< Ezra 8 >

1 Hawa ndio viongozi wa jamaa pamoja na wale walioandikwa ambao walikuja pamoja nami kutoka Babeli wakati wa utawala wa Mfalme Artashasta:
and these head: leader father their and to enroll they [the] to ascend: rise with me in/on/with royalty Artaxerxes [the] king from Babylon
2 wa wazao wa Finehasi, alikuwa Gershoni; wa wazao wa Ithamari, alikuwa Danieli; wa wazao wa Daudi, alikuwa Hatushi
from son: descendant/people Phinehas Gershom from son: descendant/people Ithamar Daniel from son: descendant/people David Hattush
3 wa wazao wa Shekania; wa wazao wa Paroshi, alikuwa Zekaria, na watu 150 walioandikishwa pamoja naye;
from son: descendant/people Shecaniah from son: descendant/people Parosh Zechariah and with him to enroll to/for male hundred and fifty
4 wa wazao wa Pahath-Moabu, alikuwa Eliehoenai mwana wa Zerahia na wanaume 200 pamoja naye;
from son: descendant/people Pahath-moab Pahath-moab Eliehoenai son: descendant/people Zerahiah and with him hundred [the] male
5 wa wazao wa Zatu, alikuwa Shekania mwana wa Yahazieli na wanaume 300 pamoja naye;
from son: descendant/people (Zattu *X*) Shecaniah son: child Jahaziel and with him three hundred [the] male
6 wa wazao wa Adini, alikuwa Ebedi mwana wa Yonathani na wanaume 50 pamoja naye;
and from son: descendant/people Adin Ebed son: child Jonathan and with him fifty [the] male
7 wa wazao wa Elamu, alikuwa Yeshaya mwana wa Athalia, na wanaume 70 pamoja naye;
and from son: descendant/people Elam Jeshaiah son: child Athaliah and with him seventy [the] male
8 wa wazao wa Shefatia, alikuwa Zebadia mwana wa Mikaeli na wanaume 80 pamoja naye;
and from son: descendant/people Shephatiah Zebadiah son: child Michael and with him eighty [the] male
9 wa wazao wa Yoabu, alikuwa Obadia mwana wa Yehieli na wanaume 218 pamoja naye;
from son: descendant/people Joab Obadiah son: child Jehiel and with him hundred and eight ten [the] male
10 wa wazao wa Bani, alikuwa Shelomithi mwana wa Yosifia na wanaume 160 pamoja naye;
and from son: descendant/people (Bani *X*) Shelomith son: descendant/people Josiphiah and with him hundred and sixty [the] male
11 wa wazao wa Bebai, alikuwa Zekaria mwana wa Bebai na wanaume 28 pamoja naye;
and from son: descendant/people Bebai Zechariah son: descendant/people Bebai and with him twenty and eight [the] male
12 wa wazao wa Azgadi, alikuwa Yohanani mwana wa Hakatani na wanaume 110 pamoja naye;
and from son: descendant/people Azgad Johanan son: descendant/people Hakkatan and with him hundred and ten [the] male
13 wa wazao wa Adonikamu, hawa walikuwa wa mwisho ambao majina yao ni Elifeleti, Yeueli, Shemaya na wanaume 60 pamoja nao;
and from son: descendant/people Adonikam last and these name their Eliphelet Jeuel and Shemaiah and with them sixty [the] male
14 wa wazao wa Bigwai, walikuwa Uthai na Zakuri na wanaume 70 pamoja nao.
and from son: descendant/people Bigvai Uthai (and Zaccur *Q(K)*) and with him seventy [the] male
15 Niliwakusanya kwenye mto utiririkao kuelekea Ahava, nasi tukapiga kambi pale siku tatu. Wakati nilipokagua kati ya watu na makuhani, sikuwapata Walawi.
and to gather them to(wards) [the] river [the] to come (in): come to(wards) Ahava and to camp there day three and to understand [emph?] in/on/with people and in/on/with priest and from son: descendant/people Levi not to find there
16 Basi niliwaita Eliezeri, Arieli, Shemaya, Elnathani, Yaribu, Elnathani, Nathani, Zekaria na Meshulamu waliokuwa viongozi na Yoyaribu na Elnathani waliokuwa wasomi,
and to send: depart [emph?] to/for Eliezer to/for Ariel to/for Shemaiah and to/for Elnathan and to/for Jarib and to/for Elnathan and to/for Nathan and to/for Zechariah and to/for Meshullam head: leader and to/for Joiarib and to/for Elnathan to understand
17 nikawatuma kwa Ido kiongozi huko Kasifia. Niliwaambia watakayomwambia Ido na ndugu zake, watumishi wa Hekalu huko Kasifia, ili waweze kutuletea wahudumu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.
