< Ezra 4 >
1 Adui za Yuda na Benyamini waliposikia kwamba watu waliorudi kutoka uhamishoni wanajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli,
Yuda fi dunu amola Bediamini fi dunu ilia ha lai dunu da mugululi asi dunu da buhagili, Isala: ili Hina Gode Ea Debolo diasu gagubi nabi.
2 wakamjia Zerubabeli na viongozi wa jamaa, nao wakasema, “Turuhusuni tuwasaidie kujenga, kwa sababu sisi tunamtafuta Mungu wenu kama ninyi na tumekuwa tukimtolea dhabihu tangu wakati wa Esar-Hadoni mfalme wa Ashuru, aliyetuleta hapa.”
Amaiba: le, ilia da Selubabele amola Isala: ili fi ouligisu dunu ilima asili, amane adole ba: i, “Ninia amola da Debolo diasu gagumusa: fidimu da defeala: ? Ninia Godema sia: ne gadosu da dilia Godema sia: ne gadosu amo defele sia: ne gadosa. Amola Asilia hina bagade Isaha: done da sia: beba: le ninia guiguda: misi, amo fa: no ninia da Godema gobele salasu hou huluane hamonana.”
3 Lakini Zerubabeli, Yeshua na viongozi wengine wa jamaa ya Israeli wakawajibu, “Ninyi hamna sehemu nasi katika kujenga Hekalu la Mungu wetu. Sisi peke yetu tutajenga Hekalu kwa ajili ya Bwana, Mungu wa Israeli, kama Mfalme Koreshi, mfalme wa Uajemi alivyotuagiza.”
Selubabele, Yosiua amola Isala: ili fi ouligisu dunu da ilima amane adole i, “Ninia da Hina Gode Ea Debolo diasu gagusia, eno fidisu dunu hame lamu. Ninisu amo Besia hina bagade Sailase amo ea sia: i defele, gagumu.”
4 Ndipo watu waliowazunguka wakajipanga kuwakatisha tamaa watu wa Yuda na kuwafanya waogope walipokuwa wakiendelea na ujenzi.
Amalalu, dunu da musa: Isala: ili sogega esalu da Yu dunu beda: ma: ne gasa fi hamosu. Ilia da Yu dunu ilia Debolo gagumu hawa: hamosu hedofamusa: dawa: i galu.
5 Wakaajiri washauri kuwapinga katika kazi yao, nao wakaipinga mipango yao wakati wote wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi hadi wakati wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.
Ilia da Besia eagene dunu amo Yu dunu ilia Debolo gagusu hawa: hamosu hedofama: ne, hano suligili muni ilima i. Amo hou ilia da Sailase ea Besia soge ouligisia amola fa: no Da: liase da Besia soge ouligisia, amo esoha ilia da mae fisili hamosu.
6 Mnamo mwanzo wa utawala wa Ahasuero, hao adui waliandika mashtaka dhidi ya watu wa Yuda na Yerusalemu.
Hina bagade amo Segesisi da Besia ouligisu hou lai dagoi. Ea ouligisu degabo laloba, dunu amo Yuda soge amola Yelusaleme ganodini esalu, ilima ha lai dunu da ilima fofada: musa: meloa dedene i.
7 Pia katika siku za utawala wa Artashasta mfalme wa Uajemi, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli pamoja na wenzao waliandika barua kwa Artashasta. Barua hiyo iliandikwa kwa mwandiko wa Kiaramu na katika lugha ya Kiaramu.
Fa: no, hina bagade eno amo Adasegesisi da Besia soge ouligisia, ha lai dunu amo Bisila: me, Mililida: de amola Da: ibia: le ilia da Adasegesisima meloa dedene i. Amo meloa ilia da A: lama: ia: ge sia: ga dedei. Idisia, ilia da bu Besia sia: amoga afadenema: ne sia: i.
8 Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai waliandika barua kwa Mfalme Artashasta dhidi ya watu wa Yerusalemu kama ifuatavyo:
Amola eagene hina dunu amo Lihame amola soge dedesu dunu amo Simisai, ela da Adasegesisi ema Yelusaleme ea hou olelemusa: meloa dedene i, amane,
9 Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai, pamoja na wenzao, yaani mahakimu na maafisa walio juu ya watu kuanzia Tripoli, Uajemi, Ereki na Babeli, Waelami wa Shushani,
“Lihame (eagene hina dunu), Simisai (soge dedesu dunu), ela fidisu dunu, fofada: su dunu amola ouligisu dunu eno huluane (amo huluane da musa: Ila: me soge moilai bai bagade amo Ilege, Ba: bilone amola Susa amoga misi) amola
10 na watu wengine ambao mheshimiwa Asur-Banipali aliwahamisha na kuwakalisha katika mji wa Samaria na mahali pengine Ngʼambo ya Mto Frati.
dunu eno amo gasa bagade hina Asoba: niba: le da ilia moilaia mugululi, ilia da Samelia moilai bai bagade amola eno sogebi Guma: dini Iufala: idisi Soge amo ganodini fima: ne oule asi, da amo meloa dedene iaha.”
11 (Hii ndiyo nakala ya barua waliyompelekea.) Kwa Mfalme Artashasta, Kutoka kwa watumishi wako, watu wa Ngʼambo ya Mto Frati:
Ilia da meloa agoane dedene i, “Ninia da di, hina bagade Adasegesisi, ninia da dia hawa: hamosu dunu Guma: dini Iufala: idisi soge amo ganodini esala, dima meloa dedene iaha.
12 Yapasa Mfalme ajue kuwa Wayahudi waliopanda kuja kwetu kutoka kwenu, wamekwenda Yerusalemu nao wanaujenga upya ule mji wa uasi na uovu. Wanajenga kuta upya na kukarabati misingi yake.
