< Ezekieli 39 >

1 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ee Gogu mimi ni kinyume nawe, mtawala mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali.
«ای پسر انسان، باز دربارهٔ جوج پیشگویی کن و بگو:”ای جوج که پادشاه ماشک و توبال هستی، خداوند یهوه می‌گوید من بر ضد تو هستم.
2 Nitakugeuza kuelekea ulikotoka na kukuburuta. Nitakuleta kutoka kaskazini ya mbali na kukupeleka wewe dhidi ya milima ya Israeli.
تو را از راهی که می‌روی باز می‌گردانم و از شمال به طرف کوههای اسرائیل می‌آورم.
3 Kisha nitaupiga upinde wako kutoka mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale ianguke kutoka mkono wako wa kuume.
سلاحهای سپاهیانت را از دستهایشان می‌اندازم.
4 Utaanguka kwenye milima ya Israeli, wewe pamoja na vikosi vyako vyote na yale mataifa yaliyo pamoja nawe. Nitakutoa uwe chakula cha ndege wa aina zote walao nyama na cha wanyama wa mwituni.
تو و تمام سپاه عظیمت در کوهها خواهید مرد. شما را نصیب لاشخورها و جانوران می‌گردانم.
5 Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa nimenena, asema Bwana Mwenyezi.
در صحرا از پای در خواهید آمد. من که خداوند یهوه هستم این را گفته‌ام.
6 Nitatuma moto juu ya Magogu na kwa wale wanaoishi kwa salama huko pwani, nao watajua kwamba Mimi ndimi Bwana.
بر ماجوج و تمام هم‌پیمانانت که در سواحل در امنیت زندگی می‌کنند، آتش می‌بارانم و آنها خواهند دانست که من یهوه هستم.“
7 “‘Nitalifanya Jina langu takatifu lijulikane miongoni mwa watu wangu Israeli. Sitaliacha tena Jina langu takatifu litiwe unajisi, nayo mataifa watajua kuwa Mimi Bwana ndimi Aliye Mtakatifu wa Israeli.
«به این طریق نام قدوس خود را به قوم خود اسرائیل می‌شناسانم و دیگر اجازه نمی‌دهم که نام قدوس من بی‌حرمت شود. آنگاه قومها خواهند دانست که من یهوه، خدای قدوس قوم اسرائیل هستم.»
8 Hili jambo linakuja! Hakika litatokea, asema Bwana Mwenyezi. Hii ndiyo siku ile niliyosema habari zake.
خداوند یهوه می‌گوید: «آن روز داوری خواهد رسید و همه چیز درست به همان طریقی که گفته‌ام اتفاق خواهد افتاد.
9 “‘Ndipo wale wanaoishi katika miji ya Israeli watakapotoka na kutumia hizo silaha kuwashia moto na kuziteketeza, yaani, kigao na ngao, pinde na mishale, rungu za vita na mikuki. Kwa miaka saba watavitumia kama kuni.
«ساکنان شهرهای اسرائیل از شهر خارج شده، تمام سلاحهای شما را یعنی سپرها، کمانها، تیرها، نیزه‌ها و چماقها را برای سوزاندن جمع خواهند کرد و این برای هیزم هفت سال کافی خواهد بود.
10 Hawatahitaji kukusanya kuni kutoka mashambani wala kukata kuni kutoka kwenye misitu, kwa sababu watatumia silaha kuwa kuni. Nao watawateka mateka wale waliowateka na kuchukua nyara mali za wale waliochukua mali zao nyara, asema Bwana Mwenyezi.
این سلاحهای جنگی تا هفت سال آتش آنها را تأمین خواهد کرد. از صحرا هیزم نخواهند آورد و از جنگل چوب نخواهند برید، چون این سلاحها احتیاج آنها را از لحاظ هیزم رفع خواهد کرد. قوم اسرائیل غارت‌کنندگان خود را غارت خواهند نمود.» خداوند یهوه این را فرموده است.
