< Ezra 4 >

1 Adui za Yuda na Benyamini waliposikia kwamba watu waliorudi kutoka uhamishoni wanajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli,
Agora quando os adversários de Judá e Benjamim ouviram que os filhos do cativeiro estavam construindo um templo para Javé, o Deus de Israel,
2 wakamjia Zerubabeli na viongozi wa jamaa, nao wakasema, “Turuhusuni tuwasaidie kujenga, kwa sababu sisi tunamtafuta Mungu wenu kama ninyi na tumekuwa tukimtolea dhabihu tangu wakati wa Esar-Hadoni mfalme wa Ashuru, aliyetuleta hapa.”
eles se aproximaram de Zorobabel, e dos chefes de família dos pais, e lhes disseram: “Construamos com vocês, pois buscamos seu Deus como vocês; e temos feito sacrifícios a ele desde os dias de Esar Haddon, rei da Assíria, que nos trouxe até aqui”.
3 Lakini Zerubabeli, Yeshua na viongozi wengine wa jamaa ya Israeli wakawajibu, “Ninyi hamna sehemu nasi katika kujenga Hekalu la Mungu wetu. Sisi peke yetu tutajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli, kama Mfalme Koreshi, mfalme wa Uajemi alivyotuagiza.”
Mas Zerubabel, Jeshua e os demais chefes de família dos pais de Israel lhes disseram: “Vocês não têm nada a ver conosco na construção de uma casa para nosso Deus; mas nós mesmos juntos construiremos para Javé, o Deus de Israel, como nos ordenou o rei Ciro, o rei da Pérsia”.
4 Ndipo watu waliowazunguka wakajipanga kuwakatisha tamaa watu wa Yuda na kuwafanya waogope walipokuwa wakiendelea na ujenzi.
Então o povo da terra enfraqueceu as mãos do povo de Judá, e os perturbou na construção.
5 Wakaajiri washauri kuwapinga katika kazi yao, nao wakaipinga mipango yao wakati wote wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi hadi wakati wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.
Contrataram conselheiros contra eles para frustrar seu propósito durante todos os dias de Ciro, rei da Pérsia, mesmo até o reinado de Dario, rei da Pérsia.
6 Mnamo mwanzo wa utawala wa Ahasuero, hao adui waliandika mashtaka dhidi ya watu wa Yuda na Yerusalemu.
No reinado de Assuero, no início de seu reinado, eles escreveram uma acusação contra os habitantes de Judá e Jerusalém.
7 Pia katika siku za utawala wa Artashasta mfalme wa Uajemi, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli pamoja na wenzao waliandika barua kwa Artashasta. Barua hiyo iliandikwa kwa mwandiko wa Kiaramu na katika lugha ya Kiaramu.
Nos dias de Artaxerxes, Bishlam, Mithredath, Tabeel e o resto de seus companheiros escreveram a Artaxerxes rei da Pérsia; e a redação da carta foi escrita em sírio e entregue na língua síria.
8 Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai waliandika barua kwa Mfalme Artashasta dhidi ya watu wa Yerusalemu kama ifuatavyo:
Reum o chanceler e Shimshai o escriba escreveram uma carta contra Jerusalém para Artaxerxes, o rei, como se segue.
9 Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai, pamoja na wenzao, yaani mahakimu na maafisa walio juu ya watu kuanzia Tripoli, Uajemi, Ereki na Babeli, Waelami wa Shushani,
Então Rehum o chanceler, Shimshai o escriba, e o resto de seus companheiros, os dinaítas, e os afarsatitas, os tarpelitas, os afarsitas, os arqueólogos, os babilônios, os shushanchitas, os dehaítas, os elamitas,
10 na watu wengine ambao mheshimiwa Asur-Banipali aliwahamisha na kuwakalisha katika mji wa Samaria na mahali pengine Ngʼambo ya Mto Frati.
e o resto das nações que o grande e nobre Osnappar trouxe e estabeleceu na cidade de Samaria, e no resto do país além do rio, e assim por diante, escreveu.
11 (Hii ndiyo nakala ya barua waliyompelekea.) Kwa Mfalme Artashasta, Kutoka kwa watumishi wako, watu wa Ngʼambo ya Mto Frati:
Esta é a cópia da carta que eles enviaram: Ao Rei Artaxerxes, de seus servos, o povo além do rio.
12 Yapasa Mfalme ajue kuwa Wayahudi waliopanda kuja kwetu kutoka kwenu, wamekwenda Yerusalemu nao wanaujenga upya ule mji wa uasi na uovu. Wanajenga kuta upya na kukarabati misingi yake.
