< Ezekieli 40 >
1 Katika mwaka wa ishirini na tano wa uhamisho wetu, mwanzoni mwa huo mwaka, siku ya kumi ya mwezi, katika mwaka wa kumi na nne baada ya kuanguka kwa mji, siku hiyo hiyo mkono wa Bwana ulikuwa juu yangu, naye akanipeleka huko.
Bizning sürgün bolƣanliⱪimizning yigirmǝ bǝxinqi yili, yilning bexida, ayning oninqi künidǝ, yǝni xǝⱨǝr bɵsülgǝndin on tɵt yil keyin — dǝl axu künidǝ Pǝrwǝrdigarning ⱪoli mening wujudumƣa ⱪondi, wǝ U meni [xǝⱨǝrgǝ] apardi.
2 Nikiwa katika maono ya Mungu alinichukua mpaka nchi ya Israeli, naye akaniweka kwenye mlima mrefu sana, ambako upande wa kusini kulikuwepo baadhi ya majengo ambayo yalionekana kama mji.
Hudaning alamǝt kɵrünüxliridǝ U meni Israil zeminiƣa apirip, intayin egiz taƣ üstigǝ orunlaxturdi; taƣning jǝnubiy tǝripidǝ xǝⱨǝrdǝk bir ⱪurulux turatti.
3 Akanipeleka huko, nami nikamwona mtu ambaye kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwa shaba. Alikuwa amesimama kwenye lango akiwa na kamba ya kitani na ufito wa kupimia mkononi mwake.
U meni xu yǝrgǝ apardi; mana ⱪolida kanap tanisi wǝ ɵlqǝm hadisini tutⱪan, misning kɵrünüxidǝ bolƣan bir kixi; u dǝrwazida turatti.
4 Mtu huyo akaniambia, “Mwanadamu, angalia kwa macho yako na usikie kwa masikio yako nawe uzingatie kitu nitakachokuonyesha, kwa kuwa ndiyo sababu umeletwa hapa. Iambie nyumba ya Israeli kila kitu utakachoona.”
Bu kixi manga: «Insan oƣli, kɵzliring bilǝn kɵrüp, ⱪuliⱪing bilǝn anglap, kɵnglüngni mǝn sanga kɵrsitidiƣan barliⱪ ixlarƣa baƣliƣin; qünki buning sanga kɵrsitilixi üqün sǝn muxu yǝrgǝ elip kelinding. Israil jǝmǝtigǝ barliⱪ kɵrginingni ayan ⱪil».
5 Nikaona ukuta uliozunguka eneo lote la Hekalu. Ule ufito wa kupimia uliokuwa mkononi mwa yule mtu ulikuwa na urefu wa dhiraa ndefu sita, yaani, dhiraa ndefu ni sawa na dhiraa na nyanda nne, akapima ule ukuta. Ukuta huo ulikuwa na unene wa dhiraa ndefu sita na kimo cha dhiraa ndefu sita.
Wǝ mana, ibadǝthanining ⱨǝmmǝ tǝripidǝ tam bar idi. U kixining ⱪolida altǝ gǝzlik ɵlqǝm hadisi bar idi; xu qaƣdiki «bir gǝz» bir gǝz bir aliⱪanƣa toƣra kelǝtti. U tamning kǝnglikini ɵlqidi, bir «hada» qiⱪti; egizliki bolsa, bir «hada» qiⱪti.
6 Kisha akaenda kwenye lango linaloelekea mashariki. Akapanda ngazi zake akapima kizingiti cha lango, nacho kilikuwa na kina cha huo ufito.
U xǝrⱪⱪǝ ⱪaraydiƣan dǝrwaziƣa kelip, uning pǝlǝmpǝylirigǝ qiⱪti; uning bosuƣisining kǝnglikini ɵlqidi, u bir hada qiⱪti. Yǝnǝ bir tǝripining kǝngliki bir hada qiⱪti.
7 Vyumba vya kupumzikia vya walinzi vilikuwa na urefu wa huo ufito mmoja na upana wa huo ufito, kuta zilizogawa vyumba hivyo vya mapumziko zilikuwa na unene wa dhiraa tano. Nacho kizingiti cha lango lililokuwa karibu na ukumbi unaoelekea hekaluni ulikuwa na kina cha huo ufito.
