< Ezekieli 42 >

1 Ndipo yule mtu akaniongoza kuelekea kaskazini mpaka kwenye ua wa nje na kunileta mpaka kwenye vyumba vinavyoelekeana na ua wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje upande wa kaskazini.
Na mukul sac pwenyula nu ke acn mwesas se lik ah, ac pwenyuyak nu ke lohm se ma oan layen nu epang ke Tempul uh, tiana loes liki lohm se ma oan layen nu roto ah.
2 Jengo ambalo mlango wake ulielekea kaskazini lilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini.
Lohm se inge fit siofok onngoul oalkosr lusa, ac fit oalngoul akosr sralap.
3 Mbele ya zile dhiraa ishirini za ule ua wa ndani unaoelekeana na ile njia ya ua wa nje, kuliinuka vyumba virefu kimoja baada ya kingine vya ghorofa tatu.
Sie siska inge oan ngetang nu ke acn mwesas se ma fit tolngoul akosr sralap, su oan sisken Tempul uh. Ac layen ngia eloan ngetang nu ke acn se ma loeyuk ke eot fwel ke acn mwesas se lik ah. Lohm se inge musaiyukla ke fulata tolu, kais sie srengla nu lik kutu liki ma se ma oan ten liki ah.
4 Mbele ya hivi vyumba kulikuwa na njia ya ndani yenye upana wa dhiraa kumi na urefu wa dhiraa mia moja. Milango yake ilikuwa upande wa kaskazini.
Siska nu epang ke lohm se inge, oasr acn in forfor se fit singoul onkosr sralap ac fit siofok onngoul oalkosr lusa. Oasr pac kutu mutunoa ke sisken la lohm ah.
5 Basi vyumba vya juu vilikuwa vyembamba zaidi, kwa kuwa ujia ulichukua nafasi zaidi ndani yake kuliko katika vyumba vya sakafu ya chini na vya katikati ya jengo.
Infukil ma oan lucng ke lohm se inge oasriksrik liki ma oan infulwa ac ma oan ten ah, mweyen elos srengla kutu nu tok.
6 Vyumba katika ghorofa ya tatu havikuwa na nguzo, kama kumbi zilivyokuwa nazo, kwa hiyo eneo la sakafu ya vyumba vya juu lilikuwa ni dogo kuliko la sakafu ya chini na ya kati.
Nufonna infukil ke fulata tolu inge musaiyuk fin fohk uh, ac tiana loangyak ke sru, oana lohm ngia ma musaiyuk ke acn mwesas se lik ah.
7 Kulikuwa na ukuta wa nje uliokuwa sambamba na vile vyumba na ukumbi wa nje, ulitokeza urefu wa dhiraa hamsini.
Acn lucng ah oasr infukil ke lusen pot nufon sac.
8 Wakati safu ya vyumba katika ua wa nje vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini, vile vyumba vilivyokuwa karibu zaidi na Hekalu vilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja.
Acn se eten, pot se lik ah fonlana ke lusen fit oalngoul akosr, su pa tafun pot sac, na oasr infukil ke fit oalngoul akosr ma lula ke pot sac.
9 Vyumba vya chini vilikuwa na ingilio upande wa mashariki unapoingia kutoka ukumbi wa nje.
Ye infukil inge, ke layen nu kutulap ke lohm uh, yen ma pot nu ke acn mwesas se lik oan we, oasr mutunoa ma ac tufoki nu ke acn mwesas se lik ah.
10 Upande wa kusini kufuata urefu wa ukuta wa ukumbi wa nje, unaopakana na ukumbi wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje, kulikuwa na vyumba
Ke layen eir ke Tempul uh, oasr pac lohm se ma oapana, su tia oan loes liki lohm se ma oan layen roto ke Tempul uh.
