< Ezekieli 9 >

1 Kisha nikamsikia akiita kwa sauti kubwa akisema, “Walete wasimamizi wa mji hapa, kila mmoja akiwa na silaha mkononi mwake.”
Hottelah, khopui kakhenkung hah tami pueng raphoenae senehmaica sin lahoi rek hnai naseh telah kacaipounglah dei e ka thai.
2 Nami nikaona watu sita wakija toka upande wa lango la juu, linalotazama kaskazini kila mmoja na silaha za kuangamiza mkononi mwake. Pamoja nao alikuwepo mtu aliyekuwa amevaa mavazi ya kitani safi, naye alikuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande mmoja. Wakaingia ndani ya Hekalu wakasimama pembeni mwa madhabahu ya shaba.
Khenhaw! atunglae longkha a lathueng lahoi ceinae koehoi tami taruk touh a tho awh. Tami pueng ni senehmaica a sin awh. A lungui e tami buet touh hni loukloukkaang kâkhu e ni, cahangum a sin. Hottelah a kâen awh teh rahum khougroe koe a kangdue awh.
3 Basi utukufu wa Mungu wa Israeli ukaondoka hapo juu ya makerubi, ulikokuwa umekaa, ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Ndipo Bwana akamwita yule mtu aliyevaa kitani safi aliyekuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja,
Isarel Cathut bawilennae hah a onae cherubim takhang koe lah a luen teh, hni loukloukkaang kâkhu ni teh cahangum ka sin e hah a kaw.
4 akamwambia, “Pita katika mji wote wa Yerusalemu ukaweke alama juu ya vipaji vya nyuso za wale watu wanaohuzunika na kuomboleza kwa sababu ya machukizo yote yanayotendeka katika mji huu.”
BAWIPA ni ahni koevah, Jerusalem khopui lungui cet haw. Khopui hah koung katin. A thung e panuettho e hno a sak e kecu dawk ka khui ka kap e naw tampa dawk noutnae na sak pouh han telah ati.
5 Nikiwa ninasikia, akawaambia wale wengine, “Mfuateni anapopita katika mji wote mkiua, pasipo huruma wala masikitiko.
Tami alouknaw koehai khopui thung ahni hnukkâbang nateh, pasainae hoi pahrennae tawn laipalah thet awh.
6 Waueni wazee, vijana wa kiume na wa kike, wanawake na watoto, lakini msimguse mtu yeyote mwenye alama. Anzieni katika mahali pangu patakatifu.” Kwa hiyo wakaanza na wale wazee waliokuwa mbele ya Hekalu.
Kacue e thoundoun tangla hoi camonaw hoi napui tongpa koung thet awh. Mitnout katawnnaw hah teh hnai hanh awh. Bawkim hmalah hoi kamtawng awh telah ati. ahnimouh ni hai bawkim hmalah kaawm e kacuenaw hah hmaloe thet awh.
7 Ndipo akawaambia, “Linajisini Hekalu na mkazijaze kumbi zake maiti za wale waliouawa. Nendeni!” Kwa hiyo wakaenda wakaanza kuua watu mjini kote.
Ahni ni ahnimouh koe bawkim teh a kamhnawng sak awh teh, a thei awh e ronaw hoi a thongmanaw hah kingkawi sak nateh, cet awh telah ati e patetlah a tâco awh teh, khopui vah a thei awh.
8 Wakati walikuwa wakiwaua watu, nami nilikuwa nimeachwa peke yangu, nikaanguka kifudifudi, nikapiga kelele nikisema, “Ee Bwana Mwenyezi! Je, utaangamiza mabaki yote ya Israeli, katika kumwagwa huku kwa ghadhabu yako juu ya Yerusalemu?”
Hettelah khopui dawk a thei awh lahun navah, kai teh na ceitakhai awh teh, pakhup lah rawp ka tabo. Oe Bawipa Jehovah, Jerusalem lathueng vah, lungkhueknae na awi e hah, kacawirae Isarel taminaw hai na raphoe han namaw telah ka hram.
9 Bwana akanijibu, “Dhambi ya nyumba ya Israeli na Yuda imekuwa kubwa mno kupita kiasi, nchi imejaa umwagaji damu na mjini kumejaa udhalimu. Kwani wamesema, ‘Bwana ameiacha nchi, Bwana hauoni.’
Ahni ni kai koevah Isarel hoi Judah e payonnae teh apap poung dawk doeh. Ram teh thipaling hoi a kawi teh khopui teh, kalanhoehe lawkcengnae hoi akawi. BAWIPA ni ram teh a ceitakhai toe. BAWIPA ni banghai hmawt hoeh bo telah ati awh.
10 Kwa hiyo sitawahurumia wala kuwaachilia lakini nitaleta juu ya vichwa vyao, yale waliyoyatenda.”
Hatdawkvah, kai ni pasainae ka tawn mahoeh. A yonnae phu hah ahnimae lû lathueng ka pha sak han telah ati.
11 Ndipo mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani safi na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja, akarudi na kutoa taarifa akisema, “Nimefanya kama ulivyoniagiza.”
Hni loukloukkaang e kâkhu niteh, cahangum ka sin e ni hai, kâ na poe e patetlah be ka sak toe telah ati.

< Ezekieli 9 >