< Wagalatia 1 >
1 Paulo mtume: si mtume wa wanadamu wala aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu;
Nene Paulo umbanda sanili mbanda ukhuhuma kuvanu khange ukhugendela kwu munu, une ukhugendele mwa Yesu Klisite nu Nguluve Dada uvya chusi ncha kuhuma kuvufwe.
2 na ndugu wote walio pamoja nami: Kwa makanisa ya Galatia:
Paninie na valokolo lwango voni, nikhugusimbila umpelela gwa Vagalatia.
3 Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo,
Uluhungu luve khulyumwe nu lwidiko ulwihuma kwa Nguluve uDada vitu nuntwa u Yesu Klisite,
4 aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. (aiōn )
uvyaihumiche mwene khwu nongwa inchito ukhuta atupoke mu myaka igi igya vuvivi, ukhukongana nu lugano lwa Nguluve vetu nu Dada. (aiōn )
5 Utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
Kumwene vuve vuvanche sikhu nchoni. (aiōn )
6 Nashangaa kwamba mnamwacha upesi hivyo yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo na kuifuata Injili nyingine,
Ni dega ukhuva msyetuka khimbivi kwu livangili ilinge. Nidegi ukhuva msyetukhila kuvutali ukhuma khu mwene uviavilangile khuluhungu lwa Klisite.
7 ambayo kwa kweli si Injili kamwe, ila kwa dhahiri kuna watu wanaowachanganya na wanaotaka kuipotosha Injili ya Kristo.
Lesikuli ilivangili ilinge, lino kulivange avanu avikhuvalondela isida nukhunugwa ukhunche nyia ilivangili ililivunge nilyu twa va vulile kuhiumwe akhotoliwage.
8 Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri Injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo alaaniwe milele!
Lakini hata kama ni sisi au malaika mbinguni atatangaza kwenu injili tofauti na ile tuliyoitangaza kwenu, na alaaniwe.
9 Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu yeyote atawahubiria Injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!
Nduvu tuchovile pavutengulilo, khange lino nichova, “Ingave kulimunu ikhuvavula ilivangili ili livunge nilyu mwupilile akhatoliwage.”
10 Je, sasa mimi ninatafuta kukubaliwa na wanadamu au kukubaliwa na Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa bado najaribu kuwapendeza wanadamu, nisingekuwa mtumishi wa Kristo.
Ulwa khuva lino nilonda uvwa yilweli vwa vanu au uNguluve? Nilonda ukhuvahovosya avanu? Ingave nikwendelela ukhugela ukhuvahovosya avanu, une sanili mbombi va Klisite.
11 Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu.
Valokolo lwango ninogwa umwe mlomanye ukuta ilivangili ilyo ninchova salihoma ku munu.
12 Kwa maana mimi sikuipokea hiyo Injili kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa na mtu, bali niliipata kwa ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo.
Sanaupilile khu munu khange sana manyesiwe. Lwale luvonekelo lwa Yesu Klisite kyulyune.
13 Ninyi mmekwisha kusikia juu ya maisha yangu ya zamani nilipokuwa katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kwa nguvu na kujaribu kuliangamiza.
Mmvile mmupulike imitamile gyango igya kusana udini ya vuyuta, ummuyikhavelile vunikhu ligatancha khuvukali itembile ya Nguluve pakyanya pagelelo nu kuliya ncha.
14 Nami niliendelea sana katika dini ya Kiyahudi kuliko Wayahudi wengi wa rika yangu maana nilijitahidi sana katika desturi za baba zangu.
Une nilikwendelela ni dini ya kiyuta avalokolo lwango vingi vayuta nikhele ne mmaka fincho mmvile gya dada vango.
15 Lakini ilipompendeza Mungu, aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu na kuniita kwa neema yake,
UNguluve anogolwe ukhung'ala une ukhuhuma mwitumbu mwe mama. Akhanyilanga une ukhugendele mu nduhungu lwa mwene.
16 alimdhihirisha Mwanawe kwangu, ili nipate kumhubiri miongoni mwa watu wa Mataifa. Mimi sikushauriana na mwanadamu yeyote,
Ukhumbonesya unswambe mgati ndyone une nintangasye umwene khuvanu ava panji, khange sanalonde avakunanga khimbili nu nkisa,
17 wala sikupanda kwenda Yerusalemu kuwaona hao waliokuwa mitume kabla yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.
nukutoga ukhuluta khwu Yelusalemu kwu vala uvuvale vavanda une vubadu. Une nikhaluta kyu valabu nu khukilivuka kwu Damesiki.
18 Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kuonana na Kefa na nilikaa naye siku kumi na tano.
Vugilutile immyakha gidatu nikhatoga ukhuluta kwu Yelusalemu kwu ngendela uKefa, nikhatama nave ifigono kumi na tano
19 Lakini sikumwona mtume mwingine yeyote isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
ukwa sanavavone avavanda avange yumwene uYakobo, ulukololwe va nkolodeva.
20 Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo.
Lola khuvulongolo kwa Nguluve sanisyova ikyu nikwandika khuliumwe.
21 Baadaye nilikwenda sehemu za Syria na Kilikia.
Pu nikhalufa ku mikoa gya Shamu na kwu Kilikia.
22 Lakini mimi binafsi sikujulikana kwa makanisa ya huko Uyahudi yaliyo katika Kristo.
Sanilikuma nyikhikha kumiho ga tembile iya vayuta ugugale mmumbu Klisite,
23 Wao walisikia habari tu kwamba, “Mtu yule ambaye hapo kwanza alikuwa akitutesa sasa anahubiri imani ile ile aliyokuwa akijaribu kuiangamiza.”
valikupulikhe vuvule, “Umwene uvyalikhutu nyanya mikha lino ikhulunchuva ulwidiko lwulwa alikhulu nanga.”
24 Nao wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.
Valikhugina uNguluve.