< Ezekieli 40 >

1 Katika mwaka wa ishirini na tano wa uhamisho wetu, mwanzoni mwa huo mwaka, siku ya kumi ya mwezi, katika mwaka wa kumi na nne baada ya kuanguka kwa mji, siku hiyo hiyo mkono wa Bwana ulikuwa juu yangu, naye akanipeleka huko.
Bizning sürgün bolghanliqimizning yigirme beshinchi yili, yilning béshida, ayning oninchi künide, yeni sheher bösülgendin on töt yil kéyin — del ashu künide Perwerdigarning qoli méning wujudumgha qondi, we U méni [sheherge] apardi.
2 Nikiwa katika maono ya Mungu alinichukua mpaka nchi ya Israeli, naye akaniweka kwenye mlima mrefu sana, ambako upande wa kusini kulikuwepo baadhi ya majengo ambayo yalionekana kama mji.
Xudaning alamet körünüshliride U méni Israil zéminigha apirip, intayin égiz tagh üstige orunlashturdi; taghning jenubiy teripide sheherdek bir qurulush turatti.
3 Akanipeleka huko, nami nikamwona mtu ambaye kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwa shaba. Alikuwa amesimama kwenye lango akiwa na kamba ya kitani na ufito wa kupimia mkononi mwake.
U méni shu yerge apardi; mana qolida kanap tanisi we ölchem xadisini tutqan, misning körünüshide bolghan bir kishi; u derwazida turatti.
4 Mtu huyo akaniambia, “Mwanadamu, angalia kwa macho yako na usikie kwa masikio yako nawe uzingatie kitu nitakachokuonyesha, kwa kuwa ndiyo sababu umeletwa hapa. Iambie nyumba ya Israeli kila kitu utakachoona.”
Bu kishi manga: «Insan oghli, közliring bilen körüp, quliqing bilen anglap, könglüngni men sanga körsitidighan barliq ishlargha baghlighin; chünki buning sanga körsitilishi üchün sen mushu yerge élip kélinding. Israil jemetige barliq körginingni ayan qil».
5 Nikaona ukuta uliozunguka eneo lote la Hekalu. Ule ufito wa kupimia uliokuwa mkononi mwa yule mtu ulikuwa na urefu wa dhiraa ndefu sita, yaani, dhiraa ndefu ni sawa na dhiraa na nyanda nne, akapima ule ukuta. Ukuta huo ulikuwa na unene wa dhiraa ndefu sita na kimo cha dhiraa ndefu sita.
We mana, ibadetxanining hemme teripide tam bar idi. U kishining qolida alte gezlik ölchem xadisi bar idi; shu chaghdiki «bir gez» bir gez bir aliqan’gha toghra kéletti. U tamning kenglikini ölchidi, bir «xada» chiqti; égizliki bolsa, bir «xada» chiqti.
6 Kisha akaenda kwenye lango linaloelekea mashariki. Akapanda ngazi zake akapima kizingiti cha lango, nacho kilikuwa na kina cha huo ufito.
U sherqqe qaraydighan derwazigha kélip, uning pelempeylirige chiqti; uning bosughisining kenglikini ölchidi, u bir xada chiqti. Yene bir teripining kengliki bir xada chiqti.
7 Vyumba vya kupumzikia vya walinzi vilikuwa na urefu wa huo ufito mmoja na upana wa huo ufito, kuta zilizogawa vyumba hivyo vya mapumziko zilikuwa na unene wa dhiraa tano. Nacho kizingiti cha lango lililokuwa karibu na ukumbi unaoelekea hekaluni ulikuwa na kina cha huo ufito.
[Derwazining ichidiki] herbir «oyuq öy»ning uzunluqi bir xada, kengliki bir xada idi; oyuq öylerning ariliqi besh gez idi; derwazining ichidiki bosugha, yeni ichkirige qaraydighan dehlizning aldidiki bosughining [ikki teripining] uzunluqi [ayrim-ayrim] bir «xada» chiqti;
8 Kisha akapima baraza ya njia ya lango,
u derwazining ichkirige qaraydighan dehlizni ölchidi, [uzunluqi] bir xada chiqti.