[Dǝrwazining iqidiki] ⱨǝrbir «oyuⱪ ɵy»ning uzunluⱪi bir hada, kǝngliki bir hada idi; oyuⱪ ɵylǝrning ariliⱪi bǝx gǝz idi; dǝrwazining iqidiki bosuƣa, yǝni iqkirigǝ ⱪaraydiƣan dǝⱨlizning aldidiki bosuƣining [ikki tǝripining] uzunluⱪi [ayrim-ayrim] bir «hada» qiⱪti;
8 Kisha akapima baraza ya njia ya lango,
u dǝrwazining iqkirigǝ ⱪaraydiƣan dǝⱨlizni ɵlqidi, [uzunluⱪi] bir hada qiⱪti.
9 ambayo ilikuwa na kina cha dhiraa nane na miimo yake ilikuwa na unene wa dhiraa mbili. Baraza ya lango ilielekea Hekalu.
U dǝrwazining dalinining uzunluⱪini ɵlqidi, sǝkkiz gǝz qiⱪti; uning kexikining yenidiki tamning ⱪelinliⱪi ikki gǝz qiⱪti. Muxu dalan iqkirigǝ ⱪaraytti.
10 Ndani ya lango la mashariki kulikuwepo vyumba vitatu vya kupumzikia kila upande, vyote vitatu vilikuwa na vipimo vilivyo sawa, nazo nyuso za kuta zilizotenganisha kila upande zilikuwa na vipimo vilivyo sawa.
Xǝrⱪⱪǝ ⱪariƣan dǝrwazining iqidǝ, u tǝripidǝ üqtin, bu tǝripidǝ üqtin oyuⱪ ɵylǝr bar idi. Üqilisi ohxax ɵlqǝmdǝ idi; üq ɵyning ikki yan temi ohxax ⱪelinliⱪta idi.
11 Kisha akapima upana wa ingilio la lango, ilikuwa dhiraa kumi na urefu wake ulikuwa dhiraa kumi na tatu.
U dǝrwazini ɵlqidi, kǝngliki on gǝz qiⱪti; uning jǝmiy uzunluⱪi on üq gǝz idi.
12 Mbele ya kila chumba cha kupumzikia kulikuwepo ukuta uliokuwa na kimo cha dhiraa moja kwenda juu, navyo hivyo vyumba vilikuwa dhiraa sita mraba.
Bu yandiki oyuⱪ ɵylǝrning aldida bir gǝz ⱪelinliⱪtiki bir tosma tam bar idi, wǝ u yandiki oyuⱪ ɵylǝrning aldida bir gǝz ⱪelinliⱪta bir tosma tam bar idi; ⱨǝryandiki oyuⱪ ɵylǝrning kǝngliki altǝ gǝz idi.
13 Kisha akapima njia ya lango kuanzia juu ya ukuta wa nyuma wa chumba kimoja cha kupumzikia hadi juu ya ukuta wa nyuma wa chumba upande wa pili; kukawa na nafasi ya dhiraa ishirini na tano kuanzia lango la ukuta mmoja hadi lango la ukuta uliokuwa upande mwingine.
U dǝrwazining jǝmiy kǝnglikini, yǝni bu tǝrǝptiki oyuⱪ ɵyning ɵgzisining [arⱪa lewidin] u tǝrǝptiki oyuⱪ ɵyning ɵgzisining [arⱪa lewiƣiqǝ] yigirmǝ bǝx gǝz qiⱪti; bu tǝrǝptiki oyuⱪ ɵyning ixiki bilǝn u tǝrǝptiki oyuⱪ ɵyning ixiki bir-birigǝ ⱪarixatti.
14 Akapima pia ukumbi, urefu wa dhiraa ishirini na lango linalofuatia hiyo nguzo kila upande wa huo ukumbi.
U iqki ⱨoyliƣa kirix eƣizidiki tüwrüklǝrni ɵlqidi; ularning egizliki atmix gǝz qiⱪti; dǝrwaza temi bu ⱨoylining tüwrüklirini orap turƣanidi.
