< Ezra 1 >
1 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la Bwana lililosemwa na nabii Yeremia, Bwana aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:
В лето первое Кира царя Персскаго, да исполнится слово Господне от уст Иеремииных, воздвиже Господь дух Кира царя Персскаго, и повеле проповедати во всем царствии своем, и писаньми, глаголя:
2 “Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi: “‘Bwana, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda.
сия глаголет Кир царь Персский: вся царства земная даде мне Господь Бог небесный, и Той повеле ми, да созижду Ему дом во Иерусалиме, иже во Иудеи:
3 Yeyote wa watu wake miongoni mwenu, Mungu wake na awe pamoja naye, wacha apande kwenda Yerusalemu katika Yuda na kujenga Hekalu la Bwana, Mungu wa Israeli, Mungu aliyeko huko Yerusalemu.
кто в вас от всех людий Его? И будет Бог его с ним, и да взыдет во Иерусалим, иже во Иудеи, и да созиждет дом Богу Израилеву, Той есть Бог, Иже во Иерусалиме:
4 Nao watu wa mahali popote wale walionusurika wanapoishi sasa, watu hao wampe fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, mbali na sadaka za hiari kwa ajili ya Hekalu la Mungu huko Yerusalemu.’”
и всяк оставшийся от всех мест, идеже той обитает, и да помогут ему мужие от места его сребром и златом, и сосуды и скоты, с добровольными обещании (принесут) в церковь Божию, яже во Иерусалиме.
5 Kisha viongozi wa jamaa ya Yuda na Benyamini na makuhani na Walawi kila mmoja ambaye moyo wake ulisukumwa na Mungu, akajiandaa kupanda ili kuijenga nyumba ya Bwana huko Yerusalemu.
И восташа князи отечеств Иудиных и Вениаминих и священницы и левити, и вси, имже воздвиже Бог дух их, да взыдут созиданию церкве Господни, яже во Иерусалиме:
6 Majirani zao wote wakawasaidia vyombo vya fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, pia na zawadi za thamani, pamoja na sadaka zote za hiari.
и вси, иже бяху окрест, помогоша рукам их сосуды сребрбяными, златом, потребными, и скотами, и драгими вещми, кроме добровольных.
7 Zaidi ya hayo, Mfalme Koreshi akavitoa vyombo vilivyokuwa mali ya Hekalu la Bwana, ambavyo Nebukadneza alikuwa amevichukua kutoka Yerusalemu na kuviweka katika hekalu la mungu wake.
И царь Кир изнесе сосуды церкве Господни, ихже взя Навуходоносор из Иерусалима и положи тыя в церкви бога своего:
8 Koreshi mfalme wa Uajemi akavitoa kwa mkono wa Mithredathi mtunza hazina, aliyevihesabu mbele ya Sheshbaza mkuu wa Yuda.
изнесе же тыя Кир царь Персский рукою Мифридата Гасваринова, и сочте тыя Сасавассару князю Иудейску.
9 Hii ilikuwa ndio orodha ya vifaa: masinia ya dhahabu yalikuwa 30 masinia ya fedha yalikuwa 1,000 vyetezo vya fedha vilikuwa 29
И сие число их: умывалниц златых тридесять, умывалниц же сребряных тысяща, ножей двадесять девять,
10 mabakuli ya dhahabu yalikuwa 30 mabakuli ya fedha yanayofanana yalikuwa 410 vifaa vingine vilikuwa 1,000.
и чаш златых тридесять, и сребряных двойных четыреста десять, и сосудов иных тысяща:
11 Kwa ujumla, kulikuwa na vyombo 5,400 vya dhahabu na vya fedha. Sheshbaza akavileta hivi vyote wakati watu walipotoka uhamishoni Babeli kwenda Yerusalemu.
всех сосудов златых и сребряных пять тысящ и четыреста, вся взя с собою Сасавассар от преселения Вавилонскаго во Иерусалим.