< Ezra 10 >

1 Wakati Ezra alipokuwa anaomba na kuungama, huku akilia na kujitupa chini mbele ya nyumba ya Mungu, umati mkubwa wa Waisraeli, wanaume, wanawake na watoto walikusanyika kumzunguka. Nao pia wakalia sana.
پس چون عزرا دعا و اعتراف می‌نمود وگریه‌کنان پیش خانه خدا رو به زمین نهاده بود، گروه بسیار عظیمی از مردان و زنان واطفال اسرائیل نزد وی جمع شدند، زیرا قوم زارزار می‌گریستند.۱
2 Kisha Shekania mwana wa Yehieli, mmoja wa wazao wa Elamu, akamwambia Ezra, “Tumekosa uaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni kutoka mataifa yanayotuzunguka. Lakini pamoja na hili, bado liko tumaini kwa ajili ya Israeli.
و شکنیا ابن یحئیل که ازبنی عیلام بود جواب داد و به عزرا گفت: «ما به خدای خویش خیانت ورزیده، زنان غریب ازقومهای زمین گرفته‌ایم، لیکن الان امیدی برای اسرائیل در این باب باقی است.۲
3 Sasa na tufanye agano mbele za Mungu wetu kuwafukuza hawa wanawake wote pamoja na watoto wao, kulingana na maonyo ya bwana wangu pamoja na wale ambao wanaogopa amri za Mungu wetu. Hili na lifanyike sawasawa na hii Sheria.
پس حال باخدای خویش عهد ببندیم که آن زنان و اولادایشان را برحسب مشورت آقایم و آنانی که از امرخدای ما می‌ترسند دور کنیم و موافق شریعت عمل نماییم.۳
4 Inuka, suala hili lipo mikononi mwako. Sisi tutaungana nawe, uwe na ujasiri ukatende hili.”
برخیز زیرا که این کار تو است و مابا تو می‌باشیم. پس قوی‌دل باش و به‌کار بپرداز.»۴
5 Basi Ezra akainuka na kuwaapisha makuhani viongozi, Walawi na Israeli yote kufanya lile lililokuwa limependekezwa. Nao wakaapa.
آنگاه عزرا برخاسته، روسای کهنه و لاویان و تمامی اسرائیل را قسم داد که برحسب این سخن عمل نمایند، پس قسم خوردند.۵
6 Ndipo Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu akaenda kwenye chumba cha Yehohanani mwana wa Eliashibu. Wakati alipokuwa hapo, hakula chakula wala hakunywa maji, kwa sababu aliendelea kuomboleza kuhusu kukosa uaminifu kwa watu wa uhamishoni.
و عزرا ازپیش روی خانه خدا برخاسته، به حجره یهوحانان بن الیاشیب رفت و نان نخورده و آب ننوشیده، به آنجا رفت، زیرا که به‌سبب تقصیراسیران ماتم گرفته بود.۶
7 Ndipo lilipotolewa tangazo Yuda yote na Yerusalemu kwa watu wote waliokuwa uhamishoni kukusanyika Yerusalemu.
و به همه اسیران در یهوداو اورشلیم ندا دردادند که به اورشلیم جمع شوند.۷
8 Yeyote ambaye hangejitokeza kwa muda wa siku tatu angepoteza mali yake yote, kulingana na uamuzi wa maafisa na wazee, naye mtu huyo angefukuzwa kutoka kusanyiko la watu waliokuwa uhamishoni.
و هر کسی‌که تا روز سوم، برحسب مشورت سروران و مشایخ حاضر نشود، اموال او ضبطگردد و خودش از جماعت اسیران جدا شود.۸
9 Katika muda wa siku tatu, watu wote wa Yuda na Benyamini wakawa wamekusanyika huko Yerusalemu. Kwenye siku ya ishirini ya mwezi wa tisa, watu wote walikuwa wameketi ndani ya uwanja mbele ya nyumba ya Mungu, wakiwa na majonzi mno kwa tukio hilo na kwa sababu ya mvua kubwa.