15 Umbali kuanzia ingilio la njia ya lango hadi mwisho kabisa wa baraza yake ulikuwa dhiraa hamsini.
Dǝrwazining tüwidin dalanning iqki eƣiziƣiqǝ ǝllik gǝz qiⱪti.
16 Kulikuwa na vidirisha kwenye hivyo vyumba vya walinzi na nguzo za hivyo vyumba zilikuwa kwenye mzunguko wa hilo lango, vivyo hivyo kulikuwa na madirisha yaliyozunguka kuelekeana na ua na juu ya kila nguzo kulikuwa na mapambo ya miti ya mitende.
Oyuⱪ ɵylǝrning ⱨǝrbirining udul temida, xundaⱪla oyuⱪ ɵylǝrning ariliⱪida, dalanning yenida ohxaxla rojǝklǝr bar idi; muxu rojǝklǝr sirtiƣa ⱪarap tariyip mangƣan idi; ⱨǝrbir ariliⱪtiki tam-tüwrüklǝrgǝ palma dǝrǝhliri nǝⱪⱪixlǝngǝnidi.
17 Kisha akanileta katika ukumbi wa nje. Huko nikaona vyumba vingine pamoja na njia iliyokuwa imejengwa kuzunguka ukumbi wote, kulikuwa na vyumba thelathini vimepangana kando ya hiyo njia.
U meni sirtⱪi ⱨoyliƣa apardi; mana, kiqik hanilar, wǝ sirtⱪi ⱨoylini qɵridǝp yasalƣan tax tahtayliⱪ supa; supining üstigǝ ottuz kiqik hana selinƣan.
18 Njia hii iliyojengwa iliambaa na lango, ikiwa na urefu sawa na lango, hii ilikuwa ni njia ya chini.
Bu tax tahtayliⱪ supa ⱨoylidiki dǝrwazilarƣa tutaxⱪan, uning kǝngliki ularning uzunluⱪiƣa barawǝr idi; bu «pǝs tax supa» idi.
19 Kisha akapima umbali kutoka ndani ya lango la chini mpaka nje ya ukumbi wa ndani, nao ulikuwa dhiraa mia moja upande wa mashariki na dhiraa mia moja upande wa kaskazini.
U tɵwǝnki dǝrwazining iqi tǝripidin iqki ⱨoylining sirtⱪi temiƣiqǝ bolƣan ariliⱪni ɵlqidi; xǝrⱪ wǝ ximal tǝrǝplǝrningmu yüz gǝz qiⱪti.
20 Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje.
Andin sirtⱪi ⱨoyliƣa kiridiƣan, ximalƣa ⱪaraydiƣan dǝrwazining uzunluⱪi wǝ kǝnglikini ɵlqidi.
21 Vyumba vyake vilikuwa vitatu kila upande, kuta zilizogawanya vyumba na baraza ilikuwa na vipimo sawa na zile kuta za lango la kwanza. Zilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.
Uning bu tǝripidǝ üqtin oyuⱪ ɵy, u tǝripidǝ üqtin oyuⱪ ɵy bar idi; uning tüwrükliri, dalanliri birinqi dǝrwaziningkigǝ ohxax idi; uning uzunluⱪi ǝllik gǝz, kǝngliki yigirmǝ bǝx gǝz.
22 Madirisha yake, baraza yake na nakshi yake ya miti ya mitende vilikuwa na vipimo sawasawa na vile vya lango linaloelekea mashariki. Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo.
Uning deriziliri, dalanliri, palma dǝrǝh nǝⱪixliri xǝrⱪⱪǝ ⱪaraydiƣan dǝrwaziningkigǝ ohxax idi; kixilǝr uning yǝttǝ basⱪuqluⱪ pǝlǝmpiyi bilǝn qiⱪatti; uning dalini iqkirigǝ ⱪaraytti.
23 Kulikuwa na lango kwenye ukumbi wa ndani lililoelekea lile lango la kaskazini, kama vile ilivyokuwa ule upande wa mashariki. Akapima kutoka lango moja hadi lile lililo mkabala nalo, lilikuwa dhiraa mia moja.
