< Ezra 1 >

1 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la Bwana lililosemwa na nabii Yeremia, Bwana aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:
Ode bisili amoga Sailase da Besia soge ouligisu, Hina Gode Ea balofede (Gode Sia: Alofesu dunu) Yelemaiama musa: sia: i liligi da amo defele doaga: i dagoi ba: i. E da Sailase ea asigi dawa: su olelebeba: le, Sailase da ea fidisu dunuma ilia da sia: amo dedene, ea soge amo ganodini dunu huluane nabima: ne idili ima: ne sia: i. Ea sia: da agoane dedei,
2 “Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi: “‘Bwana, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda.
“Na, Sailase, Besia hina bagade da dilima sia: sa. Hina Gode, Hebene amoga Hina esala, amo da na osobo bagade fifi asi gala huluane ilima hina esaloma: ne hamoi dagoi. Amola E da na Yelusaleme moilai bai bagadega Ea Debolo diasu gaguma: ne sia: i.
3 Yeyote wa watu wake miongoni mwenu, Mungu wake na awe pamoja naye, wacha apande kwenda Yerusalemu katika Yuda na kujenga Hekalu la Bwana, Mungu wa Israeli, Mungu aliyeko huko Yerusalemu.
Gode da dilia Ea hou lalegagui dunu huluane noga: le fidimu da defea. Dilia Yelusaleme moilai bai bagade amoga asili, Hina Gode Ea Debolo diasu mugului amo bu gaguma. Hina Gode da Isala: ili dunu ilia Gode amola ilia da Yelusaleme amo ganodini, Ema nodone sia: ne gadolala.
4 Nao watu wa mahali popote wale walionusurika wanapoishi sasa, watu hao wampe fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, mbali na sadaka za hiari kwa ajili ya Hekalu la Mungu huko Yerusalemu.’”
Gode Ea fi dunu ilia gadenene fi na: iyado dunu da mugululi asi dunu ilia masa: ne logo fidimu da defea. Ilia da silifa, gouli amola ohe fi ilia liligi gaguli masa: ne amola ilima imunu da defea. Amola Gode Ea Debolo diasu amo ganodini, Godema ima: ne liligi ilima imunu da defea.”
5 Kisha viongozi wa jamaa ya Yuda na Benyamini na makuhani na Walawi kila mmoja ambaye moyo wake ulisukumwa na Mungu, akajiandaa kupanda ili kuijenga nyumba ya Bwana huko Yerusalemu.
Amalalu, Yuda fi bisilua dunu, Bediamini fi bisilua dunu, gobele salasu dunu, Lifai fi dunu amola dunu eno huluane amo Gode da ilia dogoga sia: i dunu, ilia da Yelusalemega Hina Gode Ea Debolo diasu gagumusa: masa: ne, liligi momagei dagoi.
6 Majirani zao wote wakawasaidia vyombo vya fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, pia na zawadi za thamani, pamoja na sadaka zote za hiari.
Ilia na: iyado dunu da ili fidi. Ilia da ilima liligi bagohame iasu. Ilia da silifa yaeya, gouli, ha: i manu, ohe fi ilia liligi gaguli masa: ne amola noga: i liligi eno Debolo ganodini Godema ima: ne liligi, ilima iasu.
7 Zaidi ya hayo, Mfalme Koreshi akavitoa vyombo vilivyokuwa mali ya Hekalu la Bwana, ambavyo Nebukadneza alikuwa amevichukua kutoka Yerusalemu na kuviweka katika hekalu la mungu wake.
Musa: , hina bagade Nebiuga: denese da amo gouli, silifa amola ofodo amo lale, hina: ogogosu ‘gode’ ilia debolo diasu ganodini salasu. Sailase da amo liligi lale, Yu dunuma bu i.
8 Koreshi mfalme wa Uajemi akavitoa kwa mkono wa Mithredathi mtunza hazina, aliyevihesabu mbele ya Sheshbaza mkuu wa Yuda.
Sailase da liligi huluane gaguli misini, Besia muni ouligisu dunu Midilida: de ema i. Midilida: de da amo liligi dedenanu, Yuda ouligisu dunu amo Sesebaisa ema i.
9 Hii ilikuwa ndio orodha ya vifaa: masinia ya dhahabu yalikuwa 30 masinia ya fedha yalikuwa 1,000 vyetezo vya fedha vilikuwa 29
Liligi idi da agoane gala, Gouliga hamoi ofodo (Godema iabe salasu) ...30 Silifaga hamoi ofodo (Godema iabe salasu) ...1,000 Ofodo eno...29 Gouli ofodo fonobahadi...30 Silifa ofodo fonobahadi...410 Eno sasali liligi...1,000
10 mabakuli ya dhahabu yalikuwa 30 mabakuli ya fedha yanayofanana yalikuwa 410 vifaa vingine vilikuwa 1,000.
11 Kwa ujumla, kulikuwa na vyombo 5,400 vya dhahabu na vya fedha. Sheshbaza akavileta hivi vyote wakati watu walipotoka uhamishoni Babeli kwenda Yerusalemu.
Amo liligi huluane gilisili da gouli amola silifa ofodo, amola sasali liligi eno 5400 agoane. Sesebaisa amola mugululi asi dunu eno da Ba: bilone fisili, Yelusalemega asili, ilia da amo liligi gaguli asi.

< Ezra 1 >