< Ezekieli 4 >

1 “Mwanadamu, sasa chukua tofali, uliweke mbele yako na uchore juu yake ramani ya mji wa Yerusalemu.
Gode da amane sia: i, “Dunu egefe! Laga osoboga hamoi igi (baligi) lale, dia midadi ligisima. Amo da: iya Yelusaleme moilai bai bagade ea fedege ilegesu dedema.
2 Kisha uuzingire: Simamisha askari dhidi yake kuuzunguka, uzunguke kwa majeshi, weka kambi dhidi yake pande zote pamoja na magogo ya kubomolea boma vitani.
Eno dunu da Yelusaleme amoma doagala: mu. Amo olelema: ne, laga osoboga hamoi igi amoga ilegele, gegesu adobo amola gegemusa: moi gasagala: su, amola ha wa: i fisisu, amola logo gagili sali damana ifa damuiga dousosu, amo Yelusaleme sisiga: le, ilegele dedema.
3 Kisha chukua bamba la chuma, ukalisimamishe liwe kama ukuta wa chuma kati yako na huo mji, nawe uuelekeze uso wako. Huo mji utakuwa katika hali ya kuzingirwa, nawe utauzingira. Hii itakuwa ishara kwa nyumba ya Israeli.
Gula yaeya lale, amoga dia ilegele dedei amo di ga: le, dogoa bugisima. Ilegele dedei amoma ba: le gusulisima. Fedege agoane, di da Yelusaleme moilai bai bagade amoma doagala: lala. Amo da Isala: ili fi ilima dawa: digima: ne fedegele olelesa.
4 “Kisha ulale kwa upande wako wa kushoto na uweke dhambi za nyumba ya Israeli juu yake. Utazibeba dhambi zao kwa idadi ya siku utakazolala kwa huo upande mmoja.
5 Nimekupangia idadi ya siku kama miaka ya dhambi yao. Kwa hiyo kwa siku 390 utabeba dhambi za nyumba ya Israeli.
Amasea, dia fofadini diasa: ima. Na da di se nabima: ne, Isala: ili fi ilia wadela: i hou dabe dima imunu. Di da eso 390 agoane mae delegili, se nabawane fofadinimusu dialumu. Bai ilia wadela: i hou hamobeba: le, di da se nabimu. Na dima se imunu agoane ilegei. Na da dima eso 390 amoga se imunu. Be Isala: ili fi ilima Na da ode 390 amoga se imunu.
6 “Baada ya kumaliza hili, lala chini tena, wakati huu ulale chini kwa upande wa kuume, uchukue dhambi za nyumba ya Yuda. Nimekupangia siku arobaini, siku moja kwa kila mwaka mmoja.
Amo hou dagosea, di bu lobodafadini delegima. Amogai diala, Yuda dunu ilia wadela: i hou dabe lama: ne, eso 40 agoane dialoma. Bai Na da Yuda fi dunu ilima ode 40 amoga se ima: ne ilegei dagoi.
7 Geuza uso wako uelekeze kwenye kuzingirwa kwa Yerusalemu na mkono wako ambao haukuvikwa nguo tabiri dhidi yake.
Yelusaleme amoma doagala: be amo noga: le sosodolaloma. Yelusaleme amoma ougiwane lobo usunawele sia: ne igugulaloma. Na da Yelusaleme fi ilima se imunu, amo gasa fili olelelaloma.
8 Nitakufunga kwa kamba ili usiweze kugeuka kutoka upande mmoja hadi upande mwingine, mpaka hapo utakapokuwa umetimiza siku za kuzingirwa kwako.
Na da di mae delegima: ne, la: gilisili dialeawane, Yelusaleme amoma doagala: su baligisia fawane yolesimu.
9 “Chukua ngano na shayiri, maharagwe na dengu, mtama na mawele, uviweke na kuvihifadhi vyote kwenye gudulia la kuhifadhia, na uvitumie kujitengenezea mkate. Utaula mkate huo kwa hizo siku 390 utakazokuwa umelala kwa upande mmoja.
Waha di da widi, bali, da: iyene, da: iyene agoai eno, amola agoai eno fage, amo lale, gilisili bibiagone, agi ga: gi hamoma. Di da eso 390 amoga, dia lobo fofadini musu dialawane, amo fawane nanoma.
10 Pima shekeli ishirini za chakula utakachokula kwa kila siku, nawe utakula kwa wakati uliopangwa.
Na da di moma: ne, agi 230 gala: me fawane ilegei.
11 Pia pima maji moja ya sita ya hini, nawe utakunywa kwa wakati uliopangwa.
Amola di da hano fonobahadi fawane manu galebe. Di da eso afae ganodini faigelei nabai aduna fawane manu.
12 Nawe utakula chakula kama vile ambavyo ungekula mkate wa shayiri, uoke mkate mbele ya macho ya watu, ukitumia kinyesi cha mwanadamu.”
Di da dunu iga hafoga: i amoga lalu didili, amo da: iya agi gobele, dunu huluane ba: ma: ne moma.”
13 Bwana akasema, “Hivi ndivyo watu wa Israeli watakavyokula chakula kilicho najisi miongoni mwa mataifa ninakowapeleka.”
Hina Gode da amane sia: i, “Amo da dawa: digima: ne agoane olelemusa: hamoi. Na da Isala: ili fi dunu ga fifi asi gala sogega afagogosea, ilia da sema ha: i nasu manu.”
14 Ndipo nikasema, “Sivyo Bwana Mwenyezi! Kamwe mimi sijajitia unajisi. Tangu ujana wangu hadi sasa sijala kamwe kitu chochote kilichokufa au kilichoraruliwa na wanyama wa mwituni. Hakuna nyama yeyote najisi iliyoingia kinywani mwangu.”
Be na da bu adole i, “Hina Gode Ouligisudafa! Hame mabu! Na da wadela: i ledo hou hamedafa hamosu. Na goi hadiga ganini, na da ohe hi udigili bogoi o ea samaga fai amo ea hu na da hamedafa nasu. Na da sema ledo hamoi ha: i manu hamedafa nasu.”
15 Akasema, “Vema sana, basi nitakuruhusu uoke mkate wako kwa kutumia kinyesi cha ngʼombe badala ya kinyesi cha mwanadamu.”
Amaiba: le, Gode da amane sia: i, “Amai galea, di da amo hou bu fisili, bulamagau iga, amoga lalu didili, dia agi gobema: ne Na da ilegesa.”
16 Ndipo Mungu akaniambia, “Mwanadamu, mimi nitakatilia mbali upatikanaji wa chakula katika Yerusalemu. Watu watakula chakula cha kupimwa kwa wasiwasi pamoja na maji ya kupimiwa kwa kukata tamaa,
Amola E da eno amane sia: i, “Dunu egefe! Na da Yelusaleme dunu ilia ha: i nasu logo hedofamu. Ilia da ha: i manu amola hano fonobahadi fawane enoenoi amoma iabeba: le, ilia da da: i dione amola heawini se nabawane esalumu.
17 kwa kuwa chakula na maji vitakuwa adimu. Watastajabiana kila mmoja, nao watadhoofika kwa sababu ya dhambi yao.
Ilia agi amola hano amola ebelei dagoi ba: mu. Ilia baligiliwane se nabimu. Ilia wadela: i hou hamobeba: le, geloga: gia: mu.”

< Ezekieli 4 >