< Ezekieli 48 >
1 “Haya ndiyo majina ya makabila na sehemu zao: Kwenye mpaka wa kaskazini, Dani atakuwa na sehemu moja, mpaka huo utafuata barabara ya Hethloni hadi Lebo-Hamathi, Hasar-Enani hata mpaka wa kaskazini wa Dameski karibu na Hamathi utakuwa sehemu ya huo mpaka wake kuanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
Zao ty tahina’ o fifokoañeo: Boak’añ’ila’e avaratse mañorike ty lala’ i Ketlone, hirike Kamate, pake Katsernane—zay ty efe’ i Damesèke le avara’e ty Kamate—boak’ amy atiñanañey pak’ amy Riakey ty a’ i Dane—raike.
2 “Asheri atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Dani kuanzia mashariki hadi upande wa magharibi.
Mifoza amy Dane, ty efe’e atiñanañe pak’añ’efe’e ahandrefa, ty ho amy Asere—raike.
3 “Naftali atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Asheri kuanzia mashariki hadi magharibi.
Mioza añ’efe’ i Asere, boak’amy efe’e atiñanañey pak’añ’efe’e ahandrefa ty ho amy Naftaly—raike.
4 “Manase atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Naftali kuanzia mashariki hadi magharibi.
Mifañefetse amy Naftaly ty efe’e atiñanañe pak’añ’efe’e ahandrefa ty ho amy Menasè—raike.
5 “Efraimu atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Manase kuanzia mashariki hadi magharibi.
Mifañefetse amy Menasè boak’ amy efe’e atiñanañey pak’añ’efe’e ahandrefa ty ho amy Efraime—raike.
6 “Reubeni atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Efraimu kuanzia mashariki hadi magharibi.
Mifañefetse amy Efraime boak’ amy efe’e atiñanañey pak’añ’efe’e ahandrefa ty ho amy Reobene—raike.
7 “Yuda atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Reubeni kuanzia mashariki hadi magharibi.
Mifañefetse amy Reobene boak’ amy efe’e atiñanañey pak’añ’efe’e ahandrefa ty ho a’ Iehodà—raike.
8 “Kupakana na nchi ya Yuda kuanzia mashariki mpaka magharibi itakuwa ndiyo sehemu utakayoitoa ili kuwa toleo maalum. Itakuwa na upana wa dhiraa 25,000 na urefu wake kuanzia mashariki mpaka magharibi utakuwa ule ule wa sehemu moja ya kabila, mahali patakatifu patakuwa katikati ya eneo hilo.
Mifañefetse am’Iehodà boak’amy efe’e atiñanañey pak’añ’efe’e ahandrefa ty havìihe’ areo: ro’ale-tsi-lime-arivo ty am-pohe’e, le mira amo lova ila’eo ty an-dava’e: boak’amy efe’e atiñanañey pak’añ’ efe’e ahandrefa; añivo’e ao i toetse miavakey.
9 “Hiyo sehemu maalum mtakayotoa kwa Bwana itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000
Ty havìhe’ areo ho a’ Iehovà le ro’ale-tsi-lime-arivo ty an-dava’e naho rai-ale ty am-pohe’e.
10 Hii itakuwa ni sehemu takatifu kwa ajili ya makuhani. Itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kaskazini, upana wa dhiraa 10,000 upande wa magharibi, dhiraa 10,000 upande wa mashariki na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kusini. Katikati yake patakuwa mahali patakatifu pa Bwana.
Ama’e ao ty anjara miavake ho a’ o mpisoroñeo, ro’ale-tsi-lime-arivo ty avara’e, naho rai-ale ty ahandrefa’e naho rai-ale ty atiñana’e vaho ro’ale-tsi-lime-arivo ty atimo’e; añivo’e ao i toetse miavake ho a’ Iehovà,
11 Hii itakuwa kwa ajili ya makuhani waliowekwa wakfu, Wasadoki, waliokuwa waaminifu katika kunitumikia nao hawakupotoka kama Walawi walivyofanya wakati Waisraeli walipopotoka.
ie ty ho a’ o mpisoroñe ana’ i Tsadoke navaheñeo, ie nahafitambozòtse o fepèkoo naho tsy nandrifik’ amy nandrifiha’ o nte-Israeleoy, amy nandrifiha’ o nte-Levio;
12 Itakuwa toleo maalum kwao kutoka sehemu takatifu ya nchi, yaani, sehemu takatifu sana, inayopakana na nchi ya Walawi.
ho anjara miavake do’e ho a’ iereo i tane natolotsey, naho ioza’e ty a’ o nte-Levio.