(and to command *Q(K)*) [obj] them upon Iddo [the] head: leader in/on/with Casiphia [the] place and to set: put [emph?] in/on/with lip their word: speaking to/for to speak: speak to(wards) Iddo brother: male-sibling his ([the] temple servant *Q(K)*) in/on/with Casiphia [the] place to/for to come (in): bring to/for us to minister to/for house: temple God our
18 Kwa sababu mkono wa neema wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, walituletea Sherebia, mtu mwenye uwezo kutoka wazao wa Mahli mwana wa Lawi, mwana wa Israeli, na wana wa Sherebia pamoja na ndugu zao wanaume kumi na wanane.
and to come (in): bring to/for us like/as hand: power God our [the] pleasant upon us man understanding from son: descendant/people Mahli son: child Levi son: child Israel and Sherebiah and son: descendant/people his and brother: male-relative his eight ten
19 Naye Hashabia, pamoja na Yeshaya kutoka wazao wa Merari na ndugu zake na wapwa wake wanaume ishirini.
and [obj] Hashabiah and with him Jeshaiah from son: descendant/people Merari brother: male-relative his and son: descendant/people their twenty
20 Vilevile walileta watumishi wa Hekalu 220, kikundi ambacho Daudi na maafisa walikuwa wamekiweka kusaidia Walawi. Wote walikuwa wameorodheshwa kwa majina.
and from [the] temple servant which/that to give: put David and [the] ruler to/for service: ministry [the] Levi temple servant hundred and twenty all their to pierce in/on/with name
21 Kando ya Mto Ahava, hapo nilitangaza kufunga, ili tujinyenyekeshe mbele za Mungu wetu na kumwomba kwa ajili ya kutujalia safari ya amani sisi na watoto wetu, pamoja na mali zetu zote.
and to call: call out there fast upon [the] river Ahava to/for to afflict to/for face: before God our to/for to seek from him way: journey upright to/for us and to/for child our and to/for all property our
22 Niliona aibu kumwomba mfalme askari na wapanda farasi wa kutulinda njiani kutokana na adui zetu, kwa sababu tulikwisha kumwambia mfalme, “Mkono wa neema wa Mungu wetu uko juu ya kila mmoja anayemtafuta, lakini hasira yake kubwa ni dhidi ya wote wamwachao.”
for be ashamed to/for to ask from [the] king strength: soldiers and horseman to/for to help us from enemy in/on/with way: journey for to say to/for king to/for to say hand: power God our upon all to seek him to/for welfare and strength his and face: anger his upon all to leave: forsake him
23 Kwa hiyo tulifunga na kumwomba Mungu wetu kuhusu jambo hili, naye akajibu maombi yetu.
and to fast [emph?] and to seek [emph?] from God our upon this and to pray to/for us
24 Kisha niliwatenga viongozi wa makuhani kumi na wawili, pamoja na Sherebia, Hashabia na ndugu zao kumi,
and to separate [emph?] from ruler [the] priest two ten to/for Sherebiah Hashabiah and with them from brother: male-relative their ten
25 nami nikawapimia fedha, dhahabu na vifaa ambavyo mfalme, washauri wake, maafisa wake na Israeli wote waliokuwepo walikuwa wamevitoa sadaka kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.