پس در روز سوم که روز بیستم ماه نهم بود، همه مردان یهودا و بنیامین در اورشلیم جمع شدند وتمامی قوم در سعه خانه خدا نشستند. و به‌سبب این امر و به‌سبب باران، سخت می‌لرزیدند.۹
10 Ndipo Kuhani Ezra aliposimama akawaambia, “Mmekosa uaminifu, mmeoa wanawake wa kigeni, mkaongezea hatia ya Israeli.
آنگاه عزرای کاهن برخاسته، به ایشان گفت: «شما خیانت ورزیده و زنان غریب گرفته، جرم اسرائیل را افزوده‌اید.۱۰
11 Sasa tubuni kwa Bwana, Mungu wa baba zenu mkafanye mapenzi yake. Jitengeni na mataifa wanaowazunguka na wake zenu wa kigeni.”
پس الان یهوه خدای پدران خود را تمجید نمایید و به اراده او عمل کنید و خویشتن را از قومهای زمین و از زنان غریب جدا سازید.»۱۱
12 Kusanyiko lote likajibu kwa sauti kubwa: “Uko sawa kabisa! Ni lazima tufanye kama unavyosema.
تمامی جماعت به آواز بلند جواب دادند وگفتند: «چنانکه به ما گفته‌ای همچنان عمل خواهیم نمود.۱۲
13 Lakini hapa pana watu wengi na ni wakati wa mvua, hivyo hatuwezi kusimama nje. Hata hivyo, shauri hili haliwezi kumalizika kwa siku moja au mbili, kwa sababu tumefanya dhambi kubwa katika jambo hili.
اما خلق بسیارند و وقت باران است و طاقت نداریم که بیرون بایستیم و این امرکار یک یا دو روز نیست، زیرا که در این باب گناه عظیمی کرده‌ایم.۱۳
14 Maafisa wetu na wafanye kwa niaba ya kusanyiko lote. Kisha kila mmoja katika miji yetu ambaye ameoa mwanamke wa kigeni aje kwa wakati uliopangwa, akiwa pamoja na wazee na waamuzi wa kila mji, hadi hasira kali ya Mungu wetu katika shauri hili itakapoondolewa kwetu.”
پس سروران ما برای تمامی جماعت تعیین بشوند و جمیع کسانی که درشهرهای ما زنان غریب گرفته‌اند، در وقت های معین بیایند و مشایخ و داوران هر شهر همراه ایشان بیایند، تا حدت خشم خدای ما درباره این امر از ما رفع گردد.»۱۴
15 Yonathani mwana wa Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa peke yao, wakiungwa mkono na Meshulamu na Shabethai Mlawi, ndio waliopinga jambo hili.
لهذا یوناتان بن عسائیل و یحزیا ابن تقوه براین امر معین شدند و مشلام و شبتائی لاوی، ایشان را اعانت نمودند.۱۵
16 Basi watu wa uhamishoni wakafanya kama ilivyokuwa imependekezwa. Kuhani Ezra akachagua wanaume waliokuwa viongozi wa jamaa, mmoja kutoka kila mgawanyo wa jamaa, nao wote wakachaguliwa kwa majina. Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi waliketi kuchunguza mashauri hayo.
و اسیران چنین کردندو عزرای کاهن و بعضی از روسای آبا، برحسب خاندانهای آبای خود منتخب شدند و نامهای همه ایشان ثبت گردید. پس در روز اول ماه دهم، برای تفتیش این امر نشستند.۱۶
17 Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kushughulikia wanaume wote waliokuwa wameoa wanawake wa kigeni.
و تا روز اول ماه اول، کار همه مردانی را که زنان غریب گرفته بودند، به اتمام رسانیدند.۱۷
18 Miongoni mwa wazao wa makuhani, wafuatao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni: Kutoka wazao wa Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zake: Maaseya, Eliezeri, Yaribu na Gedalia.
و بعضی از پسران کاهنان پیدا شدند که زنان غریب گرفته بودند. ازبنی یشوع بن یوصاداق و برادرانش معسیا و الیعزرو یاریب و جدلیا.۱۸
19 (Wote walitoa nadhiri kwa kuandika kwa mikono yao kuwafukuza wake zao, kwa hatia yao, kila mmoja akatoa kondoo dume kutoka kundini mwake kama sadaka ya hatia.)
