< Ezekieli 43 >

1 Kisha yule mtu akanileta kwenye lango linaloelekea upande wa mashariki,
Amo dunu da na logo holei amo da gusudili ba: le gusui, amoga oule asi.
2 nami nikaona utukufu wa Mungu wa Israeli ukija kutoka upande wa mashariki. Sauti yake ilikuwa kama ya ngurumo ya maji yaendayo kasi, nayo nchi ikangʼaa kwa utukufu wake.
Amogai, na da ba: loba, Isala: ili Gode Ea nenemigi hadigi gusudili manebe ba: i. Gode Ea sia: da hano nawa: li ea ga: agoai nabi, amola osobo bagade da Ea nenemigi hadigi amoga diga: gala: i.
3 Maono niliyoyaona yalikuwa kama maono yale niliyokuwa nimeyaona wakati Mungu alipokuja kuangamiza mji na kama maono niliyokuwa nimeyaona kando ya Mto wa Kebari, nami nikaanguka kifudifudi.
Amo esala ba: su da na musa: Gode da Yelusaleme wadela: lesimusa: misi, amo esala ba: su Siba Hano bega: ba: i, amo defele ba: i. Na da odagi guduli osoboga gala: la sa: i.
4 Utukufu wa Bwana ukaingia hekaluni kwa kupitia lango linaloelekea upande wa mashariki.
Nenemigi hadigi da gusudili logo holei baligili, Debolo Diasu ganodini golili sa: i.
5 Kisha Roho akanichukua na kunileta katika ule ua wa ndani, nao utukufu wa Bwana ulilijaza Hekalu.
Hina Gode Ea A: silibu da na gaguia gadole, ganodini dibifufu amoga oule golili misi. Amogai na ba: loba, Debolo Diasu da Hina Gode amo Ea hadigi amoga nabai dialebe ba: i.
6 Wakati yule mtu akiwa amesimama kando yangu, nilisikia mtu mmoja akisema nami kutoka ndani ya Hekalu.
Amo dunu da amogawi na dafulili lela, amola Hina Gode da Debolo Diasuanini nama sia: be, na da nabi, amane,
7 Akasema, “Mwanadamu, hapa ni mahali pa kiti changu cha enzi na mahali pa kuweka nyayo za miguu yangu. Hapa ndipo nitakapoishi miongoni mwa Waisraeli milele. Kamwe nyumba ya Israeli hawatalinajisi tena Jina langu takatifu, yaani, wao wala wafalme wao, kwa ukahaba wao na kwa sanamu zao zisizokuwa na uhai za wafalme wao katika mahali pao pa juu pa kuabudia miungu.
“Dunu egefe! Na fisu da goea! Na da gui esala, Isala: ili dunu ilima eso huluane ouligilalumu. Isala: ili fi dunu amola ilia hina bagade dunu da fa: no Na Dio hamedafa wadela: mu. Ilia da eno ogogosu ‘gode’ ilima hamedafa nodone sia: ne gadomu, amola ilia hina bagade ilia bogoi da: i hodo amo Hadigi soge (Debolo gagoi) ganodini bu hamedafa uli dogomu.
8 Walipoweka kizingiti chao karibu na kizingiti changu na miimo yao ya milango karibu na miimo yangu, pakiwa na ukuta tu kati yangu na wao, walilinajisi Jina langu takatifu kwa matendo yao ya machukizo. Kwa sababu hiyo niliwaangamiza kwa hasira yangu.
Ilia hina bagade da ilia diasu gagili fea amola logo mosomo ifa, amo Na Debolo diasu gagili fea amola logo mosomo ifa danoma: ne hiougi dagoi. Amalalu, dobea fawane da Na hadigi diasu amola ilia osobo bagade diasu afafae ba: i. Ilia wadela: i hou baligili hamobeba: le, ilia da Na hadigi dio wadela: lesi dagoi. Amaiba: le, Na ougi heda: le, ili wadela: lesi.
9 Basi sasa na waweke mbali nami ukahaba wao na sanamu za wafalme wao zisizo na uhai, nami nitakaa miongoni mwao milele.
Wali, ilia da eno ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu fisima: mu. Amola, ilia hina bagade bogoi da: i hodo fadegama: mu. Ilia da amane hamosea, Na da ilima gilisili fifi ahoanumu.”
10 “Mwanadamu, elezea hilo Hekalu kwa watu wa Israeli, ili wapate kuona aibu kwa ajili ya dhambi zao. Wao na wapime hicho kielelezo.
