< Ezekieli 46 >

1 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Lango la ukumbi wa ndani linaloelekea upande wa mashariki litakuwa linafungwa kwa siku sita za juma, ila siku ya Sabato na siku ya Mwezi Mwandamo litafunguliwa.
Reb Perwerdigar mundaq deydu: — Ichki hoylining sherqqe qaraydighan derwazisi alte «ish küni»de étiklik bolidu; biraq shabat künide u échilidu; we «yéngi ay» bolghan künliride u échilidu.
2 Mkuu anayetawala ataingia kupitia baraza ya njia ya lango la ukumbi na kusimama karibu na nguzo ya lango. Makuhani watatoa sadaka za mkuu anayetawala za kuteketezwa na sadaka za amani. Mkuu anayetawala atasujudu kwenye kizingiti cha njia ya lango, kisha atatoka nje, lakini lango halitafungwa mpaka jioni.
Shahzade sirttin shu derwazining dalinining yoli bilen kiridu, u kirish éghizining késhek témi tüwide turidu; kahinlar bolsa uning üchün köydürme qurbanliqini, inaqliq qurbanliqlirini sunidu; u derwazining bosughisida sejde qilidu andin chiqidu; biraq derwaza kechkiche étilmeydu.
3 Siku za Sabato na za Mwezi mwandamo watu wote wa nchi wataabudu mbele za Bwana penye lile ingilio la ile njia.
Zémindiki xelqmu shabat künliride we «yéngi ay»larda shu derwazining kirish éghizining tüwide turup Perwerdigar aldida sejde qilidu.
4 Sadaka ya kuteketezwa aletazo mkuu anayetawala kwa Bwana siku ya Sabato itakuwa ni wana-kondoo sita na kondoo dume mmoja, wote wasiwe na dosari.
Shabat künide shahzade Perwerdigargha sun’ghan qurbanliq bolsa alte béjirim paxlan, bir béjirim qochqar bolidu.
5 Sadaka ya nafaka inayotolewa pamoja na huyo kondoo dume itakuwa efa moja na sadaka ya nafaka inayotolewa na hao wana-kondoo itakuwa kiasi apendacho mtu pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
Bulargha qoshulidighan ashliq hediyeler qochqargha bir efah, paxlanlargha bolsa chamining yétishiche bolidu; herbir efah un’gha u bir xin zeytun méyini qoshup sunidu.
6 Siku ya mwezi mwandamo atatoa fahali mchanga, wana-kondoo sita na kondoo dume, wote wasiwe na dosari.
«Yéngi ay»ning künide u sun’ghan qurbanliq yash bir béjirim torpaq, alte paxlan, bir qochqar bolidu; ularning hemmisi béjirim bolidu.
7 Atatoa kuwa sadaka ya nafaka efa moja pamoja na fahali mmoja, efa moja na kondoo dume mmoja na pamoja na wana-kondoo kama atakavyo kutoa, pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
Bulargha ashliq hediyelerni qushup sunidu; torpaqqa bir efah, qochqargha bir efah, paxlanlargha chamining yétishiche bolidu; herbir efah un’gha bir xin zeytun méyini qoshup sunidu.
8 Wakati mkuu anayetawala aingiapo, atapitia kwenye baraza ya njia ya lango, naye atatoka nje kwa njia hiyo hiyo.
Shahzade kirgende, derwazining dalini bilen kiridu, we shu yol bilen chiqidu.
9 “‘Wakati watu wa nchi wanapokuja mbele za Bwana katika sikukuu zilizoamriwa, yeyote aingiaye kwa lango la kaskazini kuabudu atatoka nje kwa lango la kusini na yeyote aingiaye kwa lango la kusini atatoka nje kwa lango la kaskazini. Hakuna mtu yeyote atakayerudi kwa kupitia lango lile aliloingilia, lakini kila mmoja atatoka nje kwa lango linalokabili lile aliloingilia.