Seja conhecido do rei que os judeus que vieram de você vieram até nós em Jerusalém. Eles estão construindo a cidade rebelde e má, e terminaram os muros e consertaram as fundações.
13 Zaidi ya hayo, mfalme yampasa ajue kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikafanywa upya, hakutakuwa na ulipaji wa kodi wala ada au ushuru, hivyo hazina za mfalme zitaathirika.
Seja agora conhecido do rei que se esta cidade for construída e os muros terminados, eles não pagarão tributo, costume ou pedágio, e no final será prejudicial para os reis.
14 Sisi sasa kwa kuwa tunawajibika kwa jumba la kifalme na kwamba siyo sawasawa kwetu kuona mfalme akidharauliwa, basi tunatuma ujumbe huu kumtaarifu mfalme,
Agora porque comemos o sal do palácio e não é apropriado para nós ver a desonra do rei, por isso enviamos e informamos ao rei,
15 ili kwamba ufanyike uchunguzi kwenye kumbukumbu ya maandishi ya waliokutangulia. Katika kumbukumbu hizi utagundua kwamba mji huu ni wa maasi, unaowataabisha wafalme na majimbo, ni mahali pa maasi tangu zamani. Ndiyo maana mji huu uliharibiwa.
que a busca pode ser feita no livro dos registros de seus pais. Você verá no livro dos registros, e saberá que esta cidade é uma cidade rebelde, e prejudicial para os reis e províncias, e que eles iniciaram rebeliões dentro dela no passado. É por isso que esta cidade foi destruída.
16 Tunamjulisha mfalme kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikifanywa upya, hutabakiwa na chochote Ngʼambo ya Mto Frati.
Informamos ao rei que se esta cidade for construída e as muralhas terminarem, então não terá posse além do rio. '
17 Mfalme alirudisha jibu hili: Kwa Rehumu, afisa msimamizi, mwandishi Shimshai na wenzenu wote wanaoishi katika Samaria na penginepo Ngʼambo ya Mto Frati: Salamu.
Então o rei enviou uma resposta para Rehum, o chanceler, e para Shimshai, o escriba, e para o resto de seus companheiros que vivem em Samaria, e no resto do país além do rio: Paz.
18 Barua mliyotutumia imesomwa na kutafsiriwa mbele yangu.
A carta que você nos enviou foi lida claramente antes de mim.
19 Nilitoa amri na uchunguzi ukafanyika na imegundulika kwamba mji huu una historia ndefu ya maasi dhidi ya wafalme na pamekuwa mahali pa maasi na uchochezi.
Decidi, e a pesquisa foi feita, e foi descoberto que esta cidade fez insurreição contra reis no passado, e que rebeliões e revoltas foram feitas nela.
20 Yerusalemu umepata kuwa na wafalme wenye nguvu wakitawala nchi yote iliyo Ngʼambo ya Mto Frati, wakitoza kodi, ada na ushuru huko.
There também foram poderosos reis sobre Jerusalém, que governaram todo o país além do rio; e tributo, costumes e pedágio foram pagos a eles.
21 Kwa hiyo toeni amri kwa watu hawa wasimamishe ujenzi, ili kwamba mji huu usiendelee kujengwa hadi nitakapoagiza.
Faça agora um decreto para fazer cessar estes homens, e que esta cidade não seja construída até que um decreto seja feito por mim.
22 Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme?
Tenha cuidado para não ser descuidado ao fazê-lo. Por que os danos devem crescer para a ferida dos reis? '
23 Mara waliposomewa nakala ya barua ya Mfalme Artashasta, Rehumu na Shimshai aliyekuwa mwandishi na wenzao, walikwenda mara moja kwa Wayahudi huko Yerusalemu na kuwalazimisha kwa nguvu kusimamisha ujenzi.
Então, quando a cópia da carta do rei Artaxerxes foi lida antes de Rehum, Shimshai o escriba, e seus companheiros, eles foram apressados a Jerusalém para os judeus, e os obrigaram a cessar pela força das armas.
24 Hivyo kazi ya ujenzi wa nyumba ya Mungu huko Yerusalemu ikasimamishwa kabisa hadi mwaka wa pili wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.
Em seguida, os trabalhos pararam na casa de Deus que fica em Jerusalém. Parou até o segundo ano do reinado de Dario, rei da Pérsia.

< Ezra 4 >