9 ambayo ilikuwa na kina cha dhiraa nane na miimo yake ilikuwa na unene wa dhiraa mbili. Baraza ya lango ilielekea Hekalu.
U derwazining dalinining uzunluqini ölchidi, sekkiz gez chiqti; uning késhikining yénidiki tamning qélinliqi ikki gez chiqti. Mushu dalan ichkirige qaraytti.
10 Ndani ya lango la mashariki kulikuwepo vyumba vitatu vya kupumzikia kila upande, vyote vitatu vilikuwa na vipimo vilivyo sawa, nazo nyuso za kuta zilizotenganisha kila upande zilikuwa na vipimo vilivyo sawa.
Sherqqe qarighan derwazining ichide, u teripide üchtin, bu teripide üchtin oyuq öyler bar idi. Üchilisi oxshash ölchemde idi; üch öyning ikki yan témi oxshash qélinliqta idi.
11 Kisha akapima upana wa ingilio la lango, ilikuwa dhiraa kumi na urefu wake ulikuwa dhiraa kumi na tatu.
U derwazini ölchidi, kengliki on gez chiqti; uning jemiy uzunluqi on üch gez idi.
12 Mbele ya kila chumba cha kupumzikia kulikuwepo ukuta uliokuwa na kimo cha dhiraa moja kwenda juu, navyo hivyo vyumba vilikuwa dhiraa sita mraba.
Bu yandiki oyuq öylerning aldida bir gez qélinliqtiki bir tosma tam bar idi, we u yandiki oyuq öylerning aldida bir gez qélinliqta bir tosma tam bar idi; heryandiki oyuq öylerning kengliki alte gez idi.
13 Kisha akapima njia ya lango kuanzia juu ya ukuta wa nyuma wa chumba kimoja cha kupumzikia hadi juu ya ukuta wa nyuma wa chumba upande wa pili; kukawa na nafasi ya dhiraa ishirini na tano kuanzia lango la ukuta mmoja hadi lango la ukuta uliokuwa upande mwingine.
U derwazining jemiy kenglikini, yeni bu tereptiki oyuq öyning ögzisining [arqa léwidin] u tereptiki oyuq öyning ögzisining [arqa léwighiche] yigirme besh gez chiqti; bu tereptiki oyuq öyning ishiki bilen u tereptiki oyuq öyning ishiki bir-birige qarishatti.
14 Akapima pia ukumbi, urefu wa dhiraa ishirini na lango linalofuatia hiyo nguzo kila upande wa huo ukumbi.
U ichki hoyligha kirish éghizidiki tüwrüklerni ölchidi; ularning égizliki atmish gez chiqti; derwaza témi bu hoylining tüwrüklirini orap turghanidi.
15 Umbali kuanzia ingilio la njia ya lango hadi mwisho kabisa wa baraza yake ulikuwa dhiraa hamsini.
Derwazining tüwidin dalanning ichki éghizighiche ellik gez chiqti.
16 Kulikuwa na vidirisha kwenye hivyo vyumba vya walinzi na nguzo za hivyo vyumba zilikuwa kwenye mzunguko wa hilo lango, vivyo hivyo kulikuwa na madirisha yaliyozunguka kuelekeana na ua na juu ya kila nguzo kulikuwa na mapambo ya miti ya mitende.
Oyuq öylerning herbirining udul témida, shundaqla oyuq öylerning ariliqida, dalanning yénida oxshashla rojekler bar idi; mushu rojekler sirtigha qarap tariyip mangghan idi; herbir ariliqtiki tam-tüwrüklerge palma derexliri neqqishlen’genidi.
17 Kisha akanileta katika ukumbi wa nje. Huko nikaona vyumba vingine pamoja na njia iliyokuwa imejengwa kuzunguka ukumbi wote, kulikuwa na vyumba thelathini vimepangana kando ya hiyo njia.
U méni sirtqi hoyligha apardi; mana, kichik xanilar, we sirtqi hoylini chöridep yasalghan tash taxtayliq supa; supining üstige ottuz kichik xana sélin’ghan.
