< Ezekieli 40 >
1 Katika mwaka wa ishirini na tano wa uhamisho wetu, mwanzoni mwa huo mwaka, siku ya kumi ya mwezi, katika mwaka wa kumi na nne baada ya kuanguka kwa mji, siku hiyo hiyo mkono wa Bwana ulikuwa juu yangu, naye akanipeleka huko.
Eso nabu, ode gaheabolo ganodini (ode 25 ninia mugululi misi amoga amola Yelusaleme doagala: le fefedele lai ode14 asi), na da Hina Gode Ea gasa bagade hou nabalu, E da na oule asi.
2 Nikiwa katika maono ya Mungu alinichukua mpaka nchi ya Israeli, naye akaniweka kwenye mlima mrefu sana, ambako upande wa kusini kulikuwepo baadhi ya majengo ambayo yalionekana kama mji.
Na esala ba: su amo ganodini, Gode da na Isala: ili sogega oule asili, goumi sedade da: iya asunasi. Na midadi ba: loba, diasu gagagula asi moilai bai bagade agoai ba: i.
3 Akanipeleka huko, nami nikamwona mtu ambaye kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwa shaba. Alikuwa amesimama kwenye lango akiwa na kamba ya kitani na ufito wa kupimia mkononi mwake.
E da na gadenene oule asili, na da dunu balase ela: mei hamoi agoai esalebe ba: i. E da abula sedade defesu amola galiamo defesu gaguiwane logo holei dafulili lelebe ba: i.
4 Mtu huyo akaniambia, “Mwanadamu, angalia kwa macho yako na usikie kwa masikio yako nawe uzingatie kitu nitakachokuonyesha, kwa kuwa ndiyo sababu umeletwa hapa. Iambie nyumba ya Israeli kila kitu utakachoona.”
E da nama amane sia: i, “Dunu egefe! Ba: ma! Na olelebe huluane noga: ledafa nabima. Bai Gode da di amo nabima: ne, oule misi. Di da Isala: ili dunuma, dia ba: i liligi huluane olelema.”
5 Nikaona ukuta uliozunguka eneo lote la Hekalu. Ule ufito wa kupimia uliokuwa mkononi mwa yule mtu ulikuwa na urefu wa dhiraa ndefu sita, yaani, dhiraa ndefu ni sawa na dhiraa na nyanda nne, akapima ule ukuta. Ukuta huo ulikuwa na unene wa dhiraa ndefu sita na kimo cha dhiraa ndefu sita.
Na da Debolo Diasu amola amoga sisiga: i gagoi ba: i. Amo dunu da defesu galiamo (ea defei seda da 3 mida) lale, gagoi defei. E defei da ba: de 3mida amola gado seda defei da 3 mida.
6 Kisha akaenda kwenye lango linaloelekea mashariki. Akapanda ngazi zake akapima kizingiti cha lango, nacho kilikuwa na kina cha huo ufito.
Amalalu, e da gusudili logo holei amoga asili, E da fa: guba: le heda: i, fa: gu dabua holei defei. Amo da 3 mida ba: i.
7 Vyumba vya kupumzikia vya walinzi vilikuwa na urefu wa huo ufito mmoja na upana wa huo ufito, kuta zilizogawa vyumba hivyo vya mapumziko zilikuwa na unene wa dhiraa tano. Nacho kizingiti cha lango lililokuwa karibu na ukumbi unaoelekea hekaluni ulikuwa na kina cha huo ufito.
Logo holei baligili, logo ba: i. La: di da sosodo ouligisu ilia sesei udiana amola la: di amo defele ba: i. Sesei defei da udiana ili gagaludafa, dobea fe huluane la: dila la: dilale defei da 3 mida fawane. Fei dogoa ea gadugagi defei da 2 1/2 mida. Sosodo ouligisu sesei amonini logo eno ea sedade fei 3 mida ba: i. Amoga asili, sesei eno Debolo Diasu ba: le gusui ba: i.
