< Ezra 2 >
1 Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
Esta es una lista de los exiliados judíos de la provincia que regresaron del cautiverio después de que el rey Nabucodonosor se los llevara a Babilonia. Volvieron a Jerusalén y a sus propias ciudades en Judá.
2 wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
Sus líderes eran Zorobabel, Jesúa, Nehemías, Seraías, Reelaías, Mardoqueo, Bilsán, Mispar, Bigvai, Rehum y Baana. Este es el número de los hombres del pueblo de Israel:
los hijos de Paros, 2.172;
los hijos de Sefatías, 372;
6 wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
los hijos de Pahat-moab (hijos de Jesúa y Joab), 2.812;
los hijos de Elam, 1.254;
los hijos de Azgad, 1.222;
13 wazao wa Adonikamu 666
los hijos de Adonicam, 666;
los hijos de Bigvai, 2.056;
16 wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
los hijos de Ater, (hijos de Ezequías), 98;
21 watu wa Bethlehemu 123
el pueblo de Belén, 123;
el pueblo de Anatot, 128;
el pueblo de Bet-azmavet, 42;
25 wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
el pueblo de Quiriat-jearim, Cafira y Beerot, 743;
26 wazao wa Rama na Geba 621
el pueblo de Ramá y Geba, 621;
28 watu wa Betheli na Ai 223
el pueblo de Betel y de Hai, 223;
los hijos de Magbis, 156;
31 wazao wa Elamu ile ingine 1,254
los hijos de Elam, 1.254;
33 wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
los hijos de Lod, Hadid y Ono, 725;
los hijos de Jericó, 345;
los hijos de Senaa, 3.630.
36 Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
Este es el número de los sacerdotes: los hijos de Jedaías (por la familia de Jesúa), 973;
los hijos de Imer, 1.052;
38 wazao wa Pashuri 1,247
los hijos de Pasur, 1.247;
los hijos de Harim, 1.017.
40 Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
Este es el número de los levitas: los hijos de Jesúa y Cadmiel (hijos de Hodavías), 74;
41 Waimbaji: wazao wa Asafu 128
los cantores de los hijos de Asaf, 128;
42 Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
los porteros de las familias de Salum, Ater, Talmón, Acub, Hatita y Sobai, 139.
43 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
Los descendientes de estos servidores del Templo: Ziha, Hasufa, Tabaot,
44 wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
Queros, Siaha, Padón,
45 wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
Lebana, Hagaba, Acub,
46 wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
Hagab, Salmai, Hanán,
47 wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
Gidel, Gahar, Reaía,
48 wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
Rezín, Necoda, Gazam,
49 wazao wa Uza, Pasea, Besai,
Uza, Paseah, Besai,
50 wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
Asena, Mehunim, Nefusim,
51 wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
Bacbuc, Hacufa, Harhur,
52 wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
Bazlut, Mehída, Harsa,
53 wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
Barcos, Sísara, Tema,
54 wazao wa Nesia na Hatifa.
Nezía, y Hatifa.
55 Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
Los descendientes de los siervos del rey Salomón: Sotai, Hasoferet, Peruda,
56 wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
Jaala, Darcón, Gidel,
57 wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
Sefatías, Hatil, Poqueret-hazebaim, y Ami.
58 Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
El total de los siervos del Templo y de los descendientes de los siervos de Salomón era de 392.
59 Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
Los que procedían de las ciudades de Tel-mela, Tel-Harsa, Querub, Addán e Imer no podían demostrar su genealogía familiar, ni siquiera que eran descendientes de Israel.
60 wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
Entre ellos estaban las familias de Delaía, Tobías y Necoda, 652 en total.
61 Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
Además había tres familias sacerdotales, hijos de Habaía, Cos y Barzilai. (Barzilai se había casado con una mujer que descendía de Barzilai de Galaad, y se llamaba así).
62 Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
Se buscó un registro de ellos en las genealogías, pero no se encontraron sus nombres, por lo que se les prohibió servir como sacerdotes.
63 Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
El gobernador les ordenó que no comieran nada de los sacrificios del santuario hasta que un sacerdote pudiera consular con el Señor sobre el asunto a través del Urim y el Tumim.
64 Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
El total de personas que regresaron fue de 42.360.
65 tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
Además había 7.337 sirvientes y 200 cantores y cantoras.
66 Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
Tenían 736 caballos, 245 mulas,
67 ngamia 435 na punda 6,720.
435 camellos y 6.720 asnos.
68 Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
Cuando llegaron al Templo del Señor en Jerusalén, algunos de los jefes de familia hicieron contribuciones voluntarias para reconstruir el Templo de Dios en el lugar donde antes estaba.
69 Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
Dieron según lo que tenían, poniendo su donativo en el tesoro. El total ascendió a 61.000 dáricos de oro, 5.000 minas de plata y 100 túnicas para los sacerdotes.
70 Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.
Los sacerdotes, los levitas, los cantores, los porteros y los servidores del Templo, así como parte del pueblo, volvieron a vivir en sus pueblos específicos. Los demás regresaron a sus propias ciudades en todo Israel.