< Ezra 10 >
1 Wakati Ezra alipokuwa anaomba na kuungama, huku akilia na kujitupa chini mbele ya nyumba ya Mungu, umati mkubwa wa Waisraeli, wanaume, wanawake na watoto walikusanyika kumzunguka. Nao pia wakalia sana.
Hahoi Cathut im koelah kangvawi teh, tabo teh, ka laihoi Ezra ni yon ngaithoumnae a kâhei. Hatnavah Isarelnaw tamihupui napui, tongpa, camonaw ahni koe a kâracut awh teh, tamihupui teh puenghoi a khuika awh.
2 Kisha Shekania mwana wa Yehieli, mmoja wa wazao wa Elamu, akamwambia Ezra, “Tumekosa uaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni kutoka mataifa yanayotuzunguka. Lakini pamoja na hili, bado liko tumaini kwa ajili ya Israeli.
Elam catoun thung hoi Jehiel capa Shekaniah ni Ezra koevah, maimouh Cathut koevah yon sak awh tangngak toe, hahoi hete ram dawk e miphun alouke canunaw hah yu lah paluen awh toe. Hatei Isarelnaw hanelah ngaihawinae ao rah doeh.
3 Sasa na tufanye agano mbele za Mungu wetu kuwafukuza hawa wanawake wote pamoja na watoto wao, kulingana na maonyo ya bwana wangu pamoja na wale ambao wanaogopa amri za Mungu wetu. Hili na lifanyike sawasawa na hii Sheria.
Hatdawkvah, bawipa ni pouknae na poe e patetlah Cathut e kâpoelawk ka bari e tami ni, yucanaw ceitakhai vaiteh maimae Cathut koe lawkkamnae sak awh vaiteh kâlawk patetlah tarawi awh sei.
4 Inuka, suala hili lipo mikononi mwako. Sisi tutaungana nawe, uwe na ujasiri ukatende hili.”
Thaw leih, bangkongtetpawiteh, hete heh nange thaw doeh, kaimouh hai nang koe lah doeh kampang awh. Lung kacakcalah awm nateh, tawk leih, telah ati awh.
5 Basi Ezra akainuka na kuwaapisha makuhani viongozi, Walawi na Israeli yote kufanya lile lililokuwa limependekezwa. Nao wakaapa.
Hahoi, Ezra a thaw teh, vaihma bawinaw, Levih miphunnaw hoi Isarel taminaw abuemlah, hote lawk patetlah lawkkamnae a sak sak teh, Hot patetlah lawkkamnae a sak awh.
6 Ndipo Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu akaenda kwenye chumba cha Yehohanani mwana wa Eliashibu. Wakati alipokuwa hapo, hakula chakula wala hakunywa maji, kwa sababu aliendelea kuomboleza kuhusu kukosa uaminifu kwa watu wa uhamishoni.
Hahoi, Ezra ni Cathut e im dawk hoi a thaw teh, Eliashib capa Jehohanan e imthung a kâen teh, hawvah rawca hai cat hoeh, tui hai net laipalah ao. Bangkongtetpawiteh, san dawk hoi ka hlout e taminaw yonnae kecu dawk khuika laihoi ao.
7 Ndipo lilipotolewa tangazo Yuda yote na Yerusalemu kwa watu wote waliokuwa uhamishoni kukusanyika Yerusalemu.
San dawk hoi ka hlout e taminaw pueng Jerusalem vah kamkhueng hanelah,
8 Yeyote ambaye hangejitokeza kwa muda wa siku tatu angepoteza mali yake yote, kulingana na uamuzi wa maafisa na wazee, naye mtu huyo angefukuzwa kutoka kusanyiko la watu waliokuwa uhamishoni.
Kahrawikungnaw hoi kacuenaw ni a dei e patetlah hnin 3 touh thung ka tho hoeh e tami teh, san hloutnae dawk hoi pâlei vaiteh, a tawnta e hnopai pueng lawp vaiteh, ama hai pâlei lah ao han telah, Jerusalem hoi kamtawng teh Judah ram totouh a pathang awh.
9 Katika muda wa siku tatu, watu wote wa Yuda na Benyamini wakawa wamekusanyika huko Yerusalemu. Kwenye siku ya ishirini ya mwezi wa tisa, watu wote walikuwa wameketi ndani ya uwanja mbele ya nyumba ya Mungu, wakiwa na majonzi mno kwa tukio hilo na kwa sababu ya mvua kubwa.