11 vyenye ujia unayopita mbele yake. Hivi vilifanana na vile vyumba vya upande wa kaskazini, vilikuwa na urefu na upana ulio sawa, mahali pa kutokea na vipimo vyake vilikuwa sawa. Kama ilivyokuwa milango ya upande wa kaskazini,
Ke mutun fukil inge oasr acn in forfor se, oana ma se ma oan layen nu epang ah. Srikasrak kac uh, lumah uh, ac acn in utyak nukewa kac oapana lohm se ngia.
12 ndivyo ilivyokuwa milango ya vyumba vya upande wa kusini. Kulikuwa na ingilio kuanzia mwanzo wa njia ambao ulikuwa sambamba na ukuta wa pili uliokuwa upande wa mashariki, ambako ndiko kwa kuingia vyumbani.
Oasr srungul se ye infukil ma oan layen nu eir ke lohm sac, ke tafunyen nu kutulap yen pot ah mutawauk we.
13 Kisha akaniambia, “Vyumba vya upande wa kaskazini na vya upande wa kusini ambavyo vinaelekeana na ukumbi wa Hekalu ni vyumba vya makuhani, mahali ambapo wale makuhani ambao humkaribia Bwana watakula zile sadaka takatifu sana. Huko ndiko watakakoweka zile sadaka takatifu sana, yaani, sadaka za nafaka, sadaka za dhambi na sadaka za hatia, kwa kuwa mahali ni patakatifu.
Na mukul sac fahk nu sik, “Lohm luo inge kewa mutal. Luin lohm inge mwet tol su ac utyak nu ye mutun LEUM GOD elos ac kang mwe kisa ma mutal oemeet uh we. Mweyen fukil inge mutal, na mwet tol uh enenu in filiya mwe kisa ma mutal oemeet uh we: mwe kisa wheat, ac mwe kisa ke ma koluk, ku mwe kisa in akfalye ma koluk lukma.
14 Mara makuhani waingiapo mahali patakatifu, hawaruhusiwi kwenda kwenye ukumbi wa nje mpaka wayaache mavazi ambayo walivaa wakiwa wanahudumu, kwa kuwa hayo mavazi ni matakatifu. Inawapasa kuvaa mavazi mengine kabla hawajakaribia eneo lililo wazi kwa ajili ya watu.”
Ke pacl mwet tol uh elos muta in Tempul uh, elos fin illa liki infukil mutal inge in som nu ke acn mwesas se lik ah, elos enenu in filiya nuknuk mutal ma elos nukum ke elos kulansupu LEUM GOD in fukil inge. Elos enenu in aolla nuknuk lalos meet liki elos oatui nu yen mwet uh tukeni we.”
15 Alipomaliza kupima vile vilivyokuwa katika eneo la ndani la Hekalu, akanitoa nje kupitia lango la upande wa mashariki na kupima eneo lote linalozunguka:
Tukun mwet sac aksafyela srikasrak lal luin kalkal se loac ma rauneak Tempul uh, el pwenyula ac oatula ke mutunpot kutulap, na el srikeya acn lik ah nufon.
16 Akapima upande wa mashariki kwa ule ufito wa kupimia, nao ulikuwa dhiraa 500
El eis sak in srikasrak soko ac srikeya layen kutulap, tuh na oasr fit oalfoko angngaul kac.
17 Akapima upande wa kaskazini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.
Na el srikeya layen nu epang, tuh na fit oalfoko angngaul pac.
18 Tena akapima upande wa kusini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.
El sifil srikeya layen nu eir, tuh na fit oalfoko angngaul pac.
19 Kisha akageukia upande wa magharibi na kuupima, ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.
Na el srikeya layen nu roto, tuh na fit oalfoko angngaul pac.
20 Hivyo akapima eneo katika pande zote nne. Lilikuwa na ukuta kulizunguka wenye urefu wa dhiraa 500 na upana wa dhiraa 500, uliotenganisha mahali Patakatifu na eneo la watu wote.
Ouinge lupan acn se potyak inge, fit oalfoko angngaul ke kais sie siska. Pot se inge kuhlasak acn ma mutal liki acn ma tia mutal.

< Ezekieli 42 >