< Ezekieli 9 >

1 Kisha nikamsikia akiita kwa sauti kubwa akisema, “Walete wasimamizi wa mji hapa, kila mmoja akiwa na silaha mkononi mwake.”
Et il cria à mes oreilles d’une voix forte, disant: Les visitations de la ville s’approchent, et chacun a un instrument de meurtre dans sa main.
2 Nami nikaona watu sita wakija toka upande wa lango la juu, linalotazama kaskazini kila mmoja na silaha za kuangamiza mkononi mwake. Pamoja nao alikuwepo mtu aliyekuwa amevaa mavazi ya kitani safi, naye alikuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande mmoja. Wakaingia ndani ya Hekalu wakasimama pembeni mwa madhabahu ya shaba.
Et voilà que six hommes venaient de la voie de la porte supérieure qui regarde vers l’aquilon, et l’instrument de mort de chacun était dans sa main, un homme aussi au milieu d’eux était vêtu de lin, et l’écritoire du scribe était attachée à ses reins; et ils entrèrent, et ils se tinrent près de l’autel d’airain;
3 Basi utukufu wa Mungu wa Israeli ukaondoka hapo juu ya makerubi, ulikokuwa umekaa, ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Ndipo Bwana akamwita yule mtu aliyevaa kitani safi aliyekuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja,
Et la gloire du Dieu d’Israël s’éleva de dessus le chérubin sur lequel elle était, vers le seuil de la maison; et elle appela l’homme qui était vêtu de lin, et qui avait l’écritoire du scribe à ses reins.
4 akamwambia, “Pita katika mji wote wa Yerusalemu ukaweke alama juu ya vipaji vya nyuso za wale watu wanaohuzunika na kuomboleza kwa sababu ya machukizo yote yanayotendeka katika mji huu.”
Et le Seigneur lui dit: Passe par le milieu de la cité, au milieu de Jérusalem, et marque un thau sur les fronts des hommes qui gémissent et qui souffrent de toutes les abominations qui se font au milieu d’elle.
5 Nikiwa ninasikia, akawaambia wale wengine, “Mfuateni anapopita katika mji wote mkiua, pasipo huruma wala masikitiko.
Et aux au très, il dit, moi l’entendant: Traversez la cité en le suivant, et frappez; que votre œil n’épargne pas, et n’ayez pas de pitié.
6 Waueni wazee, vijana wa kiume na wa kike, wanawake na watoto, lakini msimguse mtu yeyote mwenye alama. Anzieni katika mahali pangu patakatifu.” Kwa hiyo wakaanza na wale wazee waliokuwa mbele ya Hekalu.
Le vieillard, le jeune homme, et la vierge, l’enfant et les femmes, tuez-les jusqu’à extermination complète; mais ne tuez personne sur qui vous verrez le thau; et commencez par mon sanctuaire. Ils commencèrent donc par les anciens qui étaient devant la maison.
7 Ndipo akawaambia, “Linajisini Hekalu na mkazijaze kumbi zake maiti za wale waliouawa. Nendeni!” Kwa hiyo wakaenda wakaanza kuua watu mjini kote.
Et il leur dit: Souillez la maison et remplissez les parvis de tués, sortez. Et ils sortirent, et ils frappaient ceux qui étaient dans la cité.
8 Wakati walikuwa wakiwaua watu, nami nilikuwa nimeachwa peke yangu, nikaanguka kifudifudi, nikapiga kelele nikisema, “Ee Bwana Mwenyezi! Je, utaangamiza mabaki yote ya Israeli, katika kumwagwa huku kwa ghadhabu yako juu ya Yerusalemu?”
Et, le carnage achevé, moi je demeurai, et je tombai sur ma face, et je dis en criant: hélas, hélas, hélas, Seigneur Dieu; perdrez-vous donc entièrement tous les restes d’Israël, en répandant votre fureur sur Jérusalem?
9 Bwana akanijibu, “Dhambi ya nyumba ya Israeli na Yuda imekuwa kubwa mno kupita kiasi, nchi imejaa umwagaji damu na mjini kumejaa udhalimu. Kwani wamesema, ‘Bwana ameiacha nchi, Bwana hauoni.’
Et il me dit: L’iniquité de la maison d’Israël et de Juda est grande, très grande; et la terre est remplie de sang, et la cité est pleine de révolte; car ils ont dit: Le Seigneur a délaissé la terre, le Seigneur ne voit pas.
10 Kwa hiyo sitawahurumia wala kuwaachilia lakini nitaleta juu ya vichwa vyao, yale waliyoyatenda.”
Ainsi donc mon œil n’épargnera pas, et je n’aurai pas de pitié; leur voie, je la ramènerai sur leur tête.
11 Ndipo mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani safi na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja, akarudi na kutoa taarifa akisema, “Nimefanya kama ulivyoniagiza.”
Et voilà que l’homme vêtu de lin, qui avait l’écritoire à son dos, répondit une parole, disant: J’ai fait comme vous m’avez ordonné.

< Ezekieli 9 >