Hina bagade! Di da Yelusaleme amoma doaga: i hou dawa: mu da defea. Yu dunu da dia soge eno amoga misini, Yelusaleme amo ganodini fili, ilia amo wadela: i amola hame nabasu moilai bai bagade amo bu gagulala. Ilia amo moilai bai bagade gagoi gagulala amola ea gagui da gadenenewane dagomu ba: sa.
13 Zaidi ya hayo, mfalme yampasa ajue kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikafanywa upya, hakutakuwa na ulipaji wa kodi wala ada au ushuru, hivyo hazina za mfalme zitaathirika.
Hina bagade! Amo moilai bu gagusia amola amoea gagoi dagosea, Yu fi dunu da dima su muni iasu hou fisimu, amola dia su labe da ebelemu agoai ba: mu.
14 Sisi sasa kwa kuwa tunawajibika kwa jumba la kifalme na kwamba siyo sawasawa kwetu kuona mfalme akidharauliwa, basi tunatuma ujumbe huu kumtaarifu mfalme,
Di da nini huluane ouligisa. Amaiba: le, agoai hou doaga: mu ninia higa: i ba: mu. Ninia agoane dawa: ,
15 ili kwamba ufanyike uchunguzi kwenye kumbukumbu ya maandishi ya waliokutangulia. Katika kumbukumbu hizi utagundua kwamba mji huu ni wa maasi, unaowataabisha wafalme na majimbo, ni mahali pa maasi tangu zamani. Ndiyo maana mji huu uliharibiwa.
di da dia fidisu dunu ilima ilia meloa dedei dia aowalali ilia dedei, amo ganodini hogoma: ne sia: ma. Di agoane hamosea, Yelusaleme soge dunu da eso huluane mae fisili, hame nabasu hou hamosu di da ba: mu. Ilia gasa fi hou hamobeba: le, hina bagade amola soge ouligisu dunu da se bagade nabi amola ili ouligimu gasa bagade ba: i. Amaiba: le, amo moilai bai bagade da wadela: lesi dagoi ba: i.
16 Tunamjulisha mfalme kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikifanywa upya, hutabakiwa na chochote Ngʼambo ya Mto Frati.
Amaiba: le ninia da agoane dawa: Ilia da amo moilai bai bagade amola ea gagoi bu gagusia, di hina bagade, da Guma: dini Iufala: idisi soge ouligimu hamedeiwane ba: mu.” Ilia da amo meloa Adasegesisi ema dedene i.
17 Mfalme alirudisha jibu hili: Kwa Rehumu, afisa msimamizi, mwandishi Shimshai na wenzenu wote wanaoishi katika Samaria na penginepo Ngʼambo ya Mto Frati: Salamu.
Adasegesisi da ilima dabe meloa amane dedene i, “Dilia! Lihame (eagene hina dunu), Simisai (soge dedesu dunu) amola ela fidisu dunu Samelia soge amola Guma: dini Iufala: idisi soge amo ganodini esala. Asigi sia: sia: sa!
18 Barua mliyotutumia imesomwa na kutafsiriwa mbele yangu.
Dilia nama meloa dedene iasi amo na sia: alofele iasu dunu da afadenene, nama idili i.
19 Nilitoa amri na uchunguzi ukafanyika na imegundulika kwamba mji huu una historia ndefu ya maasi dhidi ya wafalme na pamekuwa mahali pa maasi na uchochezi.
Na sia: beba: le, na fidisu dunu da aowalali ilia meloa dedei amo hogolala ba: i. Dafawane! Musa: amola amo fa: no, Yelusaleme fi dunu da hina bagade ilia sia: hame nabasu, amola amo ganodini hame nabasu dunu amola nimi bagade dunu bagohame ba: su.
20 Yerusalemu umepata kuwa na wafalme wenye nguvu wakitawala nchi yote iliyo Ngʼambo ya Mto Frati, wakitoza kodi, ada na ushuru huko.
Gasa bagade Ba: bilone hina dunu da Yelusaleme amola Guma: dini Iufala: idisi soge huluane ouligisu. Ilia da su (da: gisi) muni amo dunuma lasu.
21 Kwa hiyo toeni amri kwa watu hawa wasimamishe ujenzi, ili kwamba mji huu usiendelee kujengwa hadi nitakapoagiza.
Amaiba: le, amo dunuma ilia Yelusaleme bu gagusu go fisima: ne sia: ma. Na da bu gaguma: ne sia: sea fawane, ilima bu gaguma: ne sia: ma.
22 Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme?
Ilia da na hou bu wadela: sa: besa: le, amo sia: hedolo adoma!” Adasegesisi da amo meloa dedene iasi.
23 Mara waliposomewa nakala ya barua ya Mfalme Artashasta, Rehumu na Shimshai aliyekuwa mwandishi na wenzao, walikwenda mara moja kwa Wayahudi huko Yerusalemu na kuwalazimisha kwa nguvu kusimamisha ujenzi.
Sia: alofele iasu dunu da amo meloa Lihame amola Simisai amola ela fidisu dunu ilima idili i. Ilia da Yelusalemega hedolo asili, Yu dunu ilia moilai bai bagade gagusu logo hedofai dagoi.
24 Hivyo kazi ya ujenzi wa nyumba ya Mungu huko Yerusalemu ikasimamishwa kabisa hadi mwaka wa pili wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.
Debolo diasu bu gagusu logo da hedofaiba: le, ilia da hame hawa: hamosu. Amalalu, hina bagade eno ea dio amo Da: liase da Besia soge ouligisu hou lai. E da ode aduna ouligilalu,