18 Njia hii iliyojengwa iliambaa na lango, ikiwa na urefu sawa na lango, hii ilikuwa ni njia ya chini.
Bu tash taxtayliq supa hoylidiki derwazilargha tutashqan, uning kengliki ularning uzunluqigha barawer idi; bu «pes tash supa» idi.
19 Kisha akapima umbali kutoka ndani ya lango la chini mpaka nje ya ukumbi wa ndani, nao ulikuwa dhiraa mia moja upande wa mashariki na dhiraa mia moja upande wa kaskazini.
U töwenki derwazining ichi teripidin ichki hoylining sirtqi témighiche bolghan ariliqni ölchidi; sherq we shimal tereplerningmu yüz gez chiqti.
20 Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje.
Andin sirtqi hoyligha kiridighan, shimalgha qaraydighan derwazining uzunluqi we kenglikini ölchidi.
21 Vyumba vyake vilikuwa vitatu kila upande, kuta zilizogawanya vyumba na baraza ilikuwa na vipimo sawa na zile kuta za lango la kwanza. Zilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.
Uning bu teripide üchtin oyuq öy, u teripide üchtin oyuq öy bar idi; uning tüwrükliri, dalanliri birinchi derwaziningkige oxshash idi; uning uzunluqi ellik gez, kengliki yigirme besh gez.
22 Madirisha yake, baraza yake na nakshi yake ya miti ya mitende vilikuwa na vipimo sawasawa na vile vya lango linaloelekea mashariki. Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo.
Uning dériziliri, dalanliri, palma derex neqishliri sherqqe qaraydighan derwaziningkige oxshash idi; kishiler uning yette basquchluq pelempiyi bilen chiqatti; uning dalini ichkirige qaraytti.
23 Kulikuwa na lango kwenye ukumbi wa ndani lililoelekea lile lango la kaskazini, kama vile ilivyokuwa ule upande wa mashariki. Akapima kutoka lango moja hadi lile lililo mkabala nalo, lilikuwa dhiraa mia moja.
Ichki hoylida shimal we sherqtiki derwazilargha udul birdin derwaze turatti; u derwazidin derwazighiche ölchidi, yüz gez chiqti.
24 Ndipo akaniongoza mpaka upande wa kusini, nami nikaona lango linaloelekea kusini. Akaipima miimo yake na baraza yake, navyo vilikuwa na vipimo sawa kama hivyo vingine.
U méni jenub terepke apardi; mana, jenubqimu qaraydighan bir derwaza bar idi; u uning tüwrükliri, dalanlirini ölchidi, ular bashqilirigha oxshash idi.
25 Lango na baraza yake vilikuwa na madirisha membamba pande zote, kama madirisha ya huko kwingine. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
Derwazining we dalinining etrapidiki dériziler bashqilirigha oxshash idi; uning uzunluqi ellik gez, kengliki yigirme besh gez idi.
26 Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo. Ilikuwa na nakshi za miti ya mitende kwenye kuta zilizogawanya vyumba kila upande.
Uninggha chiqidighan yette basquch bar idi; uning dalini ichkirige qaraytti; uning tüwrükliride palma derixining neqishi bar idi, u terepte biri, bu terepte biri bar idi.
27 Ukumbi wa ndani pia ulikuwa na lango lililoelekea kusini. Naye akapima kutoka lango hili mpaka kwenye lango la nje upande wa kusini; ilikuwa dhiraa mia moja.
Ichki hoyligha kiridighan, jenubqa qaraydighan bir derwaza bar idi; u jenubiy terepte derwazidin derwazigha ölchidi, yüz gez chiqti.
28 Kisha akanileta mpaka ukumbi wa ndani kwa kupitia lango la kusini, naye akapima lango la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine.
U méni ichki hoyligha jenubiy derwazidin ekirdi; we jenubiy derwazini ölchidi; uning ölchemliri bashqa derwazilerningkige oxshash idi.
29 Vyumba vyake, kuta zilizogawanya vyumba na ukumbi wake zilikuwa na vipimo sawasawa na zile nyingine. Hilo lango na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Navyo vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.