8 Kisha akapima baraza ya njia ya lango,
Dunu da amo sesei defele amoda ba: loba, seda defei da 4 mida ba: i. E da asili, logo holei Debolo Diasudafa gadenene amoga asili, amo dobea ea ba: de da 1 mida ba: i.
9 ambayo ilikuwa na kina cha dhiraa nane na miimo yake ilikuwa na unene wa dhiraa mbili. Baraza ya lango ilielekea Hekalu.
10 Ndani ya lango la mashariki kulikuwepo vyumba vitatu vya kupumzikia kila upande, vyote vitatu vilikuwa na vipimo vilivyo sawa, nazo nyuso za kuta zilizotenganisha kila upande zilikuwa na vipimo vilivyo sawa.
(Sosodo ouligisu sesei, logo la: di la: di dialebe amola ilia defei da defele amo dobea ea ba: de defei da defele ba: i).
11 Kisha akapima upana wa ingilio la lango, ilikuwa dhiraa kumi na urefu wake ulikuwa dhiraa kumi na tatu.
Amalalu, dunu da logo holei ea ba: de gale defei amola amo da 6 1/2 mida ba: i, amola logo holei afae (ea ga: su da doasi) eno amonini asili amo ea defei da 5 mida ba: i.
12 Mbele ya kila chumba cha kupumzikia kulikuwepo ukuta uliokuwa na kimo cha dhiraa moja kwenda juu, navyo hivyo vyumba vilikuwa dhiraa sita mraba.
Sosodo ouligisu sesei afae afae mimogoadi, da dobea gadole defei da 50 sedamida amola ba: de defei 50 sedamida, amo dialebe ba: i. (Amo sesei afae afae da la: di la: di 3 mida defei).
13 Kisha akapima njia ya lango kuanzia juu ya ukuta wa nyuma wa chumba kimoja cha kupumzikia hadi juu ya ukuta wa nyuma wa chumba upande wa pili; kukawa na nafasi ya dhiraa ishirini na tano kuanzia lango la ukuta mmoja hadi lango la ukuta uliokuwa upande mwingine.
Amalalu, e da sosodo ouligisu sesei dudu dobea amonini logo giadofale asili la: idi sesei ea dudu dobea amo e da defele ba: loba, 12 1/2 mida defei agoane ba: i.
14 Akapima pia ukumbi, urefu wa dhiraa ishirini na lango linalofuatia hiyo nguzo kila upande wa huo ukumbi.
Debolo Diasu ba: le gusui ba: i sesei amo giadofale, asili logo da dibifufu amoga doaga: i. Amo dibifufu ea ba: de da10 mida ba: i.
15 Umbali kuanzia ingilio la njia ya lango hadi mwisho kabisa wa baraza yake ulikuwa dhiraa hamsini.
Henesu logo amo da bisili logo holei amonini asili na: iyado logo holei amoga doaga: le, amo ea defei huluane da 25 mida ba: i.
16 Kulikuwa na vidirisha kwenye hivyo vyumba vya walinzi na nguzo za hivyo vyumba zilikuwa kwenye mzunguko wa hilo lango, vivyo hivyo kulikuwa na madirisha yaliyozunguka kuelekeana na ua na juu ya kila nguzo kulikuwa na mapambo ya miti ya mitende.
Fo misa: ne agenesi fonobahadi da sesei huluane ilia dobea huluane amo ganodini dialebe ba: i. Ganodini dobea da henesu logo ba: le ganoi amoga da gumudi agoai, gobiheiga osole dedei ba: i.
17 Kisha akanileta katika ukumbi wa nje. Huko nikaona vyumba vingine pamoja na njia iliyokuwa imejengwa kuzunguka ukumbi wote, kulikuwa na vyumba thelathini vimepangana kando ya hiyo njia.
Amo dunu da na logo holei baligili, dibifufu amoga oule asi. Gadili gagoi amoga alofele da sesei 30 agoane gagui dialebe ba: i. Ilia midadi, osobo da igi legele fa: i dialebe ba: i.
