< Ezekieli 48 >
1 “Haya ndiyo majina ya makabila na sehemu zao: Kwenye mpaka wa kaskazini, Dani atakuwa na sehemu moja, mpaka huo utafuata barabara ya Hethloni hadi Lebo-Hamathi, Hasar-Enani hata mpaka wa kaskazini wa Dameski karibu na Hamathi utakuwa sehemu ya huo mpaka wake kuanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
“Estos son los nombres de las tribus: Desde el extremo norte, junto al camino de Hetlón hasta la entrada de Hamat, Hazar Enán en el límite de Damasco, hacia el norte junto a Hamat (y tendrán sus lados al este y al oeste), Dan, una parte.
2 “Asheri atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Dani kuanzia mashariki hadi upande wa magharibi.
“Junto al límite de Dan, desde el lado oriental hasta el occidental, Aser, una parte.
3 “Naftali atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Asheri kuanzia mashariki hadi magharibi.
“Junto al límite de Aser, desde el lado oriental hasta el occidental, Neftalí, una parte.
4 “Manase atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Naftali kuanzia mashariki hadi magharibi.
“Junto al límite de Neftalí, desde el lado oriental hasta el occidental, Manasés, una parte.
5 “Efraimu atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Manase kuanzia mashariki hadi magharibi.
“Junto a la frontera de Manasés, desde el lado oriental hasta el occidental, Efraín, una parte.
6 “Reubeni atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Efraimu kuanzia mashariki hadi magharibi.
“Junto a la frontera de Efraín, desde el lado oriental hasta el lado occidental, Rubén, una parte.
7 “Yuda atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Reubeni kuanzia mashariki hadi magharibi.
“Junto a la frontera de Rubén, desde el lado oriental hasta el occidental, Judá, una parte.
8 “Kupakana na nchi ya Yuda kuanzia mashariki mpaka magharibi itakuwa ndiyo sehemu utakayoitoa ili kuwa toleo maalum. Itakuwa na upana wa dhiraa 25,000 na urefu wake kuanzia mashariki mpaka magharibi utakuwa ule ule wa sehemu moja ya kabila, mahali patakatifu patakuwa katikati ya eneo hilo.
“Junto a la frontera de Judá, desde el lado oriental hasta el lado occidental, estará la ofrenda que ofrecerás, de veinticinco mil cañas de ancho y de largo como una de las porciones, desde el lado oriental hasta el lado occidental; y el santuario estará en medio de ella.
9 “Hiyo sehemu maalum mtakayotoa kwa Bwana itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000
“La ofrenda que ofrecerás a Yahvé será de veinticinco mil cañas de largo y diez mil de ancho.
10 Hii itakuwa ni sehemu takatifu kwa ajili ya makuhani. Itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kaskazini, upana wa dhiraa 10,000 upande wa magharibi, dhiraa 10,000 upande wa mashariki na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kusini. Katikati yake patakuwa mahali patakatifu pa Bwana.
Esta será la ofrenda sagrada de los sacerdotes: hacia el norte veinticinco mil de largo, hacia el oeste diez mil de ancho, hacia el este diez mil de ancho y hacia el sur veinticinco mil de largo; y el santuario de Yahvé estará en medio de ella.
11 Hii itakuwa kwa ajili ya makuhani waliowekwa wakfu, Wasadoki, waliokuwa waaminifu katika kunitumikia nao hawakupotoka kama Walawi walivyofanya wakati Waisraeli walipopotoka.
Esta será para los sacerdotes santificados de los hijos de Sadoc, que han guardado mi ordenanza, que no se descarriaron cuando los hijos de Israel se descarriaron, como se descarriaron los levitas.
12 Itakuwa toleo maalum kwao kutoka sehemu takatifu ya nchi, yaani, sehemu takatifu sana, inayopakana na nchi ya Walawi.
Será para ellos una ofrenda de la ofrenda de la tierra, cosa santísima, junto a la frontera de los levitas.
13 “Kando ya nchi ya makuhani, Walawi watakuwa na mgawo wa urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000. Urefu wake utakuwa jumla dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000.
“Junto a la frontera de los sacerdotes, los levitas tendrán veinticinco mil codos de largo y diez mil de ancho. Toda la longitud será de veinticinco mil, y la anchura de diez mil.
14 Hawataruhusiwa kuuza wala kuibadilisha hata mojawapo. Hii ndiyo sehemu nzuri ya nchi kuliko nyingine zote, hivyo haitakuwa mikononi mwa watu wengine, kwa sababu ni takatifu kwa Bwana.
No venderán nada de ella, ni la cambiarán, ni se enajenarán las primicias de la tierra, porque es sagrada para Yahvé.
15 “Eneo linalobaki lenye upana wa dhiraa 5,000 na urefu wa dhiraa 25,000, litakuwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya mji, kwa ajili ya ujenzi wa nyumba na malisho. Mji utakuwa katikati yake
“Los cinco mil codos que quedan en la anchura, frente a los veinticinco mil, serán de uso común, para la ciudad, para vivienda y para pastos; y la ciudad estará en medio de ella.
16 nao utakuwa na vipimo hivi: upande wa kaskazini dhiraa 4,500, upande wa kusini dhiraa 4,500, upande wa mashariki dhiraa 4,500 na upande wa magharibi dhiraa 4,500.
Estas serán sus medidas: al norte cuatro mil quinientos, al sur cuatro mil quinientos, al este cuatro mil quinientos y al oeste cuatro mil quinientos.
17 Sehemu ya malisho kwa ajili ya mji itakuwa na eneo la dhiraa 250 upande wa kaskazini, dhiraa 250 upande wa kusini, dhiraa 250 upande wa mashariki na dhiraa 250 upande wa magharibi.
