< Ezra 2 >

1 Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
Now these [are] the children of the province that went up from the captivity, of those who had been carried away, whom Nebuchadnezzar the king of Babylon had carried away to Babylon, and came again to Jerusalem and Judah, every one to his city;
2 wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
Who came with Zerubbabel: Jeshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Mordecai, Bilshan, Mizpar, Bigvai, Rehum, Baanah. The number of the men of the people of Israel:
3 wazao wa Paroshi 2,172
The children of Parosh, two thousand a hundred seventy and two.
4 wazao wa Shefatia 372
The children of Shephatiah, three hundred seventy and two.
5 wazao wa Ara 775
The children of Arah, seven hundred seventy and five.
6 wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
The children of Pahath-moab, of the children of Jeshua [and] Joab, two thousand eight hundred and twelve.
7 wazao wa Elamu 1,254
The children of Elam, a thousand two hundred fifty and four.
8 wazao wa Zatu 945
The children of Zattu, nine hundred forty and five.
9 wazao wa Zakai 760
The children of Zaccai, seven hundred and sixty.
10 wazao wa Bani 642
The children of Bani, six hundred forty and two.
11 wazao wa Bebai 623
The children of Bebai, six hundred twenty and three.
12 wazao wa Azgadi 1,222
The children of Azgad, a thousand two hundred twenty and two.
13 wazao wa Adonikamu 666
The children of Adonikam, six hundred sixty and six.
14 wazao wa Bigwai 2,056
The children of Bigvai, two thousand fifty and six.
15 wazao wa Adini 454
The children of Adin, four hundred fifty and four.
16 wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
The children of Ater of Hezekiah, ninety and eight.
17 wazao wa Besai 323
The children of Bezai, three hundred twenty and three.
18 wazao wa Yora 112
The children of Jorah, an hundred and twelve.
19 wazao wa Hashumu 223
The children of Hashum, two hundred twenty and three.
20 wazao wa Gibari 95
The children of Gibbar, ninety and five.
21 watu wa Bethlehemu 123
The children of Beth-lehem, a hundred twenty and three.
22 watu wa Netofa 56
The men of Netophah, fifty and six.
23 watu wa Anathothi 128
The men of Anathoth, a hundred twenty and eight.
24 watu wa Azmawethi 42
The children of Azmaveth, forty and two.
25 wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
The children of Kirjath-arim, Chephirah, and Beeroth, seven hundred and forty and three.
26 wazao wa Rama na Geba 621
The children of Ramah and Gaba, six hundred twenty and one.
27 watu wa Mikmashi 122
The men of Michmas, a hundred twenty and two.
28 watu wa Betheli na Ai 223
The men of Beth-el and Ai, two hundred twenty and three.
29 wazao wa Nebo 52
The children of Nebo, fifty and two.
30 wazao wa Magbishi 156
The children of Magbish, a hundred fifty and six.
31 wazao wa Elamu ile ingine 1,254
The children of the other Elam, a thousand two hundred fifty and four.
32 wazao wa Harimu 320
The children of Harim, three hundred and twenty.
33 wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
The children of Lod, Hadid, and Ono, seven hundred twenty and five.
34 wazao wa Yeriko 345
The children of Jericho, three hundred forty and five.
35 wazao wa Senaa 3,630
The children of Senaah, three thousand and six hundred and thirty.
36 Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
The priests: the children of Jedaiah, of the house of Jeshua, nine hundred seventy and three.
37 wazao wa Imeri 1,052
The children of Immer, a thousand fifty and two.
38 wazao wa Pashuri 1,247
The children of Pashur, a thousand two hundred forty and seven.
39 wazao wa Harimu 1,017
The children of Harim, a thousand and seventeen.
40 Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
The Levites: the children of Jeshua and Kadmiel, of the children of Hodaviah, seventy and four.
41 Waimbaji: wazao wa Asafu 128
The singers: the children of Asaph, a hundred twenty and eight.
42 Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
The children of the porters: the children of Shallum, the children of Ater, the children of Talmon, the children of Akkub, the children of Hatita, the children of Shobai, [in] all a hundred thirty and nine.
43 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
The Nethinims: the children of Ziha, the children of Hasupha, the children of Tabbaoth,
44 wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
The children of Keros, the children of Siaha, the children of Padon,
45 wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
The children of Lebanah, the children of Hagabah, the children of Akkub,
46 wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
The children of Hagab, the children of Shalmai, the children of Hanan,
47 wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
The children of Giddel, the children of Gahar, the children of Reaiah,
48 wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
The children of Rezin, the children of Nekoda, the children of Gazzam,
49 wazao wa Uza, Pasea, Besai,
The children of Uzza, the children of Paseah, the children of Besai,
50 wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
The children of Asnah, the children of Mehunim, the children of Nephusim,
51 wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
The children of Bakbuk, the children of Hakupha, the children of Harhur,
52 wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
The children of Bazluth, the children of Mehida, the children of Harsha,
53 wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
The children of Barkos, the children of Sisera, the children of Thamah,
54 wazao wa Nesia na Hatifa.
The children of Neziah, the children of Hatipha.
55 Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
The children of Solomon's servants: the children of Sotai, the children of Sophereth, the children of Peruda,
56 wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
The children of Jaalah, the children of Darkon, the children of Giddel,
57 wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
The children of Shephatiah, the children of Hattil, the children of Pochereth of Zebaim, the children of Ami.
58 Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
All the Nethinims, and the children of Solomon's servants, [were] three hundred ninety and two.
59 Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
And these [were] they who went up from Tel-melah, Tel-harsa, Cherub, Addan, [and] Immer: but they could not show their fathers' house, and their seed, whether they [were] of Israel:
60 wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
The children of Delaiah, the children of Tobiah, the children of Nekoda, six hundred fifty and two.
61 Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
And of the children of the priests: the children of Habaiah, the children of Koz, the children of Barzillai: who took a wife of the daughters of Barzillai the Gileadite, and was called after their name:
62 Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
These sought their register [among] those that were reckoned by genealogy, but they were not found: therefore were they, as polluted, put from the priesthood.
63 Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
And the Tirshatha said to them, that they should not eat of the most holy things, till there stood up a priest with Urim and with Thummim.
64 Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
The whole congregation together [was] forty and two thousand three hundred [and] sixty,
65 tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
Besides their servants and their maids, of whom [there were] seven thousand three hundred thirty and seven: and [there were] among them two hundred singing-men and singing-women.
66 Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
Their horses [were] seven hundred thirty and six; their mules, two hundred forty and five;
67 ngamia 435 na punda 6,720.
Their camels, four hundred thirty and five; [their] asses, six thousand seven hundred and twenty.
68 Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
And [some] of the chief of the fathers, when they came to the house of the LORD which [is] at Jerusalem, offered freely for the house of God to set it up in its place:
69 Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
They gave after their ability to the treasure of the work sixty and one thousand drams of gold, and five thousand pounds of silver, and one hundred priests garments.
70 Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.
So the priests, and the Levites, and [some] of the people, and the singers, and the porters, and the Nethinims, dwelt in their cities, and all Israel in their cities.

< Ezra 2 >