Iqki ⱨoylida ximal wǝ xǝrⱪtiki dǝrwazilarƣa udul birdin dǝrwazǝ turatti; u dǝrwazidin dǝrwaziƣiqǝ ɵlqidi, yüz gǝz qiⱪti.
24 Ndipo akaniongoza mpaka upande wa kusini, nami nikaona lango linaloelekea kusini. Akaipima miimo yake na baraza yake, navyo vilikuwa na vipimo sawa kama hivyo vingine.
U meni jǝnub tǝrǝpkǝ apardi; mana, jǝnubⱪimu ⱪaraydiƣan bir dǝrwaza bar idi; u uning tüwrükliri, dalanlirini ɵlqidi, ular baxⱪiliriƣa ohxax idi.
25 Lango na baraza yake vilikuwa na madirisha membamba pande zote, kama madirisha ya huko kwingine. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
Dǝrwazining wǝ dalinining ǝtrapidiki derizilǝr baxⱪiliriƣa ohxax idi; uning uzunluⱪi ǝllik gǝz, kǝngliki yigirmǝ bǝx gǝz idi.
26 Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo. Ilikuwa na nakshi za miti ya mitende kwenye kuta zilizogawanya vyumba kila upande.
Uningƣa qiⱪidiƣan yǝttǝ basⱪuq bar idi; uning dalini iqkirigǝ ⱪaraytti; uning tüwrükliridǝ palma dǝrihining nǝⱪixi bar idi, u tǝrǝptǝ biri, bu tǝrǝptǝ biri bar idi.
27 Ukumbi wa ndani pia ulikuwa na lango lililoelekea kusini. Naye akapima kutoka lango hili mpaka kwenye lango la nje upande wa kusini; ilikuwa dhiraa mia moja.
Iqki ⱨoyliƣa kiridiƣan, jǝnubⱪa ⱪaraydiƣan bir dǝrwaza bar idi; u jǝnubiy tǝrǝptǝ dǝrwazidin dǝrwaziƣa ɵlqidi, yüz gǝz qiⱪti.
28 Kisha akanileta mpaka ukumbi wa ndani kwa kupitia lango la kusini, naye akapima lango la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine.
U meni iqki ⱨoyliƣa jǝnubiy dǝrwazidin ǝkirdi; wǝ jǝnubiy dǝrwazini ɵlqidi; uning ɵlqǝmliri baxⱪa dǝrwazilǝrningkigǝ ohxax idi.
29 Vyumba vyake, kuta zilizogawanya vyumba na ukumbi wake zilikuwa na vipimo sawasawa na zile nyingine. Hilo lango na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Navyo vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.
Uning oyuⱪ ɵyliri, ariliⱪ tamliri, dalinining ɵlqǝmliri baxⱪiliriningkigǝ ohxax idi; uning wǝ dalinining ǝtraplirida derizilǝr bar idi; uning uzunluⱪi ǝllik gǝz, kǝngliki yigirmǝ bǝx gǝz idi.
30 (Baraza za malango zilizozunguka ukumbi wa ndani zilikuwa na upana wa dhiraa ishirini na tano na kina cha dhiraa tano.)
Ətrapida uzunluⱪi yigirmǝ bǝx gǝz, kǝngliki bǝx gǝz ǝtrapida dalini bar idi.
31 Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
Uning dalini bolsa sirtⱪi ⱨoyliƣa ⱪaraytti; uning kirix eƣizidiki ikki yan tüwrükidǝ palma dǝrǝhlǝrning nǝⱪixi bar idi; uning qiⱪix yolining sǝkkiz basⱪuqluⱪ pǝlǝmpiyi bar idi.
32 Kisha akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani ulioko upande wa mashariki, naye akalipima lango hilo, lilikuwa na vipimo vilivyo sawasawa na yale mengine.
U meni iqki ⱨoylida xǝrⱪ tǝrǝpkǝ apardi; u tǝrǝptiki dǝrwazini ɵlqidi; uning ɵlqǝmliri baxⱪiliriƣa ohxax idi.
