< Ezekieli 48 >
1 “Haya ndiyo majina ya makabila na sehemu zao: Kwenye mpaka wa kaskazini, Dani atakuwa na sehemu moja, mpaka huo utafuata barabara ya Hethloni hadi Lebo-Hamathi, Hasar-Enani hata mpaka wa kaskazini wa Dameski karibu na Hamathi utakuwa sehemu ya huo mpaka wake kuanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
Hiche hi Israel phungmin gam kihopna a chan chang ding ho chu ahiuve. Dan chan ding gamkol chu sahlang aning chong kheh khu ahi. Agamgi chun Hethlon lamlen napat Lebo-hamath chan chule Hazar-enan chan gei hija, Hazar-enan hi Hamath gal Damascus dinga sahlam gamgi a panga ahi. Dan gamkol chu Israel gam solam a pat lhumlam galkai peh a kikeh len ding ahi.
2 “Asheri atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Dani kuanzia mashariki hadi upande wa magharibi.
Asher gamkol chu Dan gam lhanglang sanga aumin chule solama pat lhumlam chan geijin akikeh lene.
3 “Naftali atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Asheri kuanzia mashariki hadi magharibi.
Naptali gamkol chu Asher gam lhanglang sang um ahin solama kipat in lhumlam chanin akikeh e.
4 “Manase atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Naftali kuanzia mashariki hadi magharibi.
Hichun Manasseh chan chu Naptali lhanglang sang ahin chule agamkol chu solama pat nilhum chanin akikeh e.
5 “Efraimu atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Manase kuanzia mashariki hadi magharibi.
Manasseh gamkol lhanglang chu Ephraim chan ahin
6 “Reubeni atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Efraimu kuanzia mashariki hadi magharibi.
Chule Reuben chan ahin,
7 “Yuda atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Reubeni kuanzia mashariki hadi magharibi.
Chule Juda chan ahin, hichengho gamgi jouse gamgi chu solama kipat lhumlam changei ahicheh e.
8 “Kupakana na nchi ya Yuda kuanzia mashariki mpaka magharibi itakuwa ndiyo sehemu utakayoitoa ili kuwa toleo maalum. Itakuwa na upana wa dhiraa 25,000 na urefu wake kuanzia mashariki mpaka magharibi utakuwa ule ule wa sehemu moja ya kabila, mahali patakatifu patakuwa katikati ya eneo hilo.
Juda gamkol lhanglang chu atumbeh a thil jatchom beh khat dinga natedoh diu ahi. Hichu availam mile get leh hopthuma hopkhat chule hiche solama pat nilhum chan gei kibang peh a phungkhat chan chutoh kibang ding ahin alailunga chu houin umding ahi.
9 “Hiyo sehemu maalum mtakayotoa kwa Bwana itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000
Pakai houin dinga natedoh diu chu adung lang mile get leh hopthuma hopkhat hija chule availam chu mile gup leh hopthuma hopni hiding ahi.
10 Hii itakuwa ni sehemu takatifu kwa ajili ya makuhani. Itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kaskazini, upana wa dhiraa 10,000 upande wa magharibi, dhiraa 10,000 upande wa mashariki na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kusini. Katikati yake patakuwa mahali patakatifu pa Bwana.
Thempu hon jong gam jom jitjet khat chang diu ahi mile get leh hopthuma hopkhat sao ding chule availam chu mile thum leh hopthuma hopkhat ma hiding ahin, alailunga chu houin um ding ahi.
11 Hii itakuwa kwa ajili ya makuhani waliowekwa wakfu, Wasadoki, waliokuwa waaminifu katika kunitumikia nao hawakupotoka kama Walawi walivyofanya wakati Waisraeli walipopotoka.
Hiche atuma nasekhen nau gam chu thensosa thempuho kitah tah a keima kin anabol jingsa Zadok chapate ho Israel chate ana vamang laijuva jong ana vahmang lou ho Levite umbanga ana umdet jing ho chang ding ahi.
12 Itakuwa toleo maalum kwao kutoka sehemu takatifu ya nchi, yaani, sehemu takatifu sana, inayopakana na nchi ya Walawi.
Gam chu akihop tengleh hichelai munna chu atum beh a kikhen doh gam thengpen hiding, hichu amaho chan ding ahi. Thempuho gam ban tah chu Levite chenna gam to kijoma umding ahi.