18 Njia hii iliyojengwa iliambaa na lango, ikiwa na urefu sawa na lango, hii ilikuwa ni njia ya chini.
Dibifufu huluane da igi legele fa: i dialebe ba: i. Amo gadili dibifufu da gududili ba: i, amola ganodini dibifufu da gadodili ba: i.
19 Kisha akapima umbali kutoka ndani ya lango la chini mpaka nje ya ukumbi wa ndani, nao ulikuwa dhiraa mia moja upande wa mashariki na dhiraa mia moja upande wa kaskazini.
Logo holei eno da ganodini dibifufu amoga heda: ma: ne ba: i. Logo holei afae eno amonini asili ea defei da 50 mida ba: i.
20 Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje.
Amalalu, amo dunu da logo holei gadili amo da ga (north) dibifufu ganodini ahoasu holei, amo defei.
21 Vyumba vyake vilikuwa vitatu kila upande, kuta zilizogawanya vyumba na baraza ilikuwa na vipimo sawa na zile kuta za lango la kwanza. Zilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.
Amo sosodo ouligisu sesei logo la: didili la: didili amola logo amola logo holei udiana amola sesei ilia dobea amola dibifufu logo huluane da gusudili logo holei ea ba: su amola defei huluane defele ba: i.
22 Madirisha yake, baraza yake na nakshi yake ya miti ya mitende vilikuwa na vipimo sawasawa na vile vya lango linaloelekea mashariki. Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo.
23 Kulikuwa na lango kwenye ukumbi wa ndani lililoelekea lile lango la kaskazini, kama vile ilivyokuwa ule upande wa mashariki. Akapima kutoka lango moja hadi lile lililo mkabala nalo, lilikuwa dhiraa mia moja.
24 Ndipo akaniongoza mpaka upande wa kusini, nami nikaona lango linaloelekea kusini. Akaipima miimo yake na baraza yake, navyo vilikuwa na vipimo sawa kama hivyo vingine.
Amalalu, amo dunu da na gadili (south) la: idi, amoga oule asili, ani da logo holei eno ba: i. E da amo ea ganodini dobea amola ganodini sesei amola defeloba, huluane da eno logo holei ea liligi defele ba: i.
25 Lango na baraza yake vilikuwa na madirisha membamba pande zote, kama madirisha ya huko kwingine. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
Amo sesei ea fo logo amola logo holei ilia hou amola fa: gu amola gumudi agoane dobeaga osole dedei amola logo holei ganodini dibifufu, ilia defei huluane da eno gadili amola gusudili logo holei ea liligi huluane ilia defei defele ba: i.
26 Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo. Ilikuwa na nakshi za miti ya mitende kwenye kuta zilizogawanya vyumba kila upande.
27 Ukumbi wa ndani pia ulikuwa na lango lililoelekea kusini. Naye akapima kutoka lango hili mpaka kwenye lango la nje upande wa kusini; ilikuwa dhiraa mia moja.
28 Kisha akanileta mpaka ukumbi wa ndani kwa kupitia lango la kusini, naye akapima lango la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine.
Amo dunu da na gadili (south) logo holei amoga oule asili, ganodini dibifufu amo golili oule misi. E da amo logo holei defei. Amo ea defei da logo holei gadili gala, ilia defei amo defele ba: i.
29 Vyumba vyake, kuta zilizogawanya vyumba na ukumbi wake zilikuwa na vipimo sawasawa na zile nyingine. Hilo lango na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Navyo vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.
Ea sosodo ouligisu sesei, amola ganodini ahoasu sesei, amola ganodini dobea, amo huluane da ilia defei da logo holei gadili gala ea liligi huluane ilia defei defele ba: i. Ea sesei huluane da gadili logo holei ea sesei defele fo logo fonobahadi gala. Sedade defei da 25 mida amola ba: de da12 1/2 mida. Ea ganodini ahoasu sesei da dibifufu ba: le ganoi amola logo ahoasu la: idi la: idi dobea amoga gumudi agoane da osole dedei dialebe ba: i. Fofa: gusa: heda: i godowane da amo logo holeiga heda: lebe ba: i.
