< Ezekieli 44 >
1 Ndipo yule mtu akanirudisha mpaka kwenye lango la nje la mahali Patakatifu, lile linaloelekea upande wa mashariki, nalo lilikuwa limefungwa.
Nendese’e nibalike mb’an-dalambey alafe’ i toetse miavake miatrek’ atiñanañey mb’eo iraho; f’ie nirindriñe.
2 Bwana akaniambia, “Lango hili litabaki limefungwa. Haliruhusiwi kufunguliwa, wala hakuna mtu yeyote anayeruhusiwa kuingilia kwenye lango hili. Litabaki limefungwa kwa sababu Bwana, Mungu wa Israeli, ameingia kwa kupitia lango hili.
Le hoe t’Iehovà amako: Hagabeñe ty lalañe toy, tsy ho sokafeñe, le tsy himoak’ ama’e t’indaty; amy te fa nizilik’ ao t’Iehovà Andrianañahare’ Israele, aa le harindriñe izay.
3 Yeye aliye mkuu peke yake ndiye anayeweza kukaa penye njia ya hilo lango na kula chakula mbele za Bwana. Itampasa aingie kwa njia hiyo ya lango la ukumbini na kutokea njia iyo hiyo.”
I roandriañey avao ty hiambesatse ao hikama mahakama añatrefa’ Iehovà ty amy maha-roandriañe aze; hizilike mb’amy ana-piziliha’ i lalambeiy re, vaho ama’e ka ty hienga’e mb’eo.
4 Kisha yule mtu akanileta kwa njia ya lango la kaskazini mpaka mbele ya Hekalu. Nikatazama nami nikauona utukufu wa Bwana ukilijaza Hekalu la Bwana, nami nikaanguka kifudifudi.
Nendese’e niary amy lalambey avaratsey iraho, mb’ añ’ aolo’ i kivohoy mb’eo; nenteako le indroke nandifotse i kivoho’ Iehovày ty enge’ Iehovà; vaho nibaboke an-tareheko.
5 Bwana akaniambia, “Mwanadamu, angalia kwa uangalifu, usikilize kwa bidii na uzingatie kila kitu ninachokuambia kuhusu masharti yote yanayohusu Hekalu la Bwana. Uwe mwangalifu kuhusu wale wanaoruhusiwa hekaluni na wale wasioruhusiwa kuingia mahali patakatifu.
Le hoe t’Iehovà amako: O ana’ ondatio, arendreho soa, le isaho am-pihaino naho janjiño an-dravembia ze he’e ho volañeko ama’o ty amo fañè’ i kivoho’ Iehovàio naho o fañòha’eo; arendreho o mete hampihovañe amy kivohoio, vaho o rarañe tsy himoak’ amy toetse miavakeio.
6 Iambie nyumba ya kuasi ya Israeli, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Matendo yenu ya machukizo yatosha, ee nyumba ya Israeli!
Le saontsio ty hoe o mpiolao, i anjomba’ Israeley, inao ty nafè’ Iehovà Talè: Ry anjomba’ Israele, fonga ajihero o hakarapiloa’oo,
7 Zaidi ya matendo yenu yote ya machukizo, mmewaleta wageni wasiotahiriwa mioyo na miili katika patakatifu pangu, mkilinajisi Hekalu langu, huku mkinitolea chakula, mafuta ya wanyama na damu, nanyi mmevunja Agano langu.
ty amy nampihova’o an-toeko miavake ao o ambahiny tsy nisavareñe añ’arofo naho tsy afak’ ofoke an-tsandriñeo, hañota-faly amy anjombakoy, ie nengae’o amako o hànekoo, ty safo’e naho ty lio’e. Tovo’ ze haloloañ’ iaby nivaliha’ areo amy fañinakoy;
8 Badala ya kutimiza wajibu wenu kuhusiana na vitu vyangu vitakatifu, mmeweka watu wengine kuwa viongozi katika patakatifu pangu.
vaho tsy namandroñe o raha masikoo; te mone nampivandroñe’ iareo ze nisatrie’ areo avao i toeko miavakey.
9 Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Hakuna mgeni asiyetahiriwa moyo na mwilini anayeruhusiwa kuingia patakatifu pangu, wala hata wageni wanaoishi miongoni mwa Waisraeli.
Aa le hoe t’Iehovà Talè: Tsy himoak’ amy toeko miavakey ty ambahiny tsy nisavareñe añ’arofo naho tsy afak’ ofok’ an-tsandriñe, amo renetane mitraok’ amo nte-Israeleo iabio.