Zémindiki xelq héyt künliride békitilgen «ibadet sorun»lirigha Perwerdigar aldigha kirgende, sejde qilishqa shimaliy derwazidin kirgen kishi jenubiy derwazidin chiqidu; jenubiy derwazidin kirgen kishi shimaliy derwazidin chiqidu; u kirgen derwazidin chiqmaydu, belki uduligha méngip chiqidu.
10 Mkuu anayetawala atakuwa miongoni mwao, akiingia nao ndani wanapoingia, naye atatoka nao nje wanapotoka.
Xelq kirgende shahzade ular bilen bille kiridu; ular chiqqanda, bille chiqidu.
11 “‘Kwenye sikukuu na kwenye sikukuu zilizoamriwa, sadaka ya nafaka itakuwa efa moja pamoja na fahali mmoja, efa moja pamoja na kondoo dume mmoja, pamoja na idadi ya wana-kondoo kama mtu apendavyo kutoa, pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
Héyt-bayramlarda we «ibadet sorun»lirida bolsa, u qoshumche sun’ghan ashliq hediyeler torpaqqa bir efah, qochqargha bir efah, paxlanlargha bolsa chamining yétishiche bolidu; herbir efah un’gha u bir xin zeytun méyini qoshup sunidu.
12 Mkuu anayetawala anapotoa sadaka ya hiari kwa Bwana, ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani, lango linaloelekea mashariki litafunguliwa kwa ajili yake. Atatoa sadaka yake ya kuteketezwa au sadaka yake ya amani kama afanyavyo katika siku ya Sabato. Kisha atatoka nje, naye akiisha kutoka nje, lango litafungwa.
Shahzade Perwerdigargha xalis köydürme qurbanliqni yaki xalis inaqliq qurbanliqlirini sunmaqchi bolsa, emdi sherqqe qaraydighan derwaza uning üchün échilidu; shabat künide qilghandek, u öz köydürme qurbanliqini we inaqliq qurbanliqlirini sunidu; u qaytip chiqidu; chiqqandin kéyin derwaza étilidu.
13 “‘Kila siku utamtoa mwana-kondoo wa mwaka mmoja asiyekuwa na dosari kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana, utaitoa kila siku asubuhi.
Her künde sen Perwerdigargha köydürme qurbanliq süpitide bir yashliq béjirim paxlanni sunisen; sen her etigini teyyarlap bérisen.
14 Pia kila siku asubuhi pamoja na hiyo sadaka utatoa sadaka ya nafaka, ikiwa na sehemu ya sita ya efa pamoja na theluthi moja ya hini ya mafuta ya kuchanganya na ule unga. Utoaji wa sadaka hii ya nafaka kwa Bwana ni amri ya daima.
Her etigende sen uninggha qoshup ashliq hediye, yeni undin altidin bir efah we unni maylashqa zeytun méyidin üchtin bir hin teyyarlaysen; bu Perwerdigargha ebediy belgilime bilen békitilgen ashliq hediye bolidu.
15 Kwa hiyo mwana-kondoo na sadaka ya nafaka na mafuta vitatolewa kila siku asubuhi kwa ajili ya sadaka ya daima ya kuteketezwa.
Ular her etigende paxlanni, uning ashliq hediyesini zeytun méyi bilen ebediy köydürme qurbanliq süpitide sunidu.
16 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ikiwa mkuu atawalaye atatoa zawadi kutoka kwenye urithi wake na kumpa mmoja wa wanawe, hiyo zawadi itakuwa pia kwa wazao wake, itakuwa mali yao kwa urithi.
Reb Perwerdigar mundaq deydu: — Shahzade öz mirasidin oghullirining birsige sowgha qilghan bolsa, emdi u yene ashu oghlining öz oghul-ejdadliri üchün bolidu; miras yoli boyiche u ularning igiliki bolidu.
