< Ezra 8 >

1 Hawa ndio viongozi wa jamaa pamoja na wale walioandikwa ambao walikuja pamoja nami kutoka Babeli wakati wa utawala wa Mfalme Artashasta:
A cić są przedniejsi z domów swych ojcowskich, i ród tych, którzy wyszli zemną z Babilonu za królowania króla Artakserksesa:
2 wa wazao wa Finehasi, alikuwa Gershoni; wa wazao wa Ithamari, alikuwa Danieli; wa wazao wa Daudi, alikuwa Hatushi
Z synów Fineaszowych Gierson; z synów Itamarowych Danijel; z synów Dawidowych Hattus;
3 wa wazao wa Shekania; wa wazao wa Paroshi, alikuwa Zekaria, na watu 150 walioandikishwa pamoja naye;
Z synów Sechanijaszowych, który był z synów Faresowych, Zacharyjasz, a z nim poczet mężów sto i pięćdziesiąt;
4 wa wazao wa Pahath-Moabu, alikuwa Eliehoenai mwana wa Zerahia na wanaume 200 pamoja naye;
Z synów Pachatmoabowych Elijeoenaj, syn Zerachyjaszowy, a z nim dwieście mężów;
5 wa wazao wa Zatu, alikuwa Shekania mwana wa Yahazieli na wanaume 300 pamoja naye;
Z synów Sechanijaszowych syn Jahazyjelowy, a z nim trzy sta mężów;
6 wa wazao wa Adini, alikuwa Ebedi mwana wa Yonathani na wanaume 50 pamoja naye;
A z synów Adynowych Ebed, syn Jonatana, a z nim pięćdziesiąt mężów;
7 wa wazao wa Elamu, alikuwa Yeshaya mwana wa Athalia, na wanaume 70 pamoja naye;
A z synów Elamowych Isajasz, syn Atalijasza, a z nim siedmdziesiąt mężów;
8 wa wazao wa Shefatia, alikuwa Zebadia mwana wa Mikaeli na wanaume 80 pamoja naye;
A z synów Sefatyjaszowych Zabadyjasz, syn Michaelowy, a z nim ośmdziesiąt mężów;
9 wa wazao wa Yoabu, alikuwa Obadia mwana wa Yehieli na wanaume 218 pamoja naye;
Z synów Joabowych Obadyjasz, syn Jechyjelowy, a z nim dwieście i ośmnaście mężów;
10 wa wazao wa Bani, alikuwa Shelomithi mwana wa Yosifia na wanaume 160 pamoja naye;
A z synów Selomitowych, syn Josyfijaszowy, a z nim sto i sześćdziesiąt mężów;
11 wa wazao wa Bebai, alikuwa Zekaria mwana wa Bebai na wanaume 28 pamoja naye;
A z synów Bebajowych Zacharyjasz, syn Bebajowy, a z nim dwadzieścia i ośm mężów;
12 wa wazao wa Azgadi, alikuwa Yohanani mwana wa Hakatani na wanaume 110 pamoja naye;
A z synów Azgadowych Johanan, syn Hakatanowy, a z nim sto i dziesięć mężów;
13 wa wazao wa Adonikamu, hawa walikuwa wa mwisho ambao majina yao ni Elifeleti, Yeueli, Shemaya na wanaume 60 pamoja nao;
A z synów Adonikamowych najostateczniejszych, których te są imiona: Elifelet, Jehijel, i Semejasz, a z nimi sześdziesiąt mężów,
14 wa wazao wa Bigwai, walikuwa Uthai na Zakuri na wanaume 70 pamoja nao.
A z synów Bigwajowych Utaj i Zabud, a z nimi siedmdziesiąt mężów;
15 Niliwakusanya kwenye mto utiririkao kuelekea Ahava, nasi tukapiga kambi pale siku tatu. Wakati nilipokagua kati ya watu na makuhani, sikuwapata Walawi.
A tak zgromadziłem ich do rzeki, która wpada do Achawy, i leżeliśmy tam obozem przez trzy dni: potem przeglądałem lud i kapłanów, a z synów Lewiego nie znalazłem tam żadnego.