10 “‘Walawi walioniacha wakati Waisraeli walipopotoka wakatoka kwangu na kutangatanga kwa kufuata sanamu zao, watachukua adhabu ya dhambi zao.
Le hivave ty lafa’ iareo o nte-Levy nihànkañe amakoo, ie nandifik’ amako t’Israele naho nandrìke mb’ amo samposampon-draha’ iareoo.
11 Wanaweza wakatumika katika mahali patakatifu pangu, wakiwa na uangalizi wa malango ya Hekalu, nao watachinja sadaka za kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya watu na kusimama mbele ya watu ili kuwahudumia.
Ho mpañambiñe an-toeko miavake ao iereo, hisary o lalambein-kivohoo, hampikasokasok’ amy kibohokoy ao; handenta o engan-koroañeo naho o fisoroña’ ondatioo, hiatrake ondatio, hitoroñe iareo.
12 Lakini kwa sababu waliwatumikia watu mbele ya sanamu zao na kuifanya nyumba ya Israeli ianguke kwenye dhambi, kwa hiyo nimeapa kwa mkono ulioinuliwa kwamba ni lazima wachukue matokeo ya dhambi yao, asema Bwana Mwenyezi.
Amy te nitoroñe’ iareo aolo’ o saren’ drahare’ iareoo, naho ninjare bolokon-kakeo fampitsikapieñe i anjomba’ Israeley, le nizonjoeko haoke hoe t’Iehovà Talè, vaho ho vavè’ iereo o hakeo’ iareoo.
13 Hawaruhusiwi kukaribia ili kunitumikia kama makuhani wala kukaribia chochote changu kilicho kitakatifu au sadaka iliyo takatifu kupita zote, bali watachukua aibu ya matendo yao ya kuchukiza.
Tsy hitotok’ amako iereo, tsy hitoroñe ahy ho mpisoroñe, tsy hañarine o raha masikoo naho o raha loho miavakeo; fa hivave fisalarañe ty amo hatsivokarañe nanoe’ iereoo.
14 Lakini nitawaweka katika uangalizi wa Hekalu na kazi zote zile zinazotakiwa kufanyika ndani yake.
F’ie ho tendrèko ho mpigaritse i kivohokoy, naho hikotrokotrok’ ama’eo, ze hene kasokasoheñe ama’e ao.
15 “‘Lakini makuhani, ambao ni Walawi na wazao wa Sadoki, ambao walitimiza wajibu wao kwa uaminifu katika patakatifu pangu wakati Waisraeli walipopotoka, watakaribia ili kutumika mbele zangu. Itawapasa wasimame mbele zangu ili kutoa dhabihu za mafuta ya wanyama na damu, asema Bwana Mwenyezi.
Fe o mpisoroñe nte-Levy ana’ i Tsadoke namandroñe i toeko miavakey, ie nandifik’ amako o nte-Israeleoo ro hitotok’ amako hitoroñ’ ahy, hijohañe añatrefako hañenga ty safo’e naho ty lio amako, hoe t’Iehovà Talè;
16 Wao peke yao ndio wenye ruhusa ya kuingia mahali patakatifu pangu. Wao peke yao ndio watakaokaribia meza yangu ili kuhudumu mbele zangu na kufanya utumishi wangu.
Ie ro himoak’ amy toeko miavakey ao, hitotok’ amy fandambañakoy hitoroñe ahy vaho hamandroñe o ahikoo.
17 “‘Watakapoingia kwenye malango ya ukumbi wa ndani, watavaa nguo za kitani safi, hawaruhusiwi kamwe kuvaa mavazi ya sufu wakati wanapokuwa wakihudumu kwenye malango ya ukumbi wa ndani wala ndani ya Hekalu.
Ie mizilik’ amo lalambein-kiririsa’ añateo, le hisikiñe lamba leny naho tsy ho amam-bolonañondry t’ie mitoloñe an-dalambein-kiririsa añate’e naho amy trañoy.
18 Watavaa vilemba vya kitani safi vichwani mwao na nguo za ndani za kitani safi viunoni mwao. Hawatavaa chochote kitakachowafanya kutoa jasho.
Ho aman-tsabaka leny ty añambone’ iareo, naho koloty leny ty ambania’e; vaho tsy hisikiñe ze hahatera-liñetse.
19 Watakapotoka ili kuingia katika ukumbi wa nje mahali watu walipo, watavua nguo walizokuwa wakihudumu nazo na wataziacha katika vyumba vitakatifu nao watavaa nguo nyingine, ili kwamba wasije wakaambukiza watu utakatifu kwa njia ya mavazi yao.
