< Ezekieli 46 >
1 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Lango la ukumbi wa ndani linaloelekea upande wa mashariki litakuwa linafungwa kwa siku sita za juma, ila siku ya Sabato na siku ya Mwezi Mwandamo litafunguliwa.
Rǝb Pǝrwǝrdigar mundaⱪ dǝydu: — Iqki ⱨoylining xǝrⱪⱪǝ ⱪaraydiƣan dǝrwazisi altǝ «ix küni»dǝ etiklik bolidu; biraⱪ xabat künidǝ u eqilidu; wǝ «yengi ay» bolƣan künliridǝ u eqilidu.
2 Mkuu anayetawala ataingia kupitia baraza ya njia ya lango la ukumbi na kusimama karibu na nguzo ya lango. Makuhani watatoa sadaka za mkuu anayetawala za kuteketezwa na sadaka za amani. Mkuu anayetawala atasujudu kwenye kizingiti cha njia ya lango, kisha atatoka nje, lakini lango halitafungwa mpaka jioni.
Xaⱨzadǝ sirttin xu dǝrwazining dalinining yoli bilǝn kiridu, u kirix eƣizining kexǝk temi tüwidǝ turidu; kaⱨinlar bolsa uning üqün kɵydürmǝ ⱪurbanliⱪini, inaⱪliⱪ ⱪurbanliⱪlirini sunidu; u dǝrwazining bosuƣisida sǝjdǝ ⱪilidu andin qiⱪidu; biraⱪ dǝrwaza kǝqkiqǝ etilmǝydu.
3 Siku za Sabato na za Mwezi mwandamo watu wote wa nchi wataabudu mbele za Bwana penye lile ingilio la ile njia.
Zemindiki hǝlⱪmu xabat künliridǝ wǝ «yengi ay»larda xu dǝrwazining kirix eƣizining tüwidǝ turup Pǝrwǝrdigar aldida sǝjdǝ ⱪilidu.
4 Sadaka ya kuteketezwa aletazo mkuu anayetawala kwa Bwana siku ya Sabato itakuwa ni wana-kondoo sita na kondoo dume mmoja, wote wasiwe na dosari.
Xabat künidǝ xaⱨzadǝ Pǝrwǝrdigarƣa sunƣan ⱪurbanliⱪ bolsa altǝ bejirim pahlan, bir bejirim ⱪoqⱪar bolidu.
5 Sadaka ya nafaka inayotolewa pamoja na huyo kondoo dume itakuwa efa moja na sadaka ya nafaka inayotolewa na hao wana-kondoo itakuwa kiasi apendacho mtu pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
Bularƣa ⱪoxulidiƣan axliⱪ ⱨǝdiyǝlǝr ⱪoqⱪarƣa bir ǝfaⱨ, pahlanlarƣa bolsa qamining yetixiqǝ bolidu; ⱨǝrbir ǝfaⱨ unƣa u bir hin zǝytun meyini ⱪoxup sunidu.
6 Siku ya mwezi mwandamo atatoa fahali mchanga, wana-kondoo sita na kondoo dume, wote wasiwe na dosari.
«Yengi ay»ning künidǝ u sunƣan ⱪurbanliⱪ yax bir bejirim torpaⱪ, altǝ pahlan, bir ⱪoqⱪar bolidu; ularning ⱨǝmmisi bejirim bolidu.
7 Atatoa kuwa sadaka ya nafaka efa moja pamoja na fahali mmoja, efa moja na kondoo dume mmoja na pamoja na wana-kondoo kama atakavyo kutoa, pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
Bularƣa axliⱪ ⱨǝdiyǝlǝrni ⱪuxup sunidu; torpaⱪⱪa bir ǝfaⱨ, ⱪoqⱪarƣa bir ǝfaⱨ, pahlanlarƣa qamining yetixiqǝ bolidu; ⱨǝrbir ǝfaⱨ unƣa bir hin zǝytun meyini ⱪoxup sunidu.
8 Wakati mkuu anayetawala aingiapo, atapitia kwenye baraza ya njia ya lango, naye atatoka nje kwa njia hiyo hiyo.
Xaⱨzadǝ kirgǝndǝ, dǝrwazining dalini bilǝn kiridu, wǝ xu yol bilǝn qiⱪidu.
9 “‘Wakati watu wa nchi wanapokuja mbele za Bwana katika sikukuu zilizoamriwa, yeyote aingiaye kwa lango la kaskazini kuabudu atatoka nje kwa lango la kusini na yeyote aingiaye kwa lango la kusini atatoka nje kwa lango la kaskazini. Hakuna mtu yeyote atakayerudi kwa kupitia lango lile aliloingilia, lakini kila mmoja atatoka nje kwa lango linalokabili lile aliloingilia.
