< Ezekieli 39 >
1 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ee Gogu mimi ni kinyume nawe, mtawala mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali.
Ti dakle, sine èovjeèji, prorokuj protiv Goga, i reci: ovako veli Gospod Gospod: evo me na te, Gože, kneže i glavo Mesehu i Tuvalu.
2 Nitakugeuza kuelekea ulikotoka na kukuburuta. Nitakuleta kutoka kaskazini ya mbali na kukupeleka wewe dhidi ya milima ya Israeli.
I vratiæu te natrag i vodiæu te, i izvešæu te iz sjevernijeh krajeva i dovešæu te na gore Izrailjeve.
3 Kisha nitaupiga upinde wako kutoka mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale ianguke kutoka mkono wako wa kuume.
I izbiæu ti luk tvoj iz lijeve ruke, i prosuæu ti iz desne ruke strijele.
4 Utaanguka kwenye milima ya Israeli, wewe pamoja na vikosi vyako vyote na yale mataifa yaliyo pamoja nawe. Nitakutoa uwe chakula cha ndege wa aina zote walao nyama na cha wanyama wa mwituni.
Na gorama æeš Izrailjevijem pasti ti i sve èete tvoje i narodi koji budu s tobom; pticama, svakojakim pticama krilatijem i zvijerima poljskim daæu te da te izjedu.
5 Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa nimenena, asema Bwana Mwenyezi.
Na polju æeš pasti, jer ja rekoh, govori Gospod Gospod.
6 Nitatuma moto juu ya Magogu na kwa wale wanaoishi kwa salama huko pwani, nao watajua kwamba Mimi ndimi Bwana.
I pustiæu oganj na Magoga i na one koji žive na ostrvima bez straha; i poznaæe da sam ja Gospod.
7 “‘Nitalifanya Jina langu takatifu lijulikane miongoni mwa watu wangu Israeli. Sitaliacha tena Jina langu takatifu litiwe unajisi, nayo mataifa watajua kuwa Mimi Bwana ndimi Aliye Mtakatifu wa Israeli.
I sveto ime svoje obznaniæu usred naroda svojega Izrailja, i neæu više dati da se skvrni sveto ime moje, nego æe poznati narodi da sam ja Gospod, svetac u Izrailju.
8 Hili jambo linakuja! Hakika litatokea, asema Bwana Mwenyezi. Hii ndiyo siku ile niliyosema habari zake.
Evo, doæi æe, i zbiæe se, govori Gospod Gospod; to je dan za koji govorih.
9 “‘Ndipo wale wanaoishi katika miji ya Israeli watakapotoka na kutumia hizo silaha kuwashia moto na kuziteketeza, yaani, kigao na ngao, pinde na mishale, rungu za vita na mikuki. Kwa miaka saba watavitumia kama kuni.
Tada æe izaæi stanovnici gradova Izrailjevijeh, i naložiæe na oganj i spaliæe oružje i štitove i štitiæe, lukove i strijele, sulice i koplja, i ložiæe ih na oganj sedam godina.
10 Hawatahitaji kukusanya kuni kutoka mashambani wala kukata kuni kutoka kwenye misitu, kwa sababu watatumia silaha kuwa kuni. Nao watawateka mateka wale waliowateka na kuchukua nyara mali za wale waliochukua mali zao nyara, asema Bwana Mwenyezi.
I neæe nositi drva iz polja, niti æe sjeæi u šumi, nego æe oružje ložiti na oganj, i oplijeniæe one koji ih plijeniše, i pootimaæe od onijeh koji od njih otimaše, govori Gospod Gospod.
11 “‘Siku ile nitampa Gogu mahali pa kuzikia katika Israeli, katika bonde la wale wasafirio upande wa mashariki kuelekea baharini. Jambo hili litazuia njia ya wasafiri kwa sababu Gogu na makundi yake yote ya wajeuri watazikwa huko. Kwa hiyo litaitwa Bonde la Hamon-Gogu.
I u to æu vrijeme dati Gogu mjesto za grob ondje u Izrailju, dolinu kojom se ide na istok k moru, i ona æe stisnuti usta putnicima; ondje æe biti pogreben Gog i sve mnoštvo njegovo i prozvaæe se dolina mnoštva Gogova.
12 “‘Kwa miezi saba nyumba ya Israeli itakuwa ikiwazika ili kuisafisha nchi.
I ukopavaæe ih dom Izrailjev sedam mjeseca, da bi oèistili zemlju.
13 Watu wote wa nchi watawazika, nayo siku nitakayotukuzwa itakuwa siku ya kumbukumbu kwa ajili yao, asema Bwana Mwenyezi.
I ukopavaæe ih sav narod, i biæe im na slavu u onaj dan kad se proslavim, govori Gospod Gospod.
14 “‘Watu wataajiriwa mara kwa mara kuisafisha nchi. Baadhi yao watapita nchini kote na zaidi yao hao wengine, watawazika wale waliosalia juu ya uso wa nchi. Mwisho wa hiyo miezi saba wataanza upekuzi wao.
I odvojiæe ljude koji æe jednako iæi po zemlji i s onima koji prolaze ukopavati one koji bi ostali po zemlji da je oèiste; poslije sedam mjeseca tražiæe.
