< Ezekieli 5 >

1 “Mwanadamu, sasa chukua upanga mkali na uutumie kama wembe wa kinyozi ili kunyolea nywele za kichwa chako na ndevu zako. Kisha uchukue mizani ya kupimia ukazigawanye nywele hizo.
and you(m. s.) son: child man to take: take to/for you sword sharp razor [the] barber to take: take her to/for you and to pass upon head your and upon beard your and to take: take to/for you balance weight and to divide them
2 Wakati siku zako za kuzingirwa zitakapokwisha, choma theluthi moja ya hizo nywele zako kwa moto ndani ya mji. Chukua theluthi nyingine ya hizo nywele uzipige kwa upanga kuuzunguka mji wote na theluthi nyingine ya mwisho utaitawanya kwa upepo. Kwa kuwa nitawafuatia kwa upanga uliofutwa.
third in/on/with flame to burn: burn in/on/with midst [the] city like/as to fill day [the] siege and to take: take [obj] [the] third to smite in/on/with sword around her and [the] third to scatter to/for spirit: breath and sword to empty after them
3 Lakini chukua nywele chache uzifungie ndani ya pindo la vazi lako.
and to take: take from there little in/on/with number and to confine [obj] them in/on/with wing your
4 Tena chukua nywele nyingine chache uzitupe motoni uziteketeze. Moto utaenea kutoka humo na kufika katika nyumba yote ya Israeli.
and from them still to take: take and to throw [obj] them to(wards) midst [the] fire and to burn [obj] them in/on/with fire from him to come out: issue fire to(wards) all house: household Israel
5 “Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Huu ndio Yerusalemu ambao nimeuweka katikati ya mataifa ukiwa umezungukwa na nchi pande zote.
thus to say Lord YHWH/God this Jerusalem in/on/with midst [the] nation to set: make her and around her land: country/planet
6 Lakini katika uovu wake umeasi sheria na amri zangu kuliko mataifa na nchi zinazouzunguka. Umeasi sheria zangu wala haukufuata amri zangu.
and to rebel [obj] justice: judgement my to/for wickedness from [the] nation and [obj] statute my from [the] land: country/planet which around her for in/on/with justice: judgement my to reject and statute my not to go: walk in/on/with them
7 “Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ninyi mmekuwa wakaidi kuliko mataifa yanayowazunguka na hamkufuata amri zangu wala kuzishika sheria zangu. Wala hamkuweza hata kuzifuata kawaida za mataifa yanayowazunguka.
to/for so thus to say Lord YHWH/God because be turbulent your from [the] nation which around you in/on/with statute my not to go: walk and [obj] justice: judgement my not to make: do and like/as justice: judgement [the] nation which around you not to make: do
8 “Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo, Mimi mwenyewe, niko kinyume nanyi Yerusalemu, nitawapiga kwa adhabu yangu mbele ya mataifa.
to/for so thus to say Lord YHWH/God look! I upon you also I and to make: do in/on/with midst your justice: judgement to/for eye: seeing [the] nation
9 Kwa ajili ya sanamu zenu zote za machukizo, nitawafanyia kile ambacho kamwe sijawafanyia kabla wala kamwe sitawafanyia tena.
and to make: do in/on/with you [obj] which not to make: do and [obj] which not to make: do like him still because all abomination your
10 Kwa hiyo katikati yenu baba watakula watoto wao na watoto watakula baba zao. Nitawapiga kwa adhabu, nami nitawatawanya watu wenu walionusurika pande zote za dunia.
to/for so father to eat son: child in/on/with midst your and son: child to eat father their and to make: do in/on/with you judgment and to scatter [obj] all remnant your to/for all spirit: breath
11 Kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, kwa kuwa mmenajisi mahali pangu patakatifu kwa sanamu zenu mbaya sana na desturi zenu za machukizo, mimi mwenyewe nitaondoa fadhili zangu kwenu.
to/for so alive I utterance Lord YHWH/God if: surely yes not because [obj] sanctuary my to defile in/on/with all abomination your and in/on/with all abomination your and also I to dimish and not to pity eye my and also I not to spare
12 Theluthi ya watu wako watakufa kwa tauni au kwa njaa humu ndani yako, theluthi nyingine itaanguka kwa upanga nje ya kuta zako, nayo theluthi nyingine nitaitawanya kwenye pande nne kuwafuatia kwa upanga uliofutwa.
third your in/on/with pestilence to die and in/on/with famine to end: destroy in/on/with midst your and [the] third in/on/with sword to fall: kill around you and [the] third to/for all spirit: breath to scatter and sword to empty after them
13 “Ndipo hasira yangu itakapokoma na ghadhabu yangu dhidi yao itatulia, nami nitakuwa nimelipiza kisasi. Baada ya kuimaliza ghadhabu yangu juu yao, watajua kuwa mimi Bwana nimenena katika wivu wangu.
and to end: expend face: anger my and to rest rage my in/on/with them and to be sorry: comfort and to know for I LORD to speak: speak in/on/with jealousy my in/on/with to end: expend I rage my in/on/with them
14 “Nitakuangamiza na kukufanya kitu cha kudharauliwa miongoni mwa mataifa yanayokuzunguka, machoni pa watu wote wapitao karibu nawe.
and to give: make you to/for desolation and to/for reproach in/on/with nation which around you to/for eye: seeing all to pass
15 Utakuwa kitu cha kudharauliwa na cha aibu, cha dhihaka, ovyo na kitu cha kutisha kwa mataifa yanayokuzunguka, nitakapokupiga kwa adhabu yangu katika hasira na ghadhabu yangu kwa kukukemea kwa ukali. Mimi Bwana nimesema.
and to be reproach and taunt discipline and devastation to/for nation which around you in/on/with to make: do I in/on/with you judgment in/on/with face: anger and in/on/with rage and in/on/with argument rage I LORD to speak: speak
16 Nitakapokupiga kwa mishale yangu ya kufisha na yenye kuharibu ya njaa, nitaipiga ili kukuangamiza. Nitaleta njaa zaidi na zaidi juu yako na kukomesha upatikanaji wa chakula kwako.
in/on/with to send: depart I [obj] arrow [the] famine [the] bad: harmful in/on/with them which to be to/for destruction which to send: depart [obj] them to/for to ruin you and famine to add upon you and to break to/for you tribe: supply food: bread
17 Nitapeleka njaa na wanyama wa mwituni dhidi yenu, navyo vitawaacha bila watoto. Tauni na umwagaji wa damu utapita katikati yenu, nami nitaleta upanga juu yenu. Mimi Bwana nimenena haya.”
and to send: depart upon you famine and living thing bad: harmful and be bereaved you and pestilence and blood to pass in/on/with you and sword to come (in): bring upon you I LORD to speak: speak

< Ezekieli 5 >