La ciudad tendrá tierras de pastoreo: hacia el norte doscientos cincuenta, y hacia el sur doscientos cincuenta, y hacia el este doscientos cincuenta, y hacia el oeste doscientos cincuenta.
18 Eneo linalobaki, linalopakana na sehemu takatifu likiwa na urefu sawa nalo, litakuwa dhiraa 10,000 upande wa mashariki na dhiraa 10,000 upande wa magharibi. Mazao yake yatawapa watumishi wa mji chakula.
El resto de la longitud, junto a la ofrenda sagrada, será de diez mil hacia el este y diez mil hacia el oeste; y estará junto a la ofrenda sagrada. Su incremento será para alimento de los que trabajan en la ciudad.
19 Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.
Los que trabajan en la ciudad, de todas las tribus de Israel, la cultivarán.
20 Eneo lote la hiyo sehemu litakuwa mraba, yaani, dhiraa 25,000 kila upande. Kama toleo maalum mtatenga sehemu takatifu, pamoja na milki ya mji.
Toda la ofrenda será un cuadrado de veinticinco mil por veinticinco mil. La ofrecerás como ofrenda sagrada, con la posesión de la ciudad.
21 “Eneo linalobaki pande zote za eneo linalofanya sehemu takatifu na milki ya mji litakuwa mali ya mkuu atawalaye. Eneo hili litaenea upande wa mashariki kuanzia kwenye dhiraa 25,000 za sehemu takatifu hadi mpaka wa mashariki na kuelekea upande wa magharibi kuanzia kwenye dhiraa 25,000 hadi mpaka wa magharibi. Maeneo yote haya mawili yanayoenda sambamba na urefu wa sehemu za makabila yatakuwa ya mkuu anayetawala, na sehemu ile takatifu pamoja na mahali patakatifu pa Hekalu itakuwa katikati yake.
“El resto será para el príncipe, a un lado y al otro de la ofrenda santa y de la posesión de la ciudad; frente a los veinticinco mil de la ofrenda hacia el límite oriental, y al oeste frente a los veinticinco mil hacia el límite occidental, junto a las porciones, será para el príncipe. La ofrenda sagrada y el santuario de la casa estarán en medio de ella.
22 Kwa hiyo milki ya Walawi na milki ya mji vitakuwa katikati ya eneo lile ambalo ni mali ya mkuu anayetawala. Eneo la mkuu anayetawala litakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benyamini.
Además, desde la posesión de los levitas y desde la posesión de la ciudad, estando en medio de lo que es del príncipe, entre el límite de Judá y el límite de Benjamín, será para el príncipe.
23 “Kuhusu makabila yaliyobaki: Benyamini atakuwa na sehemu moja, itakayoanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
“En cuanto al resto de las tribus: desde el lado oriental hasta el occidental, Benjamín, una parte.
24 “Simeoni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Benyamini kuanzia mashariki hadi magharibi.
“Junto a la frontera de Benjamín, desde el lado oriental hasta el occidental, Simeón, una parte.
25 “Isakari atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Simeoni kuanzia mashariki hadi magharibi.
“Junto al límite de Simeón, desde el lado oriental hasta el occidental, Isacar, una parte.
26 “Zabuloni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Isakari kuanzia mashariki hadi magharibi.
“Junto al límite de Isacar, desde el lado oriental hasta el occidental, Zabulón, una parte.
27 “Gadi atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Zabuloni kuanzia mashariki hadi magharibi.
“Junto al límite de Zabulón, desde el lado oriental hasta el occidental, Gad, una parte.
28 “Mpaka wa kusini wa Gadi utapita kusini kuanzia Tamari hadi maji ya Meriba-Kadeshi, kisha kupitia upande wa Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu.
“Junto al límite de Gad, al lado sur, el límite será desde Tamar hasta las aguas de Meribat Cades, hasta el arroyo, hasta el gran mar.
29 “Hii ndiyo nchi mtakayogawanya kuwa urithi kwa makabila ya Israeli, nazo zitakuwa sehemu zao,” asema Bwana Mwenyezi.
“Esta es la tierra que repartirás por sorteo a las tribus de Israel en herencia, y estas son sus distintas porciones, dice el Señor Yahvé.
30 “Haya yatakuwa ndiyo malango ya mji ya kutokea: Kuanzia upande wa kaskazini, ambayo urefu wake ni dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu,
“Estas son las salidas de la ciudad: En el lado norte cuatro mil quinientas cañas por medida;
31 malango hayo ya mji yatapewa majina ya makabila ya Israeli. Malango hayo matatu ya upande wa kaskazini moja litakuwa lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi.
y las puertas de la ciudad llevarán los nombres de las tribus de Israel, tres puertas hacia el norte: la puerta de Rubén, una; la puerta de Judá, una; la puerta de Leví, una.
32 “Upande wa mashariki, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Yosefu, lango la Benyamini na lango la Dani.
“Al lado oriental cuatro mil quinientas cañas, y tres puertas: la puerta de José, una; la puerta de Benjamín, una; la puerta de Dan, una.
33 “Upande wa kusini, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zabuloni.
“Al lado del sur cuatro mil quinientas cañas por medida, y tres puertas: la puerta de Simeón, una; la puerta de Isacar, una; la puerta de Zabulón, una.
34 “Upande wa magharibi, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.
“Al lado occidental cuatro mil quinientas cañas, con sus tres puertas: la puerta de Gad, una; la puerta de Aser, una; la puerta de Neftalí, una.
35 “Urefu wote kuzunguka utakuwa dhiraa 18,000. “Nalo jina la mji huo kuanzia wakati huo na kuendelea litakuwa: Bwana yupo hapa.”
“Tendrá dieciocho mil cañas de circunferencia; y el nombre de la ciudad desde ese día será: ‘Yahvé está allí’.