Uning oyuq öyliri, ariliq tamliri, dalinining ölchemliri bashqiliriningkige oxshash idi; uning we dalinining etraplirida dériziler bar idi; uning uzunluqi ellik gez, kengliki yigirme besh gez idi.
30 (Baraza za malango zilizozunguka ukumbi wa ndani zilikuwa na upana wa dhiraa ishirini na tano na kina cha dhiraa tano.)
Etrapida uzunluqi yigirme besh gez, kengliki besh gez etrapida dalini bar idi.
31 Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
Uning dalini bolsa sirtqi hoyligha qaraytti; uning kirish éghizidiki ikki yan tüwrükide palma derexlerning neqishi bar idi; uning chiqish yolining sekkiz basquchluq pelempiyi bar idi.
32 Kisha akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani ulioko upande wa mashariki, naye akalipima lango hilo, lilikuwa na vipimo vilivyo sawasawa na yale mengine.
U méni ichki hoylida sherq terepke apardi; u tereptiki derwazini ölchidi; uning ölchemliri bashqilirigha oxshash idi.
33 Vyumba vyake, kuta zake na baraza yake vilikuwa na vipimo vilivyo sawa na vile vingine. Lile lango pamoja na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Urefu wake ulikuwa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
Uning oyuq öyliri, ariliq tamliri, dalinining ölchemliri bashqiliriningkige oxshash idi; uning we dalinining etraplirida dériziler bar idi; uning uzunluqi ellik gez, kengliki yigirme besh gez idi.
34 Baraza yake ilielekea ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote. Kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
Uning dalini bolsa sirtqi hoyligha qaraytti; uning [kirish éghizining] u we bu teripidiki tüwrükide palma derexlerning neqishi bar idi; uning chiqish yolining sekkiz basquchluq pelempiyi bar idi.
35 Kisha akanileta mpaka kwenye lango la kaskazini na kulipima. Lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine,
U méni shimaliy derwazigha apardi, we uni ölchidi; uning ölchemliri bashqilirigha oxshash idi.
36 kama vile ilivyokuwa kwa vyumba, kuta zake na baraza yake, tena kulikuwa na madirisha pande zote. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
Uning oyuq öyliri, ariliq tamliri, dalanliri [bashqilirigha] oxshash idi; etrapida dériziler bar idi. Uning uzunluqi ellik gez, uning kengliki yigirme besh gez idi.
37 Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
Uning dalinidiki tüwrükler sirtqi hoyligha qaraytti; uning [kirish éghizidiki] ikki yan tüwrükide palma derexlerning neqishi bar idi; uning chiqish yolining sekkiz basquchluq pelempiyi bar idi.
38 Kulikuwa na chumba na mlango karibu na baraza katika kila njia ya ndani ya lango ambamo sadaka za kuteketezwa zilioshwa.
Herbir dеrwaza [ikki] tüwrükining yénida ishiklik kichik öy bar idi; ular shu öylerde köydürme qurbanliqlarni yuyatti.
39 Kwenye baraza ya lile lango kulikuwepo meza mbili kila upande, ambako sadaka za kuteketezwa, sadaka za dhambi na sadaka za hatia zilichinjiwa.
Derwazining dalinida uyanda ikkidin shire, buyanda ikkidin shire bar idi; ular shirelerning üstide köydürme qurbanliq, gunah qurbanliqi we itaetsizlik qurbanliqlirini soyidu.
40 Karibu na ukuta wa nje wa baraza ya lile lango karibu na ngazi kwenye ingilio kuelekea kaskazini kulikuwa na meza mbili, nako upande mwingine wa ngazi kulikuwepo na meza mbili.
Shimaliy derwazining dalinining kirish éghizidiki pelempeyning bir yénida ikki shire bar idi; dalanning kirish éghizining yene bir yénida ikki shire bar idi.
41 Kwa hiyo kulikuwa na meza nne upande mmoja wa lango na nyingine nne upande mwingine, zote zilikuwa meza nane, ambapo dhabihu zilichinjiwa.