30 (Baraza za malango zilizozunguka ukumbi wa ndani zilikuwa na upana wa dhiraa ishirini na tano na kina cha dhiraa tano.)
31 Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
32 Kisha akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani ulioko upande wa mashariki, naye akalipima lango hilo, lilikuwa na vipimo vilivyo sawasawa na yale mengine.
Amo dunu da na gusudili logo holeiga oule asili, bu ganodini dibifufu amo golili oule misi. E da amo ea liligi huluane, sosodo ouligisu sesei, ea dobea, ea fo logo, logo huluane, amola gumudi agoai dobea amoga osole dedei, amo huluane ilia da defei da ganodini gadili (south) logo holei liligi ilia defei, amo defele ba: i.
33 Vyumba vyake, kuta zake na baraza yake vilikuwa na vipimo vilivyo sawa na vile vingine. Lile lango pamoja na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Urefu wake ulikuwa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
34 Baraza yake ilielekea ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote. Kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
35 Kisha akanileta mpaka kwenye lango la kaskazini na kulipima. Lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine,
Amalalu, amo dunu da na gadili (north) logo holeiga oule asi. E da amo ea liligi huluane defei. Amola, amo ea sosodo ouligisu sesei, amola ea dobea huluane, amola ea fo logo, amola logo huluane, amola gumudi agoai dobea amoga osole dedei, da eno ganodini logo holei liligi ilia defei, amo defele ba: i.
36 kama vile ilivyokuwa kwa vyumba, kuta zake na baraza yake, tena kulikuwa na madirisha pande zote. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano.
37 Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.
38 Kulikuwa na chumba na mlango karibu na baraza katika kila njia ya ndani ya lango ambamo sadaka za kuteketezwa zilioshwa.
Gadili dibifufu amo ganodini, alofele gagui diasu da ganodini logo holei amoga gagui. Amo da sesei amo da Debolo diasu ba: le gusui ba: i, amoga madelagi ba: i. Amo alofele gagui diasu ganodini ilia da ohe gogo gobele salimusa: medoi, ilia da: i hodo dodofesu.
39 Kwenye baraza ya lile lango kulikuwepo meza mbili kila upande, ambako sadaka za kuteketezwa, sadaka za dhambi na sadaka za hatia zilichinjiwa.
Amo ganodini ahoasu sesei (alofele gagui diasu) fafai biyaduyale, aduna la: di, aduna la: di, dialebe ba: i. Amo da: iya, ilia da ohe amo da wadela: i hou dabe ima: ne gogo gobele salimusa: , wadela: i hou gogolema: ne olofoma: ne imunusa: , o dabe ima: ne gobele salimusa: , medole legesu.
40 Karibu na ukuta wa nje wa baraza ya lile lango karibu na ngazi kwenye ingilio kuelekea kaskazini kulikuwa na meza mbili, nako upande mwingine wa ngazi kulikuwepo na meza mbili.
Amo sesei gadili, fafai biyaduyale amai defele dialebe ba: i. Ilia da aduna la: di, aduna la: di, gadili (north) logo holeiga dialebe ba: i.
41 Kwa hiyo kulikuwa na meza nne upande mmoja wa lango na nyingine nne upande mwingine, zote zilikuwa meza nane, ambapo dhabihu zilichinjiwa.
Huluane da fafai godoane, amo da: iya ohe gobele salimusa: fane legemusa: dialebe ba: i. Biyaduyale da sesei ganodini amola biyaduyale eno da dibifufu gadili, amo ganodini ba: i.