16 Basi niliwaita Eliezeri, Arieli, Shemaya, Elnathani, Yaribu, Elnathani, Nathani, Zekaria na Meshulamu waliokuwa viongozi na Yoyaribu na Elnathani waliokuwa wasomi,
Przetoż posłałem Elijezera, Aryjela, Semejasza, i Elnatana, i Jaryba, i Elnatana i Natana, i Zacharyjasza, i Mesullama, przedniejszych, i Jojaryba, i Elnatana, mężów uczonych;
17 nikawatuma kwa Ido kiongozi huko Kasifia. Niliwaambia watakayomwambia Ido na ndugu zake, watumishi wa Hekalu huko Kasifia, ili waweze kutuletea wahudumu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.
I rozkazałem im do Iddona, przełożonego nad miejscem Kasyfii, i włożyłem w usta ich słowa, które mieli mówić do Iddona, Achywa i Netynejczyków na miejscu Kasyfii, aby nam przywiedli sług do domu Boga naszego.
18 Kwa sababu mkono wa neema wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, walituletea Sherebia, mtu mwenye uwezo kutoka wazao wa Mahli mwana wa Lawi, mwana wa Israeli, na wana wa Sherebia pamoja na ndugu zao wanaume kumi na wanane.
I przywiedli nam według ręki Boga naszego łaskawej nad nami, męża nauczonego z synów Maheli, syna Lewiego, syna Izraelowego, i Serebijasza, i synów jego, i braci jego ośmnaście;
19 Naye Hashabia, pamoja na Yeshaya kutoka wazao wa Merari na ndugu zake na wapwa wake wanaume ishirini.
I Hasabijasza, a z nim Jesajasza z synów Merarego, braci jego, i synów ich dwadzieścia;
20 Vilevile walileta watumishi wa Hekalu 220, kikundi ambacho Daudi na maafisa walikuwa wamekiweka kusaidia Walawi. Wote walikuwa wameorodheshwa kwa majina.
Nadto z Netynejczyków, których był postanowił Dawid i przedniejsi ku posłudze Lewitów, Netynejczyków dwieście i dwadzieścia; ci wszyscy z imienia mianowani byli.
21 Kando ya Mto Ahava, hapo nilitangaza kufunga, ili tujinyenyekeshe mbele za Mungu wetu na kumwomba kwa ajili ya kutujalia safari ya amani sisi na watoto wetu, pamoja na mali zetu zote.
Tedym tam zapowiedział post u rzeki Achawy, abyśmy się dręczyli przed Bogiem naszym, a szukali od niego drogi prostej sobie, i dziatkom naszym, i wszystkiej majętności naszej.
22 Niliona aibu kumwomba mfalme askari na wapanda farasi wa kutulinda njiani kutokana na adui zetu, kwa sababu tulikwisha kumwambia mfalme, “Mkono wa neema wa Mungu wetu uko juu ya kila mmoja anayemtafuta, lakini hasira yake kubwa ni dhidi ya wote wamwachao.”
Bom się wstydził prosić u króla o jaki poczet jezdnych, aby nam byli na pomocy przeciwko nieprzyjaciołom w drodze; bośmy byli powiedzieli królowi, mówiąc: Ręka Boga naszego jest nad wszystkimi, którzy go szukają uprzejmie, ale moc jego i popędliw ość jego przeciwko wszystkim, którzy go opuszczają.
23 Kwa hiyo tulifunga na kumwomba Mungu wetu kuhusu jambo hili, naye akajibu maombi yetu.
A gdyśmy pościli, i prosiliśmy o to Boga naszego, wysłuchał nas.
24 Kisha niliwatenga viongozi wa makuhani kumi na wawili, pamoja na Sherebia, Hashabia na ndugu zao kumi,
Tedym odłączył z przedniejszych kapłanów dwanaście: Serebijasza, Hasabijasza, a z nimi braci ich dziesięć;
25 nami nikawapimia fedha, dhahabu na vifaa ambavyo mfalme, washauri wake, maafisa wake na Israeli wote waliokuwepo walikuwa wamevitoa sadaka kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.
I odważyłem im srebro, i złoto, i naczynia na ofiarę podnoszenia do domu Boga naszego, które ofiarowali król i rada jego, i książęta jego, i wszystek lud Izraelski, ile się go znalazło.
26 Niliwapimia talanta 650 za fedha, vifaa vingine vya fedha vya uzito wa talanta mia moja, talanta mia moja za dhahabu,
Odważyłem, mówię do rąk ich srebra talentów sześćset i pięćdziesiąt, a naczynia srebrnego sto talentów, przytem złota sto talentów.