13 “Kando ya nchi ya makuhani, Walawi watakuwa na mgawo wa urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000. Urefu wake utakuwa jumla dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000.
Le amo nte-Levio i mioza an-tane’ o mpisoroñeoy: ro’ale-tsi-lime-arivo ty an-dava’e naho rai-ale ty am-pohe’e; ho ro’ale-tsi-lime-arivo ty andava’e naho rai-ale ty am-pohe’e.
14 Hawataruhusiwa kuuza wala kuibadilisha hata mojawapo. Hii ndiyo sehemu nzuri ya nchi kuliko nyingine zote, hivyo haitakuwa mikononi mwa watu wengine, kwa sababu ni takatifu kwa Bwana.
Tsy haletake, tsy hatsaloke, tsy hafindra ty tane fanjàka toy; fa a Iehovà, toe miavake.
15 “Eneo linalobaki lenye upana wa dhiraa 5,000 na urefu wa dhiraa 25,000, litakuwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya mji, kwa ajili ya ujenzi wa nyumba na malisho. Mji utakuwa katikati yake
I lime-arivo sisa am-pohe’e eoy, ie ro’ale-tsi-lime-arivo ty andava’e, ty hatao tane tsotra ho a’ i rovay, ho fimoneñañe, ho tameañe; le añivo’e ao i rovay.
16 nao utakuwa na vipimo hivi: upande wa kaskazini dhiraa 4,500, upande wa kusini dhiraa 4,500, upande wa mashariki dhiraa 4,500 na upande wa magharibi dhiraa 4,500.
Le zao ty ho zehe’e: ty ila’e avaratse efats’ arivo-tsi-liman-jato, le efats’ arivo-tsi-liman-jato ty atimo; le efats’ arivo-tsi-liman-jato ty atiñanañe; vaho efats’ arivo-tsi-liman-jato ty ahandrefa.
17 Sehemu ya malisho kwa ajili ya mji itakuwa na eneo la dhiraa 250 upande wa kaskazini, dhiraa 250 upande wa kusini, dhiraa 250 upande wa mashariki na dhiraa 250 upande wa magharibi.
Roanjato-tsi-limampolo ty ho amparipari’ i rovay mañavaratse, naho roanjato-tsi-limam-polo mañatimo, naho roanjato-tsi-limam-polo ty maniñanañe naho roanjato-tsi-limam-polo ty mañandrefañe.
18 Eneo linalobaki, linalopakana na sehemu takatifu likiwa na urefu sawa nalo, litakuwa dhiraa 10,000 upande wa mashariki na dhiraa 10,000 upande wa magharibi. Mazao yake yatawapa watumishi wa mji chakula.
Ty sisa rai-ale maniñana naho rai-ale mañandrefa mioza ami’ty andava’ i navike ho miavakey; le ho famahanañe mahakama amo mpitoloñe an-drovao.
19 Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.
Hiava aze o mpitoroñe an-drova ao boak’ amo hene fifokoa’ Israeleoo.
20 Eneo lote la hiyo sehemu litakuwa mraba, yaani, dhiraa 25,000 kila upande. Kama toleo maalum mtatenga sehemu takatifu, pamoja na milki ya mji.
I hene ro’ale-tsi-lime-arivo naho ro’ale-tsi-lime-arivo efa-miray ro haambake ho a’ i toetse miavakey naho ho a i rovay.
21 “Eneo linalobaki pande zote za eneo linalofanya sehemu takatifu na milki ya mji litakuwa mali ya mkuu atawalaye. Eneo hili litaenea upande wa mashariki kuanzia kwenye dhiraa 25,000 za sehemu takatifu hadi mpaka wa mashariki na kuelekea upande wa magharibi kuanzia kwenye dhiraa 25,000 hadi mpaka wa magharibi. Maeneo yote haya mawili yanayoenda sambamba na urefu wa sehemu za makabila yatakuwa ya mkuu anayetawala, na sehemu ile takatifu pamoja na mahali patakatifu pa Hekalu itakuwa katikati yake.
Ho a i roandriañey ty sisa’e: ty añ’ila’e roe’ i toetse miavakey miharo amy rovay, aolo i ro’ale-tsi-lime-arivo’ i anjara mb’amy efe’e atiñanañe añey, vaho mañandrefañe aolo i ro’ale-tsi-lime-arivo pak’añ’efe’e ahandrefa; mioza amo anjara’ o fifokoañeo; izay ty amy roandriañey, añivo’e ao i navike ho a i miavakey rekets’ i toe’ i kivoho miavakeiy.
