< Ezekieli 4 >

1 “Mwanadamu, sasa chukua tofali, uliweke mbele yako na uchore juu yake ramani ya mji wa Yerusalemu.
God El fahk, “Kom, mwet sukawil moul la, eis sie block an ac filiya ye motom, na sruloala luman acn Jerusalem fac.
2 Kisha uuzingire: Simamisha askari dhidi yake kuuzunguka, uzunguke kwa majeshi, weka kambi dhidi yake pande zote pamoja na magogo ya kubomolea boma vitani.
Kom in pukanak laf, ac orala yol in fohk ac nien aktuktuk, ac ma fukulyen mutunpot uh in sang rauneak block sac, in lumahla ke mwet mweun uh ac tuku rauneak siti sac.
3 Kisha chukua bamba la chuma, ukalisimamishe liwe kama ukuta wa chuma kati yako na huo mji, nawe uuelekeze uso wako. Huo mji utakuwa katika hali ya kuzingirwa, nawe utauzingira. Hii itakuwa ishara kwa nyumba ya Israeli.
Eis sie pan osra ac tulokunak inmasrlom ac block sacn. Ngetang nu kac, in mu kom pa mweuni siti sac. Lumah se inge ac sie mwe akul nu sin mutanfahl Israel.
4 “Kisha ulale kwa upande wako wa kushoto na uweke dhambi za nyumba ya Israeli juu yake. Utazibeba dhambi zao kwa idadi ya siku utakazolala kwa huo upande mmoja.
“Na kom in ona ke layen lasa sum, ac nga fah filiya mwatan ma koluk lun mutanfahl Israel fom. Kom ac muta we ac keok ke ma koluk lalos
5 Nimekupangia idadi ya siku kama miaka ya dhambi yao. Kwa hiyo kwa siku 390 utabeba dhambi za nyumba ya Israeli.
ke len tolfoko eungoul. Sie len in keok lom ac fah oana sie yac in kalya nu selos.
6 “Baada ya kumaliza hili, lala chini tena, wakati huu ulale chini kwa upande wa kuume, uchukue dhambi za nyumba ya Yuda. Nimekupangia siku arobaini, siku moja kwa kila mwaka mmoja.
Fin tari, na kom ikla nu ke layen layot sum uh, ac keok ke ma koluk lun mwet Judah ke len angngaul — sie len oana sie yac in kalya nu selos.
7 Geuza uso wako uelekeze kwenye kuzingirwa kwa Yerusalemu na mkono wako ambao haukuvikwa nguo tabiri dhidi yake.
Ngetang suiya acn Jerusalem ke ac kuhlusyuki. Usruk poum nu ke siti an ac fahkak kas in palu lain.
8 Nitakufunga kwa kamba ili usiweze kugeuka kutoka upande mmoja hadi upande mwingine, mpaka hapo utakapokuwa umetimiza siku za kuzingirwa kwako.
Nga ac kaprikomi kom in tia ku in ikla nu lac lac, nwe ke na safla mweun an.
9 “Chukua ngano na shayiri, maharagwe na dengu, mtama na mawele, uviweke na kuvihifadhi vyote kwenye gudulia la kuhifadhia, na uvitumie kujitengenezea mkate. Utaula mkate huo kwa hizo siku 390 utakazokuwa umelala kwa upande mmoja.
“Inge eis kutu wheat, barley, bean, pea, millet, ac spelt. Kulamiseak ma inge in sang orala bread. Pa ingan ma kom ac kang ke len tolfoko eungoul ke kom oan ke layen lasa sum.
10 Pima shekeli ishirini za chakula utakachokula kwa kila siku, nawe utakula kwa wakati uliopangwa.
Lupan bread kom ac kang ke len se pa ounce oalkosr. Pa inge srikasrak nu ke len fon se.
11 Pia pima maji moja ya sita ya hini, nawe utakunywa kwa wakati uliopangwa.
Kof nimom uh ac fah srikasrak pac — cup luo ke len se.
12 Nawe utakula chakula kama vile ambavyo ungekula mkate wa shayiri, uoke mkate mbele ya macho ya watu, ukitumia kinyesi cha mwanadamu.”
Tanak sie e ke fohkon mwet, ma paola tari, ac omunla bread an fac, na kang yen mwet uh ku in liye kom we.”
13 Bwana akasema, “Hivi ndivyo watu wa Israeli watakavyokula chakula kilicho najisi miongoni mwa mataifa ninakowapeleka.”
LEUM GOD El fahk, “Lumah se inge ma in akkalemye lah mwet Israel ac fah kang mwe mongo ma tia nasnas fal nu ke Ma Sap, ke nga ac luselosla nu in mutunfacl saya.”
14 Ndipo nikasema, “Sivyo Bwana Mwenyezi! Kamwe mimi sijajitia unajisi. Tangu ujana wangu hadi sasa sijala kamwe kitu chochote kilichokufa au kilichoraruliwa na wanyama wa mwituni. Hakuna nyama yeyote najisi iliyoingia kinywani mwangu.”
Na nga topuk ac fahk, “LEUM GOD Fulatlana, in tia ouinge! Nga soenna akfohkfokyeyu e ke nga tulik ah me, in kang ikwen kosro sifacna misa, ku ma kosro lemnak uh uniya. Nga soenna kang kutena mongo ma tia nasnas.”
15 Akasema, “Vema sana, basi nitakuruhusu uoke mkate wako kwa kutumia kinyesi cha ngʼombe badala ya kinyesi cha mwanadamu.”
Ouinge God El fahk, “Wona. Nga ac lela kom in oremakin fohkon cow ac tia fohkon mwet, in sang omunla bread nom an.”
16 Ndipo Mungu akaniambia, “Mwanadamu, mimi nitakatilia mbali upatikanaji wa chakula katika Yerusalemu. Watu watakula chakula cha kupimwa kwa wasiwasi pamoja na maji ya kupimiwa kwa kukata tamaa,
Na El sifil fahk, “Mwet sukawil, nga ac fah tulokinya fahsr lun bread nu Jerusalem, ac mwet we elos ac wela ac inse asor ke elos ac srikeya mwe mongo nalos ac kof nimalos.
17 kwa kuwa chakula na maji vitakuwa adimu. Watastajabiana kila mmoja, nao watadhoofika kwa sababu ya dhambi yao.
Ac fah wanginla bread ac kof. Mwet uh ac nukanlana ma elos in oru. Elos ac srila ke sripen ma koluk lalos.”

< Ezekieli 4 >