15 Wakati wanapopita nchini kote na mmoja wao akaona mfupa wa mwanadamu, ataweka alama kando yake mpaka wachimba kaburi wawe wameuzika katika Bonde la Hamon-Gogu.
I prohodiæe zemlju i iæi po njoj, i ko vidi kosti ljudske, naèiniæe kod njih znak, dokle ih ne ukopaju grobari u dolini mnoštva Gogova.
16 (Pia mji uitwao Hamona utakuwa humo.) Hivyo ndivyo watakavyoisafisha nchi.’
A i gradu æe biti ime Amona; i tako æe oèistiti zemlju.
17 “Mwanadamu, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ita kila aina ya ndege na wanyama wote wa mwituni, waambie: ‘Kusanyikeni mje pamoja kutoka pande zote kwa ajili ya dhabihu ninayowaandalia, dhabihu kuu katika milima ya Israeli. Huko mtakula nyama na kunywa damu.
Ti, dakle, sine èovjeèji, ovako govori Gospod Gospod, reci pticama, svakojakim pticama i svijem zvijerima poljskim: skupite se i hodite, saberite se sa svijeh strana na žrtvu moju, koju koljem za vas, na veliku žrtvu na gorama Izrailjevijem, i ješæete mesa i piæete krvi;
18 Mtakula nyama za watu mashujaa na kunywa damu za wakuu wa dunia kana kwamba ni za kondoo dume na kondoo wake, mbuzi na mafahali, wote walionona kutoka Bashani.
Ješæete mesa junaèkoga i piæete krvi knezova zemaljskih, ovnova, jaganjaca i jaraca i telaca, sve ugojene stoke Vasanske.
19 Katika dhabihu ninayoandaa kwa ajili yenu, mtakula mafuta mpaka mkinai na kunywa damu mpaka mlewe.
I ješæete pretiline da æete se nasititi, i piæete krvi da æete se opiti od žrtava mojih što æu vam naklati.
20 Kwenye meza yangu watajishibisha kwa farasi na wapanda farasi, watu mashujaa na askari wa kila aina,’ asema Bwana Mwenyezi.
I nasitiæete se za mojim stolom konja i konjika, junaka i svakojakih vojnika, govori Gospod Gospod.
21 “Nitauonyesha utukufu wangu miongoni mwa mataifa, nayo mataifa yote wataiona adhabu nitakayotoa na mkono wangu nitakaouweka juu yao.
I pustiæu slavu svoju meðu narode, i svi æe narodi vidjeti sud moj koji æu uèiniti i moju ruku koju æu dignuti na njih.
22 Kuanzia siku ile na kuendelea nyumba ya Israeli itajua kuwa Mimi ndimi Bwana, Mungu wao.
I poznaæe dom Izrailjev da sam ja Gospod Bog njihov, od onoga dana i poslije.
23 Na mataifa watajua kuwa nyumba ya Israeli walikwenda utumwani kwa ajili ya dhambi yao, kwa sababu hawakuwa waaminifu kwangu. Hivyo niliwaficha uso wangu na kuwatia mikononi mwa adui zao, nao wote wakaanguka kwa upanga.
I narodi æe poznati da se za svoje bezakonje zarobi dom Izrailjev, što meni zgriješiše, te sakrih lice svoje od njih, i dadoh ih u ruke neprijateljima njihovijem, i svi padoše od maèa.
24 Niliwatendea sawasawa na uchafu wao na makosa yao, nami nikawaficha uso wangu.
Po neèistoti njihovoj i po prijestupu njihovu uèinih im i sakrih lice svoje od njih.
25 “Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Sasa nitamrudisha Yakobo kutoka utumwani, nami nitawahurumia watu wote wa Israeli, nami nitakuwa na wivu kwa ajili ya Jina langu takatifu.
Toga radi ovako govori Gospod Gospod: povratiæu roblje Jakovljevo i smilovaæu se svemu domu Izrailjevu i revnovaæu za sveto ime svoje,
26 Wataisahau aibu yao na jinsi walivyoonyesha kutokuwa waaminifu kwangu mimi wakati waliishi salama katika nchi yao, bila kuwa na mtu yeyote wa kuwatia hofu.
Pošto podnesu sramotu svoju i sve prijestupe svoje, kojima mi prestupiše dok sjeðahu u svojoj zemlji bez straha i nikoga ne bješe da ih plaši,
27 Nitakapokuwa nimewarudisha kutoka mataifa na kuwakusanya kutoka nchi za adui zao, mimi nitajionyesha kuwa mtakatifu kwa kupitia kwao machoni mwa mataifa mengi.
Kad ih dovedem natrag iz naroda i saberem ih iz zemalja neprijatelja njihovijeh, i posvetim se u njima pred mnogim narodima.
28 Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana, Mungu wao, ingawa niliwapeleka uhamishoni miongoni mwa mataifa, nitawakusanya tena katika nchi yao wenyewe, bila kumwacha yeyote nyuma.
I poznaæe da sam ja Gospod Bog njihov kad odvedavši ih u ropstvo meðu narode opet ih saberem u zemlju njihovu ne ostavivši ih nijednoga ondje.
29 Sitawaficha tena uso wangu, kwa maana nitamimina Roho wangu juu ya nyumba ya Israeli, asema Bwana Mwenyezi.”
I neæu više kriti lica svojega od njih kad izlijem duh svoj na dom Izrailjev, govori Gospod Gospod.