< Ezra 2 >

1 Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
and these son: descendant/people [the] province [the] to ascend: rise from captivity [the] captivity which to reveal: remove (Nebuchadnezzar *Q(K)*) king Babylon to/for Babylon and to return: return to/for Jerusalem and Judah man: anyone to/for city his
2 wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
which to come (in): come with Zerubbabel Jeshua Nehemiah Seraiah Reelaiah Mordecai Bilshan Mispar Bigvai Rehum Baanah number human people Israel
3 wazao wa Paroshi 2,172
son: descendant/people Parosh thousand hundred seventy and two
4 wazao wa Shefatia 372
son: descendant/people Shephatiah three hundred seventy and two
5 wazao wa Ara 775
son: descendant/people Arah seven hundred five and seventy
6 wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
son: descendant/people Pahath-moab Pahath-moab to/for son: descendant/people Jeshua Joab thousand eight hundred and two ten
7 wazao wa Elamu 1,254
son: descendant/people Elam thousand hundred fifty and four
8 wazao wa Zatu 945
son: descendant/people Zattu nine hundred and forty and five
9 wazao wa Zakai 760
son: descendant/people Zaccai seven hundred and sixty
10 wazao wa Bani 642
son: descendant/people Bani six hundred forty and two
11 wazao wa Bebai 623
son: descendant/people Bebai six hundred twenty and three
12 wazao wa Azgadi 1,222
son: descendant/people Azgad thousand hundred twenty and two
13 wazao wa Adonikamu 666
son: descendant/people Adonikam six hundred sixty and six
14 wazao wa Bigwai 2,056
son: descendant/people Bigvai thousand fifty and six
15 wazao wa Adini 454
son: descendant/people Adin four hundred fifty and four
16 wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
son: descendant/people Ater to/for Hezekiah ninety and eight
17 wazao wa Besai 323
son: descendant/people Bezai three hundred twenty and three
18 wazao wa Yora 112
son: descendant/people Jorah hundred and two ten
19 wazao wa Hashumu 223
son: descendant/people Hashum hundred twenty and three
20 wazao wa Gibari 95
son: descendant/people Gibbar ninety and five
21 watu wa Bethlehemu 123
son: descendant/people Bethlehem Bethlehem hundred twenty and three
22 watu wa Netofa 56
human Netophah fifty and six
23 watu wa Anathothi 128
human Anathoth hundred twenty and eight
24 watu wa Azmawethi 42
son: descendant/people Azmaveth forty and two
25 wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
son: descendant/people Kiriath-jearim Kiriath-jearim Chephirah and Beeroth seven hundred and forty and three
26 wazao wa Rama na Geba 621
son: descendant/people [the] Ramah and Geba six hundred twenty and one
27 watu wa Mikmashi 122
human Michmash hundred twenty and two
28 watu wa Betheli na Ai 223
human Bethel Bethel and [the] Ai hundred twenty and three
29 wazao wa Nebo 52
son: descendant/people Nebo fifty and two
30 wazao wa Magbishi 156
son: descendant/people Magbish hundred fifty and six
31 wazao wa Elamu ile ingine 1,254
son: descendant/people Elam another thousand hundred fifty and four
32 wazao wa Harimu 320
son: descendant/people Harim three hundred and twenty
33 wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
son: descendant/people Lod Hadid and Ono seven hundred twenty and five
34 wazao wa Yeriko 345
son: descendant/people Jericho three hundred forty and five
35 wazao wa Senaa 3,630
son: descendant/people Senaah three thousand and six hundred and thirty
36 Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
[the] priest son: descendant/people Jedaiah to/for house: household Jeshua nine hundred seventy and three
37 wazao wa Imeri 1,052
son: descendant/people Immer thousand fifty and two
38 wazao wa Pashuri 1,247
son: descendant/people Pashhur thousand hundred forty and seven
39 wazao wa Harimu 1,017
son: descendant/people Harim thousand and seven ten
40 Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
[the] Levi son: descendant/people Jeshua and Kadmiel to/for son: descendant/people Hodaviah seventy and four
41 Waimbaji: wazao wa Asafu 128
[the] to sing son: descendant/people Asaph hundred twenty and eight
42 Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
son: descendant/people [the] gatekeeper son: descendant/people Shallum son: descendant/people Ater son: descendant/people Talmon son: descendant/people Akkub son: descendant/people Hatita son: descendant/people Shobai [the] all hundred thirty and nine
43 Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
[the] temple servant son: descendant/people Ziha son: descendant/people Hasupha son: descendant/people Tabbaoth
44 wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