42 Pia kulikuwa na meza nne za mawe yaliyochongwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, kila meza ilikuwa na urefu wa dhiraa moja na nusu, upana wake dhiraa moja na nusu na kimo cha dhiraa moja. Juu ya meza hizo viliwekwa vyombo vya kuchinjia sadaka za kuteketezwa na dhabihu nyingine mbalimbali.
Fafai biyaduyale, amo da ohe gogo gobele salimusa: hahamoma: ne alofele sesei ganodini diala, da igi dadamui amoga hahamoi. Ilia gadole seda da 50 sedamida amola ilia fafai ba: de da la: di la: di huluane75sedamida fawane. Ohe gobele salimusa: medole legesu liligi da amo fafai da: iya ligisisu.
43 Kulikuwa na kulabu, urefu wake nyanda nne, zilikuwa zimeshikizwa ukutani pande zote. Meza zilikuwa kwa ajili ya nyama za sadaka.
Fafai boulegei amo ilia defei da 75 milamida, da fafai ilia beba: le ba: i. Hu huluane gobele salimusa: da amo da: iya ligisisu.
44 Nje ya lango la ndani, kwenye ukumbi wa ndani, kulikuwa na vyumba viwili, kimoja upande wa lango la kaskazini nacho kilielekea kusini, kingine upande wa lango la kusini nacho kilielekea kaskazini.
Amalalu, e da na ganodini dibifufa amoga golili oule misi. Amo ganodini, sesei aduna, afae da gadili (north) logo holei dafululi, gadili (south) ba: legai ba: i amola eno da gadili (south) logo holei dafulili, gadili (north) amoga ba: legai ba: i.
45 Akaniambia, “Chumba kinachoelekea upande wa kusini ni kwa ajili ya makuhani ambao wana usimamizi wa hekaluni,
Amo dunu da sesei amo da gadili (south) ba: legai da gobele salasu dunu ilia da Debolo diasu amoga hawa: hamonanebe, amo da ilia sesei gala, e da nama olelei.
46 nacho chumba kinachoelekea upande wa kaskazini ni kwa ajili ya makuhani wenye usimamizi wa madhabahuni. Hawa ni wana wa Sadoki, ambao ndio Walawi pekee wanaoweza kumkaribia Bwana ili kuhudumu mbele zake.”
Amola sesei amo da gadili (north) ba: legai da gobele salasu ilia da oloda hawa: hamosu hamonana, amo ilia sesei gala. Gobele salasu dunu huluane da Sa: idoge egaga fi esala. Ilia da Lifai fi dunu, amola ilia fawane da Hina Gode Ema hawa: hamoma: ne, Ea midadini hawa: hamomusa: ahoa. Sema gala - ilia fawane da amo hawa: hamosa.
47 Ndipo alipopima ukumbi: nao ulikuwa mraba wa dhiraa mia moja urefu na upana. Madhabahu yalikuwa mbele ya Hekalu.
Amo dunu da ganodini dibifufu defele, ea defei da la: dila la: dilale huluane da 50 mida fawane ba: i. Debolo diasu da ganodini dibifufu ea gududili la: idi dialebe ba: i. Debolo ea midadi da oloda dialebe ba: i.
48 Akanileta mpaka kwenye baraza ya Hekalu naye akaipima miimo ya hiyo baraza, nayo ilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande. Upana wa ingilio ulikuwa dhiraa kumi na nne na kuta zake zilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande.
Amalalu, amo dunu da na Debolo logo holei sesei amoga oule heda: i. Amo e da defele, ea seda defei da 7 mida amola ea ba: de defei da 2 1/2 mida.
49 Baraza ilikuwa na dhiraa ishirini kwenda juu na dhiraa kumi na mbili kuanzia mbele hadi nyuma. Kulikuwa na ngazi kumi za kupandia huko, pia kulikuwa na nguzo kwa kila upande wa miimo.
Logo holei seseidafa amoga fa: gu heda: lebe ba: i. Amo sesei ea defei da seda amo 10 mida amola ba: de da 6 mida. Logo holei la: di la: di da duni bugi aduna dialebe ba: i.