Zemindiki hǝlⱪ ⱨeyt künliridǝ bekitilgǝn «ibadǝt sorun»liriƣa Pǝrwǝrdigar aldiƣa kirgǝndǝ, sǝjdǝ ⱪilixⱪa ximaliy dǝrwazidin kirgǝn kixi jǝnubiy dǝrwazidin qiⱪidu; jǝnubiy dǝrwazidin kirgǝn kixi ximaliy dǝrwazidin qiⱪidu; u kirgǝn dǝrwazidin qiⱪmaydu, bǝlki uduliƣa mengip qiⱪidu.
10 Mkuu anayetawala atakuwa miongoni mwao, akiingia nao ndani wanapoingia, naye atatoka nao nje wanapotoka.
Hǝlⱪ kirgǝndǝ xaⱨzadǝ ular bilǝn billǝ kiridu; ular qiⱪⱪanda, billǝ qiⱪidu.
11 “‘Kwenye sikukuu na kwenye sikukuu zilizoamriwa, sadaka ya nafaka itakuwa efa moja pamoja na fahali mmoja, efa moja pamoja na kondoo dume mmoja, pamoja na idadi ya wana-kondoo kama mtu apendavyo kutoa, pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
Ⱨeyt-bayramlarda wǝ «ibadǝt sorun»lirida bolsa, u ⱪoxumqǝ sunƣan axliⱪ ⱨǝdiyǝlǝr torpaⱪⱪa bir ǝfaⱨ, ⱪoqⱪarƣa bir ǝfaⱨ, pahlanlarƣa bolsa qamining yetixiqǝ bolidu; ⱨǝrbir ǝfaⱨ unƣa u bir hin zǝytun meyini ⱪoxup sunidu.
12 Mkuu anayetawala anapotoa sadaka ya hiari kwa Bwana, ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani, lango linaloelekea mashariki litafunguliwa kwa ajili yake. Atatoa sadaka yake ya kuteketezwa au sadaka yake ya amani kama afanyavyo katika siku ya Sabato. Kisha atatoka nje, naye akiisha kutoka nje, lango litafungwa.
Xaⱨzadǝ Pǝrwǝrdigarƣa halis kɵydürmǝ ⱪurbanliⱪni yaki halis inaⱪliⱪ ⱪurbanliⱪlirini sunmaⱪqi bolsa, ǝmdi xǝrⱪⱪǝ ⱪaraydiƣan dǝrwaza uning üqün eqilidu; xabat künidǝ ⱪilƣandǝk, u ɵz kɵydürmǝ ⱪurbanliⱪini wǝ inaⱪliⱪ ⱪurbanliⱪlirini sunidu; u ⱪaytip qiⱪidu; qiⱪⱪandin keyin dǝrwaza etilidu.
13 “‘Kila siku utamtoa mwana-kondoo wa mwaka mmoja asiyekuwa na dosari kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana, utaitoa kila siku asubuhi.
Ⱨǝr kündǝ sǝn Pǝrwǝrdigarƣa kɵydürmǝ ⱪurbanliⱪ süpitidǝ bir yaxliⱪ bejirim pahlanni sunisǝn; sǝn ⱨǝr ǝtigini tǝyyarlap berisǝn.
14 Pia kila siku asubuhi pamoja na hiyo sadaka utatoa sadaka ya nafaka, ikiwa na sehemu ya sita ya efa pamoja na theluthi moja ya hini ya mafuta ya kuchanganya na ule unga. Utoaji wa sadaka hii ya nafaka kwa Bwana ni amri ya daima.
Ⱨǝr ǝtigǝndǝ sǝn uningƣa ⱪoxup axliⱪ ⱨǝdiyǝ, yǝni undin altidin bir ǝfaⱨ wǝ unni maylaxⱪa zǝytun meyidin üqtin bir ⱨin tǝyyarlaysǝn; bu Pǝrwǝrdigarƣa ǝbǝdiy bǝlgilimǝ bilǝn bekitilgǝn axliⱪ ⱨǝdiyǝ bolidu.
15 Kwa hiyo mwana-kondoo na sadaka ya nafaka na mafuta vitatolewa kila siku asubuhi kwa ajili ya sadaka ya daima ya kuteketezwa.
Ular ⱨǝr ǝtigǝndǝ pahlanni, uning axliⱪ ⱨǝdiyǝsini zǝytun meyi bilǝn ǝbǝdiy kɵydürmǝ ⱪurbanliⱪ süpitidǝ sunidu.
16 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ikiwa mkuu atawalaye atatoa zawadi kutoka kwenye urithi wake na kumpa mmoja wa wanawe, hiyo zawadi itakuwa pia kwa wazao wake, itakuwa mali yao kwa urithi.
Rǝb Pǝrwǝrdigar mundaⱪ dǝydu: — Xaⱨzadǝ ɵz mirasidin oƣullirining birsigǝ sowƣa ⱪilƣan bolsa, ǝmdi u yǝnǝ axu oƣlining ɵz oƣul-ǝjdadliri üqün bolidu; miras yoli boyiqǝ u ularning igiliki bolidu.