22 Kwa hiyo milki ya Walawi na milki ya mji vitakuwa katikati ya eneo lile ambalo ni mali ya mkuu anayetawala. Eneo la mkuu anayetawala litakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benyamini.
Le ho añivo’ ty tane’ i roandriañey ty tane o nte-Levio naho ty tane’ i rovay. Ty sisa añivo’ ty tane’ Iehodà naho i Beniamine ro a i roandriañey.
23 “Kuhusu makabila yaliyobaki: Benyamini atakuwa na sehemu moja, itakayoanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
Le o ila’ o fifokoañeo: Ho a i Beniamine, ty boak’añ’efe’e atiñana pak’añ’efe’e ahandrefa—raike;
24 “Simeoni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Benyamini kuanzia mashariki hadi magharibi.
mioza an-tane’ i Beniamine ty efe’e atiñanañe pak’añ’efe’e ahandrefa amy Simone—raike.
25 “Isakari atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Simeoni kuanzia mashariki hadi magharibi.
Mioza an-tane’ i Simone ty efe’e atiñanañe pak’añ’efe’e ahandrefa, am’ Isakare—raike.
26 “Zabuloni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Isakari kuanzia mashariki hadi magharibi.
Mioza amy tane’ Isakare boak’ añ’efe’e atiñanañey pak’añ’efe’e ahandrefa, amy Zebolone—raike.
27 “Gadi atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Zabuloni kuanzia mashariki hadi magharibi.
Mioza an-tane’ i Zebolone boak’ añ’efe’e atiñanañey pak’añ’efe’e ahandrefa, amy Gade—raike.
28 “Mpaka wa kusini wa Gadi utapita kusini kuanzia Tamari hadi maji ya Meriba-Kadeshi, kisha kupitia upande wa Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu.
Ty efe’ i Gade le ty ila’e atimo mañatimo, amy Tamare pak’an-drano’ i Meribà-Kadese mb’amy torahañey vaho pak’ an-driake jabajaba añe.
29 “Hii ndiyo nchi mtakayogawanya kuwa urithi kwa makabila ya Israeli, nazo zitakuwa sehemu zao,” asema Bwana Mwenyezi.
Ie i tane ho zarae’ areo an-tsapak’ am-pifokoa’ Israele ho lova’ iareo, vaho izay ty fizarañe aze, hoe t’Iehovà Talè.
30 “Haya yatakuwa ndiyo malango ya mji ya kutokea: Kuanzia upande wa kaskazini, ambayo urefu wake ni dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu,
O fiavotañe amy rovaio: ty ila’e avaratse le kobay efats’ arivo-tsi-liman-jato ty zehe’e.
31 malango hayo ya mji yatapewa majina ya makabila ya Israeli. Malango hayo matatu ya upande wa kaskazini moja litakuwa lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi.
Ho tokaveñe amo tahinam-pifokoa’ Israeleo o lalambein-drovao; ty lalambey telo avaratse: ty lalam-bei’ i Reobene, raike; ty lalambei’ Iehodà, raike; naho ty lalambei’ i Levy, raike.
32 “Upande wa mashariki, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Yosefu, lango la Benyamini na lango la Dani.
Naho ty ila’e atiñanañe: kobay efats’ arivo-tsi-liman-jato naho lalambey telo; ty lalambei’ Iosefe, raike, ty lalambei’ i Beniamine, raike, ty lalambei’ i Dane, raike.
33 “Upande wa kusini, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zabuloni.
Naho ty ila’e atimo, efats’ arivo-tsi-liman-jato, naho lalambey telo; ty lalambei’ i Simone, raike; ty lalambei’ Isakare, raike; ty lalambei’ i Zebolone, raike.
34 “Upande wa magharibi, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.
Naho ty ila’e ahandrefa, efats’ arivo-tsi-liman-jato, naho lalambey telo; ty lalambei’ i Gade, raike; ty lalambei’ Asere, raike; ty lalambei’ i Naftaly, raike.
35 “Urefu wote kuzunguka utakuwa dhiraa 18,000. “Nalo jina la mji huo kuanzia wakati huo na kuendelea litakuwa: Bwana yupo hapa.”
Kobaiñe rai-ale-tsi-valo-arivo ty mañarikatoke aze, le ho tokaveñe ty hoe ty añara’ i rovay: Ama’e ao t’Iehovà.