< Ezekieli 42 >

1 Ndipo yule mtu akaniongoza kuelekea kaskazini mpaka kwenye ua wa nje na kunileta mpaka kwenye vyumba vinavyoelekeana na ua wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje upande wa kaskazini.
Kai te tlangpuei longpuei, longpuei kah vong voel la n'khuen. Te phoeiah kai te imtol hmai neh tlangpuei buengngol hmai kah imkhan la m'pawk puei.
2 Jengo ambalo mlango wake ulielekea kaskazini lilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini.
Te tlangpuei thohka te a hmai hil a yun dong yakhat neh a daang dong sawmnga lo.
3 Mbele ya zile dhiraa ishirini za ule ua wa ndani unaoelekeana na ile njia ya ua wa nje, kuliinuka vyumba virefu kimoja baada ya kingine vya ghorofa tatu.
A khui kah vongtung, dong kul hmai neh poengben vongtung lungphaih hmai kah thaelkawt te a hmai hil thaelkawt pathum la om.
4 Mbele ya hivi vyumba kulikuwa na njia ya ndani yenye upana wa dhiraa kumi na urefu wa dhiraa mia moja. Milango yake ilikuwa upande wa kaskazini.
Imkhan hmai kah caehlong te a daang dong rha lo tih longpuei te a khui la dong khat phueih om. A thohka tah tlangpuei ah om.
5 Basi vyumba vya juu vilikuwa vyembamba zaidi, kwa kuwa ujia ulichukua nafasi zaidi ndani yake kuliko katika vyumba vya sakafu ya chini na vya katikati ya jengo.
Imkhan khaw thaelkawt loh a kang tih buengngol yung lakah khaw, a bangli lakah khaw caek hang.
6 Vyumba katika ghorofa ya tatu havikuwa na nguzo, kama kumbi zilivyokuwa nazo, kwa hiyo eneo la sakafu ya vyumba vya juu lilikuwa ni dogo kuliko la sakafu ya chini na ya kati.
Te rhoek te pathum lo dae a tung tah vongtung tung bangla om pawh. Te dongah diklai lamlong tah a dang lakah khaw a bangli lakah khaw toek.
7 Kulikuwa na ukuta wa nje uliokuwa sambamba na vile vyumba na ukumbi wa nje, ulitokeza urefu wa dhiraa hamsini.
Imkhan dan kah poengben vongtung neh poengben vongtong longpuei kah imkhan hmai duela a sen dong sawmnga lo.
8 Wakati safu ya vyumba katika ua wa nje vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini, vile vyumba vilivyokuwa karibu zaidi na Hekalu vilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja.
Poengben vongtung taengkah imkhan te a yun dong sawmnga lo tih bawkim hmai ah tah dong yakhat lo coeng ne.
9 Vyumba vya chini vilikuwa na ingilio upande wa mashariki unapoingia kutoka ukumbi wa nje.
Imkhan hmui, imkhan hmui ah a khuirhai te puk. Vongtung poengben lamkah te khaw khothoeng la pawk bal.
10 Upande wa kusini kufuata urefu wa ukuta wa ukumbi wa nje, unaopakana na ukumbi wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje, kulikuwa na vyumba
Khothoeng longpuei vongup vongtung a daang neh imtol khaw hmaitoh uh tih imkhan buengngol nen khaw hmaitoh uh.
11 vyenye ujia unayopita mbele yake. Hivi vilifanana na vile vyumba vya upande wa kaskazini, vilikuwa na urefu na upana ulio sawa, mahali pa kutokea na vipimo vyake vilikuwa sawa. Kama ilivyokuwa milango ya upande wa kaskazini,
Te rhoek hmai kah longpuei te tlangpuei longpuei kah imkhan hmuethma bangla om. A yun neh a daang khaw, a thoengnah boeih khaw thikat. A laitloeknah te vantlip tih a thohka khaw vantlip.
12 ndivyo ilivyokuwa milango ya vyumba vya upande wa kusini. Kulikuwa na ingilio kuanzia mwanzo wa njia ambao ulikuwa sambamba na ukuta wa pili uliokuwa upande wa mashariki, ambako ndiko kwa kuingia vyumbani.
Tuithim longpuei kah imkhan thohka bangla longpuei a tongnah kah thohka khaw vantlip. Tanglung hmai kah longpuei tah khothoeng longpuei kah pawnhlainah la pawk.
13 Kisha akaniambia, “Vyumba vya upande wa kaskazini na vya upande wa kusini ambavyo vinaelekeana na ukumbi wa Hekalu ni vyumba vya makuhani, mahali ambapo wale makuhani ambao humkaribia Bwana watakula zile sadaka takatifu sana. Huko ndiko watakakoweka zile sadaka takatifu sana, yaani, sadaka za nafaka, sadaka za dhambi na sadaka za hatia, kwa kuwa mahali ni patakatifu.
Te vaengah kai taengah ah, “Tlangpuei imkhan rhoek neh tuithim imkhan te imtol a hmaitoh lah ko. Te imkhan rhoek tah cim tih, te a cim kah aka cim BOEIPA taengah aka yoei khosoih rhoek loh buh a caak uh. Hmuen cim la a om dongah khocang khaw, boirhaem neh hmaithennah khaw, a cim a cim ni a tloeng uh eh.
14 Mara makuhani waingiapo mahali patakatifu, hawaruhusiwi kwenda kwenye ukumbi wa nje mpaka wayaache mavazi ambayo walivaa wakiwa wanahudumu, kwa kuwa hayo mavazi ni matakatifu. Inawapasa kuvaa mavazi mengine kabla hawajakaribia eneo lililo wazi kwa ajili ya watu.”
Khosoih rhoek a kun vaengah hmuencim lamloh poengben vongtung la moe boel saeh. He tah a cim dongah a bibi vaengkah a himbai te a pum dong lamloh pit uh kuekluek dae saeh. A bai khaw himbai tloe a bai uh daengah pilnam taengah te mop saeh,” a ti.
15 Alipomaliza kupima vile vilivyokuwa katika eneo la ndani la Hekalu, akanitoa nje kupitia lango la upande wa mashariki na kupima eneo lote linalozunguka:
Im khui a cungnueh te a khah neh kai vongka longpuei la n'khuen. Te long te khothoeng longpuei a hmaitoh tih a kaep kaep ah a nueh.
16 Akapima upande wa mashariki kwa ule ufito wa kupimia, nao ulikuwa dhiraa 500
Te phoeiah khothoeng yilh te capu cungnueh dong nga neh a nueh vaengah a pum la capu cungnueh te capu pum yakhat lo.
17 Akapima upande wa kaskazini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.
Tlangpuei yilh te a nueh vaengah capu cungnueh ah capu pum ya nga lo.
18 Tena akapima upande wa kusini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.
Tuithim yilh te capu cungnueh neh capu pum ya nga la a nueh.
19 Kisha akageukia upande wa magharibi na kuupima, ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.
Khotlak yilh te a mael thil tih capu cungnueh neh capu pum ya nga la a nueh.
20 Hivyo akapima eneo katika pande zote nne. Lilikuwa na ukuta kulizunguka wenye urefu wa dhiraa 500 na upana wa dhiraa 500, uliotenganisha mahali Patakatifu na eneo la watu wote.
A vongtung te a kaep kaep ah pali la yilh a nueh vaengah ah a yun ya nga neh a daang ya nga lo. Te long te hmuencim te hmuenrhong lamloh a laklo ah a boe.

< Ezekieli 42 >