< Ezekieli 48 >

1 “Haya ndiyo majina ya makabila na sehemu zao: Kwenye mpaka wa kaskazini, Dani atakuwa na sehemu moja, mpaka huo utafuata barabara ya Hethloni hadi Lebo-Hamathi, Hasar-Enani hata mpaka wa kaskazini wa Dameski karibu na Hamathi utakuwa sehemu ya huo mpaka wake kuanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
Hetnaw heh miphun minnaw doeh. Atunglae ramri tuipui koehoi Hethlon raka lahoi Hamath lam teng, Damaskas ramri, Hamath kho teng, atung lae Hazarenan totouh, kanîtho lahoi, kanîloumlah coe hane buet touh e teh Dan ni a coe hane doeh.
2 “Asheri atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Dani kuanzia mashariki hadi upande wa magharibi.
Dan ni coe e hoi kâri e kanîtho lahoi kanîloumlae hmuen buet touh e teh Asher e ham lah ao han.
3 “Naftali atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Asheri kuanzia mashariki hadi magharibi.
Asher ni coe e hoi kâri e kanîtho lahoi kanîloumlae hmuen buet touh e teh Naphtali e ham lah ao han.
4 “Manase atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Naftali kuanzia mashariki hadi magharibi.
Naphtali ni coe e hoi kâri e koehoi kanîtho lahoi kanîloumlae hmuen buet touh teh Manasseh e ham lah ao han.
5 “Efraimu atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Manase kuanzia mashariki hadi magharibi.
Manasseh ni coe e hoi kâri e kanîtho lahoi kanîloumlae hmuen buet touh e teh Ephraim e ham lah ao han.
6 “Reubeni atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Efraimu kuanzia mashariki hadi magharibi.
Ephraim ni coe e hoi kâri e kanîtho lahoi kanîloumlae hmuen buet touh e teh Reuben e ham lah ao han.
7 “Yuda atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Reubeni kuanzia mashariki hadi magharibi.
Reuben ni coe e hoi kâri e kanîtho lahoi kanîloumlae hmuen buet touh e teh Judah e ham lah ao han.
8 “Kupakana na nchi ya Yuda kuanzia mashariki mpaka magharibi itakuwa ndiyo sehemu utakayoitoa ili kuwa toleo maalum. Itakuwa na upana wa dhiraa 25,000 na urefu wake kuanzia mashariki mpaka magharibi utakuwa ule ule wa sehemu moja ya kabila, mahali patakatifu patakuwa katikati ya eneo hilo.
Judah ni coe e hoi kâri e kanîtho lahoi kanîloumlah pou na kapek hane teh, ayung adangka a kâvan han. Adangka dong 25000 touh han, ayung teh kanîtho lahoi kanîloumlah hai alouke lae a coe e patetlah han, hote thungup dawk hmuen kathoung ao han.
9 “Hiyo sehemu maalum mtakayotoa kwa Bwana itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000
Hmuen kathoung hah BAWIPA koe na thueng awh hane teh, ayung dong 25000 touh vaiteh, adangka dong 10,000 touh han.
10 Hii itakuwa ni sehemu takatifu kwa ajili ya makuhani. Itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kaskazini, upana wa dhiraa 10,000 upande wa magharibi, dhiraa 10,000 upande wa mashariki na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kusini. Katikati yake patakuwa mahali patakatifu pa Bwana.
Hitueng vah vaihmanaw hanelah, ram kapek pouh e lah ao han, atunglah dong 25,000, kanîtholah dong 10,000, kanîloumlah dong 10,000, akalah dong 25,000 touh han, alungui vah BAWIPA e hmuen kathoung ao han.
11 Hii itakuwa kwa ajili ya makuhani waliowekwa wakfu, Wasadoki, waliokuwa waaminifu katika kunitumikia nao hawakupotoka kama Walawi walivyofanya wakati Waisraeli walipopotoka.
Thoung sak e lah kaawm e vaihma Zadok e a canaw hah thaw poe lah kaawm e karingkungnaw lah ao han, hotnaw teh Isarelnaw lam a phen awh lahun nah lam ka phen e Levihnaw patetlah lam ka phen hoeh e naw doeh.
