< Ezekieli 39 >

1 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ee Gogu mimi ni kinyume nawe, mtawala mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali.
“Você, filho do homem, profetiza contra Gog, e diz: “O Senhor Javé diz: “Eis que estou contra você, Gog, príncipe de Rosh, Meshech, e Tubal.
2 Nitakugeuza kuelekea ulikotoka na kukuburuta. Nitakuleta kutoka kaskazini ya mbali na kukupeleka wewe dhidi ya milima ya Israeli.
Eu te darei a volta, te guiarei e te farei subir das partes mais altas do norte; e te levarei às montanhas de Israel”.
3 Kisha nitaupiga upinde wako kutoka mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale ianguke kutoka mkono wako wa kuume.
Eu baterei seu arco da mão esquerda, e farei com que suas flechas caiam da mão direita.
4 Utaanguka kwenye milima ya Israeli, wewe pamoja na vikosi vyako vyote na yale mataifa yaliyo pamoja nawe. Nitakutoa uwe chakula cha ndege wa aina zote walao nyama na cha wanyama wa mwituni.
Você cairá nas montanhas de Israel, você, e todas as suas hordas, e os povos que estão com você. Eu te entregarei às aves de rapina de todo tipo e aos animais do campo a serem devorados.
5 Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa nimenena, asema Bwana Mwenyezi.
Você cairá em campo aberto, pois eu o falei”, diz o Senhor Yahweh.
6 Nitatuma moto juu ya Magogu na kwa wale wanaoishi kwa salama huko pwani, nao watajua kwamba Mimi ndimi Bwana.
“Mandarei um fogo sobre Magog e sobre aqueles que habitam com segurança nas ilhas”. Então eles saberão que eu sou Yahweh”.
7 “‘Nitalifanya Jina langu takatifu lijulikane miongoni mwa watu wangu Israeli. Sitaliacha tena Jina langu takatifu litiwe unajisi, nayo mataifa watajua kuwa Mimi Bwana ndimi Aliye Mtakatifu wa Israeli.
“““Darei a conhecer meu santo nome entre meu povo Israel”. Não permitirei mais que meu santo nome seja profanado”. Então as nações saberão que eu sou Yahweh, o Santo em Israel.
8 Hili jambo linakuja! Hakika litatokea, asema Bwana Mwenyezi. Hii ndiyo siku ile niliyosema habari zake.
Eis que ele vem, e será feito”, diz o Senhor Javé. “Este é o dia de que falei”.
9 “‘Ndipo wale wanaoishi katika miji ya Israeli watakapotoka na kutumia hizo silaha kuwashia moto na kuziteketeza, yaani, kigao na ngao, pinde na mishale, rungu za vita na mikuki. Kwa miaka saba watavitumia kama kuni.
“““Aqueles que moram nas cidades de Israel sairão e farão fogo das armas e as queimarão, tanto os escudos e os fivelas, os arcos e as flechas, como os tacos de guerra e as lanças, e farão fogo com eles por sete anos;
10 Hawatahitaji kukusanya kuni kutoka mashambani wala kukata kuni kutoka kwenye misitu, kwa sababu watatumia silaha kuwa kuni. Nao watawateka mateka wale waliowateka na kuchukua nyara mali za wale waliochukua mali zao nyara, asema Bwana Mwenyezi.
para que não tirem madeira do campo e não cortem nenhuma das florestas; pois farão fogo com as armas. Eles saquearão aqueles que os saquearam, e roubarão aqueles que os roubaram”, diz o Senhor Javé.
11 “‘Siku ile nitampa Gogu mahali pa kuzikia katika Israeli, katika bonde la wale wasafirio upande wa mashariki kuelekea baharini. Jambo hili litazuia njia ya wasafiri kwa sababu Gogu na makundi yake yote ya wajeuri watazikwa huko. Kwa hiyo litaitwa Bonde la Hamon-Gogu.
“““Acontecerá nesse dia, que eu darei a Gog um lugar para o enterro em Israel, o vale daqueles que passarem pelo leste do mar; e ele impedirá aqueles que passarem por ele. Ali enterrarão Gog e toda sua multidão, e lhe chamarão “O vale de Hamon Gog”.
12 “‘Kwa miezi saba nyumba ya Israeli itakuwa ikiwazika ili kuisafisha nchi.
“““A casa de Israel vai enterrá-los por sete meses, para que possam limpar a terra.
13 Watu wote wa nchi watawazika, nayo siku nitakayotukuzwa itakuwa siku ya kumbukumbu kwa ajili yao, asema Bwana Mwenyezi.
Yes, todo o povo da terra os enterrará; e ficarão famosos no dia em que eu for glorificado”, diz o Senhor Yahweh.
14 “‘Watu wataajiriwa mara kwa mara kuisafisha nchi. Baadhi yao watapita nchini kote na zaidi yao hao wengine, watawazika wale waliosalia juu ya uso wa nchi. Mwisho wa hiyo miezi saba wataanza upekuzi wao.
“““Eles separarão os homens de emprego contínuo que passarão pela terra. Aqueles que passarem irão com aqueles que enterram aqueles que permanecem na superfície da terra, para limpá-la. Após o final de sete meses, eles procurarão.
15 Wakati wanapopita nchini kote na mmoja wao akaona mfupa wa mwanadamu, ataweka alama kando yake mpaka wachimba kaburi wawe wameuzika katika Bonde la Hamon-Gogu.