27 mabakuli ishirini ya dhahabu ya thamani ya darkoni elfu moja, na vyombo viwili vya shaba iliyosuguliwa, ya thamani kama dhahabu.
Czasz też złotych dwadzieścia, ważących po tysiąc łótów, a dwa naczynia z mosiądzu wybornego, tak piękne jako złoto.
28 Niliwaambia, “Ninyi pamoja na vyombo hivi ni wakfu kwa Bwana. Fedha na dhahabu ni sadaka ya hiari kwa Bwana, Mungu wa baba zenu.
Potemem rzekł do nich: Wyście poświęceni Panu, i naczynia także poświęcone, a to srebro i to złoto dobrowolnie ofiarowane jest Panu, Bogu ojców waszych.
29 Vilindeni kwa uangalifu mpaka mtakapovipima ndani ya vyumba vya nyumba ya Bwana katika Yerusalemu mbele ya makuhani, viongozi na Walawi pamoja na wakuu wa jamaa za Israeli.”
Pilnujcież a strzeżcie, aż to odważycie przed kapłanami przedniejszymi, i Lewitami, i książętami z domów ojcowskich w Izraelu w Jeruzalemie, w gmachach domu Pańskiego.
30 Ndipo makuhani na Walawi wakapokea fedha, dhahabu na vyombo vilivyowekwa wakfu ambavyo vilipimwa na kupelekwa katika nyumba ya Mungu wetu mjini Yerusalemu.
A tak wzięli kapłani i Lewitowie wagę onego srebra, i złota, i naczynia, aby je odnieśli do Jeruzalemu, do domu Boga naszego.
31 Tulianza safari kutoka Mto Ahava kwenda Yerusalemu kwenye siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kwanza. Mkono wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, naye njiani alitulinda dhidi ya adui na wanyangʼanyi.
Zatem ruszyliśmy się od rzeki Achawy dwunastego dnia, miesiąca pierwszego, abyśmy szli do Jeruzalemu; a ręka Boga naszego była nad nami, i wyrwała nas z ręki nieprzyjaciela i czyhającego na nas w drodze.
32 Kwa hiyo tuliwasili Yerusalemu ambapo tulipumzika kwa siku tatu.
I przyszliśmy do Jeruzalemu, i zamieszkaliśmy tam przez trzy dni.
33 Katika siku ya nne, ndani ya nyumba ya Mungu wetu, tulipima fedha, dhahabu na vyombo vilivyowekwa wakfu, tukakabidhi mikononi mwa kuhani Meremothi mwana wa Uria. Eleazari mwana wa Finehasi alikuwa pamoja naye, pia walikuwako Walawi wawili, Yozabadi mwana wa Yeshua na Noadia mwana wa Binui.
A dnia czwartego odważono srebro, i złoto, i naczynie ono w domu Boga naszego do ręki Meremota, syna Uryjasza kapłana, z którym był Eleazar, syn Fineesowy; z nimi też byli Josabad, syn Jesuego, i Noadyjasz, syn Binnujego, Lewitowie;
34 Kila kitu kilihesabiwa kwa idadi na kupimwa kwa uzito, nao uzito wote uliandikwa wakati ule.
Pod liczbą i wagą wszystko, i zapisano wagę tego wszystkiego onegoż czasu.
35 Kisha mateka waliokuwa wamerudi kutoka utumwani wakatoa sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa Mungu wa Israeli: mafahali kumi na wawili kwa ajili ya Israeli wote, kondoo dume tisini na sita, wana-kondoo sabini na saba na mbuzi dume kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi. Hii yote ilikuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto kwa Bwana.
Wróciwszy się tedy z niewoli ci, którzy byli w pojmaniu, ofiarowali Bogu Izraelskiemu cielców dwanaście za wszystkiego Izraela, baranów dziewięćdziesiąt i sześć, baranków siedmdziesiąt i siedm, kozłów za grzech dwanaście, to wszystko na całopalenie Panu.
36 Pia walikabidhi manaibu wa mfalme na watawala wa Ngʼambo ya Mto Frati maagizo ya mfalme, ambao baadaye walitoa msaada kwa watu na kwa nyumba ya Mungu.
I oddali wyroki królewskie starostom królewskim, i książętom za rzeką, a ci byli pomocą ludowi i domowi Bożemu.

< Ezra 8 >