< Wagalatia 1 >
1 Paulo mtume: si mtume wa wanadamu wala aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu;
Bulus nii tomange-kebo nii tomange nobbe kaka tomange ceu bou bo nii kange nin, dila bou Yecu kiritti nin kange Kwama Tee, wo kungum co bwareu-
2 na ndugu wote walio pamoja nami: Kwa makanisa ya Galatia:
Kange yitubbo mine neu gwam, ki bi kur wabero Galatiya:
3 Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo,
Luma Kwamako kumeneu kange dam nerem bo Kwama nin Tēe Teluwe be Yecu Kiritti,
4 aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu. (aiōn )
wo neken neken dorcero ker bwirang kere be ri na ci cēer bo fo ki kaldo bwirko ko wo nineu, ki cwika Kwama kange Teebe, (aiōn )
5 Utukufu una yeye milele na milele. Amen. (aiōn )
duktangka na ca diri. Ati nyo. (aiōn )
6 Nashangaa kwamba mnamwacha upesi hivyo yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo na kuifuata Injili nyingine,
Min nyimang ki dob kako wulom-wulom ko dubom co, wo cuwo kom ki luma nere Yesu. Min nyimangi kambo ko yilaken ti fulen kerero kangeu,
7 ambayo kwa kweli si Injili kamwe, ila kwa dhahiri kuna watu wanaowachanganya na wanaotaka kuipotosha Injili ya Kristo.
Kebo wori fullen kere ro kange wiki dimen dila nubo kangenbo wii buro cwiti naci kungkumen nere di ci cwiti naci kangum fullen kerer Kiritti.
8 Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri Injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo alaaniwe milele!
Dila bwenno nyo kaka nob tomangebo dii Kwamau yikom fullen kerero kangeti kebo wo nyi yikome ri cilkako a bwang cinen ten.
9 Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu yeyote atawahubiria Injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!
Nawo nyi yi kom fiya ceu, yila ma yikom ti nawo tak, “Tano kange yikom fullen kerer Kwamar ki dimen kange wo kom yowe ri ca yilam wo cilim cileu.”
10 Je, sasa mimi ninatafuta kukubaliwa na wanadamu au kukubaliwa na Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa bado najaribu kuwapendeza wanadamu, nisingekuwa mtumishi wa Kristo.
La miki do nan fiya ciyaka fiye nubo wiye kakaa Kwama nin ka? La miki do ciyaka fiye nubo wiye ka? No naeu duwal mado nami fiya ciyaka fiye nubo wiyeri, mike bo bwe canga Kiristi.
11 Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu.
Wori ma cwiti ko nyimom, keb-mibbo, kom ki fulen kerero wo ma tok tiyeu kebo fulen kerer niir.
12 Kwa maana mimi sikuipokea hiyo Injili kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa na mtu, bali niliipata kwa ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo.
Ma yobo kange nii nin, kakaa cii merang men merang. Nyori, mor dukume Yecu Kiritti bou minene.
13 Ninyi mmekwisha kusikia juu ya maisha yangu ya zamani nilipokuwa katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kwa nguvu na kujaribu kuliangamiza.
Kom nuwam ker dor yime miu fiya cuwo ma bwangten dām Yahudawam bo tiyeu, kambo mane nob bwangka Kwama dotange ti cum bi kwaneu kange kambo ma cwi nami yālangum cii yeu.
14 Nami niliendelea sana katika dini ya Kiyahudi kuliko Wayahudi wengi wa rika yangu maana nilijitahidi sana katika desturi za baba zangu.
Min ya kaba mor yim Yahudawam bo nin min la kalti miro, duce mor nubo lomeu. Min wiki kor nere ro Cuum bi kwaneu ker bwangka yimer teb mibo.
15 Lakini ilipompendeza Mungu, aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu na kuniita kwa neema yake,
Dila kambo Kwama, wo cok ye fiyaco mi fwer nee mireu, kange co wo cuwo ye mor luma nere ceke,
16 alimdhihirisha Mwanawe kwangu, ili nipate kumhubiri miongoni mwa watu wa Mataifa. Mimi sikushauriana na mwanadamu yeyote,
Cin ciya cin nung men bibwece nami yi nubo kumtacilieu ker cer, fiyaco dangcang ma dobo nyomka nii ki nange kange bwiyale nin.
17 wala sikupanda kwenda Yerusalemu kuwaona hao waliokuwa mitume kabla yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.
Ma yabo Urusalima nubo buro yilam ten nob tomangeb Kwama minene nin. Nyori min yaken Arabia nimde ma yila ken Dimaska.
18 Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kuonana na Kefa na nilikaa naye siku kumi na tano.
La kambo coro ta'ar cumeri min yaken Urusalima nami fiya nyomka Kefas se, min yi kange co kume Kwob cilombo nung.
19 Lakini sikumwona mtume mwingine yeyote isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.
La ma tobo kange wiin wo mor tangnum nob tomange no kebo ka Yakubu, yi Tee-luwebe Yecu ri.
20 Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo.
Mor dikero ma mulang kime neu, mayi kom ti kabum Kwama kebo cwerke ma cwer tiye.
21 Baadaye nilikwenda sehemu za Syria na Kilikia.
Dila min yaken biten Suriya kange Kilikiya.
22 Lakini mimi binafsi sikujulikana kwa makanisa ya huko Uyahudi yaliyo katika Kristo.
Duwal kange ci nyom ye bo tikom mor nubo nebilenke Kiritti nin Yahudiya.
23 Wao walisikia habari tu kwamba, “Mtu yule ambaye hapo kwanza alikuwa akitutesa sasa anahubiri imani ile ile aliyokuwa akijaribu kuiangamiza.”
Ciki nuwa nubo ki toki,”nii wo no fiyaco nēbo dotange nyeu, naweu yila ne fullen ker bilenkero no fiyaco ci cwi naci kangum me ti.”
24 Nao wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.
La ciin duktang kwama ker miir.