Amola, Hina Gode da eno amane sia: i, “Dunu egefe! Isala: ili dunu ilima Debolo ea hou ilima olelema, amola ea ilegei dedei amo noga: le sosodoma: ne, ilima olelema. Ilia da wadela: i houba: le gogosiama: ne, ilima adoma.
11 Wakishaona aibu kwa ajili ya yale yote waliyotenda, wafahamishe kielelezo cha hilo Hekalu, yaani mpangilio wake, maingilio yake ya kutoka na kuingia, kielelezo chake chote, na masharti yake yote na sheria zake zote. Yaandike haya mbele yao ili wapate kuwa waaminifu kwa hicho kielelezo chake na kufuata masharti yake yote.
Amasea, ilia hamoiba: le gogosiasea, Debolo Diasu ilegei ea hou ilima olelema. Ea ilegei, ea logo holei, ea gadili ahoasu, ea da: i hodo habai gala, ea gilisisu hou, amola ea malei amola sema huluane olelema. Amo huluane, ilia dawa: ma: ne amola ea sema huluane fa: no bobogema: ne, amo dedema.
12 “Hii ndiyo sheria ya Hekalu: Eneo lote linalozunguka Hekalu juu ya mlima litakuwa takatifu kuliko yote. Hii ndiyo sheria ya Hekalu.
Debolo sema da agoaiwane gala. Sogebi huluane goumi da: iya gala da sema amola hadigi gala.”
13 “Hivi ndivyo vipimo vya madhabahu kwa dhiraa ndefu, yaani, dhiraa moja na nyanda nne: Tako lake liwe na kina cha hiyo dhiraa moja na upana wa hiyo dhiraa moja, ikiwa na ukingo wa shibiri moja kuizunguka pembeni. Hiki kitakuwa ndicho kimo cha madhabahu:
Oloda ea defei da hagudu dedei diala. Amo dunu da oloda defei ba: loba, e da Debolo defesu defele defei. Oloda ea bai amo sisiga: le hano ogai disi. Ea ogasa sa: i defei da 50 sedamida amola ea ba: de defei da 50 sedamida ba: i. Amo hano ogai ea gadili bega: , boulegei ea gado seda 25 sedamida ba: i.
14 Kimo cha msingi kuanzia usawa wa ardhi mpaka kwenye mfereji sehemu ya chini kimo chake ni dhiraa mbili na upana wake ni dhiraa moja na kuanzia kwenye ukingo mdogo hadi kwenye ukingo mpana kimo chake ni dhiraa nne na upana wake ni dhiraa moja.
Oloda gududafa fa: i da bai amonini heda: le, ea gado seda defei da1 mida ba: i. Eno fa: i da bega: gasi ganoi 50 sedamida asili amalu 2 mida heda: i. Amalalu, eno fa: i da amo bega: gasi ganoi 50 sedamida. E amola da 2 mida agoane heda: i.
15 Pale pawashwapo moto madhabahuni kimo chake kitakuwa dhiraa nne, na pembe nne zinazoelekeza juu kutoka pale pawashwapo moto.
Amo fa: no heda: i fa: i, amoga ilia da gobele salasu ohe ulagisu. Agesoi biyaduyale da hegomai biyaduyale amoga bugili fisiagagai ba: i.
16 Pale pawashwapo moto pa madhabahu ni mraba, urefu wake ni dhiraa kumi na mbili na upana wa dhiraa kumi na mbili.
Oloda dabuagado ea fe hamoi biyaduyale huluane defei da 6 mida.
17 Pia sehemu ya juu ni mraba, urefu wake dhiraa kumi na nne na upana wa dhiraa kumi na nne, ikiwa na ukingo wa nusu dhiraa na mfereji kuizunguka madhabahu. Ngazi za kupandia madhabahuni zitaelekea upande wa mashariki.”
Dogoa fa: i amola ea fe hamoi biyaduyale gala huluane ilia defei da 7 mida ba: i. Amo fe bega: da boulegei amo ea gado seda defei da 25 sedamida ba: i. (Ea ogai ba: de da 50 sedamida ba: i) Oloda da: iya gado heda: su fa: gu da gusudili la: idi ba: i.
18 Kisha akaniambia, “Mwanadamu, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Haya ndiyo yatakayokuwa masharti ya kutoa dhabihu za kuteketezwa na kunyunyiza damu juu ya madhabahu itakapokuwa imejengwa.
