< Ezra 4 >

1 Adui za Yuda na Benyamini waliposikia kwamba watu waliorudi kutoka uhamishoni wanajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli,
A gdy wrogowie Judy i Beniamina usłyszeli, że lud, [który powrócił] z niewoli, budował świątynię PANU, Bogu Izraela;
2 wakamjia Zerubabeli na viongozi wa jamaa, nao wakasema, “Turuhusuni tuwasaidie kujenga, kwa sababu sisi tunamtafuta Mungu wenu kama ninyi na tumekuwa tukimtolea dhabihu tangu wakati wa Esar-Hadoni mfalme wa Ashuru, aliyetuleta hapa.”
Wówczas przybyli do Zorobabela i naczelników rodów i powiedzieli im: Będziemy budować z wami, gdyż szukamy waszego Boga tak jak wy i składamy mu ofiary od czasów Asarchaddona, króla Asyrii, który nas tu przyprowadził.
3 Lakini Zerubabeli, Yeshua na viongozi wengine wa jamaa ya Israeli wakawajibu, “Ninyi hamna sehemu nasi katika kujenga Hekalu la Mungu wetu. Sisi peke yetu tutajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli, kama Mfalme Koreshi, mfalme wa Uajemi alivyotuagiza.”
Ale Zorobabel, Jeszua i pozostali naczelnicy rodów z Izraela odpowiedzieli im: Nie wolno wam razem z nami budować domu naszemu Bogu, ale my sami będziemy budować PANU, Bogu Izraela, jak nam rozkazał Cyrus, król Persji.
4 Ndipo watu waliowazunguka wakajipanga kuwakatisha tamaa watu wa Yuda na kuwafanya waogope walipokuwa wakiendelea na ujenzi.
Wtedy lud tej ziemi zaczął zniechęcać lud Judy i przeszkadzał im w budowie.
5 Wakaajiri washauri kuwapinga katika kazi yao, nao wakaipinga mipango yao wakati wote wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi hadi wakati wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.
Ponadto przekupywał przeciwko nim radców, aby udaremnić ich zamiar po wszystkie dni Cyrusa, króla Persji, aż do panowania Dariusza, króla Persji.
6 Mnamo mwanzo wa utawala wa Ahasuero, hao adui waliandika mashtaka dhidi ya watu wa Yuda na Yerusalemu.
Za panowania Aswerusa, na początku jego panowania, napisali skargę przeciwko obywatelom Judy i Jerozolimy;
7 Pia katika siku za utawala wa Artashasta mfalme wa Uajemi, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli pamoja na wenzao waliandika barua kwa Artashasta. Barua hiyo iliandikwa kwa mwandiko wa Kiaramu na katika lugha ya Kiaramu.
A za czasów Artakserksesa Biszlam, Mitredat, Tabeel wraz z pozostałymi towarzyszami napisali do Artakserksesa, króla Persji. List [był] sporządzony pismem syryjskim i przetłumaczony na język syryjski.
8 Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai waliandika barua kwa Mfalme Artashasta dhidi ya watu wa Yerusalemu kama ifuatavyo:
Kanclerz Rechum i pisarz Szimszaj napisali do króla Artakserksesa list przeciwko Jerozolimie następującej treści:
9 Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai, pamoja na wenzao, yaani mahakimu na maafisa walio juu ya watu kuanzia Tripoli, Uajemi, Ereki na Babeli, Waelami wa Shushani,
Kanclerz Rechum, pisarz Szimszaj i pozostali ich towarzysze: Dynajczycy, Afarsadchajczycy, Tarpelajczycy, Afarsajczycy, Arkewijczycy, Babilończycy, Susanchici, Dehawici [i] Elamici;
10 na watu wengine ambao mheshimiwa Asur-Banipali aliwahamisha na kuwakalisha katika mji wa Samaria na mahali pengine Ngʼambo ya Mto Frati.
I reszta narodów, które wielki i sławny Asnappar przyprowadził i osiedlił w miastach Samarii, oraz pozostali, którzy są za rzeką – otóż;
11 (Hii ndiyo nakala ya barua waliyompelekea.) Kwa Mfalme Artashasta, Kutoka kwa watumishi wako, watu wa Ngʼambo ya Mto Frati:
To [jest] odpis listu, który posłali do króla Artakserksesa – Twoi słudzy, ludzie mieszkający za rzeką – otóż:
12 Yapasa Mfalme ajue kuwa Wayahudi waliopanda kuja kwetu kutoka kwenu, wamekwenda Yerusalemu nao wanaujenga upya ule mji wa uasi na uovu. Wanajenga kuta upya na kukarabati misingi yake.
