< Ezekieli 46 >

1 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Lango la ukumbi wa ndani linaloelekea upande wa mashariki litakuwa linafungwa kwa siku sita za juma, ila siku ya Sabato na siku ya Mwezi Mwandamo litafunguliwa.
Так говорить Господь Бог: Брама вну́трішнього подві́р'я, що зве́рнена на схід, буде за́мкнена шість день праці, а субо́тнього дня буде відчи́нена, і в день новомі́сяччя буде відчи́нена.
2 Mkuu anayetawala ataingia kupitia baraza ya njia ya lango la ukumbi na kusimama karibu na nguzo ya lango. Makuhani watatoa sadaka za mkuu anayetawala za kuteketezwa na sadaka za amani. Mkuu anayetawala atasujudu kwenye kizingiti cha njia ya lango, kisha atatoka nje, lakini lango halitafungwa mpaka jioni.
І вві́йде князь ходом сіне́й брами ззо́вні, і стане при одві́рку брами, а священики приготу́ють його цілопа́лення та його мирну жертву, і він покло́ниться на порозі брами. А брама не буде за́мкнена аж до вечора.
3 Siku za Sabato na za Mwezi mwandamo watu wote wa nchi wataabudu mbele za Bwana penye lile ingilio la ile njia.
І буде вклоня́тися наро́д кра́ю при вході цієї брами в суботи та в новомі́сяччя перед Господнім лице́м.
4 Sadaka ya kuteketezwa aletazo mkuu anayetawala kwa Bwana siku ya Sabato itakuwa ni wana-kondoo sita na kondoo dume mmoja, wote wasiwe na dosari.
А те цілопа́лення, що князь принесе́ Господе́ві субо́тнього дня, це шість безва́дних овець та безва́дний баран.
5 Sadaka ya nafaka inayotolewa pamoja na huyo kondoo dume itakuwa efa moja na sadaka ya nafaka inayotolewa na hao wana-kondoo itakuwa kiasi apendacho mtu pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
А жертва мучна́ — ефа́ на барана́, а на овець жертва хлі́бна, — скільки дасть рука ного, а оливи — гін на ефу́.
6 Siku ya mwezi mwandamo atatoa fahali mchanga, wana-kondoo sita na kondoo dume, wote wasiwe na dosari.
А в день новомі́сяччя — молодий бик з великої худо́би, безва́дний, і ше́стеро овець та баран будуть безва́дні.
7 Atatoa kuwa sadaka ya nafaka efa moja pamoja na fahali mmoja, efa moja na kondoo dume mmoja na pamoja na wana-kondoo kama atakavyo kutoa, pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
І ефу на бика, і ефу на барана приготує він хлі́бну жертву, а на овець — як сягне́ рука його, а оливи — гін на ефу́.
8 Wakati mkuu anayetawala aingiapo, atapitia kwenye baraza ya njia ya lango, naye atatoka nje kwa njia hiyo hiyo.
А коли прихо́дитиме князь, то він уві́йде ходом сіне́й брами, і тим же ходом своїм ви́йде.
9 “‘Wakati watu wa nchi wanapokuja mbele za Bwana katika sikukuu zilizoamriwa, yeyote aingiaye kwa lango la kaskazini kuabudu atatoka nje kwa lango la kusini na yeyote aingiaye kwa lango la kusini atatoka nje kwa lango la kaskazini. Hakuna mtu yeyote atakayerudi kwa kupitia lango lile aliloingilia, lakini kila mmoja atatoka nje kwa lango linalokabili lile aliloingilia.
А коли наро́д краю буде прихо́дити перед Господнє лице в свята, то хто входить ходом півні́чної брами, щоб поклонитися, ви́йде ходом брами півде́нної, а хто входить ходом брами півде́нної, ви́йде ходом брами півні́чної, — не ве́рнеться ходом тієї брами, яким увійшов, але́ ви́йде протиле́глою йому́.
10 Mkuu anayetawala atakuwa miongoni mwao, akiingia nao ndani wanapoingia, naye atatoka nao nje wanapotoka.
А князь буде серед них: при вході їх вві́йде, і при ви́ході їх ви́йде.
11 “‘Kwenye sikukuu na kwenye sikukuu zilizoamriwa, sadaka ya nafaka itakuwa efa moja pamoja na fahali mmoja, efa moja pamoja na kondoo dume mmoja, pamoja na idadi ya wana-kondoo kama mtu apendavyo kutoa, pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
А в свята та в урочи́сті дні буде хлі́бна жертва, — ефа́ на бика й ефа́ на барана́, а на вівці — скільки дасть рука його, а оливи — гін на ефу́.
12 Mkuu anayetawala anapotoa sadaka ya hiari kwa Bwana, ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani, lango linaloelekea mashariki litafunguliwa kwa ajili yake. Atatoa sadaka yake ya kuteketezwa au sadaka yake ya amani kama afanyavyo katika siku ya Sabato. Kisha atatoka nje, naye akiisha kutoka nje, lango litafungwa.
А коли князь приготу́є доброві́льного дара, цілопа́лення або мирні жертви, дар для Господа, то відчинять йому браму, що звернена на схід, і приготує своє цілопа́лення та свої мирні жертви, як готує за суботи, і ви́йде, і замкну́ть браму по його ви́ході.
