamanyi kuti nngabha ga unami.
21 Baadaye nilikwenda sehemu za Syria na Kilikia.
Kungai gumbite ilambo ya ku Shilia na ku Kilikia.
22 Lakini mimi binafsi sikujulikana kwa makanisa ya huko Uyahudi yaliyo katika Kristo.
Ikabheje gene mobhago nne ngamanyikanaga munkumbi gwa bhakilishitu bha ku Yudea.
23 Wao walisikia habari tu kwamba, “Mtu yule ambaye hapo kwanza alikuwa akitutesa sasa anahubiri imani ile ile aliyokuwa akijaribu kuiangamiza.”
Ikabhe, pabha bhapilikenenje kuti, “Bhene bhandu bhatupotekaga bhukala, nnaino bhanalunguya ngulupai jila jibhalingaga kujibhulaga bhukala jila.”
24 Nao wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.
Gubhaalumbililenje a Nnungu, ga ligongo lyangu nne.

< Wagalatia 1 >