(and to weigh [emph?] *Q(k)*) to/for them [obj] [the] silver: money and [obj] [the] gold and [obj] [the] article/utensil contribution house: temple God our [the] to exalt [the] king and to advise him and ruler his and all Israel [the] to find
26 Niliwapimia talanta 650 za fedha, vifaa vingine vya fedha vya uzito wa talanta mia moja, talanta mia moja za dhahabu,
and to weigh [emph?] upon hand their silver: money talent six hundred and fifty and article/utensil silver: money hundred to/for talent gold hundred talent
27 mabakuli ishirini ya dhahabu ya thamani ya darkoni elfu moja, na vyombo viwili vya shaba iliyosuguliwa, ya thamani kama dhahabu.
and bowl gold twenty to/for dram thousand and article/utensil bronze to gleam pleasant two precious thing like/as gold
28 Niliwaambia, “Ninyi pamoja na vyombo hivi ni wakfu kwa Bwana. Fedha na dhahabu ni sadaka ya hiari kwa Bwana, Mungu wa baba zenu.
and to say [emph?] to(wards) them you(m. p.) holiness to/for LORD and [the] article/utensil holiness and [the] silver: money and [the] gold voluntariness to/for LORD God father your
29 Vilindeni kwa uangalifu mpaka mtakapovipima ndani ya vyumba vya nyumba ya Bwana katika Yerusalemu mbele ya makuhani, viongozi na Walawi pamoja na wakuu wa jamaa za Israeli.”
to watch and to keep: guard till to weigh to/for face: before ruler [the] priest and [the] Levi and ruler [the] father to/for Israel in/on/with Jerusalem [the] chamber house: temple LORD
30 Ndipo makuhani na Walawi wakapokea fedha, dhahabu na vyombo vilivyowekwa wakfu ambavyo vilipimwa na kupelekwa katika nyumba ya Mungu wetu mjini Yerusalemu.
and to receive [the] priest and [the] Levi weight [the] silver: money and [the] gold and [the] article/utensil to/for to come (in): bring to/for Jerusalem to/for house: temple God our
31 Tulianza safari kutoka Mto Ahava kwenda Yerusalemu kwenye siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kwanza. Mkono wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, naye njiani alitulinda dhidi ya adui na wanyangʼanyi.
and to set out [emph?] from river Ahava in/on/with two ten to/for month [the] first to/for to go: went Jerusalem and hand: power God our to be upon us and to rescue us from palm enemy and to ambush upon [the] way: journey
32 Kwa hiyo tuliwasili Yerusalemu ambapo tulipumzika kwa siku tatu.
and to come (in): come Jerusalem and to dwell there day three
33 Katika siku ya nne, ndani ya nyumba ya Mungu wetu, tulipima fedha, dhahabu na vyombo vilivyowekwa wakfu, tukakabidhi mikononi mwa kuhani Meremothi mwana wa Uria. Eleazari mwana wa Finehasi alikuwa pamoja naye, pia walikuwako Walawi wawili, Yozabadi mwana wa Yeshua na Noadia mwana wa Binui.
and in/on/with day [the] fourth to weigh [the] silver: money and [the] gold and [the] article/utensil in/on/with house: temple God our upon hand: power Meremoth son: child Uriah [the] priest and with him Eleazar son: child Phinehas and with them Jozabad son: child Jeshua and Noadiah son: child Binnui [the] Levi
34 Kila kitu kilihesabiwa kwa idadi na kupimwa kwa uzito, nao uzito wote uliandikwa wakati ule.
in/on/with number in/on/with weight to/for all and to write all [the] weight in/on/with time [the] he/she/it
35 Kisha mateka waliokuwa wamerudi kutoka utumwani wakatoa sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa Mungu wa Israeli: mafahali kumi na wawili kwa ajili ya Israeli wote, kondoo dume tisini na sita, wana-kondoo sabini na saba na mbuzi dume kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi. Hii yote ilikuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto kwa Bwana.
[the] to come (in): come from [the] captivity son: type of [the] captivity to present: bring burnt offering to/for God Israel bullock two ten upon all Israel ram ninety and six lamb seventy and seven male goat sin: sin offering two ten [the] all burnt offering to/for LORD
36 Pia walikabidhi manaibu wa mfalme na watawala wa Ngʼambo ya Mto Frati maagizo ya mfalme, ambao baadaye walitoa msaada kwa watu na kwa nyumba ya Mungu.
and to give: give [obj] law [the] king to/for satrap [the] king and governor side: beside [the] River and to lift: aid [obj] [the] people and [obj] house: temple [the] God

< Ezra 8 >