11 “‘Siku ile nitampa Gogu mahali pa kuzikia katika Israeli, katika bonde la wale wasafirio upande wa mashariki kuelekea baharini. Jambo hili litazuia njia ya wasafiri kwa sababu Gogu na makundi yake yote ya wajeuri watazikwa huko. Kwa hiyo litaitwa Bonde la Hamon-Gogu.
خداوند می‌فرماید: «من در اسرائیل در”وادی عابران“، که در شرق دریای مرده قرار دارد، برای جوج و تمام سپاهیان او گورستان بزرگی درست می‌کنم به طوری که راه عابران را مسدود خواهد ساخت. جوج و تمام سپاهیانش در آنجا دفن خواهند شد و نام آن وادی به”درهٔ سپاهیان جوج“تبدیل می‌گردد.
12 “‘Kwa miezi saba nyumba ya Israeli itakuwa ikiwazika ili kuisafisha nchi.
هفت ماه طول خواهد کشید تا قوم اسرائیل جنازه‌ها را دفن کنند و زمین را پاک سازند.
13 Watu wote wa nchi watawazika, nayo siku nitakayotukuzwa itakuwa siku ya kumbukumbu kwa ajili yao, asema Bwana Mwenyezi.
تمام اسرائیلی‌ها جمع خواهند شد و اجساد را دفن خواهند کرد. این روز پیروزی من، برای اسرائیل روزی فراموش نشدنی خواهد بود.
14 “‘Watu wataajiriwa mara kwa mara kuisafisha nchi. Baadhi yao watapita nchini kote na zaidi yao hao wengine, watawazika wale waliosalia juu ya uso wa nchi. Mwisho wa hiyo miezi saba wataanza upekuzi wao.
پس از پایان این هفت ماه، عده‌ای تعیین می‌شوند تا در سراسر زمین بگردند و اجسادی را که باقی مانده‌اند پیدا کنند و دفن نمایند تا زمین دوباره پاک شود.
15 Wakati wanapopita nchini kote na mmoja wao akaona mfupa wa mwanadamu, ataweka alama kando yake mpaka wachimba kaburi wawe wameuzika katika Bonde la Hamon-Gogu.
هر وقت آنها استخوان انسانی را ببینند، علامتی کنارش می‌گذارند تا دفن‌کنندگان بیایند و آن را به درهٔ سپاهیان جوج ببرند و در آنجا دفن کنند.
16 (Pia mji uitwao Hamona utakuwa humo.) Hivyo ndivyo watakavyoisafisha nchi.’
(در آن محل شهری به نام این سپاهیان خواهد بود.) به این ترتیب، زمین بار دیگر پاک خواهد شد.»
17 “Mwanadamu, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ita kila aina ya ndege na wanyama wote wa mwituni, waambie: ‘Kusanyikeni mje pamoja kutoka pande zote kwa ajili ya dhabihu ninayowaandalia, dhabihu kuu katika milima ya Israeli. Huko mtakula nyama na kunywa damu.
خداوند یهوه به من فرمود: «ای پسر انسان، تمام پرندگان و جانوران را صدا کن و به آنها بگو که خداوند می‌گوید:”بیایید و قربانی‌ای را که برای شما آماده کرده‌ام بخورید. به کوههای اسرائیل بیایید و گوشت بخورید و خون بنوشید!
18 Mtakula nyama za watu mashujaa na kunywa damu za wakuu wa dunia kana kwamba ni za kondoo dume na kondoo wake, mbuzi na mafahali, wote walionona kutoka Bashani.
گوشت جنگاوران را بخورید و خون رهبران جهان را بنوشید که مانند قوچها، بره‌ها، بزها و گاوهای پرواری باشان ذبح شده‌اند.
19 Katika dhabihu ninayoandaa kwa ajili yenu, mtakula mafuta mpaka mkinai na kunywa damu mpaka mlewe.
آنقدر گوشت بخورید تا سیر شوید و آنقدر خون بنوشید تا مست گردید! این جشن قربانی را من برایتان ترتیب داده‌ام!
