< Ezra 2 >

1 Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
Und [Vergl. Neh. 7,6-73] dies sind die Kinder der Landschaft Juda, welche aus der Gefangenschaft der Weggeführten, die Nebukadnezar, der König von Babel, nach Babel weggeführt hatte, hinaufzogen, und die nach Jerusalem und Juda zurückkehrten, ein jeder in seine Stadt,
2 wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
welche kamen mit Serubbabel, Jeschua, [Anderswo: Josua [Joschua]; aus "Jeschua" ist in der alexandrin. Übersetzung der Name "Jesus" entstanden] Nehemia, Seraja, Reelaja, Mordokai, Bilschan, Mispar, Bigwai, Rechum, Baana. Zahl der Männer des Volkes Israel:
3 wazao wa Paroshi 2,172
Die Söhne Parhosch, 2172.
4 wazao wa Shefatia 372
Die Söhne Schephatjas, 372;
5 wazao wa Ara 775
die Söhne Arachs, 775;
6 wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
die Söhne Pachath-Moabs, [d. h. des Stadthalters von Moab] von den Söhnen Jeschuas und Joabs, 2812;
7 wazao wa Elamu 1,254
die Söhne Elams, 1254;
8 wazao wa Zatu 945
die Söhne Sattus, 945;
9 wazao wa Zakai 760
die Söhne Sakkais, 760;
10 wazao wa Bani 642
die Söhne Banis, 642;
11 wazao wa Bebai 623
die Söhne Bebais, 623;
12 wazao wa Azgadi 1,222
die Söhne Asgads, 1222;
13 wazao wa Adonikamu 666
die Söhne Adonikams, 666;
14 wazao wa Bigwai 2,056
die Söhne Bigwais, 2056;
15 wazao wa Adini 454
die Söhne Adins, 454;
16 wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
die Söhne Aters, von Jehiskia, 98;
17 wazao wa Besai 323
die Söhne Bezais, 323;
18 wazao wa Yora 112
die Söhne Jorahs, 112;
19 wazao wa Hashumu 223
die Söhne Haschums, 223;
20 wazao wa Gibari 95
die Söhne Gibbars, 95;
21 watu wa Bethlehemu 123
die Söhne Bethlehems, 123;
22 watu wa Netofa 56
die Männer von Netopha, 56;
23 watu wa Anathothi 128
die Männer von Anathoth, 128;
24 watu wa Azmawethi 42
die Söhne Asmaweths, 42;
25 wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
die Söhne Kirjath-Arims, Kephiras und Beeroths, 743;
26 wazao wa Rama na Geba 621
die Söhne Ramas und Gebas, 621;
27 watu wa Mikmashi 122
die Männer von Mikmas, 122;
28 watu wa Betheli na Ai 223
die Männer von Bethel und Ai, 223;
29 wazao wa Nebo 52
die Söhne Nebos, 52;
30 wazao wa Magbishi 156
die Söhne Magbisch, 156;
31 wazao wa Elamu ile ingine 1,254
die Söhne des anderen [S. v 7] Elam, 1254;
32 wazao wa Harimu 320
die Söhne Harims, 320;
33 wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
die Söhne Lods, Hadids und Onos, 725;
34 wazao wa Yeriko 345
die Söhne Jerechos, 345;
35 wazao wa Senaa 3,630
die Söhne Senaas, 3630.
36 Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
Die Priester: die Söhne Jedajas, vom Hause Jeschua, 973;
37 wazao wa Imeri 1,052
die Söhne Immers, 1052;
38 wazao wa Pashuri 1,247
die Söhne Paschchurs, 1247;
39 wazao wa Harimu 1,017
die Söhne Harims, 1017.
40 Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
Die Leviten: die Söhne Jeschuas und Kadmiels, von den Söhnen Hodawjas, vierundsiebzig. -
41 Waimbaji: wazao wa Asafu 128
Die Sänger: die Söhne Asaphs, 128. -
42 Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
Die Söhne der Torhüter: die Söhne Schallums, die Söhne Aters, die Söhne Talmons, die Söhne Akkubs, die Söhne Hatitas, die Söhne Schobais, allesamt 139.
