< Ezra 2 >
1 Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
往昔バビロンの王ネブカデネザルに擄へられバビロンに遷されたる者のうち俘囚をゆるされてヱルサレムおよびユダに上りおのおの己の邑に歸りし此州の者は左の如し
2 wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
是皆ゼルバベル、ヱシュア、ネヘミヤ、セラヤ、レエラヤ、モルデカイ、ビルシヤン、ミスパル、ビグワイ、レホム、バアナ等に隨ひ來れり 其イスラエルの民の人數は是のごとし
6 wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
ヱシュアとヨアブの族たるパハテモアブの子孫二千八百十二人
13 wazao wa Adonikamu 666
アドニカムの子孫六百六十六人
16 wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
ヒゼキヤの家のアテルの子孫九十八人
21 watu wa Bethlehemu 123
ベテレヘムの子孫百二十三人
25 wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
キリアテヤリム、ケピラおよびベエロテの民七百四十三人
26 wazao wa Rama na Geba 621
ラマおよびゲバの民六百二十一人
28 watu wa Betheli na Ai 223
ベテルおよびアイの人二百二十三人
31 wazao wa Elamu ile ingine 1,254
他のエラムの民千二百五十四人
33 wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
ロド、ハデデおよびオノの民七百二十五人
36 Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
祭司はヱシュアの家のヱダヤの子孫九百七十三人
38 wazao wa Pashuri 1,247
パシュルの子孫千二百四十七人
40 Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
レビ人はホダヤの子等ヱシュアとカデミエルの子孫七十四人
41 Waimbaji: wazao wa Asafu 128
謳歌者はアサフの子孫百二十八人
42 Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
門を守る者の子孫はシヤルムの子孫アテルの子孫タルモンの子孫アックブの子孫ハテタの子孫シヨバイの子孫合せて百三十九人
43 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
ネテニ人はヂハの子孫ハスパの子孫タバオテの子孫
44 wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
ケロスの子孫シアハの子孫パドンの子孫
45 wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
レバナの子孫ハガバの子孫アックブの子孫
46 wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
ハガブの子孫シヤルマイの子孫ハナンの子孫
47 wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
ギデルの子孫ガハルの子孫レアヤの子孫
48 wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
レヂンの子孫ネコダの子孫ガザムの子孫
49 wazao wa Uza, Pasea, Besai,
ウザの子孫パセアの子孫ベサイの子孫
50 wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
アスナの子孫メウニムの子孫ネフシムの子孫
51 wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
バクブクの子孫ハクパの子孫ハルホルの子孫
52 wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
バヅリテの子孫メヒダの子孫ハルシヤの子孫
53 wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
バルコスの子孫シセラの子孫テマの子孫
54 wazao wa Nesia na Hatifa.
ネヂアの子孫ハテパの子孫等なり
55 Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
ソロモンの僕たりし者等の子孫すなはちソタイの子孫ハッソペレテの子孫ペリダの子孫
56 wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
ヤアラの子孫ダルコンの子孫ギデルの子孫
57 wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
シパテヤの子孫ハッテルの子孫ポケレテハツゼバイムの子孫アミの子孫
58 Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
ネテニ人とソロモンの僕たりし者等の子孫とは合せて三百九十二人
59 Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
またテルメラ、テルハレサ、ケルブ、アダンおよびインメルより上り來れる者ありしがその宗家の長とその血統とを示してイスラエルの者なるを明かにすることを得ざりき
60 wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
是すなはちデラヤの子孫トビヤの子孫ネコダの子孫にして合せて六百五十二人
61 Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
祭司の子孫たる者の中にハバヤの子孫ハッコヅの子孫バルジライの子孫あり バルジライはギレアデ人バルジライの女を妻に娶りてその名を名りしなり
62 Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
是等の者譜系に載たる者等の中におのが名を尋ねたれども在ざりき 是の故に汚れたる者として祭司の中より除かれたり
63 Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
テルシヤタは之に告てウリムとトンミムを帶る祭司の興るまでは至聖物を食ふべからずと言り
64 Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
會衆あはせて四萬二千三百六十人
65 tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
この外にその僕婢七千三百三十七人 謳歌男女二百人あり
66 Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
その馬七百三十六匹 その騾二百四十五匹
67 ngamia 435 na punda 6,720.
その駱駝四百三十五匹 驢馬六千七百二十匹
68 Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
宗家の長數人ヱルサレムなるヱホバの室にいたるにおよびてヱホバの室をその本の處に建んとて物を誠意より獻げたり
69 Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
即ちその力にしたがひて工事のために庫を納めし者は金六萬一千ダリク銀五千斤祭司の衣服百襲なりき
70 Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.
祭司レビ人民等謳歌者門を守る者およびネテニ人等その邑々に住み一切のイスラエル人その邑々に住り