< Ezekieli 48 >
1 “Haya ndiyo majina ya makabila na sehemu zao: Kwenye mpaka wa kaskazini, Dani atakuwa na sehemu moja, mpaka huo utafuata barabara ya Hethloni hadi Lebo-Hamathi, Hasar-Enani hata mpaka wa kaskazini wa Dameski karibu na Hamathi utakuwa sehemu ya huo mpaka wake kuanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
És ezek a törzsek nevei: az északi szélen, Chetlón útja mellett Chamát felé, Chamát-Énán, Damaszkus határáig északnak Chamát mellett, az övé legyen a keleti oldaltól a nyugatig: Dán, egy.
2 “Asheri atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Dani kuanzia mashariki hadi upande wa magharibi.
És Dán határán a keleti oldaltól nyugati oldalig: Ásér, egy.
3 “Naftali atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Asheri kuanzia mashariki hadi magharibi.
És Ásér határán a keleti oldaltól a nyugati oldalig: Naftáli, egy.
4 “Manase atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Naftali kuanzia mashariki hadi magharibi.
Naftáli határán a keleti oldaltól a nyugati oldalig: Menasse, egy.
5 “Efraimu atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Manase kuanzia mashariki hadi magharibi.
És Menasse határán a keleti oldaltól a nyugati oldalig: Efraim egy.
6 “Reubeni atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Efraimu kuanzia mashariki hadi magharibi.
És Efraim határán a keleti oldaltól a nyugati oldalig: Reúbén egy.
7 “Yuda atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Reubeni kuanzia mashariki hadi magharibi.
És Reúbén határán a keleti oldaltól a nyugati oldalig: Jehúda, egy.
8 “Kupakana na nchi ya Yuda kuanzia mashariki mpaka magharibi itakuwa ndiyo sehemu utakayoitoa ili kuwa toleo maalum. Itakuwa na upana wa dhiraa 25,000 na urefu wake kuanzia mashariki mpaka magharibi utakuwa ule ule wa sehemu moja ya kabila, mahali patakatifu patakuwa katikati ya eneo hilo.
Jehúda határán a keleti oldaltól a nyugati oldalig legyen azon adomány melyet majd elvesztek: huszonötezer a szélessége, hossza pedig mint a részek egyike a keleti oldaltól a nyugati oldalig; és középen legyen a szentély.
9 “Hiyo sehemu maalum mtakayotoa kwa Bwana itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000
Az adomány, melyet elvesztek az Örökkévaló számára – hossza huszonötezer és szélessége tizezer.
10 Hii itakuwa ni sehemu takatifu kwa ajili ya makuhani. Itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kaskazini, upana wa dhiraa 10,000 upande wa magharibi, dhiraa 10,000 upande wa mashariki na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kusini. Katikati yake patakuwa mahali patakatifu pa Bwana.
És ezeké legyen a szent adomány: a papoké északra huszonötezer, nyugatra is tizezernyi szélességben, keletre is tizezernyi szélességben, délre pedig huszonötezernyi hosszúságban; és közepén legyen az Örökkévaló szentélye.
11 Hii itakuwa kwa ajili ya makuhani waliowekwa wakfu, Wasadoki, waliokuwa waaminifu katika kunitumikia nao hawakupotoka kama Walawi walivyofanya wakati Waisraeli walipopotoka.
A megszentelt papoké, Czádók fiaié, akik őrizték őrizetemet, a kik nem tévelyedtek el, midőn Izraél fiai eltévelyedtek, a mint eltévelyedtél: a leviták.
12 Itakuwa toleo maalum kwao kutoka sehemu takatifu ya nchi, yaani, sehemu takatifu sana, inayopakana na nchi ya Walawi.
És nekik legyen adományul az ország adományából, szentek szentje, a leviták határánál.
13 “Kando ya nchi ya makuhani, Walawi watakuwa na mgawo wa urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000. Urefu wake utakuwa jumla dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000.
A levitáké padig a papok határa mentében huszonötezernyi hosszúságban és tizezernyi szélességben, az egésznek hosszúsága huszonötezer és szélessége tizezer.
14 Hawataruhusiwa kuuza wala kuibadilisha hata mojawapo. Hii ndiyo sehemu nzuri ya nchi kuliko nyingine zote, hivyo haitakuwa mikononi mwa watu wengine, kwa sababu ni takatifu kwa Bwana.
És ne adjanak el belőle és ne cseréljék el, hogy át ne származtassák az ország zsengéjét, mert szent az Örökkévalónak.
15 “Eneo linalobaki lenye upana wa dhiraa 5,000 na urefu wa dhiraa 25,000, litakuwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya mji, kwa ajili ya ujenzi wa nyumba na malisho. Mji utakuwa katikati yake
És a szélességből megmaradt ötezer a huszonötezernek előtte, nem-szent az, a városé lakóhelynek és közelegőnek; és közepén legyen a város.
16 nao utakuwa na vipimo hivi: upande wa kaskazini dhiraa 4,500, upande wa kusini dhiraa 4,500, upande wa mashariki dhiraa 4,500 na upande wa magharibi dhiraa 4,500.
És ezek a méretei: az északi oldal négyezerötszáz, a déli oldal négyezerötszáz, a keleti oldalról négyezerötszáz és a nyugati oldal négyezerötszáz.
17 Sehemu ya malisho kwa ajili ya mji itakuwa na eneo la dhiraa 250 upande wa kaskazini, dhiraa 250 upande wa kusini, dhiraa 250 upande wa mashariki na dhiraa 250 upande wa magharibi.