17 Hata hivyo, kama atatoa zawadi kutoka urithi wake na kumpa mmoja wa watumishi wake, mtumishi anaweza kuiweka mpaka mwaka wa uhuru, kisha itarudishwa kwa mkuu anayetawala. Urithi wake ni wa wanawe peke yao, ni mali yao.
Biraq u öz mirasidin uning xizmetkarlirining birige sowgha bergen bolsa, u uningki «xalas qilish yili»ghiche bolidu; shu chaghda u shahzadige qayturulidu; [shahzadining mirasi] esli öz oghullirighila mensup bolidu.
18 Mkuu anayetawala hana ruhusa kuchukua urithi wowote wa watu na kuwaondoa kwenye mali zao. Mkuu atawalaye atawapa wanawe urithi wao, kutoka kwenye mali zake mwenyewe, ili kwamba pasiwe na mtu wangu yeyote atakayetengwa na urithi wake.’”
We shahzade xelqqe jebir-zulum sélip, ularni mirasidin heydiwetmeydu; u oghullirigha öz igilikidin miras teqsim qilidu; shuning bilen Méning xelqim öz igilikidin tarqitilmaydu.
19 Kisha mtu yule akanileta kwa kupitia kwenye ingilio lililokuwa kando ya lango mpaka kwenye vyumba vitakatifu vinavyoelekea kaskazini, ambavyo ni vya makuhani, naye akanionyesha mahali fulani upande wa mwisho wa magharibi.
Andin [héliqi kishi] méni shimalgha qaraydighan, kahinlar üchün bolghan muqeddes «kichik xanilar»gha derwazining yénidiki kirish yoli bilen apardi; mana, uning gherb teripide mexsus bir jay bar idi;
20 Akaniambia, “Mahali hapa ndipo makuhani watakapotokosea sadaka ya hatia na sadaka ya dhambi na kuoka sadaka ya nafaka, kuepuka kuzileta katika ukumbi wa nje na kushirikisha utakatifu kwa watu.”
u manga: «Bu kahinlar itaetsizlik qurbanliqlirini we gunah qurbanliqlirini qaynitidighan hem ashliq hediyelerni pishuridighan jaydur; bu jayni békitishtiki meqset, xelqning bu ashlarning pak-muqeddeslikige tégip kétip ziyan’gha uchrimasliqi üchün, ular bu [ashlarni] sirtqi hoyligha élip chiqmaydu.
21 Baada ya hapo akanileta kwenye ukumbi wa nje na kunizungusha kwenye pembe zake nne, nami nikaona katika kila pembe ya huo ukumbi kulikuwa na ukumbi mwingine.
U méni sirtqi hoyligha apirip, méni hoylining töt bulungidin ötküzdi; mana, hoylining herbir bulungida [kichik] hoyla bar idi.
22 Katika pembe nne za huo ukumbi wa nje kulikuwa na kumbi nyingine, zenye urefu wa dhiraa arobaini na upana wake dhiraa thelathini, ambapo hizo kumbi kwenye hizo pembe nne zilikuwa na vipimo vilivyo sawa.
Hoylining töt bulungida, uzunluqi qiriq gez, kengliki ottuz gez bolghan tosma tamliq hoylilar bar idi; bu töt hoylining ölchemliri oxshash idi.
23 Mzunguko wa ndani wa hizo kumbi nne ulikuwa na ukingo wa jiwe, zikiwa na sehemu zilizojengwa kwa ajili ya moto kuzunguka chini ya huo ukingo.
Bu töt hoyla ichide etrapida tash taxtayliq tekche bar idi; tekche astida hemme etrapida qazan qaynitidighan [ot qalaydighan] jayliri bar idi.
24 Akaniambia, “Hizi ndizo sehemu za kupikia ambazo wale wanaohudumu kwenye Hekalu watatokosea dhabihu za watu.”
U manga: «Bular «gösh qaynitish öyliri», mushu yerlerde öyning xizmitide bolghanlar xelqning qurbanliqlirini qaynitidu» — dédi.

< Ezekieli 46 >