< Ezra 6 >

1 Kisha Mfalme Dario alitoa amri, nao wakafanya uchunguzi katika kumbukumbu zilizohifadhiwa katika hazina huko Babeli.
Ouinge Tokosra Fulat Darius el sapkin in sukok in ma simla ke sramsram matu su karinginyuk in acn Babylon.
2 Karatasi moja ndefu ya maandishi ilipatikana huko Ekbatana katika jimbo la Umedi. Haya ndiyo yaliyokuwa yameandikwa humo: Kumbukumbu:
Tusruk, koneyukyak sie limlim in ma simusla in siti Ecbatana in acn Media, ma fahk ouinge:
3 Katika mwaka wa kwanza wa kutawala Mfalme Koreshi, mfalme alitoa amri kuhusu Hekalu la Mungu katika Yerusalemu: Hekalu na lijengwe tena mahali palepale Wayahudi walipokuwa wakitoa dhabihu, kwenye msingi ule ule. Iwe na kimo cha mikono sitini, upana wa mikono sitini,
“In yac se meet ke Tokosra Cyrus el mutawauk in Tokosra Fulat, el sapkin tuh Tempul Jerusalem in sifil musaiyuk tuh in sie acn mwet uh ku in sang mwe sang lalos ac kisakin mwe kisa lalos we. Tempul sac in fit eungoul fulata ac fit eungoul sralupa.
4 kuta zijengwe kwa safu tatu za mawe makubwa kisha ifuate safu moja ya mbao. Gharama zitalipwa kutoka hazina ya mfalme.
Musaiyen sinka uh in ouinge: fwilin sak se in oan fin fwilin eot tolu nukewa. Molin ma nukewa ac fah akfalyeyuk ke nien mani lun tokosra.
5 Pia, vyombo vya dhahabu na vya fedha vya nyumba ya Mungu, ambavyo Nebukadneza alivichukua kutoka kwenye Hekalu huko Yerusalemu akavileta Babeli, yapasa virudishwe mahali pake ndani ya Hekalu huko Yerusalemu, yapasa viwekwe ndani ya nyumba ya Mungu.
Oayapa ahlu gold ac silver nukewa ma Tokosra Nebuchadnezzar el tuh use nu Babylon liki Tempul Jerusalem ac folokinyukla nu yen fal in oan we in Tempul Jerusalem.”
6 Sasa basi, Tatenai, mtawala wa Ngʼambo ya Mto Frati na Shethar-Bozenai pamoja na ninyi, maafisa wenzao wa jimbo hilo kaeni mbali na mahali hapo.
Na Tokosra Fulat Darius el supwala topuk lal ouinge: “Nu sum, Tattenai, governor lun acn Roto-in-Euphrates, ac Shethar Bozenai ac mwet pwapa wiowos in acn Roto-in-Euphrates. “Kowos tuyak liki Tempul sacn
7 Msiingilie kazi ya Hekalu hili la Mungu. Mwacheni mtawala wa Wayahudi na viongozi Wayahudi wajenge upya nyumba hii ya Mungu mahali pake.
ac nimet lusrong orekma kac an. Fuhlela governor lun Judah ac mwet kol lun mwet Jew in sifil musai Tempul lun God in acn na ma oan we meet ah.
8 Zaidi ya hayo, hapa natoa amri kuhusu mtakalofanya kwa ajili ya wazee wa Wayahudi katika ujenzi wa nyumba hii ya Mungu: Gharama za watu hawa zitalipwa kikamilifu kutoka hazina ya mfalme, kutoka kwenye mapato ya Ngʼambo ya Mto Frati, ili ujenzi usisimame.
Inge, nga sapkin nu suwos tuh kowos in kasrelos sifil musaela. Molin ma ac orekmakinyuk an in sa na molla, ac in tuku ke mani lun tokosra, su ac itukla ke tax lun Roto-in-Euphrates, tuh orekma sacn in tia lusrongyukla.
9 Chochote kinachohitajika kama mafahali wachanga, kondoo dume, wana-kondoo kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa Mungu wa mbinguni, ngano, chumvi, divai na mafuta kama vitakavyohitajika na makuhani huko Yerusalemu, lazima wapewe kila siku pasipo kukosa,
Len nu len kowos in aklohya in sang nu sin mwet tol in Jerusalem kutena ma elos fahk mu elos enenu: oana cow mukul fusr, ku sheep, ku sheep fusr mwe orek kisa firir nu sin God lun Kusrao, ku flao, sohl, wain ku oil in olive.
10 ili waweze kutoa dhabihu inayompendeza Mungu wa mbinguni na kumwombea mfalme na wanawe hali njema.
Ma inge in orek tuh elos in ku in sang mwe kisa ma fal nu sin God lun Kusrao, ac elos in pre tuh Elan akinsewowoyeyu oayapa wen nutik.
11 Zaidi ya hayo, ninaamuru kwamba mtu yeyote atakayebadilisha amri hii, boriti itangʼolewa kutoka nyumba yake, ichongwe upande mmoja na atumbuliwe nayo. Kwa ajili ya kosa hili nyumba yake ifanywe lundo la taka.
Nga tafwela pac sap soko inge tuh kutena mwet fin seakos ma nga sapkin, na in fifyak soko sak maspang lulap liki lohm sel, ac tetela sie muta, ac sang fakisya sasla manol. Na lohm sel fah orek oana sie yol in kutkut.