És legyen közlegelője a városnak: északra kétszázötven, délre kétszázötven, keletre kétszázötven és nyugatra kétszázötven.
18 Eneo linalobaki, linalopakana na sehemu takatifu likiwa na urefu sawa nalo, litakuwa dhiraa 10,000 upande wa mashariki na dhiraa 10,000 upande wa magharibi. Mazao yake yatawapa watumishi wa mji chakula.
A mi megmarad a hosszúságból a szent adomány mentében, tizezer keletre és tizezer nyugatra, a mi tehát a szent adomány mentében van, annak termése kenyérül szolgáljon a város munkásainak.
19 Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.
És a város munkásai munkálják azt Izraél minden törzseiből.
20 Eneo lote la hiyo sehemu litakuwa mraba, yaani, dhiraa 25,000 kila upande. Kama toleo maalum mtatenga sehemu takatifu, pamoja na milki ya mji.
Az egész adomány huszonötezer huszonötezerre, négyzetben vegyétek el a szent adományt a város tulajdonával.
21 “Eneo linalobaki pande zote za eneo linalofanya sehemu takatifu na milki ya mji litakuwa mali ya mkuu atawalaye. Eneo hili litaenea upande wa mashariki kuanzia kwenye dhiraa 25,000 za sehemu takatifu hadi mpaka wa mashariki na kuelekea upande wa magharibi kuanzia kwenye dhiraa 25,000 hadi mpaka wa magharibi. Maeneo yote haya mawili yanayoenda sambamba na urefu wa sehemu za makabila yatakuwa ya mkuu anayetawala, na sehemu ile takatifu pamoja na mahali patakatifu pa Hekalu itakuwa katikati yake.
És a mi megmaradt, a fejedelemé innen és onnan a szent adománytól és a város tulajdonától, a huszonötezernek, az adománynak előtte a keleti határig, nyugatra, pedig a huszonötezernek előtte a nyugati határig a részek mentében a fejedelemé; és közepén legyen a szent adomány és a ház szentélye.
22 Kwa hiyo milki ya Walawi na milki ya mji vitakuwa katikati ya eneo lile ambalo ni mali ya mkuu anayetawala. Eneo la mkuu anayetawala litakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benyamini.
És a leviták tulajdonától és a város tulajdonától, annak közepén, a mi a fejedelemé, Jehúda határa és Benjámin határa közt, a fejedelemé legyen.
23 “Kuhusu makabila yaliyobaki: Benyamini atakuwa na sehemu moja, itakayoanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
A többi törzsek pedig a keleti oldaltól a nyugati oldalig: Benjámin, egy.
24 “Simeoni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Benyamini kuanzia mashariki hadi magharibi.
És Benjámin határán a keleti oldaltól a nyugati oldalig Simeón,
25 “Isakari atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Simeoni kuanzia mashariki hadi magharibi.
És Simeón határán, a keleti oldaltól a nyugati oldalig: Jisszákhár, egy.
26 “Zabuloni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Isakari kuanzia mashariki hadi magharibi.
És Jisszákhár határán, a keleti oldaltól a nyugati oldalig: Zebúlún, egy.
27 “Gadi atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Zabuloni kuanzia mashariki hadi magharibi.
És Zebúlún határán, a keleti oldaltól a nyugati oldalig: Gád, egy.
28 “Mpaka wa kusini wa Gadi utapita kusini kuanzia Tamari hadi maji ya Meriba-Kadeshi, kisha kupitia upande wa Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu.
És Gád határán, a déli oldalon dél felé legyen a határ Támártól a pörlekedés vizéig Kádésig, a patakig, a nagy tenger felé.
29 “Hii ndiyo nchi mtakayogawanya kuwa urithi kwa makabila ya Israeli, nazo zitakuwa sehemu zao,” asema Bwana Mwenyezi.
Ez az ország, melyet birtokul juttassatok Izraél törzseinek, és ezek fölosztásaik. Úgymond az Úr, az Örökkévaló.
30 “Haya yatakuwa ndiyo malango ya mji ya kutokea: Kuanzia upande wa kaskazini, ambayo urefu wake ni dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu,
És ezek a város kijáratai: Az északi oldalról négyezerötszáznyi méret;
31 malango hayo ya mji yatapewa majina ya makabila ya Israeli. Malango hayo matatu ya upande wa kaskazini moja litakuwa lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi.
a város kapui pedig; Izraél törzseinek nevei szerint, három kapu északra: Rebúén kapuja egy, Jehúda kapuja egy, Lévi kapuja egy.
32 “Upande wa mashariki, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Yosefu, lango la Benyamini na lango la Dani.
És a keleti oldalra négyezerötszáz mérték és három kapu: József kapuja egy, Benjámin kapuja egy, Dán kapuja egy.
33 “Upande wa kusini, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zabuloni.
És a déli oldal négyezerötszáznyi méret és három kapu: Simeón kapuja egy, Jisszákhár kapuja egy, Zebúlún kapuja egy.
34 “Upande wa magharibi, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.
A nyugati oldal négyezerötszáz. kapuja három: Gád kapuja egy, Ásér kapuja egy, Naftáli kapuja egy.
35 “Urefu wote kuzunguka utakuwa dhiraa 18,000. “Nalo jina la mji huo kuanzia wakati huo na kuendelea litakuwa: Bwana yupo hapa.”
Köröskörül tizennyolcezer; s a város neve az naptól fogva: Ott az Örökkévaló.