< Ezekieli 42 >

1 Ndipo yule mtu akaniongoza kuelekea kaskazini mpaka kwenye ua wa nje na kunileta mpaka kwenye vyumba vinavyoelekeana na ua wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje upande wa kaskazini.
Un viņš mani izveda ārējā pagalmā pret ziemeli, un viņš mani noveda pie tiem kambariem, kas bija tam atlikumam pretī un tai ēkai pretī uz ziemeļa pusi.
2 Jengo ambalo mlango wake ulielekea kaskazini lilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini.
Tās priekšas garums bija simts olektis līdz ziemeļa puses durvīm, un platums bija piecdesmit olektis.
3 Mbele ya zile dhiraa ishirini za ule ua wa ndani unaoelekeana na ile njia ya ua wa nje, kuliinuka vyumba virefu kimoja baada ya kingine vya ghorofa tatu.
Pret tām divdesmit olektīm, kas bija iekšējam pagalmam, un pret to grīdu, kas bija ārējam pagalmam, stāvēja marga pret margu trijās rindās.
4 Mbele ya hivi vyumba kulikuwa na njia ya ndani yenye upana wa dhiraa kumi na urefu wa dhiraa mia moja. Milango yake ilikuwa upande wa kaskazini.
Un priekš tiem kambariem bija staigājams ceļš desmit olektis plats; uz iekšpusi ceļš simts olekšu, un viņu durvis bija pret ziemeli.
5 Basi vyumba vya juu vilikuwa vyembamba zaidi, kwa kuwa ujia ulichukua nafasi zaidi ndani yake kuliko katika vyumba vya sakafu ya chini na vya katikati ya jengo.
Un tie augškambari bija šaurāki nekā tie apakšējie un tie vidējie; jo tās margas aizņēma rūmi.
6 Vyumba katika ghorofa ya tatu havikuwa na nguzo, kama kumbi zilivyokuwa nazo, kwa hiyo eneo la sakafu ya vyumba vya juu lilikuwa ni dogo kuliko la sakafu ya chini na ya kati.
Jo jebšu tie trejās rindās stāvēja, tad tomēr šiem nebija nekādi stabi kā tie pagalmu stabi, tāpēc tie bija šaurāki nekā tie apakšējie un tie vidējie no zemes uz augšu.
7 Kulikuwa na ukuta wa nje uliokuwa sambamba na vile vyumba na ukumbi wa nje, ulitokeza urefu wa dhiraa hamsini.
Un tas mūris, kas kambaru ārapusē bija, līdz ārējam pagalmam tai kambaru priekšā, tā garums bija piecdesmit olektis.
8 Wakati safu ya vyumba katika ua wa nje vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini, vile vyumba vilivyokuwa karibu zaidi na Hekalu vilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja.
Jo kambaru garums ārējā pagalmā bija piecdesmit olektis, un redzi pret Dieva namu bija simts olektis.
9 Vyumba vya chini vilikuwa na ingilio upande wa mashariki unapoingia kutoka ukumbi wa nje.
Un apakš šiem kambariem bija ieiešana no rīta puses, kad nāca no ārējā pagalma.
10 Upande wa kusini kufuata urefu wa ukuta wa ukumbi wa nje, unaopakana na ukumbi wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje, kulikuwa na vyumba
Un gar pagalma mūri pret rīta pusi tā atlikuma un tās ēkas priekšā bija kambari.
11 vyenye ujia unayopita mbele yake. Hivi vilifanana na vile vyumba vya upande wa kaskazini, vilikuwa na urefu na upana ulio sawa, mahali pa kutokea na vipimo vyake vilikuwa sawa. Kama ilivyokuwa milango ya upande wa kaskazini,
Un ceļš bija viņu priekšā tāds pat kā to kambaru priekšā, kas pret ziemeli; kā viņu garums, tā viņu platums, un visas viņu izejamās vietas bija pēc viņu līdzības un tāpat kā tās citas durvis.
12 ndivyo ilivyokuwa milango ya vyumba vya upande wa kusini. Kulikuwa na ingilio kuanzia mwanzo wa njia ambao ulikuwa sambamba na ukuta wa pili uliokuwa upande wa mashariki, ambako ndiko kwa kuingia vyumbani.
Un tādas pat bija tās durvis tiem kambariem pret dienvidiem, un vienas durvis bija tai priekšā, it klāt pie tā stāvā mūra, kad nāk no rīta puses.
13 Kisha akaniambia, “Vyumba vya upande wa kaskazini na vya upande wa kusini ambavyo vinaelekeana na ukumbi wa Hekalu ni vyumba vya makuhani, mahali ambapo wale makuhani ambao humkaribia Bwana watakula zile sadaka takatifu sana. Huko ndiko watakakoweka zile sadaka takatifu sana, yaani, sadaka za nafaka, sadaka za dhambi na sadaka za hatia, kwa kuwa mahali ni patakatifu.
Tad viņš uz mani sacīja: tie kambari ziemeļa pusē un tie kambari dienvidu pusē, kas tā atlikuma priekšā, tie ir svēti kambari, kur priesteriem, kas pie Tā Kunga pieiet, būs ēst tās augsti svētās dāvanas. Tur tiem tās augsti svētās dāvanas būs nolikt, proti ēdamo upuri un grēku upuri un nozieguma upuri, jo tā vieta ir svēta.
14 Mara makuhani waingiapo mahali patakatifu, hawaruhusiwi kwenda kwenye ukumbi wa nje mpaka wayaache mavazi ambayo walivaa wakiwa wanahudumu, kwa kuwa hayo mavazi ni matakatifu. Inawapasa kuvaa mavazi mengine kabla hawajakaribia eneo lililo wazi kwa ajili ya watu.”
Kad tie priesteri ieiet, tad tiem no svētās vietas nebūs atkal iziet ārējā pagalmā, bet tiem turpat būs nolikt savas drēbes, kurās tie kalpojuši, jo tās ir svētas. Tad tiem būs apvilkt citas drēbes un iziet ļaužu priekšā.
15 Alipomaliza kupima vile vilivyokuwa katika eneo la ndani la Hekalu, akanitoa nje kupitia lango la upande wa mashariki na kupima eneo lote linalozunguka:
Kad viņš nu tā nama iekšpuses mērošanu bija pabeidzis, tad viņš mani veda ārā pie tiem vārtiem pret rīta pusi, un viņš to mēroja visapkārt.
16 Akapima upande wa mashariki kwa ule ufito wa kupimia, nao ulikuwa dhiraa 500
Viņš mēroja rīta pusi ar mērojamo kārti, piecsimt kārtis bija ar mērojamo kārti visapkārt.
17 Akapima upande wa kaskazini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.
Viņš mēroja ziemeļa pusi, piecsimt kārtis ar mērojamo kārti visapkārt.
18 Tena akapima upande wa kusini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.
Arī dienvidu pusi viņš mēroja piecsimt kārtis ar mērojamo kārti.
19 Kisha akageukia upande wa magharibi na kuupima, ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.
Tad viņš griezās uz vakara pusi un tur mēroja piecsimt kārtis ar mērojamo kārti.
20 Hivyo akapima eneo katika pande zote nne. Lilikuwa na ukuta kulizunguka wenye urefu wa dhiraa 500 na upana wa dhiraa 500, uliotenganisha mahali Patakatifu na eneo la watu wote.
Viņš to mēroja uz visām četrām pusēm. Visapkārt bija mūris: garumā piecsimt kārtis un platumā piecsimt, atšķirt to svēto no tā nesvētā.

< Ezekieli 42 >