12 Naye Mungu, aliyeliweka Jina lake huko, amwangushe mfalme yeyote au watu watakaoinua mikono kubadili amri hii au kuharibu Hekalu hili lililoko Yerusalemu. Mimi Dario nimetoa amri hii. Nayo itekelezwe kwa bidii na kwa makini.
Lela God su sulela tuh Jerusalem in acn se mwet uh in alu nu sel we uh, Elan sisla kutena tokosra ku mutanfahl su sikul ma sap se inge ac srike in kunausla Tempul sac. Nga, Darius, pa sapkin in ouinge. Ma sap luk fah arulana akosyuk.”
13 Kwa sababu ya amri aliyotoa Mfalme Dario, Tatenai mtawala wa Ngʼambo ya Mto Frati na Shethar-Bozenai na wenzao wakaitekeleza kwa bidii na kwa makini.
Na Governor Tattenai, Shethar Bozenai, ac mwet fulat wialos elos oru ma nukewa oana tokosra fulat el sapkin.
14 Hivyo wazee wa Wayahudi waliendelea kujenga na kustawi kutokana na mahubiri ya manabii Hagai na Zekaria, mwana wa Ido. Wakakamilisha ujenzi wa Hekalu kulingana na agizo la Mungu wa Israeli na amri ya Koreshi, Dario na Artashasta wafalme wa Uajemi.
Mwet kol lun mwet Jew elos oru tuh orekma in musa ke Tempul in fahla arulana wo, ac mwet palu Haggai ac Zechariah eltal akkeyalos. Elos aksafyela Tempul fal nu ke ma God lun Israel El sapkin, ac oayapa ma sap sin tokosra fulat tolu lun Persia: Cyrus, Darius, ac Artaxerxes.
15 Hekalu lilikamilika siku ya kumi na mbili ya mwezi wa Adari, ndio mwezi wa tatu, katika mwaka wa sita wa utawala wa Mfalme Dario.
Elos aksafyela Tempul ke len se aktolu in malem Adar, ke yac se akonkosr wacl Tokosra Fulat Darius.
16 Kisha watu wa Israeli: makuhani, Walawi na wengine wote waliohamishwa, wakaadhimisha kule kuwekwa wakfu nyumba ya Mungu kwa shangwe.
Na mwet tol, mwet Levi, ac mwet Israel nukewa su folok liki sruoh, elos kisaela Tempul ke engan na lulap.
17 Kwa ajili ya kuwekwa wakfu nyumba hii ya Mungu walitoa mafahali mia moja, kondoo dume mia mbili, wana-kondoo mia nne, sadaka kwa ajili ya dhambi ya Israeli yote walitoa mbuzi dume kumi na wawili, mmoja kwa ajili ya kila kabila la Israeli.
Elos kisakin cow mukul siofok, sheep luofoko, ac sheep fusr angfoko, na elos sang nani singoul luo tuh in mwe kisa ke ma koluk, kais soko nu ke sruf lun Israel.
18 Wakawaweka makuhani katika nafasi zao na Walawi wakawekwa katika makundi yao ya huduma kwa Mungu huko Yerusalemu, kulingana na ilivyoandikwa katika Kitabu cha Mose.
Elos oayapa oakiya orekma kunen mwet tol ac mwet Levi nu ke Tempul in Jerusalem, fal nu ke ma simusla in book lal Moses.
19 Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, waliorudi kutoka uhamishoni wakaadhimisha Pasaka.
Ke len se aksingoul akosr in malem se meet in yac tok ah, mwet su foloko liki sruoh elos akfulatye Kufwen Alukela.
20 Makuhani na Walawi walikuwa wamekwisha kujitakasa nao wamekuwa safi kwa kufuata kawaida za ibada. Walawi wakachinja kondoo wa Pasaka kwa ajili ya wana wa waliorudi kutoka utumwani uhamishoni, kwa ajili ya ndugu zao makuhani na wao wenyewe.
Mwet tol ac mwet Levi nukewa elos aknasnasyalos sifacna tuh elos in nasnas fal nu ke oakwuk lun alu lalos. Mwet Levi elos uniya kosro tuh in mwe kisa ke Kufwen Alukela ke mwet nukewa su foloko liki sruoh, ac ke mwet tol, ac kaclos sifacna.
21 Hivyo Waisraeli waliokuwa wamerudi kutoka utumwani uhamishoni wakaila Pasaka, pamoja na wale waliokuwa wamejitenga na matendo ya unajisi wa Mataifa ya jirani ili kumtafuta Bwana, Mungu wa Israeli.
Mwet Israel nukewa su foloko liki sruoh elos mongo ke ma kisakinyukla. Oayapa mwet nukewa su sisla moul pegan lun mwet saya su muta in facl sac ac forla in wi pac alu nu sin LEUM GOD lun Israel, elos wi pac mongo kac.
22 Kwa muda wa siku saba waliiadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu kwa furaha, kwa sababu Bwana alikuwa amewajaza furaha kwa kubadilisha nia ya mfalme wa Ashuru kwamba awasaidie ujenzi wa nyumba ya Mungu, Mungu wa Israeli.
Ke len itkosr, elos engan ac akfulatye Kufwen Bread Tia Akpulol. Arulana yohk engan lalos ke sripen LEUM GOD El oru tuh Tokosra Fulat lun Assyria elan kulang nu selos, ac kasrelos ke orekma lalos in sifil musai Tempul lun God lun Israel.

< Ezra 6 >