33 Vyumba vyake, kuta zake na baraza yake vilikuwa na vipimo vilivyo sawa na vile vingine. Lile lango pamoja na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Urefu wake ulikuwa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
Uning oyuⱪ ɵyliri, ariliⱪ tamliri, dalinining ɵlqǝmliri baxⱪiliriningkigǝ ohxax idi; uning wǝ dalinining ǝtraplirida derizilǝr bar idi; uning uzunluⱪi ǝllik gǝz, kǝngliki yigirmǝ bǝx gǝz idi.
34 Baraza yake ilielekea ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote. Kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
Uning dalini bolsa sirtⱪi ⱨoyliƣa ⱪaraytti; uning [kirix eƣizining] u wǝ bu tǝripidiki tüwrükidǝ palma dǝrǝhlǝrning nǝⱪixi bar idi; uning qiⱪix yolining sǝkkiz basⱪuqluⱪ pǝlǝmpiyi bar idi.
35 Kisha akanileta mpaka kwenye lango la kaskazini na kulipima. Lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine,
U meni ximaliy dǝrwaziƣa apardi, wǝ uni ɵlqidi; uning ɵlqǝmliri baxⱪiliriƣa ohxax idi.
36 kama vile ilivyokuwa kwa vyumba, kuta zake na baraza yake, tena kulikuwa na madirisha pande zote. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
Uning oyuⱪ ɵyliri, ariliⱪ tamliri, dalanliri [baxⱪiliriƣa] ohxax idi; ǝtrapida derizilǝr bar idi. Uning uzunluⱪi ǝllik gǝz, uning kǝngliki yigirmǝ bǝx gǝz idi.
37 Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
Uning dalinidiki tüwrüklǝr sirtⱪi ⱨoyliƣa ⱪaraytti; uning [kirix eƣizidiki] ikki yan tüwrükidǝ palma dǝrǝhlǝrning nǝⱪixi bar idi; uning qiⱪix yolining sǝkkiz basⱪuqluⱪ pǝlǝmpiyi bar idi.
38 Kulikuwa na chumba na mlango karibu na baraza katika kila njia ya ndani ya lango ambamo sadaka za kuteketezwa zilioshwa.
Ⱨǝrbir dǝrwaza [ikki] tüwrükining yenida ixiklik kiqik ɵy bar idi; ular xu ɵylǝrdǝ kɵydürmǝ ⱪurbanliⱪlarni yuyatti.
39 Kwenye baraza ya lile lango kulikuwepo meza mbili kila upande, ambako sadaka za kuteketezwa, sadaka za dhambi na sadaka za hatia zilichinjiwa.
Dǝrwazining dalinida uyanda ikkidin xirǝ, buyanda ikkidin xirǝ bar idi; ular xirǝlǝrning üstidǝ kɵydürmǝ ⱪurbanliⱪ, gunaⱨ ⱪurbanliⱪi wǝ itaǝtsizlik ⱪurbanliⱪlirini soyidu.
40 Karibu na ukuta wa nje wa baraza ya lile lango karibu na ngazi kwenye ingilio kuelekea kaskazini kulikuwa na meza mbili, nako upande mwingine wa ngazi kulikuwepo na meza mbili.
Ximaliy dǝrwazining dalinining kirix eƣizidiki pǝlǝmpǝyning bir yenida ikki xirǝ bar idi; dalanning kirix eƣizining yǝnǝ bir yenida ikki xirǝ bar idi.
41 Kwa hiyo kulikuwa na meza nne upande mmoja wa lango na nyingine nne upande mwingine, zote zilikuwa meza nane, ambapo dhabihu zilichinjiwa.
Xuningdǝk dǝrwazining u yenida tɵt xirǝ, bu yenida tɵt xirǝ bar idi — jǝmiy sǝkkiz joza bar idi; ular ularning üstidǝ ⱪurbanliⱪlarni soyidu.
42 Pia kulikuwa na meza nne za mawe yaliyochongwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, kila meza ilikuwa na urefu wa dhiraa moja na nusu, upana wake dhiraa moja na nusu na kimo cha dhiraa moja. Juu ya meza hizo viliwekwa vyombo vya kuchinjia sadaka za kuteketezwa na dhabihu nyingine mbalimbali.