son: descendant/people Keros son: descendant/people Siaha son: descendant/people Padon
45 wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
son: descendant/people Lebanah son: descendant/people Hagabah son: descendant/people Akkub
46 wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
son: descendant/people Hagab son: descendant/people (Shalmai *Q(K)*) son: descendant/people Hanan
47 wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
son: descendant/people Giddel son: descendant/people Gahar son: descendant/people Reaiah
48 wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
son: descendant/people Rezin son: descendant/people Nekoda son: descendant/people Gazzam
49 wazao wa Uza, Pasea, Besai,
son: descendant/people Uzza son: descendant/people Paseah son: descendant/people Besai
50 wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
son: descendant/people Asnah son: descendant/people (Meunim *Q(K)*) son: descendant/people (Nephisim *Q(K)*)
51 wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
son: descendant/people Bakbuk son: descendant/people Hakupha son: descendant/people Harhur
52 wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
son: descendant/people Bazluth son: descendant/people Mehida son: descendant/people Harsha
53 wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
son: descendant/people Barkos son: descendant/people Sisera son: descendant/people Temah
54 wazao wa Nesia na Hatifa.
son: descendant/people Neziah son: descendant/people Hatipha
55 Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
son: descendant/people servant/slave Solomon son: descendant/people Sotai son: descendant/people [the] Sophereth son: descendant/people Peruda
56 wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
son: descendant/people Jaalah son: descendant/people Darkon son: descendant/people Giddel
57 wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
son: descendant/people Shephatiah son: descendant/people Hattil son: descendant/people Pochereth-hazzebaim Pochereth-hazzebaim son: descendant/people Ami
58 Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
all [the] temple servant and son: descendant/people servant/slave Solomon three hundred ninety and two
59 Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
and these [the] to ascend: rise from Tel-melah Tel-melah Tel-harsha Tel-harsha Cherub Addan Immer and not be able to/for to tell house: household father their and seed: children their if from Israel they(masc.)
60 wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
son: descendant/people Delaiah son: descendant/people Tobiah son: descendant/people Nekoda six hundred fifty and two
61 Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
and from son: descendant/people [the] priest son: descendant/people Habaiah son: descendant/people Hakkoz son: descendant/people Barzillai which to take: marry from daughter Barzillai [the] Gileadite woman: wife and to call: call by upon name their
62 Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
these to seek writing their [the] to enroll and not to find and to defile from [the] priesthood
63 Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
and to say [the] governor to/for them which not to eat from holiness [the] holiness till to stand: appoint priest to/for Urim and to/for Thummim
64 Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
all [the] assembly like/as one four ten thousand thousand three hundred sixty
65 tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
from to/for alone: besides servant/slave their and maidservant their these seven thousand three hundred thirty and seven and to/for them to sing and to sing hundred
66 Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
horse their seven hundred thirty and six mule their hundred forty and five
67 ngamia 435 na punda 6,720.
camel their four hundred thirty and five donkey six thousand seven hundred and twenty
68 Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
and from head: leader [the] father in/on/with to come (in): come they to/for house: temple LORD which in/on/with Jerusalem be willing to/for house: temple [the] God to/for to stand: stand him upon foundation his
69 Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
like/as strength their to give: give to/for treasure [the] work gold drachma six ten thousand and thousand and silver: money mina five thousand and tunic priest hundred
70 Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.
and to dwell [the] priest and [the] Levi and from [the] people and [the] to sing and [the] gatekeeper and [the] temple servant in/on/with city their and all Israel in/on/with city their

< Ezra 2 >