12 Itakuwa toleo maalum kwao kutoka sehemu takatifu ya nchi, yaani, sehemu takatifu sana, inayopakana na nchi ya Walawi.
Levihnaw coe e kârinae koehoi kapek e ram pueng thung dawk hoi ahnimouh hanelah kapek pouh e hmuen kathoung poung lah ao han.
13 “Kando ya nchi ya makuhani, Walawi watakuwa na mgawo wa urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000. Urefu wake utakuwa jumla dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000.
Vaihmanaw e talai teng vah Levihnaw ni talai a tawn awh van han, ayung dong 25,000, adangka 10,000 touh han.
14 Hawataruhusiwa kuuza wala kuibadilisha hata mojawapo. Hii ndiyo sehemu nzuri ya nchi kuliko nyingine zote, hivyo haitakuwa mikononi mwa watu wengine, kwa sababu ni takatifu kwa Bwana.
Talai na yawt mahoeh, kâthungnae hai na sak mahoeh, kahawi e hai tami alouke koe na poe mahoeh, bangkongtetpawiteh BAWIPA hanelah ka thoung e doeh.
15 “Eneo linalobaki lenye upana wa dhiraa 5,000 na urefu wa dhiraa 25,000, litakuwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya mji, kwa ajili ya ujenzi wa nyumba na malisho. Mji utakuwa katikati yake
Ayung 25,000 hloilah dong 25,000 touh e teh, abuemlahoi coe hane khosak awh nahane hoi khotenaw a sak awh nahane doeh, khopui teh alungui vah ao han.
16 nao utakuwa na vipimo hivi: upande wa kaskazini dhiraa 4,500, upande wa kusini dhiraa 4,500, upande wa mashariki dhiraa 4,500 na upande wa magharibi dhiraa 4,500.
Hahoi, a bangnuenae teh, atunglah dong 4,500, akalah dong 4500, kanîtholah dong 4500, kanîloumlah dong 4,500.
17 Sehemu ya malisho kwa ajili ya mji itakuwa na eneo la dhiraa 250 upande wa kaskazini, dhiraa 250 upande wa kusini, dhiraa 250 upande wa mashariki na dhiraa 250 upande wa magharibi.
Khopui ni a tengpam a tawn han, atunglah dong 250, akalah dong 250, kanîtholah dong 250, kanîloumlah dong 250.
18 Eneo linalobaki, linalopakana na sehemu takatifu likiwa na urefu sawa nalo, litakuwa dhiraa 10,000 upande wa mashariki na dhiraa 10,000 upande wa magharibi. Mazao yake yatawapa watumishi wa mji chakula.
Hahoi atunglah kacawie kapek e ram teng e teh, kanîtholah dong 10,000, kanîloumlah dong 10,000 touh han. Kapek e ram la ao han, hote hmuen koe a pawhik ka tâcawt e naw teh, khopui dawk e thaw katawkkungnaw ni a ca awh hane doeh.
19 Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.
Khopui dawk thaw katawkkung Isarel miphunnaw thung hoi talai a kanawk awh han.
20 Eneo lote la hiyo sehemu litakuwa mraba, yaani, dhiraa 25,000 kila upande. Kama toleo maalum mtatenga sehemu takatifu, pamoja na milki ya mji.
Kapek hane ram teh adangka dong 25,000, ayung dong 25,000, kapek e ram kathounge takin pali touh ka tawn e khopui ni a ham e hoi na thueng awh han.
21 “Eneo linalobaki pande zote za eneo linalofanya sehemu takatifu na milki ya mji litakuwa mali ya mkuu atawalaye. Eneo hili litaenea upande wa mashariki kuanzia kwenye dhiraa 25,000 za sehemu takatifu hadi mpaka wa mashariki na kuelekea upande wa magharibi kuanzia kwenye dhiraa 25,000 hadi mpaka wa magharibi. Maeneo yote haya mawili yanayoenda sambamba na urefu wa sehemu za makabila yatakuwa ya mkuu anayetawala, na sehemu ile takatifu pamoja na mahali patakatifu pa Hekalu itakuwa katikati yake.
Kacawirae ram thoung sak tangcoung e hoi khopui avangvang lae coe hane teh, bawi ni a ham han. Kanîtholah dong 25,000, kanîloumlah dong 25,000, ahlawilae ram kapek e teh, bawi ni a coe hanelah ao han, kapek e ram thoung sak tangcoung e hoi bawkim e hmuen kathoung teh a lungui vah ao han.