Aqueles que procuram através da terra passarão por ela; e quando alguém vir o osso de um homem, então ele colocará um sinal por ela, até que os empreendedores a tenham enterrado no vale de Hamon Gog.
16 (Pia mji uitwao Hamona utakuwa humo.) Hivyo ndivyo watakavyoisafisha nchi.’
Hamonah também será o nome de uma cidade. Assim eles limparão a terra”.'.
17 “Mwanadamu, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ita kila aina ya ndege na wanyama wote wa mwituni, waambie: ‘Kusanyikeni mje pamoja kutoka pande zote kwa ajili ya dhabihu ninayowaandalia, dhabihu kuu katika milima ya Israeli. Huko mtakula nyama na kunywa damu.
“Tu, filho do homem, o Senhor Javé diz: “Fala aos pássaros de toda espécie, e a todos os animais do campo: “Ajuntai-vos e vinde; ajuntai-vos de todos os lados ao meu sacrifício que eu sacrifico por vós, até mesmo um grande sacrifício nas montanhas de Israel, para que possais comer carne e beber sangue.
18 Mtakula nyama za watu mashujaa na kunywa damu za wakuu wa dunia kana kwamba ni za kondoo dume na kondoo wake, mbuzi na mafahali, wote walionona kutoka Bashani.
Comereis a carne dos poderosos e bebereis o sangue dos príncipes da terra, dos carneiros, dos cordeiros e dos bodes, dos touros, todos eles gordos de Basã”.
19 Katika dhabihu ninayoandaa kwa ajili yenu, mtakula mafuta mpaka mkinai na kunywa damu mpaka mlewe.
Comereis a gordura até que estejais cheio, e bebereis o sangue até que estejais embriagado, do meu sacrifício que eu sacrifiquei por vós.
20 Kwenye meza yangu watajishibisha kwa farasi na wapanda farasi, watu mashujaa na askari wa kila aina,’ asema Bwana Mwenyezi.
Serás enchido à minha mesa com cavalos e charutos, com homens poderosos e com todos os homens de guerra”, diz o Senhor Yahweh'.
21 “Nitauonyesha utukufu wangu miongoni mwa mataifa, nayo mataifa yote wataiona adhabu nitakayotoa na mkono wangu nitakaouweka juu yao.
“Vou colocar minha glória entre as nações. Então todas as nações verão meu julgamento que eu executei, e minha mão que eu coloquei sobre elas.
22 Kuanzia siku ile na kuendelea nyumba ya Israeli itajua kuwa Mimi ndimi Bwana, Mungu wao.
Assim, a casa de Israel saberá que eu sou Yahweh seu Deus, a partir daquele dia e em diante.
23 Na mataifa watajua kuwa nyumba ya Israeli walikwenda utumwani kwa ajili ya dhambi yao, kwa sababu hawakuwa waaminifu kwangu. Hivyo niliwaficha uso wangu na kuwatia mikononi mwa adui zao, nao wote wakaanguka kwa upanga.
As nações saberão que a casa de Israel foi para o cativeiro por sua iniqüidade, porque eles transgrediram contra mim, e eu escondi meu rosto deles; então os entreguei na mão de seus adversários, e todos eles caíram pela espada.
24 Niliwatendea sawasawa na uchafu wao na makosa yao, nami nikawaficha uso wangu.
Eu os fiz de acordo com sua impureza e de acordo com suas transgressões. Escondi meu rosto deles.
25 “Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Sasa nitamrudisha Yakobo kutoka utumwani, nami nitawahurumia watu wote wa Israeli, nami nitakuwa na wivu kwa ajili ya Jina langu takatifu.
“Portanto o Senhor Javé diz: “Agora vou reverter o cativeiro de Jacó e ter misericórdia de toda a casa de Israel. Terei ciúmes por meu santo nome”.
26 Wataisahau aibu yao na jinsi walivyoonyesha kutokuwa waaminifu kwangu mimi wakati waliishi salama katika nchi yao, bila kuwa na mtu yeyote wa kuwatia hofu.
Eles esquecerão sua vergonha e todas as suas transgressões pelas quais transgrediram contra mim, quando morarem em segurança em sua terra. Ninguém os fará ter medo
27 Nitakapokuwa nimewarudisha kutoka mataifa na kuwakusanya kutoka nchi za adui zao, mimi nitajionyesha kuwa mtakatifu kwa kupitia kwao machoni mwa mataifa mengi.
quando eu os tiver trazido de volta dos povos, quando os tiver tirado das terras de seus inimigos e quando me mostrar santo entre eles, aos olhos de muitas nações.
28 Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana, Mungu wao, ingawa niliwapeleka uhamishoni miongoni mwa mataifa, nitawakusanya tena katika nchi yao wenyewe, bila kumwacha yeyote nyuma.
Eles saberão que eu sou Yahweh seu Deus, na medida em que os fiz ir para o cativeiro entre as nações, e os reuni em suas próprias terras. Então, não deixarei mais nenhum deles em cativeiro.
29 Sitawaficha tena uso wangu, kwa maana nitamimina Roho wangu juu ya nyumba ya Israeli, asema Bwana Mwenyezi.”
Não esconderei mais meu rosto deles, pois derramei meu Espírito sobre a casa de Israel', diz o Senhor Javé”.

< Ezekieli 39 >