Hot patetvanlah Judahnaw hoi Benjamin miphun tongpanaw teh hnin 3 touh thung Jerusalem vah a kamkhueng awh. Thapa yung 9, hnin 21 nah kho puenghoi a rak dawkvah, taminaw teh Cathut e im hmalah sut a tahung awh teh a pâyaw awh.
10 Ndipo Kuhani Ezra aliposimama akawaambia, “Mmekosa uaminifu, mmeoa wanawake wa kigeni, mkaongezea hatia ya Israeli.
Hatnavah, vaihma Ezra ni a thaw teh ahnimouh koevah yonnae na sak awh toe, Isarel miphun dawk yonnae a len nahanelah miphun alouke napuinaw hoi na kâpaluen awh.
11 Sasa tubuni kwa Bwana, Mungu wa baba zenu mkafanye mapenzi yake. Jitengeni na mataifa wanaowazunguka na wake zenu wa kigeni.”
Hatdawkvah, mintoenaw e BAWIPA Cathut koe yon ngaithoum het awh, a ngainae hah sak awh nateh, hete ram dawk e miphun alouke e na yunaw hoi kâkapek awh, telah ati.
12 Kusanyiko lote likajibu kwa sauti kubwa: “Uko sawa kabisa! Ni lazima tufanye kama unavyosema.
Hahoi, taminaw ni puenghoi kacailah a dei awh e teh, bokheiyah na dei e patetlah ka sak awh roeroe han.
13 Lakini hapa pana watu wengi na ni wakati wa mvua, hivyo hatuwezi kusimama nje. Hata hivyo, shauri hili haliwezi kumalizika kwa siku moja au mbili, kwa sababu tumefanya dhambi kubwa katika jambo hili.
Hateiteh, tami moipap awh teh khoraknae tueng lahai bout ao, alawilah kaimouh pou kangdout thai mahoeh, hahoi hnin hnin touh hoi sak hane lahai tho hoeh, bangkongtetpawiteh, hete hno dawk tami moikapap ni yonnae sak awh toe.
14 Maafisa wetu na wafanye kwa niaba ya kusanyiko lote. Kisha kila mmoja katika miji yetu ambaye ameoa mwanamke wa kigeni aje kwa wakati uliopangwa, akiwa pamoja na wazee na waamuzi wa kila mji, hadi hasira kali ya Mungu wetu katika shauri hili itakapoondolewa kwetu.”
Tamimaya e yueng lah kahrawikungnaw ni mah na pouk pouh lawiseh. Kaimae lathueng vah kalenpounge BAWIPA lungkhueknae a roum nahanelah mae kho dawk Jentelnaw yu lah paluen e khonaw dawk e kahrawikungnaw hoi lawkcengkungnaw ni a tueng khoe e dawk rip tho awh naseh telah, ati awh.
15 Yonathani mwana wa Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa peke yao, wakiungwa mkono na Meshulamu na Shabethai Mlawi, ndio waliopinga jambo hili.
Asahel capa Jonathan hoi Tikvah capa Jahaziah ni hnâ bawt roi hoeh, hatei Levih miphun Meshullam hoi Shabbethai ni teh hnâ a bo roi.
16 Basi watu wa uhamishoni wakafanya kama ilivyokuwa imependekezwa. Kuhani Ezra akachagua wanaume waliokuwa viongozi wa jamaa, mmoja kutoka kila mgawanyo wa jamaa, nao wote wakachaguliwa kwa majina. Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi waliketi kuchunguza mashauri hayo.
Hahoi san dawk hoi kahloutnaw ni hottelah a sak awh. Vaihma Ezra ni imthung kahrawikungnaw thung hoi minnaw a la e patetlah thapa ayung 10 nae, apasuek hnin navah hote kong kâdei hanelah a kamkhueng awh.
17 Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kushughulikia wanaume wote waliokuwa wameoa wanawake wa kigeni.
Hahoi Thapa yung pasuek, apasuek hnin nah, miphun alouke yu lah ka lat e kong kâdei e teh a cum awh.
18 Miongoni mwa wazao wa makuhani, wafuatao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni: Kutoka wazao wa Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zake: Maaseya, Eliezeri, Yaribu na Gedalia.
Hahoi, vaihma capanaw thung dawk hoi miphun alouke yu lah ka lat e taminaw teh, Jeshua hoi a hmaunawngha thung e Jozadak capa hoi a hmaunawngha Maaseiah, Eliezer, Jarib hoi Gedaliah tinaw doeh.