Le ie miakatse mb’an-kiririsa alafe’e ao, mb’an-kiririsa ama’ ondaty mb’eo, le hafaha’ iareo hey o sikiñe nitoroñañeo naho halafike amo efetsefe miavakeo; le hiombe saroñe ila’e, tsy mone hampiavake ondatio amo siki’eo.
20 “‘Hawatanyoa nywele za vichwa vyao wala kuziacha ziwe ndefu, bali watazipunguza.
Tsy hañara-doha iereo, naho tsy hapoke ho lava o maroi’eo; fe ho tomotomoreñe o maroin’ añambone’eo.
21 Kuhani yeyote asinywe mvinyo aingiapo katika ukumbi wa ndani.
Tsy hinon-divay ty mpisoroñe t’ie mizilik’ an-kiririsa añate’e ao.
22 Wasioe wanawake wajane wala walioachika, inawapasa kuoa wanawake bikira wenye heshima wa Israeli au wajane wa makuhani.
Tsy hañenga vantotse iereo, ndra ty narian-dahy, fa somondrara tariran’ anjomba’ Israele ndra ty vantotse remavoi’ ty mpisoroñe.
23 Watawafundisha watu wangu tofauti kati ya vitu vitakatifu na vitu vya kawaida na kuwaonyesha jinsi ya kupambanua kati ya vitu najisi na vitu safi.
Haò’ iereo ondatikoo ty hañambahañe ty masiñe ami’ty tsotra, vaho hampandrendreheñe ty faly naho ty malio.
24 “‘Katika magombano yoyote, makuhani watatumika kama mahakimu na kuamua hilo jambo kufuatana na sheria zangu. Watazishika sheria zangu na maagizo yangu katika sikukuu zangu zote zilizoamriwa, nao watatakasa Sabato zangu.
Ie eo ty fandierañe le hizaka’ iareo; hizaka amo fepèkoo; naho hañambeñe Hake naho o fañèko amo hene famantañakoo vaho ho masiñe’ iereo o Sabatekoo.
25 “‘Kuhani asijitie unajisi kwa kukaribia maiti, lakini, kama mtu aliyekufa alikuwa baba yake au mama yake, mwana au binti yake, ndugu yake au dada ambaye hajaolewa, basi aweza kujitia unajisi kwa hao.
Tsy haniva vatañe iereo ami’ty hizilihañe an-dolo ao; f’ie mahazo mandeo-batañe naho rae ndra rene, ana-dahy naho anak’ampela, vaho rahalahy ndra rahavave tsy manambaly.
26 Baada ya kujitakasa, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba.
Ie malio, le hañiahañe fito andro.
27 Siku atakapoingia katika ukumbi wa ndani wa mahali patakatifu ili kuhudumu, atatoa sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe, asema Bwana Mwenyezi.
Ie amy andro iziliha’e i toetse miavakey, an-kiririsa’ añate’e ao, hitoloña’e amy toetse miavakey, le hengae’e i engan-kakeo’ey, hoe t’Iehovà Talè.
28 “‘Mimi nitakuwa ndio urithi pekee walio nao makuhani katika Israeli. Msiwape wao milki, mimi nitakuwa milki yao.
Izay ty ho lova iareo; Izaho o lova’ iareoo fa tsy ho tolorañe fanañañe e Israele ao; Izaho ro fanaña’ iareo.
29 Wao watakula sadaka za nafaka, sadaka za dhambi na sadaka za hatia na kila kitu kitakachotolewa kwa Bwana katika Israeli kitakuwa chao.
Ho kamae’ iereo ty enga-mahakama, naho ty engan-kakeo, naho ty engan-tahiñe, vaho ho a iareo ze raha natokañe e Israele ao.
30 Yote yaliyo bora ya malimbuko ya vitu vyote na matoleo yenu maalum vitakuwa vya makuhani. Inawapasa kuwapa malimbuko ya kwanza ya unga wenu ili kwamba baraka ipate kuwa katika nyumba zenu.
Le ho a o mpisoroñeo ze hene karazan-doha-voa, naho ze fonga enga ndra inoñe ty karaza’e boak’amo enga’ areo iabio; hatolo’ areo amo mpisoroñeo ka ty loha-voa fanoñaha’ areo, soa te hipetak’ añ’anjomba’ areo ty fañanitsiñe.
31 Makuhani hawaruhusiwi kula chochote, ikiwa ni ndege au mnyama, aliyekutwa akiwa amekufa au aliyeraruliwa na wanyama pori.
Tsy ho kamae’ o mpisoroñeo ty raha nimate boboke ndra rinimitse, he voroñe ke biby.