17 Hata hivyo, kama atatoa zawadi kutoka urithi wake na kumpa mmoja wa watumishi wake, mtumishi anaweza kuiweka mpaka mwaka wa uhuru, kisha itarudishwa kwa mkuu anayetawala. Urithi wake ni wa wanawe peke yao, ni mali yao.
Biraⱪ u ɵz mirasidin uning hizmǝtkarlirining birigǝ sowƣa bǝrgǝn bolsa, u uningki «halas ⱪilix yili»ƣiqǝ bolidu; xu qaƣda u xaⱨzadigǝ ⱪayturulidu; [xaⱨzadining mirasi] ǝsli ɵz oƣulliriƣila mǝnsup bolidu.
18 Mkuu anayetawala hana ruhusa kuchukua urithi wowote wa watu na kuwaondoa kwenye mali zao. Mkuu atawalaye atawapa wanawe urithi wao, kutoka kwenye mali zake mwenyewe, ili kwamba pasiwe na mtu wangu yeyote atakayetengwa na urithi wake.’”
Wǝ xaⱨzadǝ hǝlⱪⱪǝ jǝbir-zulum selip, ularni mirasidin ⱨǝydiwǝtmǝydu; u oƣulliriƣa ɵz igilikidin miras tǝⱪsim ⱪilidu; xuning bilǝn Mening hǝlⱪim ɵz igilikidin tarⱪitilmaydu.
19 Kisha mtu yule akanileta kwa kupitia kwenye ingilio lililokuwa kando ya lango mpaka kwenye vyumba vitakatifu vinavyoelekea kaskazini, ambavyo ni vya makuhani, naye akanionyesha mahali fulani upande wa mwisho wa magharibi.
Andin [ⱨeliⱪi kixi] meni ximalƣa ⱪaraydiƣan, kaⱨinlar üqün bolƣan muⱪǝddǝs «kiqik hanilar»ƣa dǝrwazining yenidiki kirix yoli bilǝn apardi; mana, uning ƣǝrb tǝripidǝ mǝhsus bir jay bar idi;
20 Akaniambia, “Mahali hapa ndipo makuhani watakapotokosea sadaka ya hatia na sadaka ya dhambi na kuoka sadaka ya nafaka, kuepuka kuzileta katika ukumbi wa nje na kushirikisha utakatifu kwa watu.”
u manga: «Bu kaⱨinlar itaǝtsizlik ⱪurbanliⱪlirini wǝ gunaⱨ ⱪurbanliⱪlirini ⱪaynitidiƣan ⱨǝm axliⱪ ⱨǝdiyǝlǝrni pixuridiƣan jaydur; bu jayni bekitixtiki mǝⱪsǝt, hǝlⱪning bu axlarning pak-muⱪǝddǝslikigǝ tegip ketip ziyanƣa uqrimasliⱪi üqün, ular bu [axlarni] sirtⱪi ⱨoyliƣa elip qiⱪmaydu.
21 Baada ya hapo akanileta kwenye ukumbi wa nje na kunizungusha kwenye pembe zake nne, nami nikaona katika kila pembe ya huo ukumbi kulikuwa na ukumbi mwingine.
U meni sirtⱪi ⱨoyliƣa apirip, meni ⱨoylining tɵt bulungidin ɵtküzdi; mana, ⱨoylining ⱨǝrbir bulungida [kiqik] ⱨoyla bar idi.
22 Katika pembe nne za huo ukumbi wa nje kulikuwa na kumbi nyingine, zenye urefu wa dhiraa arobaini na upana wake dhiraa thelathini, ambapo hizo kumbi kwenye hizo pembe nne zilikuwa na vipimo vilivyo sawa.
Ⱨoylining tɵt bulungida, uzunluⱪi ⱪiriⱪ gǝz, kǝngliki ottuz gǝz bolƣan tosma tamliⱪ ⱨoylilar bar idi; bu tɵt ⱨoylining ɵlqǝmliri ohxax idi.
23 Mzunguko wa ndani wa hizo kumbi nne ulikuwa na ukingo wa jiwe, zikiwa na sehemu zilizojengwa kwa ajili ya moto kuzunguka chini ya huo ukingo.
Bu tɵt ⱨoyla iqidǝ ǝtrapida tax tahtayliⱪ tǝkqǝ bar idi; tǝkqǝ astida ⱨǝmmǝ ǝtrapida ⱪazan ⱪaynitidiƣan [ot ⱪalaydiƣan] jayliri bar idi.
24 Akaniambia, “Hizi ndizo sehemu za kupikia ambazo wale wanaohudumu kwenye Hekalu watatokosea dhabihu za watu.”
U manga: «Bular «gɵx ⱪaynitix ɵyliri», muxu yǝrlǝrdǝ ɵyning hizmitidǝ bolƣanlar hǝlⱪning ⱪurbanliⱪlirini ⱪaynitidu» — dedi.