< Ezra 2 >

1 Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
Estas son las personas de la provincia que subieron de la cautividad, de los deportados que Nabucodonosor, rey de Babilonia, llevó a Babilonia. Regresaron a Jerusalén y Judá, cada uno a su ciudad.
2 wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
Los que regresaron con Zorobabel fueron: Jesuá, Nehemías, Seraías, Reelaías, Mardoqueo, Bilsán, Mispar, Bigvai, Rehum y Baana. El número de las personas del pueblo de Israel era de los hijos de:
3 wazao wa Paroshi 2,172
Paros, 2.172;
4 wazao wa Shefatia 372
Sefatías, 372;
5 wazao wa Ara 775
Ara, 775;
6 wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
Pajat-moab, Jesuá y Joab, 2.812;
7 wazao wa Elamu 1,254
Elam, 1.254;
8 wazao wa Zatu 945
Zatu, 945;
9 wazao wa Zakai 760
Zacai, 760;
10 wazao wa Bani 642
Bani, 642;
11 wazao wa Bebai 623
Bebai, 623;
12 wazao wa Azgadi 1,222
Azgad, 1.222;
13 wazao wa Adonikamu 666
Adonicam, 666;
14 wazao wa Bigwai 2,056
Bigvai, 2.056;
15 wazao wa Adini 454
Adín, 454;
16 wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
Ater y de Ezequías, 98;
17 wazao wa Besai 323
Bezai, 323;
18 wazao wa Yora 112
Jora, 112;
19 wazao wa Hashumu 223
Hasum, 223;
20 wazao wa Gibari 95
Gibar, 95;
21 watu wa Bethlehemu 123
Belén, 123;
22 watu wa Netofa 56
Netofa, 56;
23 watu wa Anathothi 128
Anatot, 128;
24 watu wa Azmawethi 42
Azmavet, 42;
25 wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
Quiriat-jearim, Cafira y Beerot, 743;
26 wazao wa Rama na Geba 621
Ramá y de Geba, 621;
27 watu wa Mikmashi 122
los hombres de Micmas, 122;
28 watu wa Betheli na Ai 223
los hombres de Bet-ʼEl y de Hai, 223;
29 wazao wa Nebo 52
Nebo, 52;
30 wazao wa Magbishi 156
Magbis, 156;
31 wazao wa Elamu ile ingine 1,254
Elam, 1.254;
32 wazao wa Harimu 320
Harim, 320;
33 wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
Lod, Hadid y Ono, 725;
34 wazao wa Yeriko 345
Jericó, 345;
35 wazao wa Senaa 3,630
y de Senaa, 3.630.
36 Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
Los sacerdotes fueron los hijos de: Jedaías, la familia de Jesuá, 973;
37 wazao wa Imeri 1,052
Imer, 1.052;
38 wazao wa Pashuri 1,247
Pasur, 1.246;
39 wazao wa Harimu 1,017
Harim, 1.017.
40 Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
Los levitas fueron los hijos de: Jesuá, Cadmiel y Hodovías, 74.
41 Waimbaji: wazao wa Asafu 128
Los hijos de los cantores de Asaf, 128.
42 Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
Los porteros fueron los hijos de: Salum, Ater, Talmón, Acub, Hatita y Sobai; el total, 139.
43 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
Los servidores del Templo fueron los hijos de: Ziha, Hasufa, Tabaot,
44 wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
Queros, Siaha, Padón,
45 wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
Lebana, Hagaba, Acub,
46 wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
Hagab, Samlai, Hanán,
47 wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
Gidel, Gahar, Reaía,
48 wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
Rezín, Necoda, Gazam,
49 wazao wa Uza, Pasea, Besai,
Uza, Paseah, Besai,
50 wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
Asena, de los Meunim, Nefusim,
51 wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
Bacbuc, Hacufa, Harhur,
52 wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
Bazlut, Mehída, Harsa,
53 wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
Barcos, Sísara, Tema,
54 wazao wa Nesia na Hatifa.
Nezía y Hatifa.
55 Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
Los hijos de los esclavos de Salomón fueron los hijos de: Sotai, Soferet, Peruda,
56 wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
Jaala, Darcón, Gidel,
57 wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
Sefatías, Hatil, Poqueret-hazebaim y Ami.
58 Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
Todos los servidores del Templo y los hijos de los esclavos de Salomón fueron 392.
59 Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
Éstos son los que subieron de Tel-mela, Tel-harsa, Querub, Addán e Imer, aunque ellos no pudieron demostrar la casa de sus antepasados ni su linaje, si eran de Israel:
60 wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
Los hijos de Delaía, Tobías, y Necoda fueron 652.
61 Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
De los sacerdotes fueron los hijos de Habaía, Cos, y Barzilai, quien tomó una esposa de entre las hijas de Barzilai galaadita y fue llamado con el nombre de ellas.
62 Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
Éstos buscaron su registro entre los antepasados, pero no pudieron ser hallados, por lo cual fueron declarados impuros y excluidos del sacerdocio.
63 Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
El gobernador les dijo que no debían comer de las cosas más sagradas hasta que se levantara sacerdote para usar el Urim y Tumim.
64 Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
Toda la congregación en conjunto era de 42.360,
65 tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
sin contar sus esclavos y esclavas, los cuales eran 7.337. Tenían 200 cantores y cantoras.
66 Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
Sus caballos eran 736; sus mulas, 245;
67 ngamia 435 na punda 6,720.
sus camellos, 435; asnos, 6.720.
68 Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
Cuando llegaron a la Casa de Yavé en Jerusalén, algunos de los jefes de familia dieron ofrendas voluntarias para reedificar la Casa de ʼElohim en su mismo sitio.
69 Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
Según sus recursos, aportaron para la obra 488 kilogramos de oro, 2.750 kilogramos de plata y 100 túnicas sacerdotales.
70 Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.
Los sacerdotes y levitas, parte del pueblo, cantores, porteros y servidores del Templo vivieron en sus ciudades, y todo Israel en sus respectivas ciudades.

< Ezra 2 >