19 (Wote walitoa nadhiri kwa kuandika kwa mikono yao kuwafukuza wake zao, kwa hatia yao, kila mmoja akatoa kondoo dume kutoka kundini mwake kama sadaka ya hatia.)
Ahnimanaw ni a yunaw kapek hanelah lawk a kam awh. Yon pâphonae dawk ngaithoum lah o nahanelah, tutan buet touh hoi thuengnae a sak awh.
20 Kutoka wazao wa Imeri: Hanani na Zebadia.
Immer catoun thung hoi Hanani hoi Zebadiah.
21 Kutoka wazao wa Harimu: Maaseya, Eliya, Shemaya, Yehieli na Uzia.
Harim catoun thung hoi Maaseiah, Elijah, Shemaiah, Jehiel hoi Uzziah.
22 Kutoka wazao wa Pashuri: Elioenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.
Pashhur catoun thung hoi Elioenai, Maaseiah, Ishmael, Nethanel, Jozabad hoi Eleasah tinaw doeh.
23 Miongoni mwa Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
Levih miphunnaw thung hoi Jozabad, Shimei, Kalaiah, Pethahiah, Judah hoi Eliezer tinaw doeh.
24 Kutoka waimbaji: Eliashibu. Kutoka mabawabu: Shalumu, Telemu na Uri.
La kasaknaw thung hoi Eliashib, longkha karingkungnaw thung hoi Telem hoi Uri tinaw doeh.
25 Miongoni mwa Waisraeli wengine: Kutoka wazao wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.
Isarelnaw thung hoi Parosh capa thung hoi Ramiah, Jeriah, Malkhijah hoi Benaiah.
26 Kutoka wazao wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Eliya.
Elam capa thung hoi Mattaniah, Zekhariah, Jehiel, Abdi, Jerimoth hoi Elijah tinaw doeh.
27 Kutoka wazao wa Zatu: Elioenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi na Aziza.
Zattu capanaw thung hoi Elioenai, Eliashib, Mattaniah Jerimoth, Zabad hoi Aziza tinaw doeh.
28 Kutoka uzao wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.
Bebai capanaw thung hoi Jehohanan, Hananiah, Zabai hoi Athlai.
29 Kutoka wazao wa Bani: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.
Bani capanaw thung hoi Meshullam, Malluck, Adaiah, Joshub, Sheal hoi Jerimoth tinaw doeh.
30 Kutoka wazao wa Pahath-Moabu: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Bezaleli, Binui na Manase.
Phathmoab capanaw thung hoi Adna, Khelal, Benaiah, Maaseiah, Mattaniah, Bezalel, Binnui, hoi Manasseh tinaw doeh.
31 Kutoka wazao wa Harimu: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,
Harim capanaw thung hoi Eliezer, Isshijah, Malkhijah, Shemaiah, Simeon.
32 Benyamini, Maluki, na Shemaria.
Benjamin, Malluck hoi Shemariah tinaw doeh.
33 Kutoka wazao wa Hashumu: Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.
Hashum capanaw thung hoi Mattenai, Mattattah, Zabad, Eliphelet, Jeremai, Manasseh hoi Shimei tinaw doeh.
34 Kutoka wazao wa Bani: Maadai, Amramu, Ueli,
Bani capanaw thung hoi Maadai, Amram, Uel.
35 Benaya, Bedeya, Keluhi,
Benaiah, Bedeiah, Kheluh.
36 Vania, Meremothi, Eliashibu,
Vaniah, Meremoth, Eliashib.
37 Matania, Matenai na Yaasu.
Mattaniah, Mattenai, Jaasu.
38 Kutoka wazao wa Binui: Shimei,
Bani, Binnui, Shimei.
39 Shelemia, Nathani, Adaya,
Shelemiah, Nathan, Adaiah.
40 Maknadebai, Shashai, Sharai,
Maknadebai, shashai, Sharai.
41 Azareli, Shelemia, Shemaria,
Azarel, Shelemiah, Shemariah.
42 Shalumu, Amaria na Yosefu.
Shallum, Amariah, hoi Joseph tinaw doeh.
43 Kutoka wazao wa Nebo: Yeieli, Matithia, Zabadi, Zebina, Yadai, Yoeli na Benaya.
Nebo capanaw thung hoi Jeiel, Mattithiah, Zabad, Zebina, Iddo, Joel hoi Benaiah tinaw doeh.
44 Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni, na baadhi yao walikuwa wamezaa nao watoto.
Hetnaw pueng teh miphun alouke yu lah ka lat e taminaw doeh, tami tangawn ni a yunaw koehoi ca catoun a hmu awh.