13 “‘Kila siku utamtoa mwana-kondoo wa mwaka mmoja asiyekuwa na dosari kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana, utaitoa kila siku asubuhi.
А вівцю́ однорічну, безва́дну, пригото́виш на цілопа́лення кожен день для Господа, щора́нку пригото́виш його.
14 Pia kila siku asubuhi pamoja na hiyo sadaka utatoa sadaka ya nafaka, ikiwa na sehemu ya sita ya efa pamoja na theluthi moja ya hini ya mafuta ya kuchanganya na ule unga. Utoaji wa sadaka hii ya nafaka kwa Bwana ni amri ya daima.
А жертву хлі́бну пригото́виш до нього щора́нку, шосту частину ефи, а оливи — третину гіна, щоб покропи́ти пшеничну муку, — це хлі́бна жертва для Господа, постанови вічні наза́вжди.
15 Kwa hiyo mwana-kondoo na sadaka ya nafaka na mafuta vitatolewa kila siku asubuhi kwa ajili ya sadaka ya daima ya kuteketezwa.
I приготують вівцю й жертву хлі́бну та оливу щора́нку на стале цілопа́лення.
16 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ikiwa mkuu atawalaye atatoa zawadi kutoka kwenye urithi wake na kumpa mmoja wa wanawe, hiyo zawadi itakuwa pia kwa wazao wake, itakuwa mali yao kwa urithi.
Так говорить Господь Бог: Коли князь дасть кому́ зо своїх синів да́ра зо спа́дку свого́, це буде належати його синам, як їхнє володі́ння в спа́дщині.
17 Hata hivyo, kama atatoa zawadi kutoka urithi wake na kumpa mmoja wa watumishi wake, mtumishi anaweza kuiweka mpaka mwaka wa uhuru, kisha itarudishwa kwa mkuu anayetawala. Urithi wake ni wa wanawe peke yao, ni mali yao.
А коли він дасть да́ра з свого спа́дку одно́му з своїх рабів, то це буде належати йому аж до року волі його, та й ве́рнеться кня́зеві, бо це його спа́док, тільки синам його він нале́жатиме.
18 Mkuu anayetawala hana ruhusa kuchukua urithi wowote wa watu na kuwaondoa kwenye mali zao. Mkuu atawalaye atawapa wanawe urithi wao, kutoka kwenye mali zake mwenyewe, ili kwamba pasiwe na mtu wangu yeyote atakayetengwa na urithi wake.’”
А князь не ві́зьме зо спа́дку наро́ду, витискаючи їх з їхнього володіння, — із свого володіння дасть своїм сина́м спа́док, щоб ніхто з наро́ду Мого не розпоро́шився зо свого володіння.
19 Kisha mtu yule akanileta kwa kupitia kwenye ingilio lililokuwa kando ya lango mpaka kwenye vyumba vitakatifu vinavyoelekea kaskazini, ambavyo ni vya makuhani, naye akanionyesha mahali fulani upande wa mwisho wa magharibi.
І впрова́див мене входом, що при боці брами, до свяще́нних кімна́т для священиків, що звернені на пі́вніч; і ось там є місце на їхньому за́дньому боці на за́хід.
20 Akaniambia, “Mahali hapa ndipo makuhani watakapotokosea sadaka ya hatia na sadaka ya dhambi na kuoka sadaka ya nafaka, kuepuka kuzileta katika ukumbi wa nje na kushirikisha utakatifu kwa watu.”
І сказав він мені: Оце місце, де священики бу́дуть варити жертву за провину та жертву за гріх, де будуть пекти́ жертву хлі́бну, щоб не вино́сити до зо́внішнього подві́р'я, і не посвятити народа.
21 Baada ya hapo akanileta kwenye ukumbi wa nje na kunizungusha kwenye pembe zake nne, nami nikaona katika kila pembe ya huo ukumbi kulikuwa na ukumbi mwingine.
І він вивів мене до зо́внішнього подві́р'я, і провів мене по чотирьо́х ро́гах подвір'я, — і ось ще подвір'я на кожному розі подвір'я.
22 Katika pembe nne za huo ukumbi wa nje kulikuwa na kumbi nyingine, zenye urefu wa dhiraa arobaini na upana wake dhiraa thelathini, ambapo hizo kumbi kwenye hizo pembe nne zilikuwa na vipimo vilivyo sawa.
На чотирьо́х ро́гах подвір'я були малі подвір'я, — сорок ліктів завдовж і тридцять завши́р, міра одна для них чотирьо́х, простоку́тні.
23 Mzunguko wa ndani wa hizo kumbi nne ulikuwa na ukingo wa jiwe, zikiwa na sehemu zilizojengwa kwa ajili ya moto kuzunguka chini ya huo ukingo.
І був ряд каміння навко́ло них, навколо них чотирьо́х, і поро́блені ку́хні під горожею навколо.
24 Akaniambia, “Hizi ndizo sehemu za kupikia ambazo wale wanaohudumu kwenye Hekalu watatokosea dhabihu za watu.”
І сказав він мені: Оце дім кухарі́в, що там ва́рять слуги храму жертву наро́дові.

< Ezekieli 46 >