20 Kwenye meza yangu watajishibisha kwa farasi na wapanda farasi, watu mashujaa na askari wa kila aina,’ asema Bwana Mwenyezi.
به مهمانی من بیایید و بر سر سفره‌ام گوشت اسبان، سواران و جنگاوران را بخورید! من که خداوند یهوه هستم این را می‌گویم.“
21 “Nitauonyesha utukufu wangu miongoni mwa mataifa, nayo mataifa yote wataiona adhabu nitakayotoa na mkono wangu nitakaouweka juu yao.
«در میان قومها جلال و عظمت خود را به این طریق نشان خواهم داد. همه مجازات شدن جوج را خواهند دید و خواهند دانست که این کار من است.
22 Kuanzia siku ile na kuendelea nyumba ya Israeli itajua kuwa Mimi ndimi Bwana, Mungu wao.
قوم اسرائیل نیز خواهند دانست که من یهوه، خدای ایشان هستم.
23 Na mataifa watajua kuwa nyumba ya Israeli walikwenda utumwani kwa ajili ya dhambi yao, kwa sababu hawakuwa waaminifu kwangu. Hivyo niliwaficha uso wangu na kuwatia mikononi mwa adui zao, nao wote wakaanguka kwa upanga.
قومها پی خواهند برد که قوم اسرائیل به سبب گناهان خود تبعید شده بودند، زیرا به خدای خود خیانت کرده بودند. پس من نیز روی خود را از آنان برگرداندم و گذاشتم دشمنانشان ایشان را نابود کنند.
24 Niliwatendea sawasawa na uchafu wao na makosa yao, nami nikawaficha uso wangu.
رویم را از ایشان برگرداندم و آنان را به سزای گناهان و اعمال زشتشان رساندم.»
25 “Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Sasa nitamrudisha Yakobo kutoka utumwani, nami nitawahurumia watu wote wa Israeli, nami nitakuwa na wivu kwa ajili ya Jina langu takatifu.
خداوند یهوه می‌فرماید: «ولی اینک به اسارت قوم خود پایان می‌دهم و بر ایشان رحم می‌کنم و غیرتی را که برای نام قدوس خود دارم نشان خواهم داد.
26 Wataisahau aibu yao na jinsi walivyoonyesha kutokuwa waaminifu kwangu mimi wakati waliishi salama katika nchi yao, bila kuwa na mtu yeyote wa kuwatia hofu.
وقتی آنها بار دیگر در وطن خود دور از تهدید دیگران در امنیت ساکن شوند آنگاه دیگر به من خیانت نخواهند کرد و سرافکنده نخواهند شد.
27 Nitakapokuwa nimewarudisha kutoka mataifa na kuwakusanya kutoka nchi za adui zao, mimi nitajionyesha kuwa mtakatifu kwa kupitia kwao machoni mwa mataifa mengi.
آنان را از سرزمینهای دشمنانشان به وطن باز می‌گردانم و بدین ترتیب، به‌وسیلۀ ایشان به قومها نشان می‌دهم که من قدوس هستم.
28 Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana, Mungu wao, ingawa niliwapeleka uhamishoni miongoni mwa mataifa, nitawakusanya tena katika nchi yao wenyewe, bila kumwacha yeyote nyuma.
آنگاه قوم من خواهند دانست که من یهوه، خدای ایشان هستم و این منم که آنان را به اسارت می‌فرستم و باز می‌گردانم و نمی‌گذارم حتی یک نفر از آنها در سرزمین بیگانه باقی بماند.
29 Sitawaficha tena uso wangu, kwa maana nitamimina Roho wangu juu ya nyumba ya Israeli, asema Bwana Mwenyezi.”
من روح خود را بر آنها می‌ریزم و دیگر هرگز روی خود را از ایشان برنمی‌گردانم. من که خداوند یهوه هستم این را گفته‌ام.»

< Ezekieli 39 >