13 “Kando ya nchi ya makuhani, Walawi watakuwa na mgawo wa urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000. Urefu wake utakuwa jumla dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000.
Levite dinga kipe gam chu thempuho chan gam toh alet aneu kibang ding ahi – asau lang mile get leh hopthuma hopkhat hiding availang mile thum leh hopthuma hopkhat hidng ahi. Agam pumpi hopma chu adung mile getleh hopthuma hopkhat hiding availam mile gup leh hopthuma hopni hiding ahi.
14 Hawataruhusiwa kuuza wala kuibadilisha hata mojawapo. Hii ndiyo sehemu nzuri ya nchi kuliko nyingine zote, hivyo haitakuwa mikononi mwa watu wengine, kwa sababu ni takatifu kwa Bwana.
Hiche gam hi themkhat cha jong kipeh tha lou ding, ahilouleh suma kiveina a jong kimang theilou ding, ahilouleh midangin amanchah theilou ding ahi. Ajeh chu hiche hi Pakaija ahin, gamtheng dinga kisep khen ahi.
15 “Eneo linalobaki lenye upana wa dhiraa 5,000 na urefu wa dhiraa 25,000, litakuwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya mji, kwa ajili ya ujenzi wa nyumba na malisho. Mji utakuwa katikati yake
Abelap ding gam jom jitjet khat adung mile get leh hopthuma hopkhat availam mile khat leh hopthuma hopni houinna dinga kikat doh gamtheng lhanglanga uma – hichu mipin adei deija amancha diu – insahna, gancha vahna leh gam onga umding alaija chu khopi umding ahi.
16 nao utakuwa na vipimo hivi: upande wa kaskazini dhiraa 4,500, upande wa kusini dhiraa 4,500, upande wa mashariki dhiraa 4,500 na upande wa magharibi dhiraa 4,500.
Khopi dinga chu – sahlang, lhanglang, solam chule lhumlam hiding – alang jousea mile khat leh akeh len ding ahi.
17 Sehemu ya malisho kwa ajili ya mji itakuwa na eneo la dhiraa 250 upande wa kaskazini, dhiraa 250 upande wa kusini, dhiraa 250 upande wa mashariki na dhiraa 250 upande wa magharibi.
Khopi chun gam ong lai aneija hichun khopi chu aum kimvel ding ahin, hichu feet 450 akimvel lhung kei hiding ahi.
18 Eneo linalobaki, linalopakana na sehemu takatifu likiwa na urefu sawa nalo, litakuwa dhiraa 10,000 upande wa mashariki na dhiraa 10,000 upande wa magharibi. Mazao yake yatawapa watumishi wa mji chakula.
Khopi kimvella chun honlei bolna thei gam mile thum leh hopthuma hopkhat gamtheng solam langa kilhung lha a chule mile thum leh hopthuma hopkhat lhum langa kilhung peh ding ahi. Hiche honlei hin khopi sung natongho dinga neh leh chah asodoh ding ahi.
19 Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.
Koiphunga kon hijong leh khopi sunga natong dinga hung ho jousen honlei akibol thei diu ahi.
20 Eneo lote la hiyo sehemu litakuwa mraba, yaani, dhiraa 25,000 kila upande. Kama toleo maalum mtatenga sehemu takatifu, pamoja na milki ya mji.
Agam hop apumpia gamtheng leh khopi puma asung chu aning jousea mile get leh akeh hiding ahi.
21 “Eneo linalobaki pande zote za eneo linalofanya sehemu takatifu na milki ya mji litakuwa mali ya mkuu atawalaye. Eneo hili litaenea upande wa mashariki kuanzia kwenye dhiraa 25,000 za sehemu takatifu hadi mpaka wa mashariki na kuelekea upande wa magharibi kuanzia kwenye dhiraa 25,000 hadi mpaka wa magharibi. Maeneo yote haya mawili yanayoenda sambamba na urefu wa sehemu za makabila yatakuwa ya mkuu anayetawala, na sehemu ile takatifu pamoja na mahali patakatifu pa Hekalu itakuwa katikati yake.
Gamleiset gamtheng leh khopi solam lang leh lhum lam lang a ong lai sese chu leng chapa a hiding ahin, aninia agam chu availam mile get leh hopthuma hopkhat hia hichu Israel solam leh lhumlam toh kigalsai gamgi teni chan hiding ahin, chua houin muntheng chu alaija umding ahi.