Ouligisudafa Hina Gode da nama amane sia: i, “Dunu egefe! Na dima sia: be nabima! Oloda da gagui dagosea, di da amo agoane Nama imunusa: modale ligiagama. Amo da: iya gobele salasu ohe ulagisima, amola gobele sali ohe ilia maga: me amo da: iya gufunanesisima.
19 Utatoa fahali mchanga kuwa sadaka ya dhambi kwa makuhani, ambao ni Walawi, wa jamaa ya Sadoki, ndio watakaonikaribia kuhudumu mbele zangu, asema Bwana Mwenyezi.
Gobele salasu dunu, Lifai ea fi dunu, be Sa: idoge egaga fi fawane, ilia Na midadi misini, hawa: hamomu. Na, Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa. Di da bulamagau gawali wahadebe, wadela: i hou dabe ima: ne gobele salima: ne, ilima ima.
20 Itakupasa kuchukua baadhi ya hiyo damu ya mnyama huyo na kuiweka juu ya hizo pembe nne za madhabahu na juu ya ncha zake nne za sehemu ya juu kuzunguka ukingo wote, ili kuitakasa madhabahu na kufanya upatanisho kwa ajili yake.
Di da amo ea maga: me mogili lale, gadodili oloda hegomai agesoi amoga legele, amola oloda dogoa fa: i amo ea hegomai biyaduyale, amola ea sisiga: i bega: , gufunanesisima. Agoane hamosea di da oloda foloama: mu amola Godema imunusa: modale ligiagama: mu.
21 Itakupasa kumchukua huyo fahali mchanga kwa ajili ya sadaka ya dhambi na kumteketeza mahali palipoagizwa katika eneo la Hekalu nje ya mahali Patakatifu.
Di da bulamagau gawali amo da wadela: i hou fadegama: ne gobele salimusa: i, amo lale, ilegei soge Debolo gadili gala amoga ulagisimu.
22 “Siku ya pili yake utamtoa beberu asiye na dosari kwa ajili ya sadaka ya dhambi, nayo madhabahu itatakaswa kama ilivyotakaswa kwa yule fahali.
Aya agoanega, goudi gawali foloai noga: idafa amo lale, wadela: i hou dodofema: ne gobele salima. Di da oloda, bulamagau gawali ea maga: mega foloai, amo defele, goudi ea maga: mega foloama.
23 Utakapokuwa umemaliza kazi ya kuitakasa, utamtoa fahali mchanga pamoja na kondoo dume toka kwenye kundi, wote wawe hawana dosari.
Amo hamonanu, bulamagau gawali wahadebe amola sibi gawali wahadebe, foloai noga: idafa, amo lale,
24 Utawatoa mbele za Bwana, nao makuhani watanyunyizia chumvi juu yao na kuwatoa kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana.
Nama gaguli misa. Gobele salasu dunu da elama sali gufunanesisilalu, Nama ima: ne gobele salimu.
25 “Kwa siku saba itakupasa kutoa beberu kila siku kwa ajili ya sadaka ya dhambi, pia itakupasa kutoa fahali mchanga na kondoo dume kutoka zizini, wote wawe hawana dosari.
Hialigi afaega, eso afae afae ganodini, di da goudi afae amola bulamagau gawali afae, amola sibi gawali afae, wadela: i hou dodofema: ne, gobele salima. Huluane da wadela: i liligi hame, foloai noga: idafa fawane ba: mu.
26 Kwa siku saba itawapasa kufanya upatanisho kwa ajili ya madhabahu na kuitakasa na hivyo ndivyo watakavyoiweka wakfu.
Eso fesu amoga, gobele salasu dunu da oloda amo Nama imunusa: momagele, modale ligiagamu.
27 Mwishoni mwa hizi siku saba, kuanzia siku ya nane na kuendelea, itawapasa makuhani kutoa sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka za amani juu ya madhabahu. Kisha nitawakubali ninyi, asema Bwana Mwenyezi.”
Hialigi da dagosea, gobele salasu dunu da Isala: ili dunu ilia oloda da: iya gobei Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu gobele salasu amola Hahawane Gilisili Olofole gobele salasu amo muni gobele salimu. Amasea, Na da dili huluane hahawane ba: mu. Na, Ouligisudafa Hina Gode, da sia: i dagoi.”

< Ezekieli 43 >