< Wagalatia 1 >

1 Paulo mtume: si mtume wa wanadamu wala aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu;
Unene ni Paulo mutuung'waa. Unene shanga nimutuung'waa kupuma ku ana adamu ang'wi kukiila ku ana adamu, kuiti kukiila kung'wa Yesu Kristo ni Itunda Tata nai umiukilye kupuma kuashi.
2 na ndugu wote walio pamoja nami: Kwa makanisa ya Galatia:
Palung'wi ni aluna ihi nu nene, kumakilisilya imatekeelo a ku Galatia.
3 Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo,
Ukende utule kilanyu nu ulyuuku nu upembeeye kung'wa Itunda Tata witu nu Mukulu uYesu Kristo.
4 aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. (aiōn g165)
Nai wipumilye mukola kunsoko a milandu itu iti kina akugune ni matungo aya na ubii. Kupuumila nu ulowa nuang'wa Itunda witu hangi Tata. (aiōn g165)
5 Utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
Kitalakwe itule ikulyo i kali na kali. (aiōn g165)
6 Nashangaa kwamba mnamwacha upesi hivyo yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo na kuifuata Injili nyingine,
Ni kenda kuilwa kina mukenda kaya kupilukila mu nkani ninza ingiiza, nienda kuilwa kina mukupilukila kuli kupuma kung'waakwe ng'wenso nai umitangileku ukende nu ang'wa Kristo.
7 ambayo kwa kweli si Injili kamwe, ila kwa dhahiri kuna watu wanaowachanganya na wanaotaka kuipotosha Injili ya Kristo.
Kutili nkani ninza ni ingiiza, kuiti akoli antu ang'wi ni akumusasha unyenye ulwago nu kulowa kukaila nkani ninza ni ang'wa Kristo.
8 Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri Injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo alaaniwe milele!
Kuite ga anga ize usese ang'wi amalaika kupuma kilunde wikatanantya kitalanyu nkani ninza isa nu ulo nai kutanantilye kitalanyu, nu a zung'we.
9 Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu yeyote atawahubiria Injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!
Anga nai kaligitya un'gwandyo, ni itungili kuligitya hangi, ''Anga ize ukoli muntu nuikatanantya kitalanyu inkani ninza isa nizi naza muisingilye, nu azung'we''.
10 Je, sasa mimi ninatafuta kukubaliwa na wanadamu au kukubaliwa na Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa bado najaribu kuwapendeza wanadamu, nisingekuwa mtumishi wa Kristo.
Ku uu itungili kuuduma ukamikiilyi nu a antu ang'wi Itunda? Anga ize nongolekile kugema kualoeelya ana adamu unene shanga ni munyamilimo wang'wa Kristo.
11 Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu.
Muluna, ndoilwe unye mulinge kina nkani ninza naza niitanantilye shanga ipumiie ku ana adamu.
12 Kwa maana mimi sikuipokea hiyo Injili kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa na mtu, bali niliipata kwa ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo.
Shanga ai ni nusingiiye kupuma ku muntu, ang'wi shanga manyisigwe, Badala akwe, ai ituile inge ku ukunukulwa nu ang'wa Yesu Kristo kitalane.
13 Ninyi mmekwisha kusikia juu ya maisha yangu ya zamani nilipokuwa katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kwa nguvu na kujaribu kuliangamiza.
Makonda kija migulya u likalo lane nu la kunyuma mu ikumbiko ni la ki Yahudi, iti nai natuilee kulaja ku utaki ilekeelo lang'wi Itunda kukilinkiila uugemeeligwa nu kulilimilya.
14 Nami niliendelea sana katika dini ya Kiyahudi kuliko Wayahudi wengi wa rika yangu maana nilijitahidi sana katika desturi za baba zangu.
Ai natulaa nongolekile mi ikumbiko ni la Kiyahudi kukiliila i a luna ane idu Ayahudi. Ai natulaa ni kinyangulu lukulu mu logo nu la aTata ane.
15 Lakini ilipompendeza Mungu, aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu na kuniita kwa neema yake,
Ku ite Itunda ai uloeeigwe nu kumbagula unene kupuma mu nda ang'wa ia. Ai unintangile unene kukiila ukende nu akwe.
16 alimdhihirisha Mwanawe kwangu, ili nipate kumhubiri miongoni mwa watu wa Mataifa. Mimi sikushauriana na mwanadamu yeyote,
Kumukaminkiilya ng'wana nu akwe mukati ane ili kina numutanantye ung'wenso mukati a antu nia mahi. Hangi shanga ai ndumile anga usigigwa nu a muili ni sakami.
17 wala sikupanda kwenda Yerusalemu kuwaona hao waliokuwa mitume kabla yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.
Hangi shanga ai nankie kulongola ku Yerusalemu ku awa nai atulaa atung'wa ze ikili une. Badala akwe nikalongola ku Uarabuni ni panyambele kusuka ku Damesiki.
18 Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kuonana na Kefa na nilikaa naye siku kumi na tano.
Uugwa kukila i miaka itaatu ai nankie kulongola ku Yerusalemu kumiumba umbila u Kefa, ni kikie nu ng'wenso mahiku ikumi na ataano.
19 Lakini sikumwona mtume mwingine yeyote isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
Kuiti shanga nikihenga i atung'waa ni auya kwaala Yakobo, muluna nu a Mukulu.
20 Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo.
Goza, ntongeela ang'wa Itunda, shanga kukongela ku iko ni kukikilisa kitalanyu.
21 Baadaye nilikwenda sehemu za Syria na Kilikia.
Uugwa nikalongola ku mikoa a Shamu ni Kilikia.
22 Lakini mimi binafsi sikujulikana kwa makanisa ya huko Uyahudi yaliyo katika Kristo.
Shanga ai ntuile manyikile ku miho ku matekeelo a ku Uyahudi ayo nai atulaa mu ng'wa Kristo.
23 Wao walisikia habari tu kwamba, “Mtu yule ambaye hapo kwanza alikuwa akitutesa sasa anahubiri imani ile ile aliyokuwa akijaribu kuiangamiza.”
Ku iti ai atulaa akigiilya udu, ''Nuanso nai watulaa ukuaja itungili ukutanantya uhuili nai watulaa ukuugazanja''.
24 Nao wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.
Ai atulaa akumulumbiilya Itunda kunsoko ane.

< Wagalatia 1 >