22 Kwa hiyo milki ya Walawi na milki ya mji vitakuwa katikati ya eneo lile ambalo ni mali ya mkuu anayetawala. Eneo la mkuu anayetawala litakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benyamini.
Leng chapa chan ding chu gamtheng leh khopi tailou adang sese Judah leh Benjamin chan gamkol kika lai chu hiding ahi.
23 “Kuhusu makabila yaliyobaki: Benyamini atakuwa na sehemu moja, itakayoanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.
Hiche gamkol hohi phungdang ho chanding chu ahi – Benjamin chan ding agamkol chu lengchapa gam lhanglang sanga aumin Israel gam lhungkei solam a kipat lhumlam chan na kilhung lut peh ding ahi.
24 “Simeoni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Benyamini kuanzia mashariki hadi magharibi.
Benjamin chan gamkol lhanglang sanga chu Simeon chan gamkol chu uma hichu Israel gam solam a pat lhumlam galkai peh ding ahi.
25 “Isakari atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Simeoni kuanzia mashariki hadi magharibi.
Abana chu Issachar chan ding ahin solam leh lhumlam gamgi changei ma hiding ahi.
26 “Zabuloni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Isakari kuanzia mashariki hadi magharibi.
Hitia chu aban Zebulun gamkol ahin hichu solama pat lhumlam galkai peh kit ding ahi.
27 “Gadi atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Zabuloni kuanzia mashariki hadi magharibi.
Gad gamkol chan ding Zebulun chan lhanglang chu agamgi chu solama pat lhumlam chan hipeh ding ahi.
28 “Mpaka wa kusini wa Gadi utapita kusini kuanzia Tamari hadi maji ya Meriba-Kadeshi, kisha kupitia upande wa Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu.
Gad gamkol lhanglang sang chu Tamar a pat Kadesh munna Meribah twidung juisuh a Egypt vacha dung amatna Mediterranean twikhanglen chan hiding ahi.
29 “Hii ndiyo nchi mtakayogawanya kuwa urithi kwa makabila ya Israeli, nazo zitakuwa sehemu zao,” asema Bwana Mwenyezi.
Hiche gamho hi aphung aphunga achan cheh diuva kisepkhen ahin amaho neile gou kisim thalou ding ahi, tin keima thaneitah Pakaiyin kaseidohsa ahi.
30 “Haya yatakuwa ndiyo malango ya mji ya kutokea: Kuanzia upande wa kaskazini, ambayo urefu wake ni dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu,
Hiche hohi khopi a kon potdohna hiding ahi. Sahlang banga akitena dungjuija mile khat leh akeh hiding ahi.
31 malango hayo ya mji yatapewa majina ya makabila ya Israeli. Malango hayo matatu ya upande wa kaskazini moja litakuwa lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi.
Hichea chu kelkot thum umding ahin, kelkot jouse chu Israel te phungmin kisah soh keiding ahi. Amasapen chu Reuben kelkot kiti ding, anina min chu Judah, chule athum channa chu Levi kiti ding ahi.
32 “Upande wa mashariki, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Yosefu, lango la Benyamini na lango la Dani.
Solam bang lang sang jong chu ahileh mile khatleh akeh sauva chu kelkot um ding ahin, hiho chu Joshep, Benjamin chule Dan kelkot kiti ding ahi.
33 “Upande wa kusini, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zabuloni.
Lhanglang bangin jong mile khat leh akeh sau ding, hiche jong kelkot thum uma hiche ho chu Simeon, Issachar chule Zebulun kelkot kiti ding ahi.
34 “Upande wa magharibi, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.
Chule lhumlam lang bang a mile khat leh akeh ma sau ding hichea kelkot ho chu Gad, Asher chule Naptali Kelkot kiti ding ahi.
35 “Urefu wote kuzunguka utakuwa dhiraa 18,000. “Nalo jina la mji huo kuanzia wakati huo na kuendelea litakuwa: Bwana yupo hapa.”
Khopi pumpi kimvel chu mile gup hiding ahi. Hiche nikho a kipatna akhopi min chu, “Hilai mun hi Pakai umna ahi,” kiti ding ahi, ati.