و ایشان دست دادند که زنان خود را بیرون نمایند و قوچی به جهت قربانی جرم خود گذرانیدند.۱۹
20 Kutoka wazao wa Imeri: Hanani na Zebadia.
و از بنی امیر، حنانی و زبدیا.۲۰
21 Kutoka wazao wa Harimu: Maaseya, Eliya, Shemaya, Yehieli na Uzia.
و ازبنی حاریم، معسیا و ایلیا و شمعیا و یحیئیل وعزیا.۲۱
22 Kutoka wazao wa Pashuri: Elioenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.
و از بنی فشحور، الیوعینای و معسیا واسمعیل و نتنئیل و یوزاباد و العاسه.۲۲
23 Miongoni mwa Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
و ازلاویان، یوزاباد و شمعی و قلایا که قلیطا باشد. وفتحیا و یهودا و الیعزر.۲۳
24 Kutoka waimbaji: Eliashibu. Kutoka mabawabu: Shalumu, Telemu na Uri.
و از مغنیان، الیاشیب واز دربانان، شلوم و طالم و اوری.۲۴
25 Miongoni mwa Waisraeli wengine: Kutoka wazao wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.
و اما ازاسرائیلیان: از بنی فرعوش، رمیا و یزیا و ملکیا ومیامین و العازار و ملکیا و بنایا.۲۵
26 Kutoka wazao wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Eliya.
و از بنی عیلام، متنیا و زکریا و یحیئیل و عبدی و یریموت و ایلیا.۲۶
27 Kutoka wazao wa Zatu: Elioenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi na Aziza.
و از بنی زتو، الیوعینای و الیاشیب و متنیا ویریموت و زاباد و عزیزا.۲۷
28 Kutoka uzao wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.
و از بنی بابای، یهوحانان و حننیا و زبای و عتلای.۲۸
29 Kutoka wazao wa Bani: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.
و ازبنی بانی، مشلام و ملوک و عدایا و یاشوب و شال و راموت.۲۹
30 Kutoka wazao wa Pahath-Moabu: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Bezaleli, Binui na Manase.
و از بنی فحت، موآب عدنا و کلال وبنایا و معسیا و متنیا و بصلئیل و بنوی و منسی.۳۰
31 Kutoka wazao wa Harimu: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,
و از بنی حاریم، الیعزر و اشیا و ملکیا و شمعیا وشمعون.۳۱
32 Benyamini, Maluki, na Shemaria.
و بنیامین و ملوک و شمریا.۳۲
33 Kutoka wazao wa Hashumu: Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.
ازبنی حاشوم، متنای و متاته و زاباد و الیفلط ویریمای و منسی و شمعی.۳۳
34 Kutoka wazao wa Bani: Maadai, Amramu, Ueli,
از بنی بانی، معدای و عمرام و اوئیل.۳۴
35 Benaya, Bedeya, Keluhi,
و بنایا و بیدیا وکلوهی.۳۵
36 Vania, Meremothi, Eliashibu,
و ونیا و مریموت و الیاشیب.۳۶
37 Matania, Matenai na Yaasu.
ومتنیا و متنای و یعسو.۳۷
38 Kutoka wazao wa Binui: Shimei,
و بانی و بنوی و شمعی.۳۸
39 Shelemia, Nathani, Adaya,
و شلمیا و ناتان و عدایا.۳۹
40 Maknadebai, Shashai, Sharai,
ومکندبای و شاشای و شارای.۴۰
41 Azareli, Shelemia, Shemaria,
و عزرئیل وشلمیا و شمریا.۴۱
42 Shalumu, Amaria na Yosefu.
و شلوم و امریا و یوسف.۴۲
43 Kutoka wazao wa Nebo: Yeieli, Matithia, Zabadi, Zebina, Yadai, Yoeli na Benaya.
از بنی نبو، یعیئیل و متتیا و زاباد و زبینا و یدوو یوئیل و بنایا.۴۳
44 Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni, na baadhi yao walikuwa wamezaa nao watoto.
جمیع اینها زنان غریب گرفته بودند و بعضی از ایشان زنانی داشتند که از آنهاپسران تولید نموده بودند.۴۴

< Ezra 10 >