Niech królowi będzie wiadomo, że Żydzi, którzy wyszli od ciebie, przybyli do nas, do Jerozolimy, i odbudowują to buntownicze i niegodziwe miasto, już wznosili mury i położyli fundamenty.
13 Zaidi ya hayo, mfalme yampasa ajue kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikafanywa upya, hakutakuwa na ulipaji wa kodi wala ada au ushuru, hivyo hazina za mfalme zitaathirika.
Niech więc będzie królowi wiadomo, że jeśli to miasto zostanie odbudowane i [jego] mury będą wzniesione, wtedy podatku, danin ani cła oni nie będą płacić, a to przyniesie szkodę dochodom króla.
14 Sisi sasa kwa kuwa tunawajibika kwa jumba la kifalme na kwamba siyo sawasawa kwetu kuona mfalme akidharauliwa, basi tunatuma ujumbe huu kumtaarifu mfalme,
Teraz więc, ponieważ jesteśmy na utrzymaniu [twego] pałacu i nie przystoi nam patrzeć na zniewagę króla, posyłamy królowi tę wiadomość;
15 ili kwamba ufanyike uchunguzi kwenye kumbukumbu ya maandishi ya waliokutangulia. Katika kumbukumbu hizi utagundua kwamba mji huu ni wa maasi, unaowataabisha wafalme na majimbo, ni mahali pa maasi tangu zamani. Ndiyo maana mji huu uliharibiwa.
Aby poszukano w księdze kronik twoich ojców, a znajdziesz w niej i dowiesz się, że to miasto jest miastem buntowniczym i przynosi szkodę królom i prowincjom i że od dawien dawna wzniecano w nim bunty. Z tego powodu to miasto zostało zburzone.
16 Tunamjulisha mfalme kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikifanywa upya, hutabakiwa na chochote Ngʼambo ya Mto Frati.
Zawiadamiamy króla, że jeśli to miasto zostanie odbudowane i jego mury będą wzniesione, wtedy już nie będziesz miał udziału za rzeką.
17 Mfalme alirudisha jibu hili: Kwa Rehumu, afisa msimamizi, mwandishi Shimshai na wenzenu wote wanaoishi katika Samaria na penginepo Ngʼambo ya Mto Frati: Salamu.
[Wtedy] król wysłał taką odpowiedź: Kanclerzowi Rechumowi, pisarzowi Szimszajowi i pozostałym ich towarzyszom, którzy mieszkają w Samarii, a także i pozostałym za rzeką: Pokój! Otóż:
18 Barua mliyotutumia imesomwa na kutafsiriwa mbele yangu.
List, który do nas przysłaliście, został przede mną dokładnie odczytany.
19 Nilitoa amri na uchunguzi ukafanyika na imegundulika kwamba mji huu una historia ndefu ya maasi dhidi ya wafalme na pamekuwa mahali pa maasi na uchochezi.
Dlatego rozkazałem, aby poszukano. I znaleziono, że to miasto od dawna powstawało przeciwko królom, a bunt i rozruchy były w nim wzniecane;
20 Yerusalemu umepata kuwa na wafalme wenye nguvu wakitawala nchi yote iliyo Ngʼambo ya Mto Frati, wakitoza kodi, ada na ushuru huko.
Ponadto potężni królowie panowali nad Jerozolimą i rządzili nad wszystkimi za rzeką, i płacono im podatek, daninę i cło.
21 Kwa hiyo toeni amri kwa watu hawa wasimamishe ujenzi, ili kwamba mji huu usiendelee kujengwa hadi nitakapoagiza.
Wydajcie więc wyrok, aby powstrzymać tych mężczyzn, żeby to miasto nie zostało odbudowane, dopóki [inny] rozkaz nie będzie przeze mnie wydany.
22 Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme?
Pilnujcie, abyście nie zaniedbali tego. Dlaczego miałoby to wzrastać na szkodę królów?
23 Mara waliposomewa nakala ya barua ya Mfalme Artashasta, Rehumu na Shimshai aliyekuwa mwandishi na wenzao, walikwenda mara moja kwa Wayahudi huko Yerusalemu na kuwalazimisha kwa nguvu kusimamisha ujenzi.
Gdy więc odpis listu króla Artakserksesa został odczytany przed Rechumem, pisarzem Szimszajem i ich towarzyszami, udali się spiesznie do Żydów w Jerozolimie i siłą i mocą wstrzymali budowę.
24 Hivyo kazi ya ujenzi wa nyumba ya Mungu huko Yerusalemu ikasimamishwa kabisa hadi mwaka wa pili wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.
W ten sposób ustała praca przy domu Bożym, który był w Jerozolimie. I została wstrzymana aż do drugiego roku panowania Dariusza, króla Persji.

< Ezra 4 >