< Ezekieli 9 >
1 Kisha nikamsikia akiita kwa sauti kubwa akisema, “Walete wasimamizi wa mji hapa, kila mmoja akiwa na silaha mkononi mwake.”
Potem zawołał, gdziem ja słyszał, głosem wielkim, mówiąc: Hetmani, nastąpcie na to miasto, mając każdy broń swoję ku zabijaniu w ręce swej.
2 Nami nikaona watu sita wakija toka upande wa lango la juu, linalotazama kaskazini kila mmoja na silaha za kuangamiza mkononi mwake. Pamoja nao alikuwepo mtu aliyekuwa amevaa mavazi ya kitani safi, naye alikuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande mmoja. Wakaingia ndani ya Hekalu wakasimama pembeni mwa madhabahu ya shaba.
A oto sześć mężów przyszło drogą ku brami wyższej, która patrzy na północy, i miał każdy broń swoję ku wytraceniu w ręce swej; ale mąż jeden był w pośród nich odziany szatą lnianą, a kałamarz pisarski przy biodrach jego; i przyszedłszy stanęli u ołtarza miedzanego.
3 Basi utukufu wa Mungu wa Israeli ukaondoka hapo juu ya makerubi, ulikokuwa umekaa, ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Ndipo Bwana akamwita yule mtu aliyevaa kitani safi aliyekuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja,
A chwała Boga Izraelskiego zstąpiła była z Cherubina, na którym była, do progu domu, i zawołała na męża onego odzianego szatą lnianą, przy którego biodrach był kałamarz pisarski.
4 akamwambia, “Pita katika mji wote wa Yerusalemu ukaweke alama juu ya vipaji vya nyuso za wale watu wanaohuzunika na kuomboleza kwa sababu ya machukizo yote yanayotendeka katika mji huu.”
I rzekł Pan do niego: Przejdź przez pośrodek miasta, przez pośrodek Jeruzalemu, a uczyń znak na czołach mężów, którzy wzdychają i narzekają nad wszystkiemi obrzydliwościami, które się dzieją w pośród niego.
5 Nikiwa ninasikia, akawaambia wale wengine, “Mfuateni anapopita katika mji wote mkiua, pasipo huruma wala masikitiko.
A onym rzekł, gdziem ja słyszał: Idźcie po mieście za nim; a zabijajcie; niech nie folguje oko wasze, ani się zmiłujcie.
6 Waueni wazee, vijana wa kiume na wa kike, wanawake na watoto, lakini msimguse mtu yeyote mwenye alama. Anzieni katika mahali pangu patakatifu.” Kwa hiyo wakaanza na wale wazee waliokuwa mbele ya Hekalu.
Starca, młodzieńca, i pannę, i maluczkich, i niewiasty wybijcie do szczętu; ale do żadnego męża, na którymby był znak, nie przystępujcie, od świątnicy mojej poczniecie. A tak poczęli od onych mężów starszych, którzy byli przed domem Pańskim;
7 Ndipo akawaambia, “Linajisini Hekalu na mkazijaze kumbi zake maiti za wale waliouawa. Nendeni!” Kwa hiyo wakaenda wakaanza kuua watu mjini kote.
(Bo im był rzekł: Splugawcie ten dom, a napełnijcie sieni pobitymi; idźcież.) A wyszedłszy zabijali w miście.
8 Wakati walikuwa wakiwaua watu, nami nilikuwa nimeachwa peke yangu, nikaanguka kifudifudi, nikapiga kelele nikisema, “Ee Bwana Mwenyezi! Je, utaangamiza mabaki yote ya Israeli, katika kumwagwa huku kwa ghadhabu yako juu ya Yerusalemu?”
A gdy ich pozabijali, a jam pozostał, tedym padł na oblicze moje, i zawołałem a rzekłem: Ach panujący Panie! izali ty wytracisz wszystek ostatek Izraelski, wylewając popędliwość swoję na Jeruzalem?
9 Bwana akanijibu, “Dhambi ya nyumba ya Israeli na Yuda imekuwa kubwa mno kupita kiasi, nchi imejaa umwagaji damu na mjini kumejaa udhalimu. Kwani wamesema, ‘Bwana ameiacha nchi, Bwana hauoni.’
I rzekł do mnie: Nieprawość domu Izraelskiego i Judzkiego nader jest bardzo wielka, i napełniona jest ziemia krwią, a miasto pełne jest przewrotności; bo mówili: Pan tę ziemię opuścił, a Pan nie widzi nas.
10 Kwa hiyo sitawahurumia wala kuwaachilia lakini nitaleta juu ya vichwa vyao, yale waliyoyatenda.”
Przetoż i Ja toż uczynię, nie sfolguje oko moje, ani się zmiłuję, drogę ich na głowę ich obrócę.
11 Ndipo mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani safi na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja, akarudi na kutoa taarifa akisema, “Nimefanya kama ulivyoniagiza.”
A oto mąż on odziany szatą lnianą, przy którego biodrach był kałamarz, oznajmił to mówiąc: Uczyniłem tak, jakoś mi rozkazał.