Shuningdek derwazining u yénida töt shire, bu yénida töt shire bar idi — jemiy sekkiz joza bar idi; ular ularning üstide qurbanliqlarni soyidu.
42 Pia kulikuwa na meza nne za mawe yaliyochongwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, kila meza ilikuwa na urefu wa dhiraa moja na nusu, upana wake dhiraa moja na nusu na kimo cha dhiraa moja. Juu ya meza hizo viliwekwa vyombo vya kuchinjia sadaka za kuteketezwa na dhabihu nyingine mbalimbali.
Yene tashtin yonup yasalghan, uzunluqi bir yérim gez, kengliki bir yérim gez, égizliki bir gez kélidighan töt shire bar idi; ularning üstige köydürme qurbanliqlar we bashqa qurbanliqlarni soyidighan qoral-eswablar qoyulidu.
43 Kulikuwa na kulabu, urefu wake nyanda nne, zilikuwa zimeshikizwa ukutani pande zote. Meza zilikuwa kwa ajili ya nyama za sadaka.
Derwaza ichide, tamliri üstige bir aliqan uzunluqtiki jüp ilmeklik kanarlar békitilgen. Shireler üstige qurbanliq göshliri qoyulidu.
44 Nje ya lango la ndani, kwenye ukumbi wa ndani, kulikuwa na vyumba viwili, kimoja upande wa lango la kaskazini nacho kilielekea kusini, kingine upande wa lango la kusini nacho kilielekea kaskazini.
Ichki hoyla ichide we ichki derwazining sirtida medhiye naxshichiliri üchün ikki kichik öy bar idi; biri shimaliy derwazining yénida, jenubqa yüzlen’gen; yene biri jenubiy derwazining yénida, shimalgha yüzlen’genidi.
45 Akaniambia, “Chumba kinachoelekea upande wa kusini ni kwa ajili ya makuhani ambao wana usimamizi wa hekaluni,
U manga: «Jenubqa yüzlen’gen öy kahinlar, yeni ibadetxanigha mes’ullar üchündur.
46 nacho chumba kinachoelekea upande wa kaskazini ni kwa ajili ya makuhani wenye usimamizi wa madhabahuni. Hawa ni wana wa Sadoki, ambao ndio Walawi pekee wanaoweza kumkaribia Bwana ili kuhudumu mbele zake.”
Jenubqa yüzlen’gen öy kahinlar, yeni qurban’gah wezipisige mes’ullar üchündur. Bular bolsa Zadokning jemetining oghul perzentliri; shularla Lawiy jemetidiler arisidin Perwerdigarning yénigha xizmitide bolushqa kireleydu» — dédi.
47 Ndipo alipopima ukumbi: nao ulikuwa mraba wa dhiraa mia moja urefu na upana. Madhabahu yalikuwa mbele ya Hekalu.
U hoylini ölchidi; uzunluqi yüz gez, kengliki yüz gez, töt chasiliq idi; qurban’gah bolsa muqeddesxana aldida turatti.
48 Akanileta mpaka kwenye baraza ya Hekalu naye akaipima miimo ya hiyo baraza, nayo ilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande. Upana wa ingilio ulikuwa dhiraa kumi na nne na kuta zake zilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande.
U méni muqeddesxanining dalinigha apardi; u dalan éghizining ikki yénidiki tamlarning uzunluqini ölchidi; bir tereptikisi besh gez, yene bir tereptikisi besh gez chiqti; dalan éghizining [özi on töt gez idi]; dalan éghizidiki tamning [ichki teripining] kengliki bu teripi üch gez, u teripi üch gez idi.
49 Baraza ilikuwa na dhiraa ishirini kwenda juu na dhiraa kumi na mbili kuanzia mbele hadi nyuma. Kulikuwa na ngazi kumi za kupandia huko, pia kulikuwa na nguzo kwa kila upande wa miimo.
Dalanning kengliki yigirme gez, uzunluqi on bir gez idi; uninggha chiqidighan pelempey bar idi; tüwrükimu bar idi, u yénida biri, bu yénida biri bar idi.

< Ezekieli 40 >