22 Kwa hiyo milki ya Walawi na milki ya mji vitakuwa katikati ya eneo lile ambalo ni mali ya mkuu anayetawala. Eneo la mkuu anayetawala litakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benyamini.
Levih ni a ham e hoi khopui ni a ham e teh, Judah ni a ham e hoi Benjamin ni a ham e hoi a kâri han.
23 “Kuhusu makabila yaliyobaki: Benyamini atakuwa na sehemu moja, itakayoanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
Kacawie miphunnaw e kong dawk, kanîtho lahoi kanîloumlah buet touh e ham teh Benjamin ni a ham han.
24 “Simeoni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Benyamini kuanzia mashariki hadi magharibi.
Benjamin ni coe e koehoi kâri e kanîtho lahoi kanîloumlae hmuen buet touh e teh Simeon e ham lah ao han.
25 “Isakari atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Simeoni kuanzia mashariki hadi magharibi.
Simeon ni coe e koehoi kâri e kanîtho lahoi kanîloumlae hmuen buet touh e teh Issakhar e ham lah ao han.
26 “Zabuloni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Isakari kuanzia mashariki hadi magharibi.
Issakhar ni coe e koehoi kâri e kanîtho lahoi kanîloumlae hmuen buet touh e teh Zebulun e ham lah ao han.
27 “Gadi atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Zabuloni kuanzia mashariki hadi magharibi.
Zebulun ni coe e koehoi kâri e kanîtho lahoi kanîloumlae hmuen buet touh e teh Gad e ham lah ao han.
28 “Mpaka wa kusini wa Gadi utapita kusini kuanzia Tamari hadi maji ya Meriba-Kadeshi, kisha kupitia upande wa Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu.
Gad ni a ham e akalah kapek e koe, akalae khori teh, Tamar hoi Meribah Kadesh tuinaw totouh, Izip palang pâlei lahoi tuipui a pâtam han.
29 “Hii ndiyo nchi mtakayogawanya kuwa urithi kwa makabila ya Israeli, nazo zitakuwa sehemu zao,” asema Bwana Mwenyezi.
Hetheh, Isarel miphunnaw, râw coe hanelah cungpam a rayu awh teh, rei e lah kaawm e talai, hethateh, ahnimouh kapek teh ao awh nahane ram lengkaleng doeh, telah Bawipa Jehovah ni a dei.
30 “Haya yatakuwa ndiyo malango ya mji ya kutokea: Kuanzia upande wa kaskazini, ambayo urefu wake ni dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu,
Khopui thung hoi tâco nahane takhangnaw hateh, atunglah dong 4500, touh a pha,
31 malango hayo ya mji yatapewa majina ya makabila ya Israeli. Malango hayo matatu ya upande wa kaskazini moja litakuwa lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi.
khopui e takhangnaw teh, Isarel miphunnaw e min poe lahoi atunglae longkha kathum touh ao, hotnaw teh, Reuben longkha, Judah longkha, Levih longkha naw hah doeh.
32 “Upande wa mashariki, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Yosefu, lango la Benyamini na lango la Dani.
Kanîtholah dong 4,500, touh dawk longkha kathum touh ao, hotnaw teh, Joseph longkha, Benjamin longkha, Dan longkha naw hah doeh.
33 “Upande wa kusini, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zabuloni.
Akalah dong 4,500, touh dawk longkha kathum touh ao, hotnaw teh, Simeon longkha, Issakhar longkha, Zebulun longkha naw hah doeh.
34 “Upande wa magharibi, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.
Kanîloumlah dong 4,500, touh dawk longkha kathum touh ao, hotnaw teh, Gad longkha, Asher longkha, Naphtali longkha naw hah doeh.
35 “Urefu wote kuzunguka utakuwa dhiraa 18,000. “Nalo jina la mji huo kuanzia wakati huo na kuendelea litakuwa: Bwana yupo hapa.”
Petkâkalup ka dong 18,000 touh a pha vaiteh, BAWIPA e hnin hoi kamtawng teh, khopui e min teh hawvah BAWIPA A O (Jehovah Shama) telah a min phung e lah ao han.

< Ezekieli 48 >