< Ezra 1 >

1 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la Bwana lililosemwa na nabii Yeremia, Bwana aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:
Iti umuna a tawen a panagturay ni Cyrus a kas ari iti Persia, tinungpal ni Yahweh ti saona a nagtaud iti ngiwat ni Jeremias, ken tinignayna ti espiritu ni Cyrus. Naiwaragawag ti sao ni Cyrus iti entero a pagarianna. Kastoy ti naisurat ken naisao:
2 “Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi: “‘Bwana, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda.
“Kinuna ni Cyrus nga ari ti Persia: Ni Yahweh a Dios ti Langit ti nangted kaniak kadagiti amin a pagarian iti daga ket dinutokannak a mangibangon iti balayna a maipaay kenkuana idiay Jerusalem iti Judea.
3 Yeyote wa watu wake miongoni mwenu, Mungu wake na awe pamoja naye, wacha apande kwenda Yerusalemu katika Yuda na kujenga Hekalu la Bwana, Mungu wa Israeli, Mungu aliyeko huko Yerusalemu.
Siasinoman kadakayo ti nagtaud kadagiti tattaona, ti Diosna koma ti makikadua kenkuana tapno makaapan isuna idiay Jerusalem a mangbangon iti balay ni Yahweh a Dios ti Israel, nga isu ti Dios ti Jerusalem.
4 Nao watu wa mahali popote wale walionusurika wanapoishi sasa, watu hao wampe fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, mbali na sadaka za hiari kwa ajili ya Hekalu la Mungu huko Yerusalemu.’”
Dagiti tattao iti sadinoman a paset iti pagarian a pagnanaedan dagiti nakalasat iti dayta a daga ket masapul a mangipaayda kadakuada iti pirak ken balitok, sanikua ken ay-ayup, ken maysa a sagut a maidatag iti balay ti Dios idiay Jerusalem.”Kasapulan a mangipaay
5 Kisha viongozi wa jamaa ya Yuda na Benyamini na makuhani na Walawi kila mmoja ambaye moyo wake ulisukumwa na Mungu, akajiandaa kupanda ili kuijenga nyumba ya Bwana huko Yerusalemu.
Kalpasanna, nagrubuat dagiti pangulo kadagiti puli dagiti kapuonan ti Juda ken Benjamin, dagiti papadi ken dagiti Levita, ken dagiti amin a tinignay ti Dios ti espirituna a mapan mangbangon iti balayna.
6 Majirani zao wote wakawasaidia vyombo vya fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, pia na zawadi za thamani, pamoja na sadaka zote za hiari.
Timmulong kadagiti trabahoda dagiti tattao iti aglawlawda babaen kadagiti pirak ken balitok a banbanag, sanikua, ay-ayup, ken napateg a banbanag ken naimpusoan a sagut.
7 Zaidi ya hayo, Mfalme Koreshi akavitoa vyombo vilivyokuwa mali ya Hekalu la Bwana, ambavyo Nebukadneza alikuwa amevichukua kutoka Yerusalemu na kuviweka katika hekalu la mungu wake.
Insubli pay ni Ari Cyrus dagiti banbanag nga innala idi ni Nebucadnesar a maus-usar iti balay ni Yahweh idiay Jerusalem ken inkabilna iti balay dagiti didiosna.
8 Koreshi mfalme wa Uajemi akavitoa kwa mkono wa Mithredathi mtunza hazina, aliyevihesabu mbele ya Sheshbaza mkuu wa Yuda.
Inyawat dagitoy ni Cyrus kenni Mitredat a tesorero a nangbilang kadagitoy para kenni Sesbasar a pangulo ti Judea.
9 Hii ilikuwa ndio orodha ya vifaa: masinia ya dhahabu yalikuwa 30 masinia ya fedha yalikuwa 1,000 vyetezo vya fedha vilikuwa 29
Daytoy ti bilang dagitoy: Tallopulo a balitok a palanggana, sangaribo a pirak a palanggana, duapulo ket siam a sabali pay a palanggana,
10 mabakuli ya dhahabu yalikuwa 30 mabakuli ya fedha yanayofanana yalikuwa 410 vifaa vingine vilikuwa 1,000.
tallopulo a balitok a mallukong, 410 a babassit a mallukong a pirak ken sangaribo a dadduma pay a banbanag.
11 Kwa ujumla, kulikuwa na vyombo 5,400 vya dhahabu na vya fedha. Sheshbaza akavileta hivi vyote wakati watu walipotoka uhamishoni Babeli kwenda Yerusalemu.
Agdagup amin iti 5, 400 a balitok ken pirak nga alikamen. Intugot amin dagitoy ni Sesbasar idi nagsubli idiay Jerusalem dagiti naipanaw a kas balud manipud Babilonia.

< Ezra 1 >