Yǝnǝ taxtin yonup yasalƣan, uzunluⱪi bir yerim gǝz, kǝngliki bir yerim gǝz, egizliki bir gǝz kelidiƣan tɵt xirǝ bar idi; ularning üstigǝ kɵydürmǝ ⱪurbanliⱪlar wǝ baxⱪa ⱪurbanliⱪlarni soyidiƣan ⱪoral-ǝswablar ⱪoyulidu.
43 Kulikuwa na kulabu, urefu wake nyanda nne, zilikuwa zimeshikizwa ukutani pande zote. Meza zilikuwa kwa ajili ya nyama za sadaka.
Dǝrwaza iqidǝ, tamliri üstigǝ bir aliⱪan uzunluⱪtiki jüp ilmǝklik kanarlar bekitilgǝn. Xirǝlǝr üstigǝ ⱪurbanliⱪ gɵxliri ⱪoyulidu.
44 Nje ya lango la ndani, kwenye ukumbi wa ndani, kulikuwa na vyumba viwili, kimoja upande wa lango la kaskazini nacho kilielekea kusini, kingine upande wa lango la kusini nacho kilielekea kaskazini.
Iqki ⱨoyla iqidǝ wǝ iqki dǝrwazining sirtida mǝdⱨiyǝ nahxiqiliri üqün ikki kiqik ɵy bar idi; biri ximaliy dǝrwazining yenida, jǝnubⱪa yüzlǝngǝn; yǝnǝ biri jǝnubiy dǝrwazining yenida, ximalƣa yüzlǝngǝnidi.
45 Akaniambia, “Chumba kinachoelekea upande wa kusini ni kwa ajili ya makuhani ambao wana usimamizi wa hekaluni,
U manga: «Jǝnubⱪa yüzlǝngǝn ɵy kaⱨinlar, yǝni ibadǝthaniƣa mǝs’ullar üqündur.
46 nacho chumba kinachoelekea upande wa kaskazini ni kwa ajili ya makuhani wenye usimamizi wa madhabahuni. Hawa ni wana wa Sadoki, ambao ndio Walawi pekee wanaoweza kumkaribia Bwana ili kuhudumu mbele zake.”
Jǝnubⱪa yüzlǝngǝn ɵy kaⱨinlar, yǝni ⱪurbangaⱨ wǝzipisigǝ mǝs’ullar üqündur. Bular bolsa Zadokning jǝmǝtining oƣul pǝrzǝntliri; xularla Lawiy jǝmǝtidilǝr arisidin Pǝrwǝrdigarning yeniƣa hizmitidǝ boluxⱪa kirǝlǝydu» — dedi.
47 Ndipo alipopima ukumbi: nao ulikuwa mraba wa dhiraa mia moja urefu na upana. Madhabahu yalikuwa mbele ya Hekalu.
U ⱨoylini ɵlqidi; uzunluⱪi yüz gǝz, kǝngliki yüz gǝz, tɵt qasiliⱪ idi; ⱪurbangaⱨ bolsa muⱪǝddǝshana aldida turatti.
48 Akanileta mpaka kwenye baraza ya Hekalu naye akaipima miimo ya hiyo baraza, nayo ilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande. Upana wa ingilio ulikuwa dhiraa kumi na nne na kuta zake zilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande.
U meni muⱪǝddǝshanining daliniƣa apardi; u dalan eƣizining ikki yenidiki tamlarning uzunluⱪini ɵlqidi; bir tǝrǝptikisi bǝx gǝz, yǝnǝ bir tǝrǝptikisi bǝx gǝz qiⱪti; dalan eƣizining [ɵzi on tɵt gǝz idi]; dalan eƣizidiki tamning [iqki tǝripining] kǝngliki bu tǝripi üq gǝz, u tǝripi üq gǝz idi.
49 Baraza ilikuwa na dhiraa ishirini kwenda juu na dhiraa kumi na mbili kuanzia mbele hadi nyuma. Kulikuwa na ngazi kumi za kupandia huko, pia kulikuwa na nguzo kwa kila upande wa miimo.
Dalanning kǝngliki yigirmǝ gǝz, uzunluⱪi on bir gǝz idi; uningƣa qiⱪidiƣan pǝlǝmpǝy bar idi; tüwrükimu bar idi, u yenida biri, bu yenida biri bar idi.