43 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
Die Nethinim: [S. die Anm. zu 1. Chron. 9,2] die Söhne Zichas, die Söhne Hasuphas, die Söhne Tabbaoths,
44 wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
die Söhne Keros, die Söhne Siahas, die Söhne Padons,
45 wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
die Söhne Lebanas, die Söhne Hagabas, die Söhne Akkubs,
46 wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
die Söhne Hagabs, die Söhne Schalmais, die Söhne Hanans,
47 wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
die Söhne Giddels, die Söhne Gachars, die Söhne Reajas,
48 wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
die Söhne Rezins, die Söhne Nekodas, die Söhne Gassams,
49 wazao wa Uza, Pasea, Besai,
die Söhne Ussas, die Söhne Paseachs, die Söhne Besais,
50 wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
die Söhne Asnas, die Söhne der Meunim, [d. h. der Meuniter; Maoniter] die Söhne der Nephisim, [Nach and. L.: Nephusim]
51 wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
die Söhne Bakbuks, die Söhne Hakuphas, die Söhne Harchurs,
52 wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
die Söhne Bazluths, die Söhne Mechidas, die Söhne Harschas,
53 wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
die Söhne Barkos, die Söhne Siseras, die Söhne Tamachs,
54 wazao wa Nesia na Hatifa.
die Söhne Neziachs, die Söhne Hatiphas.
55 Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
Die Söhne der Knechte Salomos: die Söhne Sotais, die Söhne Sophereths, die Söhne Perudas,
56 wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
die Söhne Jaalas, die Söhne Darkons, die Söhne Giddels,
57 wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
die Söhne Schephatjas, die Söhne Hattils, die Söhne Pokereths-Hazzebaim, die Söhne Amis.
58 Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
Alle Nethinim und Söhne der Knechte Salomos: 392.
59 Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
Und diese sind es, die aus Tel-Melach, Tel-Harscha, Kerub, Addan, Immer hinaufzogen; aber sie konnten ihr Vaterhaus und ihre Abkunft [Eig. ihren Samen] nicht angeben, ob sie aus Israel wären:
60 wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
die Söhne Delajas, die Söhne Tobijas, die Söhne Nekodas, 652.
61 Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
Und von den Söhnen der Priester: die Söhne Habajas, die Söhne Hakkoz, die Söhne Barsillais, der ein Weib von den Töchtern Barsillais, des Gileaditers, genommen hatte und nach ihrem Namen genannt wurde.
62 Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
Diese suchten ihr Geschlechtsregisterverzeichnis, aber es wurde nicht gefunden; und sie wurden von dem Priestertum als unrein ausgeschlossen.
63 Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
Und der Tirsatha ["Tirschatha" war der persische Titel des Statthalters oder Landpflegers] sprach zu ihnen, daß sie von dem Hochheiligen nicht essen dürften, bis ein Priester für die Urim und die Thummim aufstände.
64 Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
Die ganze Versammlung insgesamt war 42360,
65 tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
außer ihren Knechten und ihren Mägden; dieser waren 7337. Und sie hatten noch 200 Sänger und Sängerinnen.
66 Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
Ihrer Rosse waren 736, ihrer Maultiere 245,
67 ngamia 435 na punda 6,720.
ihrer Kamele 435, der Esel 6720.
68 Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
Und als sie zum Hause Jehovas in Jerusalem kamen, gaben einige von den Häuptern der Väter freiwillig für das Haus Gottes, um es an seiner Stätte aufzurichten.
69 Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
Nach ihrem Vermögen gaben sie für den Schatz des Werkes: an Gold 61000 Dariken [S. die Anm. zu 1. Chron. 29,7] und an Silber 5000 Minen, und 100 Priesterleibröcke.
70 Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.
Und die Priester und die Leviten und die aus dem Volke und die Sänger und die Torhüter und die Nethinim wohnten in ihren Städten; und ganz Israel wohnte in seinen Städten.

< Ezra 2 >